Watu unafikiri wana chuki basi sio hivyo bali wana ubinafsi, ukabila na uroho wa madaraka. Anayoyafanya Mgufuli mwenye akili timamu asiye na uroho wa madaraka hawezi kupinga. Hawamtaki kwa kuwa kawazibia riski ili watu wanufaike wote. Watu wana ubinafsi.
Aruhusu watu wengine wafanye siasa mtamuona hana lolote. Anajua watu wa upinzania wana akili kuliko yeye. Magufuli huwezi mfananisha na Mbatia hata siku moja. Hana lolote huyu.
Diwani huyu nae kwakweli hoja zake amezileta vizuri sana. Basi sina Mamlaka lakini ningekuwa nayo basi ningekutaftia sehemu nzuri sana za kuwasilisha kero ili zitatuliwe.Jipigie makofi Mh. Diwani wao
Eshimayoko baba nakuomba uje anauku unguja wilaya ya kusini michamvi tupo wananchiwako tunaambiwa wakuja tunanunu maeneo kihaki tunanyimwa. Kisa niwakuja
Ndug hiyo mpaka iwepo watu wamemponda Allah na mtume wake sembuse yy watu wanakataa kusujudia Allah sembuse binadamu na binadamu wengi neno shukuran ni mtihan kwao kabisa ila uncle magu mm namkubali
Congratulation President Magufuli.Your are very funy.Amakula mahindi mengi.Best president in Africa.Umeleta Heshima kwa watu wa chini.Usalama umeboreka vibaka wamepungua.Hakuna alokuwa above the law.Tumbua Baba ulete heshima.
Mh.Rais unafaa kwa maamuzi kwakweli. Kituo cha Afya hapo hapo. Safi sana. Kazi kwa Mh. Jaffo na Mh. Ummy (Kumradhi kama majina nitakuwa nimeyakosea) Watu wapate huduma.
Huyu mama kangarooo kwa kuongea 😂😂 daaah Magufuli una kazi sana hivi vilio vyote ni njaa 😂 CCM usifikiri hakuna mafisadi ... Mhe.huyo mama anataka pesa tu 😂😂😂
Wanaume wamezidi sanaa hata wanawake mlio olewa na mna vibalua vyenu serikalini munaishi kwa shida Sana majukumu yote mwaachiwa wakati inawezekana wote mnakazi,,,jamani wanawake tupambane tupige kazi heshima kazi si mwanaume Hawa tabiliki kabisa inauma sana ,na hakika baadhi ya wanaume hakuka mwawatesa wazazi wenu mkeo ni Kama mzazi kazaa wanao duuuh
Asante Muheshimiwa raisi kwa kutetea wakulima. Wameteseka sana. Including my mom.
Sisi wanyonge tutakuonbea kila siku mpk mwisho wa maisha yetu.
Natamani ungekuwa raisi wetu wa Kenya ,hongera sana mweshimiwa raisi magufuli
hata Kenyatta ni mzuri mno...
Kwakweli Diwani nimekuufagilia sana,uko bzr mno Hongera sana kijana.
Kwann umesema ivo kaka 🤔
Niwani wa umeongea vtu pwenti
Baba Raisi watu Mungu azidi kukupingania pia Diwani uko vizuli sana
Asante sana Rais wetu. Ulichomfanyia huyu mama Mungu akubariki sana
Gonga like kama unaamini hiki kiumbe hakijawai tokea Tz baada ya baba WA Taifa Nyerere...
✋
@@nusurakajubu8785 ooò
🙌🙌
Kwakweli hakijawahi kutokea proud to hv a president like Magufuli 👏👏😍
Mungu akubariki Kamanda wetu kweli huyu ni rais wa wanyonge kwa mengi uliyofanya MUNGU AKUBARIKI SANA BABA
Nakupenda sana Rais wangu. Wee ni gentleman!!
