Continue Resting in peace president Magufuli ..we still mourn you...your integrity, dedication and commitment to build Tanzania is a legacy the whole of Africa is proud of.Love from kenya 🇰🇪 🇰🇪
Hiyo ndio EA ilipaswa iwe undugu sio kuwindana ama ujanja ujanja. Tunaamini Mama Mungu atamjalia adumishe upendo EA. RIP Mwendazako. Mungu akurehemu uliko.
Mm maoni yangu ni kwa magufuli mm ningependa amkalishe Uhuru na kumuelimisha juu ya ufisadi Kenya imezidi maisha ya Kenya ni mabaya Sanaa wanyonge waumia Kila Jambo mpaka ulipe marupurupu. Ata ukisoma hakunafaida kazi wanapeana wakikuyu pekee ndio wanajisifu Kenya ni yao mm ningeomba uingilie kazi kwa maana ww ni raisi wa Tanzania nivema uingilie Kati ili uwasaidie wakenya wenzetu bila hivo Kenya itaharibika miaka ijayo tutajijawanya Kenya itakuwa na maraisi wawili mm ni mkenya ila siipendi Kenya kwa sababu ya ufisadi. Nikiingilia kwa upande wa Barbara Uhuru ametengeneza kwao Nairobi ila Mombasa hawakutengeneza Barbara. Ukitaka wakenya wawe na upendo na Tanzania basi tusaidie magufuli
Tz tulibarikiwa kwa kweli na maraisi 2,mwalimu nyerere na Baba yetu MAGU, 😭😭😭😭😭😭😭😭 na sasa atupo tena nao kazi nzuri umetuachia baba Magu,daima tutakukumbuka R.I.P🙏🙏
I love you Magufuli no secrets about our country, If it was different president he was going to wait until home njoo amu call, but Magufuli was very open president
@@faroukmutyaba5665 I know kaka, we just pray for him to rest in Peace Rais Magufuli, God loves him mostly than us. Hata Baba amefariki Yesu ata baki kuwa Mungu tuu 🙏🏼🙏🏼
this was so cool! Magufuli na Kenyatta wanautani mwingi sana..nafirki ni rika moja ndomana...kutaniana sana. nakumbuka clip Kenyatta akiwa Chato wakenda muonda mama Magufuli..Magufuli akawa anamuegemea Kenyatta na kumuambia mama yake; "mai, Kenyatta Rais wa Kenya huyu anakuksalimia" yaani it was so good..asanteni sana Magufuli / Kenyatta safi sana..Magufuli oyeee!! Kenyatta oyeee!!
🇹🇿🕌⛪🇰🇪 - THIS WAS LIKE OUR BELOVED PRESIDENT MAGUFULI (RIP) PASSING THE BATON TO MAMA SAMIA. "MAY ALLAH, YAHWEH, GOD" HELP HER TO SERVE TANZANIANS AFTER PRESIDENT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI (RIP) PASSED AWAY. "MAY GOD ACCEPT HIS SOUL".❤✔
We missing you JPM 😭 you're unique and true Angel 👼 RIP.. those who kill you the truth will come out one light day...we Pan-African we believe your death wasn't natural. Those who celebrate your death... We are watching them those who talk about your death we know is them who is criminals.. them time will come to.. because everyone will test the death. .
Mh rais somo la bure umepewa na mh uhuru kenyata, sisi tulikamata vifaranga tukavichoma moto, yey kakamata pesa nying kuliko vifaranga, karejesha kwetu SOMO HILO.
