MAOMBI YA KUVUNJA NGUVU ZA GIZA by Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ธ.ค. 2021
- MAOMBI YA KUVUNJA NGUVU ZA GIZA by Innocent Morris
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
TH-cam Link:
/ holyspiritconnect
Ubarikiwe sana hakika umekuwa baraka katika siku ya leo kwangu nilikuwa najickia vibaya kazin lkn baada ya maombi nikatapika mapovu tu nw nipo vzr namshukuru Mungu kwa ajili yako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mtumishi omba Kwa ajili yangu, nilipimwa nikaambuwa presha Iko juu sana, ilihali sijawahi ugua , ninakataa hii roho ya magonjwa, nguvu za giza zinazotumwa kupitia magonjwa ninazifuta na kuzikataa Kwa Jina la Yesu.
Pia hii save sara sikiliza ukijisikia ivyo th-cam.com/video/S1MH6O5R2R4/w-d-xo.htmlsi=nOI7-eFFc9bYeOyJ
Najiungamisha na Maombi haya kwajina la YESU 🙏 napokea Amen
Amen amen amen amen amen amen amen katika jina la yesu ,, kwa damu ya yesu kristo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nimepona nilikuwa n'a kitu mgongoni n'a kichefuchefu baada ya kurudia rudia maombi nimepona kabisa asante bwana yesu kwa kumtumia mtumishi wako amina
Ameen ameen mtumishi wa mungu nimebalikiwaa na maomb yako endelea kutuombea hasa wajawazitoo wamama sisi
Amen 🙏 🙏 mtumishi nimepokea uponyaji na kufunguliwa kupitia kwa hii maombi
Kwakweli nimepata uponaji Kwa ajili ya maombi yako,mungu akubariki mtumishi
Amen napokea kwa jina la Yesu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Ahsante mtumishi wa Mungu tumepokea uponyaji❤
Nguvu zaGiza simeshidwa kwa Damu yesu ubarikiwe Mnoooo kujitoa sadaka kwa Ajili ya wengine
🎉Amina Mtumishi was Mungu nimepona na kufungulia nguvu za kichawi Damu yaYesu imenikomboa barikiwa Sana Mtumishi
Ninafunguliwa Kwa kupitia maombi haya, nimehisi kama Kuna vitu vimetoka usoni, barikiwa mtumishi wa Mungu. Kwani Mungu anakutumia Kwa viwango vya juu sana
Amin nimekombolewa kwa jina la yesu kristu
Amen. Jina la Bwana lihimidiwe🙏
Mungu akubariki, hakikq nimeshuhudia live namna maombi yalivyo na nguvu haijalishi ni mtandaoni ama kanisani ,nimepona katika Jina la yesu kristo ,hakika maombi ni moto ulao.😇
AMEN AMEN
Amen damu ya yesu imefanya ukombozivjuu ya nafsi yangu na mwili wangu jina la bwana lihimidiwe milele na milele aminaa ❤
Asante mtumishi was Mungu nimepokea uponyaji
Asante kwa kutuombea, Mtumishi wa Mungu. Mungu azidi kukutia nguvu utembee na Yesu Kristo siku zote za maisha yako.
Asanteee mtumishi wa mungu
Amieeee
Mungu akubariki naamini nimepona Kwa jina la
Yesu
Mungu akutunze mtumishi ninabatikiwa sana na maombi yako
Nguvu za magonjwa zimeshidwa kwa damu ya yesu
Nguvu za magonjwa zimeshindwa
Najiunganisha na ww mchungaji mungu akubariki sana naona mafanikio ucku wa leo
Mungu akubariki mtumishi wa mungu...Amen
AMEEEN MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa sana
Asante sana mutumishi wa mungu tumepona kwa damu ya yesus kristo minasema amen amen
Amen
Kwa Damu ya Yesu wakati natamka damu ya yesu ulivokemea roho za nyoka nilimuwekea mkono mtoto akaaza kutambaa kama nyoka na alikuwa anatamka niache niache ahsante najua umemfungua Yesu
Asante sana mungu wangu
Ubarikiwe baba yangu nimetapika leo mpaka nguvu zikaniishia na tumbo likawaka moto, hakika YESU ni mzuri🙏🙏
Siwezi kulala bila kusikiliza maombi Mungu akulinde asante baba umejifunga vingi nimejifunza kuomba kupitia wewe asant
Ubarikiwe baba yangu nikuwa nasikiya kitu cha nitaba kwenye kichwa nilipo sikiza maombi nilikuwa nasikia moto mwili muzima lakini saa nashukuru nimepona
Asante Mungu, asante kwa damu ya Yesu.
Hakika ww ni mtumishi unamaombi makali sana mungu akupe maisha marefub
Ameen. Mungu akubariki pia
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe
Asante YESU kwa ushindi
Ameen Asante Mtumishi Kwa Maombi wakati unaomba nilijawa na nguvu kuanza kunena kwa Lugha hakika ilikaa mdomoni mwangu Kwa mda mrefu bila kukoma
Kwa damu ya Yesu Nafunguka huyu mtu anayetesa maisha yangu ashindwe kwa jina la Yesu
Amen Amen barikiwa sana nimepona
Asante mtumishi Wa mngu Mahali ulipopunguza Mungu akujazie nimeshkuru Kwa maombi yamenifungua ssa nko guru ubarkiwe
Amen 🙏 i receive in Jesus name this message is ready to me that everyone hear this message is blessed today forever amen 🙏 thanks so much for this pay
Amina Amina Damu ya Yesu Nena mema
Damu ya YESU kristo
Ameen
Amina ubalikiwe baba asante mungu
Ubarikiwe mno,,,namshukuru MUNGU nilikuwa na Hali isiyoelezeka MUNGU ni mkuu nmepokea upongaji.
