Mstaafu Kikwete awachana CCM mbele ya Rais Samia | Amtaja Dk Bashiru "Sijui kama yuko tayari"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ธ.ค. 2022
- #LIVE🔴 Rais Samia anashiriki kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM - JKCC, DODOMA
#CCM #MkutanoMkuuCCM #EastAfricaTV
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Mungu tusaidie ,hawa watu wako kwa maslai yao tu ,hawaoni shida za wananchi ,
mungu tupe uvumilivu maana tunayoyaona ni majabu tu ila yanamwisho wake
Ukweli ni kwamba, wapo wana CCM wazuri zaidi na wenye Uzalendo wa kweli zaidi kuliko waliopo.
Waziri mkuu chukua fomu😎✌️
Waziri mkuu ni bendera huyo
Waziri mkuu aliyedanganya msikitini siku ya ijumaa kusema kuwa magufuli Bado Yuko hai?
Huyo ni walewale tu
Approximately million 900 imetengwa kwajili ya sherehe wakati wananch tunaish maisha magumu maji shida umeme shida vyakula vipo bei ghali lakini viongoz wao wanaongea mambo mengine ambayo hayana msingi kiukwel tupo katika wakati mgumu sana
The spirit of Magufuli will forever remembered ....
Kweli magufuli was the best president in Tanzania.
His contributions to Tanzanians will remain live except to those who missed his reign
Mweeee cjawai barikiwa na huyu cjui kwa nn Mungu nisamehe tu ☺️
Na tutaisoma kweli tulikichagua wenyewe hiki chama, lakin mje basi na fact point ya kwa Nini Samia agombee mwaka 25
Wazili mkuu Kusema ukweli Anafaa. Sana Anamusimamo
Tumamtaka Waziri mkuu
Huyo aliye huru ndo kale mambo ambayo miaka 60 mmeshinda acheni ujinga we kama awamu yako imeisha siutulie usubirie kufa tu mungu yupo na zamu yako itafika tu
Bashiru anapata hard time ku cope..... Lakini wa TZ mkiwachagua hawa ntajua kweli sisi ni viazi mviringo
Vya chips kabisa 😂
Huyu ni mwanasiasa
Kweli kabisa mzee Kikwete❤❤❤
Wazi Raisi Kikwete ,wakenya tunamtakia heri na baraka Rais mama Samia.Peleke Bono mbele na maisha bora kwa Watanzania
Ya kaisali muachie kaisali na yaliyo ya mungu muachie mungu sasa we mkenya chamgamoto za watanzania hauzijui ebu jifunze kukaa kimya sio kila kitu lazima uchangie
Tunakazi kubwa hawa watu labda miaka 2000 ndowatatoka madalakani wanatumia nguvu kubwa hapo tu wametumia Kodi zetu mungu tu atusimamie
Kweli ni kazi ngumu sana mnayoyoifanya ccm kwenye nchi hii kuifanya dunia kuwa kijiji hii ni sawa na mnafturu mchana ndani ya chumba chenye Giza katika mwezi mtukufu wa ramadhani mw.mungu ashughulike na nyie maana mioyo yenu imebeba maovu ya mengi sana!!
Jaji warioba mwanachama asieweka mbele Imani ya form za CCM
Good president kikwete ...vry transparent
Wapumbavu wa kufikiria na kuchanganua hoja na midahalo mbalimbali lazima wakurupuke na kumuona Dr Bashiru kaharibu badala kuchukua hotuba yake kama kachangamoto yakuifanyia kazi ili kuwaziba wakulima midomo sasa wao wanataka kuwafanya Watanzania kuwa ni Mapimbi wa kuwaburuza kama watu wasio jitambua.
Sema bro umeongea vizuri sana,
Mazoea ni mabaya sana so support president kikwetefo his brilliant sentiments in terms of Tanzania democracy.
Namuona polepole akigombea upande wa pili patakua patam hapoo na hivi umeme wa shida kwa mtaa kazi mnayo
Wao
We jikute tu, ipo siku nawe itabaki historia........