Safi sana muheshimiwa uhuru pongezi kwako na muheshimiwa magufuli kila siku nakupenda mungu akusimamie maadui wanaokuchukia laana iwe juu yako na dhambi ziwakandamize wao ameena
Safi sana muheshimiwa uhuru pongezi kwako na muheshimiwa magufuli kila siku nakupenda mungu akusimamie maadui wanaokuchukia laana iwe juu yako na dhambi ziwakandamize wao ameena
Rais wetu uhuru fata nyayo zinazo fata mwenzako magufuli magufuli anatetea wanyonge anatembea tz yote mpaka magerezani kwaio tunakuomba ufate nyayo za mwenzako usiwe mbaguzi kwamana magufuli si mbaguzi
@@alisaid4380 mwislamu gani wewe kipindi cha ramadhani unaongea pumba kiasi hiki naomba ufe kifo kibaya iwe fundisho kwa watu wengine wenye kumdhihaki mungu kama wewe
Majiz yoote yatakoma piga kaz mjomba ss wanachi tunaimani nawewe baba mungu akulinde na akupe afya uzidi kututetea watanzania iwe historia yavizazi baadae
Rais wetu mpendwa Mh Magufuli kwanza nakupenda sana japo mwanzo nilikuchukia sana. kma utasoma comment hii nataka kuuliza bidhaa ya milioni nne ushuru wke ni milioni moja na laki mbili forodha ya Namanga hiyo
Nampenda Sana Kenyatta
kama unamkubali Prs Magu nipe like zako joh
À11qqqq1q
I Am Rwandan but my heart is still mourning you Rais.keep resting in peace
T x p a share
Kweli kabisa...Yaani JPM will be always in my memory...+ 255
Same here I’m Kenyan but I’m still mourning
Am a Ugandan but still mourning a great leader of the times. RIP
Continue Resting in peace president Magufuli ..we still mourn you...your integrity, dedication and commitment to build Tanzania is a legacy the whole of Africa is proud of.Love from kenya 🇰🇪 🇰🇪
You can see the love expressed by our two leaders. God bless Tz . You are our good God given neighbors.
Kwani huyu mzee magu alikuwa wapi ckuzote. Tukaweka majizi yakatuibia wee mpaka sasa tumekombolewa
mwanzo nilikuwa simpendi kweli lakini this time nampenda kweli
Nani?
Celyne Isack 😂😂😂miko juu mwendo wa mateka
Cely😄😄😄
Bonge moja la kolabo
Hahahhahahahaha etii kolabo..... haya bwanaaa
Magufuli is the best president Africa has ever had in 21st century.
Hiyo ndio EA ilipaswa iwe undugu sio kuwindana ama ujanja ujanja. Tunaamini Mama Mungu atamjalia adumishe upendo EA. RIP Mwendazako. Mungu akurehemu uliko.
😂😂😂😂😂😂😂😂 This Was Funny...... R.I.P.Magufuli
amaizing sana
R.i p baba magu hakika nakukumbuka
Here comes second sonko who agrees with me team Kenya give me likes as we go.
Mm maoni yangu ni kwa magufuli mm ningependa amkalishe Uhuru na kumuelimisha juu ya ufisadi Kenya imezidi maisha ya Kenya ni mabaya Sanaa wanyonge waumia Kila Jambo mpaka ulipe marupurupu. Ata ukisoma hakunafaida kazi wanapeana wakikuyu pekee ndio wanajisifu Kenya ni yao mm ningeomba uingilie kazi kwa maana ww ni raisi wa Tanzania nivema uingilie Kati ili uwasaidie wakenya wenzetu bila hivo Kenya itaharibika miaka ijayo tutajijawanya Kenya itakuwa na maraisi wawili mm ni mkenya ila siipendi Kenya kwa sababu ya ufisadi. Nikiingilia kwa upande wa Barbara Uhuru ametengeneza kwao Nairobi ila Mombasa hawakutengeneza Barbara. Ukitaka wakenya wawe na upendo na Tanzania basi tusaidie magufuli
Kbsaa
zamani watu walikuwa hawamwelewi huyu magufuli...ndani ya miaka mitatu kaibadilisha tz na watu wanaanza kumuelewa sasa
UNFORGETTABLE 🇹🇿🖤👈 jamanii!!!!!
Nimeipenda sana hii.
Mzee Magufuri inatakiwa katiba ibadilishwe ukae mpaka Mungu atkapokuita.yasije yakarudi majizi tena Chonde.
Kweli MZEE
Kweli
😂😂😂😂😂🍺🍾😎👍
Kwel kabisaaa
Tanzania Inchi ya ajabu, Mungu ahibariki Tanzania na WA Tanzania pia ahibariki viongozi wa Tanzania
RIP Magufuli
Wazee mko vzr
HAKIKA MUNGU ATUBARIKI TUISHI KWA UPENDO AMINA
Aaamiiyn.
Mmm itanichuku time kua mini daah
Rip Magufuli,Kenyatta ni domo tu bila matendo
Sikubaliani kamwe nawe Judith lakini hiyo ni haki yako! Apumzike kwa amani rais Magufuli 🙏
Domo na hameregesha gold ilioibiwa tz na wakenya?what are you talking about.