Asante Yesu, mimi nilianza kutapika wakati umesema koo, nimepona Katika Jina la Yesu Kristo.
I receive I receive I receive
Ameen
Napokea nguvu ya uponyaji kwa DAMU ya YESU kwenye moyo wangu
Maombi haya yamesaidia sana kumponya baba yangu siku ya leo, alichanganyingiwa, hakula chochote tangu majuzi lakini nlipoweka haya maombi nikitaja damu ya Yesu Sasa hivi ametulia hapigi kelele na chakula amekula na usingizi amelala, Mungu ni mwaminifu sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Mtumishi mungu akubarik mungu akufunike kiukwl mm ni sik ya pli Leo nawashwa tu mwli usiku hat nikioga nawashwa tu mda kwnzia saa 8 usiku inakolea saa 12 usik had hat 2 najikuna tu namshukur mungu kw maomb hay naamini ntapona kabsa
Nmeona kiu kinatoka mwilini mwangu kimeanza miguun ad kichwan nmekuwa mwepesi ubarikiwe sana ahsante sana mtumishi hakika nimeona miujiza Amen🙏🏻
Amen mtumishi wa mungu
Naamin mtumishi wa mungu.
Amina nimefunguliwa kwa dam ya yesu,kuna nguvu ya ajabu ktk haya maombi,Mungu akubariki mtumishi.
Asante leo kufunguliwa kupitia maombi aya ulipoomba ukasema roho za kuto orewa nimeona kitu cha tofauti
Nimemuomba mungu Nikisachi ombi litalo kuwa la pili ndio niombe nalo Mungu kaniletea hili asant Dana YESU
Ameen ameeen
Ubarikiwe mchungaji mkono wangu ulikua unavablet tok mchan ila maombi yako nimekaa saw
Damu ya Yesu Kristo
Napokea asante mtumishi
Mungu mwema nimepona kupitiahiiiisala
Mungu ni mwaminifu nimeona nguvu yake na kupokea uponyaji. Mungu akulinde mtumishi
Damu yayesu inanguvu kubwa amina mtumish
Nimefunguliwa mungu akubariki
my god katika jina la yesu
Ameen najiunganisha na maombi haya, tangu nimeanza kusikiliza yametoka mapepo mengi Sana mwilini mwangu damu ya yesu imeniacha huru,
I receive I receive I receive I receive I receive
Amen Nimeuona Mkono wa yesu amefunguliwa mke Wangu Alikuwa kafungwa na majini kwa miezi 6 ubalikiwe mtumishi
Asante mtumishi
Ubarikiwe mtumishi kwa maombi mazuri M/mungu azidi kukupa nguvu zaidi uendelee kutukomboa watu wake barikiwa Sana mtumishi
Damu ya YESU
Ameen
Ubarikiwe sana mtumishiakika kwa maombia haya nimefunguliwa
AMEN IN JESUS NAME AMEN 🙏
Asante kwa maombezi yako mungu naakatende Zaid na kuondoa nguvu zote za giza
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I
Asante YESU kwa kuniweka huru. I AM FREE.
Amen nimefungwa mpka bwanangu akachukuliwa na mwanamke mwengine 😭😭
Mungu atafanya njia
Amina I receive in Jesus name
I receive
Amen nilikua naumwa xna kichwa Yesu amenitendea ahsante mtumishi wa MUNGU 🙏 ubarikiwe
Ameen
Damu damu damu YESU kristo
Asante mtumsh nilikuwa kama nimebeba mzigo mgogon sasa nashukulu nimepon kwa damu ya yesu🙏
Asante mtumishi nimeona mkono was mungu
Ameen ameeen
Niko huru kwa damu ya Yesu mwokozi amina
Asante mungu nimepokea upako mungu hakika wewe ni mungu wa miungu yote duniani
Asante napokea uponyaji
Asante yesu🙏🙏🙏
Najiunganisha na madhabahu hii katika jina la Yesu Amen 🙏
Ameen
Amin mtumish
Ubarikiwe Mnoooo
Asante yesu ❤❤
Mungu akubariki nimepokea uponyaji kupitia maombi yako amen amen
Naamini nimefunguliwa mtumishi,nimepiga miayo sana sana ubarikiwe mtumishi
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏 napokeya Kwa jina la YESU kristo amen
Mungu atusaidie
Ameen
Ubarikiwe Kwan maombi mtumishi wa Mungu naamin ntajifungua salama Ameen
Asante nilikuwa naumwa na kichwa yoka jana asubuhi nmekosa usingiz usiku wote tulipo omba kimeniachia gafla nashukuru sana mtumishi Ameen
Amina mungu amefanya kwang
J. B be blessed the name of Jesus Christ 🙏
Bwana yesu ni fungue naguvu za kichawi zisizo taka kuniachilia yesu ni hurumiye mimi
MUNGU akubariki Sana mtumshi maombi haya yananisaidia sana nimetupiwa roho ya ukichaa lakini naona yananisaidia sana MUNGU akubariki zaidi
Amen mtumish hakika nmeuona mkono wa Mungu
Kwa damu ya yesu
Ameen
Dam ya yesu mimi erasto
Ubarikiwe mtumishi wa mungu Kwa maombi nimebarikiwa🙏🙏🙏