Pumzika kwa amani Mzee wetu😭😭
Impressive service
Rip jpm, Tz inako elekea Mungu aisadiye
Kaota mapembe RIP MAGU uvivu wa kuamka ndo nakumbuka ilikuwa kauli yake ya kwamba kila siku lazima nipigiwe simu ili nikafanye kazi fulani yaan shidaaa ukombozi wa fikra
Magu atakumbukwa daima. Hap hakuna kitu kabisaaa
Huyu Samia huyu mhuuuuu aya bwana pumzika kwa amani magu😭😭😭😭😭😭
Yani inanichoma hadi leo hata kesho
Wanalazimisha mtu yeyote asijitokeze kuwania urais kazi kweli kweli
Halazimishi ndio wanavojipanga miaka 10
Wanalijinda wao na maali zao
Nakupenda Sana mweshimiwa,k
Wakanye sanaaaaaa
Nakukubali sana kiongozi,
Kikwete is a shame to Africa. He can now have a chance to address an audience after DKT Magufuli. We lost Dkt. Magufuli, the true Son of Africa, but his spirit lives on.
Tanzaznians must replace this current sell-out administration with another Magufuli.
Kikwete needs to disappear into oblivion. Nobody wants to see this Kikwete face. Despicable.
Kabisa kabisa..Kumbe umeliona hilo kaka yangu from +254…🤝
Wewe julius kenyatta concentrate with your damaged country.Tanzanians we re happy with our peace and respect and oneness that Mwalimu left us with.Not like your names sake kenyatta who didn't concentrate to unite you guys.Have respect for our leaders The same kikwete you re talking I'll of him he s the one who initiated peace talks between kibaki and Raila when your country was torn apart in 2007/2008.
Wewe julius kenyatta concentrate with your damaged country.Tanzanians we re happy with our peace and respect and oneness that Mwalimu left us with.Not like your names sake kenyatta who didn't concentrate to unite you guys.Have respect for our leaders The same kikwete you re talking I'll of him he s the one who initiated peace talks between kibaki and Raila when your country was torn apart in 2007/2008.
Live long Dr Kikwete,live long Our President Mama Samia.
Remain with your Old Nairobi let us proceed with building out Nation.❤🇹🇿
Mnajali kamati kuu ya ccm na siyo Watanzania wote.
Kutaka uraisi ni dhambi? Mwenyekiti kama anaouwezo wa kisiasa na anakubalika si mchakato upigwe mbona anatetewa kwa nguvu
Oko sawa
Sio kweli
Naona Giza mbele
R.I.P Mfalme wetu JOHN POMBE MAGUFURI kwan umetuachia viongozi MAANDAZI kwan wanasifiana kwa upuuzi wanao ufanya
Mfalme wa mamako ndoman mbwa we kmy mfuate huko akukanyage maana naona waumia
sana maghufuli king wa Africa nzima hakuna wakumfikiya baba yule kwa mazuri yake mashetan yanajitahid kumchafuwa ila wapi
Halafu ujue kitu kimoja au vp sijapanda jukwaan kwa ajil ya kutukanana sawa, ungejibu kistarabu au vp usitake kunitafutia/ kuniweka kwenye kundi lisilo faa sawa narudia usiniweke kwenye kund la wahun, replie tena
huku umeme hakuna mvua zina nyesha maji yana pungua
SANAA IENDELEE Makundi oyeeee
Hatumtaki samia wako mzee maana co mzalendo ,tunamtaka majaliwa pia na jatiba mpya iwepo
Kama unamtaka majaliwa mwambiye akuowe kwa sasa Rais ni mama Samiya huna maamuzi yakutuchaguliya
Kabudi ndy zaidi
Very good Dr jk
Safi Sana
Yani mnawaza uchaguzi wakati umeme na maji ni shida hapa Tanzania dah! Mungu atawaukumu kama wakishindwa watanzania.
Kaka yangu magu hapo ulipo lala mungu apawekehe uliizi wa malaika wake kaka magu nakukumbuka sana kutokana na ubebari mkubwa uliorudi hapa kwetu kaka magu kamwe siwezi kukusau kaka
hayaaaa
Dr. Jakaya Kikwete mimi nakukubali sana na ingekuwa katiba yaruhusu ningekuomba ukarudia tena kutuongoza watanzania.