Toka uvira d.r.c. tamani watanzaniya rais kama huyo mkakubali mumuuwe?. Loooo, magufuli alikuwa raisi wa kuteteya afrika nzima.
Kenya misses Uhuru
Tanzanian tumepata raisi ambaye hajawahi tokea tangu tupate uhuru Magufuriiiiiiiiiiiiiii ni chuma cha kilongo
Tz tulibarikiwa kwa kweli na maraisi 2,mwalimu nyerere na Baba yetu MAGU, 😭😭😭😭😭😭😭😭 na sasa atupo tena nao kazi nzuri umetuachia baba Magu,daima tutakukumbuka R.I.P🙏🙏
Rest in peace baba, tutakukumbuka daima😭💔🇰🇪
Hakika tutamkumbuka Mpendwa wetu JPM...
Mzee Magufuli Umenifurahisha sana😂😂😂
Dr Magu ni jembeeeee!
Jamani ndiyo maana Kenyata alisema iwe isiwe lazima aje kwenye msiba😥😥😥😥😥😭😭😭
Liwe liwalo ilikua afike , East Africans we've lost a good one kabisa.
😭😭😭😭😭😭😭😭 mi hua siamini na czani kama ntaamini labda cku moja ntaamini kama hayupo tena
Amini tu Kelly,,hakuna jinsi..Mungu ndo anajua.. Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki familia ya Mh.JPM...
Kazi umefanya pumzika kiongoz wetu🇹🇿🇹🇿🙏🙏😭😭
Rais JPM uliachia afrika elmu itasadia wanaota kuongoza vizuri.
Utabaki katika nyoyo zetu. Much love from Rwanda 🇷🇼!
Ulisema kweli tuta kukumbuka kwa megi Baba yetu RIP rest in Peace Rais Magufuli 💕💕
Ma kweli alisema hivyo. Lalala Salama
I love you Magufuli no secrets about our country,
If it was different president he was going to wait until home njoo amu call, but Magufuli was very open president
Rhina ingekua innawezekana angekuja Uganda Magufuli afundishe Museveni wetu jinsi ya kua na huruma kwa wanainchi wa Uganda
@@faroukmutyaba5665 I know kaka, we just pray for him to rest in Peace Rais Magufuli, God loves him mostly than us.
Hata Baba amefariki Yesu ata baki kuwa Mungu tuu 🙏🏼🙏🏼
Kenya na tz ni marafiki, majirani na mandugu, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
President Magufuli you were so real, may God continue to bless and strengthen your family.
Huyu Raisi wetu anapiga Show Live Band na siyo kuimba kwa Back play CD. Hunipa Raha kila siku.
Duniani yoyote , sijaona Mtu wa moyo mzuri kama wewe Baba wa Taifa wa Tanzania. RIP Mzee Mtumishi wa Mungu😍😍🤩
this was so cool! Magufuli na Kenyatta wanautani mwingi sana..nafirki ni rika moja ndomana...kutaniana sana. nakumbuka clip Kenyatta akiwa Chato wakenda muonda mama Magufuli..Magufuli akawa anamuegemea Kenyatta na kumuambia mama yake; "mai, Kenyatta Rais wa Kenya huyu anakuksalimia" yaani it was so good..asanteni sana Magufuli / Kenyatta safi sana..Magufuli oyeee!! Kenyatta oyeee!!
I miss this guy. From Kenya
Nimekumis sana raise wangu kipenzi nakukumbuka sana mungu akulaze pema peponi unajua ipo siku tutaonana mungu akipenda 👩👧👦👩👧👦👩👧👦👩👧👦👩👧👦👩👧👦
😊😊1❤a😊@@mussaodada9629
Tunakukumbuka magu nataman nikuamshe uwezo Sina nabaki Julia daaah mungu wew tulikukosea nin watanzania Hadi utuchukulie maguful 😭😭😭😭
kama unaitwa ,Monica popote ulipo sema oyoooo ,tumetajwa na raisi jamani.
Sijui ni lini itatugalimu kumpata mtu mwingine mzalendo kama huyu mm na uchungu sana hd leo nalia
Magufuli na kenyatta walikua marafiki sana aisee😂😂😂
Sijui ni lini itatugalimu kumpata mtu mwingine mzalendo kama huyu mm na uchungu sana hd leo nalia
Mungu awaongezee umri mrefu na afya njema kwenye utumishi huu aliowapa
Mzee ww bc tu mungu akuhifadhi huko uliko 😭😭😭
Zama hizi za EA ni za aina yake,especially TZ na KE. Lovely and big-up to the two comrades.
