👏👏👏👏👏👏👏👏👏Asante Mungu Magufuli kweli wewe siomutumishi wawa Tanzania pekee pia wewe nimutumishi wa Mungu Mwenyezimungu akujalie nakukupangufu watuwa Danmark tunagupenda sana Congratulations 🤝🤝🤝🤝🤝
Mwenyezi mungu akulinde na kukuongoza kiongoz wetu mpendwa ,uliebarikiwa na mungu,mungu awajalie saana viongoz wetu,tunawapenda tunajivunia kuwa na ninyi kwani mfanyanya Mambo makubwa mazur ndani ya nchi hii,tunategemea makubwa Zaid mazur,tunawakubali saana.amina.
Kura yangu haijapotea wa sijakosea kukuchagua, hongera sana Rais wetu Mwenyez Mungu azidi kukulinda, wanaosema wameibiwa walikuwa wap wakat wana ibiwa?
Allah Hana sifa kama ya binadamu Allah anasamehe mpaka washirikina ambao Allah alisema anasamehe dhambi zote ila ushirikina tu ndie aliahid hatowasamehe washirikina basi kwa hiyo mdomo wako huwezi muingiza mtu motoni Wala peponi angalia yako wewe huna dhambi wewe
Umefanya kosa kubwa sana kumuhukumu mtu akiwa hai kua yeye nimtu wa motonn nadhani wewe unaweza kua huujui uislamu kabisa unachukua mamlaka ya Allah ya kujua mtu wa motonn na WA peponإسغفرالله يا رجل
Kama baba anashinikiza watoto wake wote wawe na vyeo familia gani zinatengenezwa hapo na maendeleo gani yatapatikana bila changamoto mfumo wa vyama vingi unaovunjwa huo tutajuta
@@toxicharmful4938 Et ee c fyatu n tunajielewa nyie mtaponda mwisho mtaacha tu amna jipya hapo tushazoea na mitano tushaampa afu kuhusu mama co unaechat nae plz heshima ifwate mkondo wake
wapili leo jamana samahani sana kwa usumbuf na poleni na kazi ila naomba unisaidie ku subscribe TH-cam channel yangu na kushare ku comment please jina dogo_ibrah
Hongera Rais wangu. Mola akutangulie kwenye kazi zako🙏🙏
Mungu akumpe mahono yakuifanys kazi yawana hichi kwauuwaminifu nabils ubanhuzi wadin Wala wskabila mungu akpe uzima,
Allah akupe maisha marefu Rais wetu Inshallah 🙏🙏
👏👏👏👏👏👏👏👏👏Asante Mungu
Magufuli kweli wewe siomutumishi wawa Tanzania pekee pia wewe nimutumishi wa Mungu Mwenyezimungu akujalie nakukupangufu watuwa
Danmark tunagupenda sana
Congratulations 🤝🤝🤝🤝🤝
Tunakupenda Baba Magufuli go go go Ikulu yako ningekuwa na Amri ningekupa 20 kabisaa
Mh Rais wangu hongeraaaa sanaaa.mwisho wa yote ushindi tumepata Mungu ni mwema. Alhamdulillah Molla ni muweza wa yote.
Mwanangu Joseph, Kazi njema na Mungu akutangulie, usibadirike, moyo wako ni mkarimu kwa watu wako.
Mungu akushike mkono wake!!
dah, nimemkumbuka sana raisi wangu JPM, pumzika kwa amani
Wakwanza leo jmn team jpm like zetu hapa 😍
Mungu akupiganie
Mwenyezi mungu akulinde na kukuongoza kiongoz wetu mpendwa ,uliebarikiwa na mungu,mungu awajalie saana viongoz wetu,tunawapenda tunajivunia kuwa na ninyi kwani mfanyanya Mambo makubwa mazur ndani ya nchi hii,tunategemea makubwa Zaid mazur,tunawakubali saana.amina.
Endelea kupumzika vyema hakuka mwendo umeumaliza
Hongera Rais
Hongera sana Raisi wangu Mungu akusimamie katika utumishi wako.
Kura yangu haijapotea wa sijakosea kukuchagua, hongera sana Rais wetu Mwenyez Mungu azidi kukulinda, wanaosema wameibiwa walikuwa wap wakat wana ibiwa?
Hakika umenena
Hongera Magufuli Mungu akuriend
Congratulations DKT JPM GOD be with you!! Voice from Burundi
AMEN AMEN. MUNGU MKUU AKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS MAGUFULI NA HEKIMA YA MUNGU MKUU IWE JUU YAKO.BARIKIWA MAMA YETU. AMEN.
Pole sana baba yangu
Mungu akulinde rais wangu Magufuli 🙏🙏🙏
Mungu akuweke raisi wetu
Hongera Sana Raisi wangu niliekuchagua mwenyewe
Hegeraw sana mh jhon pombe magufuri kwa ushindi wako
Congra JPM💝💝💝💝
Hongera rais wetu
Mungu azidi kukubariki kukulinda na kukutunza
Mama SAMIYA ALLAH akubariki na akusaidiye inshaAllah
Mungu ameshamkataa ndio maana kura za wizi zimeonekana bado umelazimisha utangazwe umeshinda hakika Mungu atakupiga mchana kweupe
Chapa kazi baba tunakuaminia
Bado nasema yanga wabadili jezi. Hii njano ibaki ya Ccm tu.