Mpumbavu wewe😅
@@tonnyojambo1731😂😂😂😂😂😂
Tushawachoka Ila bc atunanamna yakufanya,
Namna ipo
Hakuna namna
Usiseme hiko kitu namna tunayo tena kubwa tuu
Haya bwana
Yetu macho
Hivi hayo makofi yanayopigwa ni ya watu au makofi yaliyorekodiwa kwenye tafrija flan?! Hayahusian kabisa na vitisho vya huyu mzee
Mhh umeliona hilo
Tuwazee maendeleo kuwekana juu roho uchaguz mungu ndo anajua nan rais hata jpm mungu kamchukua ni ilipangwa na mungu kwo rais ajaye n mungu ndan ya ccm
Kikwete Ukweli Mtupu Wewe na Genge lako Mnaliharibu Saaana Taifaletu. Na Mungu Atawaona Kama Siosasa Hapa Duniani Basi Huko kwa Mungu
Jakaya top in tz
2025 tumtangulize mungu tu ajibu maombi ya watanzania basi
Wakati umefika mwananchi arudishiwe nguvu zake na nguvu ya mwannchi ni sanduku la kula apige kura ihesabiwe ithamiwe na itangazwe kama alivyo piga hii ni ndani ya vyama na nje ya vyama itaondoa uongo uchawa, kwa wanaotaka uongozi ndani ya chama wajijenge kwa wanachama na kwanwaotaka uongozi nje ya chama basi wajijenge kwa wananchi. Kwa hali ilivyo sasa watu wanajijenga kwa viongozi kwa umbeya uchawa kawasabu mwanachama/mwananchi amepokonywa haki yake ndiyo maana wanasusa kupiga kura.Msiposikia hili endeleeni na siasa zenu wengine tubaki wakimbizi nchi yanu
Akili nyingi safi kula chochote nakuja kulipa
@@sharifuamuri4638 🤣🤣🤣🤣
Aisee umeongea kwa uchungu sana. Mungu sio Mwanadamu, siku moja atajibu.
Kelele zikizidi anguko lakaribia
Mzee baba upo vzr
Badilisheni katiba nchi inaenda pabaya inaliwa mbaya badilisheni uongonzi maana hii ni bara siyo nzanziber
RIP JPM tutamkumbuka uozo umeludi wapigaji wapo kazini mama nchi umeludi kwa majangili
Wewe msukuma hebu tulia
Wewe mbn nchi ilikushinda Leo ndo unaweza
Waziri mkuu chukua fomu🙏🙏🙏🙏🙏
Hata akichukua fomu lazima aifate katiba ya ccm kama inavyotaka
Baelezee hawajui wanajiropokea nani atampa huy
Mungu simama na Taifa letu maana kila kona wananchi wanalalamika
Tuunganishe nguvu yetu kama nchi zingine. Huu ujinga wa kurithishana utawala eti destury yao wakati mtu hatuna furaha zaidi wananeemeka wale walichonacho. Nchi inatawaliwa na ujinga uliopitiliza. Huyu mama sio Rais wangu
MUNGU wetu yupo
Ndio maana kamuondoa magufuli
Hongera sana mh kikwete
Mungu akubaliki sana tunakukubali sana
Ww na nan
Sema mimi
Kumbe mjinga umebaki wewe tuu
Next time,pata akili siku nyingine usirudie kutumia we kwenye me
Yaani mkija kumwacha mtu ambaye siochaguo la wananchi agombee nitawaona wapuuzi sana, Kikwete usitutishe, Samia ni Rais wetu but she is not our choice it was MAGUFULI, So muhula ukiisha tunataka waheshimiwa wagombee ili tupate chaguo letu msitake kutulazimisha
Wakati wa mungu utafika TU watanzania wapo misri wakiteswa na farao ipo cku Moja mungu atamwinua Musa mwingine wa tatu
@@samwelsimon4800 umeona eeh!