This is East Africa we want! Mungu azidi ibariki EA!
Huu ndio undungu thabiti mwenyezi mungu aibariki Africa mashariki.
Hongera sana rais Kenyatta na rais Magufuli na mama Samia heshima kwenu
🇹🇿🕌⛪🇰🇪 - THIS WAS LIKE OUR BELOVED PRESIDENT MAGUFULI (RIP) PASSING THE BATON TO MAMA SAMIA. "MAY ALLAH, YAHWEH, GOD" HELP HER TO SERVE TANZANIANS AFTER PRESIDENT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI (RIP) PASSED AWAY. "MAY GOD ACCEPT HIS SOUL".❤✔
We missing you JPM 😭 you're unique and true Angel 👼 RIP.. those who kill you the truth will come out one light day...we Pan-African we believe your death wasn't natural. Those who celebrate your death... We are watching them those who talk about your death we know is them who is criminals.. them time will come to.. because everyone will test the death. .
Yaa ni zaidi ya upendo, n'a JPM ukitaka kuelewana naye, mzigo upatikane
😂😂😂😂😂😂😂🍺🍾
🤣🤣🤣🤣
Dr magufuli ubalikiwe sana wewe ni rais bora sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo umempatia
Ni mzur lakini anachapaa kazi Uhuru Akasema aaah wachana na huyo arudi nyumbani weeee😂😂😂😂😂😂 Magu banaaaaa
Zakayo Kalinga wachana na huyo arudi bnaaaa
hahahah
Hahaa 🤣🤣🤣 magu banaaa
MAGUFULI where are you Mr PRESIDENT 😢😢😢😢
KWA KWEL TAIFA LIMEKOSA KIONGOZI WA KISASA KAMA HUYU LAKIN KWA SASA SIJUI TUNAKWENDA WAPI YAAN....!
PRICELESS❤❤❤❤
YOU WERE GOD SENT🙏🙏
RIP JPM🙏🙏
Wallah nimefurahiiii uncle Magu mungu akubariki sana
I miss my President His Excellency Uhuru Muigai Kenyatta.
That's Kenyatta rubbish. Let him bring billions he stashed in foreign accounts. Hiyo pesa haikuwa ya mama yake.
i think they were discussing about GOLD smuggler
Mh rais somo la bure umepewa na mh uhuru kenyata, sisi tulikamata vifaranga tukavichoma moto, yey kakamata pesa nying kuliko vifaranga, karejesha kwetu SOMO HILO.
Wallah tena. Zinge kamatiwa tz sijui kama sio kutaifishwa. Adui mpende
Unaongea kisiasa zaidi
Mambo ya anko Magu bwana nimecheka kwa Furaha
😭😭😭😭😭
Nimeipenda sana sana. Mungu awabariki sana!!
Best President in Tanzania's history
Nimejikuta naangalia tena leo 05,04,2023
Ingeli kuwa wakina Ruto na kagame wa penda asili mali za wengine kama hawenge fanya hivo
Magufuli hoiyee..he was a strong president. Much love from Kenya 🇰🇪.
Watazania tumeshaamka na magufuri tunakushukuru na wanaompinga atuwakubali na atutopiga kula tena kwa yeyote ampingae magufuri
HAWA SASA NDO DACTA MAGUFULI NA UHURU KENYATTA...HAWA NDO MARAIS WA UKWELI...
Usimsifu Uhuru Yuko na ubaguzi Uhuru wakenya wanalia
Muna said.kweli kbsa
Ndio anajifunza hivyo
Safi sana muheshimiwa uhuru pongezi kwako na muheshimiwa magufuli kila siku nakupenda mungu akusimamie maadui wanaokuchukia laana iwe juu yako na dhambi ziwakandamize wao ameena
Safi sana muheshimiwa uhuru pongezi kwako na muheshimiwa magufuli kila siku nakupenda mungu akusimamie maadui wanaokuchukia laana iwe juu yako na dhambi ziwakandamize wao ameena
Rais wetu uhuru fata nyayo zinazo fata mwenzako magufuli magufuli anatetea wanyonge anatembea tz yote mpaka magerezani kwaio tunakuomba ufate nyayo za mwenzako usiwe mbaguzi kwamana magufuli si mbaguzi
Wanao kuchukia wafe kwa vijiba vyao vya mioyo yao
Saaaaaana kk wafe tu
Hakika huyu ndiye alikuwa rais mpaka sas siamin kuwa umeondoka
Nimeipenda sanaaa hiii,safi sana viongozi wetu.