Tuache chuki kwel rais anajitaidi hata kama anadoa ila anajitaidi.ninani anapoteza mda kusikiliza watu ingekuwa mwingine angeka ikulu kula ic tu
Watu unafikiri wana chuki basi sio hivyo bali wana ubinafsi, ukabila na uroho wa madaraka. Anayoyafanya Mgufuli mwenye akili timamu asiye na uroho wa madaraka hawezi kupinga. Hawamtaki kwa kuwa kawazibia riski ili watu wanufaike wote. Watu wana ubinafsi.
riziki yona kabisa ndugu yangu watu tuache chuki hakika huyu mzee ni waaina yake
Aje na Kigoma jamani tunaonewa sana.
riziki yona ,Hakuna mkamilifu chini ya jua hakuna.
Aruhusu watu wengine wafanye siasa mtamuona hana lolote. Anajua watu wa upinzania wana akili kuliko yeye. Magufuli huwezi mfananisha na Mbatia hata siku moja. Hana lolote huyu.
Ama kweli kiswahili ni lugha yawastaarabu. Tanzania kiongozi munae nazipenda hekima zake kweli kweli.
Diwani huyu nae kwakweli hoja zake amezileta vizuri sana. Basi sina Mamlaka lakini ningekuwa nayo basi ningekutaftia sehemu nzuri sana za kuwasilisha kero ili zitatuliwe.Jipigie makofi Mh. Diwani wao
Sanaaaaaaaaa
Hongeraunaweza
safi Faraji
hongera sana kwa ulicho kifanya na mungu azidi kukupa maisha malef magufuli raisi Wawa nyonge
Uyu rais ana akili kweli mashallah
Magufuli babalao
Eshimayoko baba nakuomba uje anauku unguja wilaya ya kusini michamvi tupo wananchiwako tunaambiwa wakuja tunanunu maeneo kihaki tunanyimwa. Kisa niwakuja
Pamoja sana baba wawanyonge
True
Mashallah rahisi magufuli wish ungekua w kenya yani wananchi walio free n rahisi.Allah akuzidishie roho hio n akujaalie maisha marefu
Nami natamani angekuwa wetu hapa Kenya
Kenya balaa ukijitia kiherehere kutaka kumfikia raisi wapigwa risasi ukufilie mbali😆😆😆😆
@@bintysaid7177 bwanah juzi tuu jama aliumizwa jicho na sehemu za siri kisa masikini amendika picha za Rais kama zawadi, 🙆♀️🙆♀️Kenya yetu buree sana
@@mamymdogomamy3670 ndio apo kwetu raisi ni wa wakubwa tu
Diwani uko vizuriii...Next DC huyooo ameongea kwa kujiamin namuona mbaliiii
Kijana jasiri huyu viongosi shupavu hawa
@@paulkemei6626 sanaa amejua kuwasemea wananchi wake vizuri bila kutetemaaa huo ndo uongozi
@@neemathomas3163 Kabisaa,mbaka natamani kuja kule but very far from Kenya to tz
Nime mis maneno yako Kama nakuona vile
Hujambo
Mungu akulinde Mh Magufuli na akupe afya na nguvu uzidi kusaidia wanyonge
hakika ni Raisi wa pekee kwenye historia ya viongozi wa taifa letu, hongera sana mh Dr JPM
Jmn kweli nimemkubali magufuli hongera San rais wetu wa jamhuri wa muungano wa tanzania kuanzia Leo mm in ccm no chadema
Mungu akulinde sana raisi
Mungu akulinde sana raisi
Mungu akubariki sana Dady endelea kuongoza uko vzr sana
Mh.Diwani inaonyesha yuko vzr
Mwenyezi Ali hifadhi. Rais ma ajabu, mtajua badai. Uyu ni baraka kwenu.
Nakupenda sana rais Wang ,
Raisi huyu hajawah tokea hii ni mara ya mwanzo bhn dah raha sana huyu akae miaka 15 ya urais jmn mashallah ,,.😅😅nampenda sn anaongea point ..