Kama Haki itatendeka Haiwezi kushinda,Maisha ya wananchi wa kawaida wanashida sana,
Kweli sisi wagangaa njaa sasahv
Kama mtaondoa migawo ya umeme na maji, kupunguza mfumuko wa bei, kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati ndio wananchi watawaelewa la sivyo itabaki kupigiana makofi wenyewe kwa wenyewe
Mbona watu hamtaki kustafu...
Ajali ya watz ndio huyo
Sasa ongeeni tu baada ya mwanaume JPM kuondoka ,kikwete hatukupendi na unajua
Sijawahi kumsikia kikwete akiwa mkali namna hii.
Humble style of leadership is not the good way of effective impact that is why every sector was very weak! RIP MY FAVOURITY PRESIDENT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI
Kweli mstaafu anafaa amekabidhi majukumu makubwa serikali
Apo nimemuona Raisi wangu Mtaafu Sheni tu
waliopo wote ni wapambe bendera fuata upepo
Waziri mkuu ndio atakuwa rais wa wasaba wa Tanzania 🥰
Inasemekana Waziri mkuu hawezi kuwa raisi katika hii nchi mkuu... hayo ni maagano waliyoweka wazee wa dsm
Unaotawewe Tena ndoto za alnacha kasome katiba ya ccm inasemaje
@@nehemiamathias3317 hakuna mambo ya maagano hapa lazima waziri mkuu awee rais hata CCM wakikata tutajiunga na chadema👌
@@robertphilip385 hatutambui katiba Cha CCM huyo mama hawezi kazi bure kabisa.. #wazirimkuu mpaka ikulu🤞
@@mustyboymaalim2070 chadema hawachukuitena makapi ya ccm
R.i.p rais wangu maguful bado nakupenda ango magu
Nimeamini kama nchi saiz ipo chini ya Kikwete
Wananch hawajatajw hat kidog..they think how to win only not for the rest of the civil ...duh
Wezi wakubwa tumewachoka sana ila mnaongoza kwa nguvu ya jeshi letu ila ipo siku mtaachia nchi
Mbona mzee alikuwa na busara sana siku hizi vipi tena mbona leo kaongeaa vitu sivielewi...?? Kama mama anakubalika si waruhusu watu wagombee ndani ya chama...!!! Na kura ziwe huru...!!
Mwanaharakati huru ndio MUSIBA
Alikuwa anawabomoa
Hivi msiba aliendaga wapi kiherehere no 1
Rangi za mboga ya maboga, kazi kweli,kweli! Hakuna hata karangi ka Figo?
Sikuwahi kufikiri Kunal shida ya nchi Tanzania Kwa sababu ya wahini watatuua
mzee unamdanganya huyo mama eti anakubalika mmmmhh labda msifanye uchaguzi wa haki na huru kama mko serious nchi hii anayeweza kukubalika nchi nzima kwa kishindi ni mmoja tu Kasimu
Wewe kikwete mungu anakuona sisi hatuchangui ccm never
Hio shida ccm
Nakuhulumi sana siku yako imeisha
Majaliwa chukuwa fom
Majaliw tunakupenda
Hapo mzee wetu umelonga. Vijana walopokaji ni wengi the type of makonda, Yule kada wa vijana wa CCM bukoba aliyebariki kupoteza watu. Kiongozi yeyote aliyepewa dhamana ya uongozi asiyeamini ktk utaratibu na mfumo wa utendaji ni virus inayokwenda ku paralyze chama na nchi wakiachwa kuendelea Kushida dhamana.
Safi sana mjukuu wa nyerere
😂😂😂
Kweli ccm imechoka kiasi hichi demokrasia wanaikanyaga kweli kweli
Asa huo mkutano au campaign?
Aaa we Mzee toka hapa waizi wakubwa
Sawa baba
One day is okay ata waflume waliangu mbele ya haki
Edwin na lusajo hamna sera making sana CCM ,jukwaa lako chadema kawambie
Hamna majawabu
Vita ni vita mura😁
Mhm?
Kumbe mmekaa ili kuja kuwekana tena sasa hatumtaki uyo mama
Ndio kashakaa Sasa utafanyaje ! Na amalizia mitano Tena ukisikia uchungu hama nchi! Au kunywa sumu ufe