Tusisahau kumshukuru Raisi Kikwete kwa kutupatia Raisi Magufuli na kumpatia opportunity ya kunawiri kama waziri vile vile. That is also strong leadership
Msingwa kaka tunaomba videos zingine za kumbukizi kipindi cha uwaziri cha dk.john pombe joseph magufuli Hakika huyu ni raisi mchapa kazi anachukiwa na mafisadi wala rushwa huyu ni raisi wa wanyonge Ccm Oyeee 2021 4march
Samia ndo kumbe Rais ajae 17:14-17:38..Ila dah Magufuli alikuwa machine kali kweli. Tunakushuku MUNGU Mkuu Uonae mbele zaid ya mwanadamu. Utukufu Kwko Baba. tunakushukuru kwa zawadi ulitupa Magufuli
Ndg Rais mstaafu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania najivunia kuwa na Rais kama wewe, busara, hekima, maarifa na welendi ulivyonavyo vilikuwezesha kuitangaza nchi yetu kimataifa, umekuwa mfano wa kuingwa na watu wema na wazuri, nakutakia kila la kheri mzee wa tabasamu
Tusisahau kumshukuru Raisi Kikwete kwa kutupatia Raisi Magufuli na kumpatia opportunity ya kunawiri kama waziri vile vile. That is also strong leadership
Naiangalia mwaka huu (2020) namuona Mh. Kikwete akitabiri tunayoyaona nchini mwetu sasa hivi. Big up bulldozer
Mushukuru Mungu kila siku maanake mzee Kikwete alifanya jambo nzuri kumidhinisha JPM.
Siku hii aliyoyaongea Ndio aliyoyafanya ‘....Huyu jamaa alikua genius’..!
❤❤jk jpm and oll the chears of ccm and oll members
2021 mungu ibaraki Tanzania 🇹🇿 mungu mbariki magufuli our president 🙏
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭baba umelala😢😢😢😢😢😢 R. I. P JPM
big up
Maigufuli amekufa kimwili kiroho yupo hai daima milele The best president ever John pombe Maigufuli
Amekufa ameoza huyo hayupo tena he was the best jambazi
Msigwa voice 💥
R.I.P BABA YANGU 😭😭😭😭
REST IN PEACE BABA
chuma🙌🙌
Naamini malaika wanafurahia huko uliko. Pumzika kwa amani, siku moja tutaonana
Leo tar 04/03/2023 namkumbuka sana Raisi wangu mpendwa John Pombe Joseph Magufuli
Msingwa kaka tunaomba videos zingine za kumbukizi kipindi cha uwaziri cha dk.john pombe joseph magufuli Hakika huyu ni raisi mchapa kazi anachukiwa na mafisadi wala rushwa huyu ni raisi wa wanyonge Ccm Oyeee 2021 4march
Duh hapa ndo walipomkaanga Mzee LOWASA..R.I.P mzee MAGUFULI
Amhug kumbe ndio kitakua kisu cha kumpoteza mazima
R.i.p
2021 CCM Oyeee Magufuli oyeee Mama samia sluu Hassan oyeee.🙏
Daah R.i.p Jpm
Rest in Peace JPM
Mwenye maamuzi magumu alikua mchoraji!
Ng'ara Samia ng'ara
Samia ndo kumbe Rais ajae 17:14-17:38..Ila dah Magufuli alikuwa machine kali kweli. Tunakushuku MUNGU Mkuu Uonae mbele zaid ya mwanadamu. Utukufu Kwko Baba. tunakushukuru kwa zawadi ulitupa Magufuli
Endelea kuoumzika kwaamani Hayati Magufuli
Ndg Rais mstaafu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania najivunia kuwa na Rais kama wewe, busara, hekima, maarifa na welendi ulivyonavyo vilikuwezesha kuitangaza nchi yetu kimataifa, umekuwa mfano wa kuingwa na watu wema na wazuri, nakutakia kila la kheri mzee wa tabasamu
ⁿ pm