Hata 50 akiweza atawale tu
Well done magufuli mungu akuzidishie
Huku Zanzibar mchanga umezuiwa tangu mwaka jana!!! Wananchi hawana pa kusemea utafikiri zanzibar hakuna uongozi!! Smh 🤦♂️
Afanye aje maguuuu
zanzibar sikuna kiongoz pia kwanini asisimame imara kutetea wanamchi
wewe raisi wewe raisi wewe jamani hakika mungu atakusaidia maisha marefu sana
Amakweli Magufuli ni Amirijeshi anayehitajika kulinusuru Taifa la Tanzania na Afrika kwa ujumla Mungu amuongoze vyema Amin.
J.P Magufuli nakupigia salute
Nampenda sn huyu baba wa taifa❤️❤️❤️Allah akusimamie inshallah
Hongera rais Wa Tanzania upo vzr
Najiskia vizur kuwa narais maguful
Safiiiiiiiii
Halafu kuna wasenge wanamponda raisi wetu Magufuli. Hebu tuachen na kiongoz wetu
mussa mussa waambie
Tumia lugha nzuri kaka
Kabisaa mussa
Atabaki kua jembe Rais wetu!
Ndug hiyo mpaka iwepo watu wamemponda Allah na mtume wake sembuse yy watu wanakataa kusujudia Allah sembuse binadamu na binadamu wengi neno shukuran ni mtihan kwao kabisa ila uncle magu mm namkubali
Magu raisi wa kusema na kutenda nakupenda bure magu
Yahani kula yangu niliyompigia raisi magufuri haikwenda bure
Mungu ambariki sana Rais wetu
Uhuru should learn from Magufuli
Uhuru has nothing to offer....
mungu akuzidishie rais wa wanyonge unamoyo wa pekee sana
nakupongeza Rais
hata nyerere hakufanya haya japo alitukomboa kwa wakoloni
Kweli nakuunga mkono,
Hapana nyerere ametuwekea misingi imara kwa Kila kabira liweze kutawala
Kama umesikia kaweke ndan ukagaregare na mshikaji wako nipe like
DIWANI YUKO VIZURI KWELIKWELI.UKO VIZURI
Huku kenya twamuitaji rais kama jpm
My president 💪
...oya kwa rais huyu lazma tutoboeeee gonga like mtu asikupangie bei kwan alikusaidia kulimaaaaa.....
Jembe la Watanzania JPM mtambo Mkubwa
Masunga Kibinza babaaaaaa
Congratulation President Magufuli.Your are very funy.Amakula mahindi mengi.Best president in Africa.Umeleta Heshima kwa watu wa chini.Usalama umeboreka vibaka wamepungua.Hakuna alokuwa above the law.Tumbua Baba ulete heshima.
MUNGU akubariki sana baba.
yaan mm namkubali rais had machozi yananitok uish miaka mia
😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂Mil.1 daaah kazi nzuri Magufuli
Mh.Rais unafaa kwa maamuzi kwakweli. Kituo cha Afya hapo hapo. Safi sana. Kazi kwa Mh. Jaffo na Mh. Ummy (Kumradhi kama majina nitakuwa nimeyakosea) Watu wapate huduma.
Nani kasikia we n diwani wa chama gani gonga like
Rais nakupenda sana
Allah akbaru ongerasan kwakauliyak nzuri muheshimiwa wakupigiwa magoti nimungu kbs 🇧🇮
Rais uko vizuri
Huyu mama kangarooo kwa kuongea 😂😂 daaah Magufuli una kazi sana hivi vilio vyote ni njaa 😂 CCM usifikiri hakuna mafisadi ... Mhe.huyo mama anataka pesa tu 😂😂😂
Nimekusoma
Lia na wewe upewe pesa kama rahisi kihivyo.
Duuuh nimefurah sana, nimesoma hapo sekondari.
Wanaume wamezidi sanaa hata wanawake mlio olewa na mna vibalua vyenu serikalini munaishi kwa shida Sana majukumu yote mwaachiwa wakati inawezekana wote mnakazi,,,jamani wanawake tupambane tupige kazi heshima kazi si mwanaume Hawa tabiliki kabisa inauma sana ,na hakika baadhi ya wanaume hakuka mwawatesa wazazi wenu mkeo ni Kama mzazi kazaa wanao duuuh
Lucia Alfred IP mag noma
Umejuaje?
