Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu
Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu
Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu
Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪
Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...
Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠
Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.
Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana
Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi
Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap
Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni
The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?
Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?
Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.
Hivi kupiga debe ni kazi? Huwa kuna mwananchi asiyejua ni gari gani atakalopanda limpeleke atakako? Wapiga debe niwazururaji, wezi na wavivu tu. Sukuma wote ndani.
Jaman Nchi jiran wanatuonea kijicho kupata Rais Kama huyu jamani ukiona ww huoni kuwa huyu ni Rais Bora dunian ,haki ya Mungu ww umetoka kuzimu kuja kutugombanisha na mzee wetu.
Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu
Hata Kenya tunamtambua magu
Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa
Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu
Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏
Boya unaulizwa shinda yako et mimi salange
Hahaha
Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi.
Mungu ibariki Tanzania ,
Mmungu mbariki
Mh, Raisi John Pombe Magufuli
Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu
Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee
Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu
Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu
Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu
Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi
No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.
Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪
Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona
Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko
Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina
Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana
😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu
Aliesikia sarange oyeee anipe like
Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba
Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.
Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki
Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho
🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like
Hhhahhhah nmecheka xana
@@Mkemia..Kirigiti Haaaaaaa nimecheka sana
😆😆😆😆😆😆mic sikioni kajisahau
Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali
Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc
Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa
Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah
Mpiga debe kayataka mwenyewe
Xana2
Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu
Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...
Ama kweli we ndio jembe mungu akulinde jpm
Mungu akubariki mh Rais
Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia
Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠
angetoka na mtaji wake wa karanga hapo
Ahmadi Mikidadi Hatibu angefungua kiduka mkoba mwenyewe 😂😂😂😂
Kweli kabisa
😁😁
Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana
Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm
Haaha,alisahau jamani.
Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.
Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live
@@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma
Mungu atusaidie katika kufanya maamzi.
Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.
Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman
ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...
@@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha
Unataka chochote kip weye
Fafanua alii hakua nn
Badala yakuomba mtaji kwa mh raisi unasema sarange boya kweli ww
😀😀😀
Hahahha ulikia mawazon mwangu alivyoitwa pale mbele alikua apewe mtaji akazingua na usarange hahahhaa
@@nemricesoka8189 Mtaji ni nini?
😂😂😂jamn simba mtoto
Mwenye bahat habahatiki
Nakupenda sana makufili oyeeeee
Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana
Mheshimiwa Hawa nida ni shida mheshimiwa
Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi
Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee
Axnt Mh.rais wanqu nakupenda xn!
Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote
Yaan ww unautan mbayaaa shida yake c wananchi wawasikie
😂😂😂😂😂😂
Kamata masalange wote sukuma ndani pumbavu wamenifanya mm nimeanda gari la ajabu kweli ambalo mm sikupanga.
Mimi mwenyewe wananiuzi wanakusindikiza mpaka kwenye ngalangala na bei unapigwa vile vile
😁
😹
Msanvu oyeeee nimepamis
Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji?
Salange oyeeeeee
😂😂😂😂😂😂😂😂😂loh
Yaani roho imeniume San jamani ningekuwa mimi
MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote
MH
Utakua senge co bure aisee
@@geoegedonard8548 #hahah hapana usenge nimeacha Ila huyu jamaa amefanya maisha yamekuwa mazur Sana
Hatamimi
Pga kazi mzee
Merci monsieur président.Dieu vous protage.
Dictetor 1 africa
salum nakauka on dit Que Dieu te protège non pas te protage
Huyu rais ndo maana nampenda bure.
Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap
Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!
Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah
Hahahahahaaaaaa
Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni
Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana
Hahahahahaaaaaa msenge huyo sarange unaulizwa badala useme unahitaji mtaji unasema mim sarange mfyuuu
Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana
The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?
Unaulizwa shida yako unaanza kuongea u K.. Mrugulu kachelewa wapi huyo
Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?
Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.
Mimi sarangee hahaha hahahaha
Kweli jua kali mheshimiwa duuh 😂😂
#nakukubali raixi magufuli
Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena
Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima
nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu
@@allysalum7158 Aisee
Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??
Love mh wa tz
Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.
Kweli wanyonge tumepata mtetezi
Raisi mimi ninashida jamani ya kukuona live tuake pekeyetu dakika mbili tu.
Uyu jamaa mjinga mkuu wa nchi anakuuriza usaidiwe ww unaaza kusema oooh mm sio mzurulaji
😂😂😂😂😂😂
Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime
Hata dodoma raisi nida ni shida baba tusaidie.tuna namba tu vitambulisho hakuna
SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?
Hapo mwisho jamaa anasura ngumu.mpaka raisi kamuuliza yy ni miongoni walio ungua Moto😂
🤣🤣🤣😅😅😆😁😄😃😃😀😀😃😃😄😃😂😂😂😂😀😀
wananchi wenyewe wanafki jamaa kaelezea shida wakashanfilia alafu akageuziwa kibao tena wanashangilia mmmmh
Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐
Siungeenda ukaongee wenae sasa hapa atakusaidia nani unakwama wapi
poa nakuja
Ubarikiwe.raisi.wetu
Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote
Jamaa kaikosa milioni moja nje nje matako kweli we unaulizwa shida yako unaanza kuongea utumbo utakufa masikini K wewe
Pole
Jamani uhuru si uchukuwe mfano japo wakiya tuu🙆♀️🙆♀️🙆♀️wa Tanzania mungu awalindie Rais wenu 🙏🙏
Mamy mdogo Mamy lnisha Allah
Njoo na kilosa Mh Rais wetu
Hivi kupiga debe ni kazi? Huwa kuna mwananchi asiyejua ni gari gani atakalopanda limpeleke atakako? Wapiga debe niwazururaji, wezi na wavivu tu. Sukuma wote ndani.
Hahahahahaha haya sasa DC
Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu
Pole kwa safari kwa miungu watu,kama ninyi,huyo rais mchapa kazi mwambie ongera kwa safari.
Sarange oyeeeeeee🤣
Kam umemsikia jamaa anasema et hasikii vzr gongalike twende zetu dodom
😗from 🇧🇮
Kweli atutambata kama wew
Rest in paradise dady
Makao makuu dodoma nida ni shida nani makao makuu .tusaidie raisi wetu
This is Magufuli
Badala aseme shida yake anasema habar za Simba mtoto
Yaani ameniudhi amepata nafasi adimu aeleze shida zake Anasema Mimi ni Sarange yaani
David Martin sijaona fala kama huyo aliyezungumza mambo ya sarange na Simba mtoto
🔥🔥🔥
Nouma Sanaaaaa
Kebu Mtanza Broooo😂😂😂😂
@@yussuphkazumar6229 upo msee
Kebu Mtanza 2pogo br
Unaacha kusema nashida namtaji unasema Mimi sarange wewe kweli zoba
Magu raisi wa wanyonge piga kazi babaangu 2ko nyumayako
Jaman Nchi jiran wanatuonea kijicho kupata Rais Kama huyu jamani ukiona ww huoni kuwa huyu ni Rais Bora dunian ,haki ya Mungu ww umetoka kuzimu kuja kutugombanisha na mzee wetu.
Mpumbavu 1 huyu kwel unashindwa kusema mm muheshimiwa naomba unisaidie mtaji aiseee watu wengin bhn mjinga sana huyu
Uwiiii we mama me staki kupata kufuru
Sana baba