Mbona wanaonesha kama Magufuli na Kenyatta hawakuwa na uhusiano nzuri?
Nilizani nimebaki yatima kumbe mzazi yupo mh rais Samia suluhu Hasan Asante mungu
The Comrades of East Africa love from #Tz R. I. P JEMBE letu big love Kenyatta TUSONGE PAMOJA na Rais wetu Mama Samia
Pumbafuu 😏😏wanaomchukia mjomba wafe tuu hakuna namna nyingine sasa 🍺🍾😎👍piga kazi mjomba angu magu 🍺🍾😎
babu Sadala huhuhuhuhuhu
Mungu anakuona 😂😂😂🤖👉🍺🍺🍺🍺
@@bjzee1981 😂😂😂😂hata ww anakuona..... 🍺🍾
sasa kafa yeye utasemajee ? 😂😂 ukimuelekezea mwenzako nja shina linakuja kwao . nafikiri itakuwa ni somo kwao keep your ass shut
Sasa wewe mjomba wako ako wapi sasa
Continue resting in peace your Excellency. Death is too mean to African continent. Good leaders don't last longer. RIP H.E Dr. JPM
This is great, true spirit of kenytan.
Alieskia simu inaanza kuita ikisema Sajili laini kwa njia dole gumba gonga like
Ati wewe achana na huyo arudi nyumbani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
A real kamau kabisa😂😂😂😂😂
Nalia kwa uchungu sana kuondokewa na mtu kama huyu,kazi ya mungu haina makosa rest easy dad
Afathali ungelikufa ww
@@alisaid4380 mwislamu gani wewe kipindi cha ramadhani unaongea pumba kiasi hiki naomba ufe kifo kibaya iwe fundisho kwa watu wengine wenye kumdhihaki mungu kama wewe
Utakufa ww mbwaa
@@alisaid4380 mbwa wazazi wako waliokojoa kiumbe kisicho na busara
@@alisaid4380 unateseka ukiwa wapi😒
Bless ndgu yetu rais Nakupenda sana
Nimependa sana hiyo conversation from both side.
Bonge la mazungumzo.Magufuli umetisha.halina ubishi hilo
chap kazi rais bila kujali
Wallah sichoki kuskiliza hotuba zako baba maguful rest in peas
Magufuli, huyu hakutawahi kuwa na raisi kama yeye!!
Nafurahi kuona hii video❤❤❤❤
Nimempeza Magufuli na kumtamani Kenyatta wetu arudi uongozini❤❤
Akh
Yaani simu ya Raisi ni kimeo 😆😆.... Kweli Tanzania wako na Raisi very simple kabisa
steve wanga iyo maic ndio inafanya ivyo
You are the right person chosen by God for the people of Tanzania
Absolute
Duuh hatar
I see, nimefurahi sana. This is more than friendly.
Thank you President Uhuru. Stay blessed
Sawa sawa,,,sasa ili udugu wetu udum zaid,,inatakiw kila m tz aoe kenya...mashemej zetu hawana shda bn..hahahahaa
Is too sad to see kenya and tanzania having western pupet today after makufuri and kenyatta
Kwa uchaguzi wa mwaka huu.wanabadilisha agenda.ili washinde.sera hazipo.sera ni Magufuli.
African Legend, RIP. I lack strong words to describe you my African King but it is well known that u r really the King that could have rescued Africa.
Kumbe ndio maana jamaa zetu waliokimbilia Kenya ilikuwa ktk transit.
Raisi wetuu we jamani mungu akupe nn uuuuuuwiiiiiiii we Raisi weeeee magufuli mungu akubaliki sanaaa
Majiz yoote yatakoma piga kaz mjomba ss wanachi tunaimani nawewe baba mungu akulinde na akupe afya uzidi kututetea watanzania iwe historia yavizazi baadae
Rais wetu mpendwa Mh Magufuli kwanza nakupenda sana japo mwanzo nilikuchukia sana. kma utasoma comment hii nataka kuuliza bidhaa ya milioni nne ushuru wke ni milioni moja na laki mbili forodha ya Namanga hiyo