Mungu aku samehe Mna thubutu Kuapa😥😥😥😥😥
Jemn President of naona unakula kiapo bythewei ngai 2mikia inch vizr
Amina yarabi allah akungoze
Utabaki kua raisi wa tanzania hakuna wakukupinga
Allah akusaidiye JMP.
una apa kwa makini. MUNU akusaidiye
JINSI YA KUFAULU MTIHANI WAKO BILA KUSOMA
th-cam.com/video/Jt0oh4NkVf0/w-d-xo.html
MASHA ALLAH.
Watz wamekuonyesha jinsi gani hawakutaki
Kama humtaki ni wewe usiseme Watanzania wote hatumtaki sisi bado tunamhitaji sana wewe nenda kajifungie ndani kwako kimya
Walifumbwa ubongo tuwaache watajuta wenyewe
Humtak wew c wote
Watanzania tutaibiwa mpala mwisho kama kura zinaibiwa nn hakiwezi ibiwa
Kuna uthibitisho wa kuibiwa kura? Au ni kusikia tu ya mtaan
Rip president magufuli
Ongera baba munga akupe hekma kubwa kwa kuongoza taifa letu
Mh hongera tena
ASSANTE SANA
Kz kz
Pumzika baba
Magufuli hoye hongera.
I shall a
R.i.p JPM
Leo hii ni marehemu😭😭😭
Kula yangu imenipa furaha.
Shanguwee na vigelegele
Bora umeziba tundu
Siningekuwa mtazania aki ama nihame Kenya nije TX huku hakuna upuzi
Comedy tu
Hv yule CHIBA amehudhuria kweli hii shughuli 😄😄😄😄😆😆😆😆
Hahaha hahaha
Mashaallah
Mungu.atawahukumu.hapahapa.duniyani.wauwaji.wakubwa.nyiye.akhera.kwendahebu
Amen
Hujui kusoma brooo
Ndugu zako wangapi wameuliwa broo
Wewe umefanya manfapi
Allah Hana sifa kama ya binadamu Allah anasamehe mpaka washirikina ambao Allah alisema anasamehe dhambi zote ila ushirikina tu ndie aliahid hatowasamehe washirikina basi kwa hiyo mdomo wako huwezi muingiza mtu motoni Wala peponi angalia yako wewe huna dhambi wewe
Amina 5tena
Na.mwenyezi.mungu.kashawandalia.makaziyenu.yamilele.motoni
Hakuna mwanadamu anaekaa kikao na MUNGU juu ya wanadamu chini ya jua
Imeandikwa wapi iyo wewe mwenyewe apo hujui utaenda motoni ama kwenye laha ya milele ndo uhukumu mwenzako
Umefanya kosa kubwa sana kumuhukumu mtu akiwa hai kua yeye nimtu wa motonn nadhani wewe unaweza kua huujui uislamu kabisa unachukua mamlaka ya Allah ya kujua mtu wa motonn na WA peponإسغفرالله يا رجل
Kama baba anashinikiza watoto wake wote wawe na vyeo familia gani zinatengenezwa hapo na maendeleo gani yatapatikana bila changamoto mfumo wa vyama vingi unaovunjwa huo tutajuta
kweli kabisa hakuna vile anataka chama chake tu kwa mbunge hakuna maendeleo.
Mtanyooka
@@lilianpabro5511 na mamaako pia ngoja tuwaache simnajifanya fyatu
@@toxicharmful4938 Et ee c fyatu n tunajielewa nyie mtaponda mwisho mtaacha tu amna jipya hapo tushazoea na mitano tushaampa afu kuhusu mama co unaechat nae plz heshima ifwate mkondo wake
@@lilianpabro5511 mwenye kuumia ni sisi wanainchi, hii ndunia hakuna inchi iko na chama moja kwa mbunge labda kwa dictator maendeleo hakuna hapo.
Ushuru wa mbuzi kutoka 3000 hadi 6500 tutaisoma wote
Waanbie webzakoooo
Na bado yatatukuta sana
Hongeraaa jpm
Kama umeona tai ya pink JPM kavaa na wakati akiimba wimbo wa taifa rangi nyingne gonga like
Hapa ni Dar ama?
Dodoma
wapili leo jamana samahani sana kwa usumbuf na poleni na kazi ila naomba unisaidie ku subscribe TH-cam channel yangu na kushare ku comment please jina dogo_ibrah
Kweli
Nyote.mbwa.nyinyi
Acha tabia yakuita watt wawenzako mbwa wewe haujui kuumba hata kuku kwan alie waumba mbona hakuwakosoa
Hii nafasi ya lisu kabsa
😂 😂 😂 Mmeishiwa wapinzan, kwendraaaa lisu akaongoze vichaa wenzake uko 👌👌👌 sio Tz
@@justice607 kama nafas yake si umpe
Umemuona akiapa hapo??? Mashiga mkaape bejium
Wazi kabisa hahahaaa
Kila mmoja ni mchunga na kila mchunga ataulizwa jinsi gani alivyowachunga watu wake, 😭 tuandae majibu siku ya kiama😭
Nyumbani kumenoga 🇹🇿