😭😭😭😭😭iyi inanitowa machozi iwish drc congo tuwe Na raisi Kama uyu mzee Tanzania Mungu anawapendeleye Sana
😭😭😭😢😢, huruma kweli Congo
duh poln
Poleni sana
Poleni sana
Huyu magufuli ako na roho nzuri sana...
Maagufuri oyeeee nakupenda mpaka naumwa mungu akulinde
Gonga like kama umeona gwanda kwa mwamba wa Tz na Africa🙌🙌🙌
Mhemisha tunakukaribisha wilayani Kwimba, Malya tunakusubiri, Ubarikiwe Rais.
Mungu akubariki Baba Magufuli🙏🙏
I love you magufuli
Napenda mkuu wetu anavotuamasisha wananch kulima nakufanya kazi kwa bidii,
Tawala baba miaka 30 ijayo tutajilike nasi wanyonge
Kidumu chama tawala
Winfrida Sawaya kidumu ccm oyeeed
@@beatricenicholausiwasa7601 hoyeeeeeeee
Unamaanisha chama twawala au 😆
magufuri safii
@@albertjames6845 ndio
Huyu diwan jmn anaakili
Some time pain is humfull
Baba hakuna rais kama ww tena ww wala hakuna aja ya kugombea tena urais 2020 upite tu pia kama ningekuwa na uwezo usizeeke wala usiachie mdalaka
Diwani Dumila yupo! Msikosee awe hiyo huyo anafaa Sanaa
Anajua kujieleza vzr
Mkuu na sisi tuna shida tupe huo mshiko japo laki tano tu
Nanukuu:''Kachimbeni mkaweke ndani mgalegale na mshikaji wako''hahahaha Raisi tumepata jamani.
Hahaha kwa kweli
Meshack Minaji Magufu babalao
Amiri jeshi MKUU tumekuelewaa
Magufuli Rahis waukweli sn Ongoza nchi hii miaka 10000
Siyo rahis sema rais
Am in 🇰🇪 but Magufuli is my President. Namtambua Sana.
Hongera sana mwenye nchi
Genius, Raisi wa wanyonge
Rais wanguu
Ww kweli rais wa wanyonge sna
If only we hed 5 presidents like JPM in Africa,.....
Mungu bariki magufuli
Ama kweli raisi tunae MUNGU akubarikisana
Where are you Susan?
@@paschalmajaliwa1910 am a Kenyan
Oooh OK so nice well come Tanzania
Diwani unastahki kuwa ulivyo. Unawaelewa vzr wananch najografia yao.
Wachaga Ndo zao wanajua kuigiza
Ha ha ha ha. ET unalia vzr.
Huyo diwani yuko vizuri Na tumpongeze Sana magu lazim tutoboe hakuna kukupangia bei
Rais wetu Mungu akubariki, wewe sio raisi wa ikulu wewe ni mtu wa ajabu sijapata kuona
Walaykum salam warahmatullah wabarakatuh
Pongezi kwahuyo diwani asee daa nihatare huyo diwani nibalaa muheshimiwa muongeze cheo huyo anajielewa kuliko hata mbunge
D-1 uko vzr sn !!!!! Keem it up bro.
Hhjebebwqh I'm jeje1 ml
magufuli,, MUNGU Akubariki Sana Kwa Ujumbe Mzuri Wa Mwisho Kwa Mama,,,,,,,
Diwan hnger sn yn mpk rais maguful amekupngez hngeraaa
Magufuli ni Rais wa watanzania na Africa. Asiemtakia mema mchawi mkubwa.
Tutatoa wapy rais kama huyu
amiri jeshi mkuu
Mungu akubariki maghufuli
Your blessed my president!
Ongera kwakunenepa kwakutumia mahindi kila siku kitambi kimemtambulisha jamani 🤣🤣
Huyu ni Rais wa dunia,,
Mheshimiwa rais, mungu akulinde
Huyo kijana anafaa kuwa mbunge hapo
Diwani Yuko vzr
Rais wote wangekuwa Dr John POMBE MAGUFULI kweli kweli tungepumzika hata kidogo