KUMBUKUMBU YA MZEE MKAPA ALIVYOAPISHWA KUWA RAIS MWAKA 2000

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ค. 2020

ความคิดเห็น • 47

  • @jamesmussa2602
    @jamesmussa2602 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ndiye aliyekuwa Mh.Benjamin W.Mkapa also known as Ben wa CCM.
    Mwenyezi Mungu umpe Pumziko la amani popote pale katika maisha yake mapya pamoja na ndugu zetu wengine.
    Amen

  • @JumaMtonga
    @JumaMtonga 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe toka zamani ccm walikuwa wanafanya siasa safikabisa mungu azidi kukidumisha chama cha ccm

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 ปีที่แล้ว +3

    Mungu wangu wa kweli na haki naomba uwapumzishi mahali pema peponi amina.

  • @brownmwakipesile7357
    @brownmwakipesile7357 2 ปีที่แล้ว +6

    Shujaa, mahili, kiongozi Benjamin William Mkapa nitakukumbuka daima, upumzike kwa amani, Raha ya milele uumpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani amen🤲🙏.

  • @Kenyan_Duke
    @Kenyan_Duke 5 หลายเดือนก่อน

    Daah!!Hata Rais wangu wa Kenya mwendazake Moi alihudhuria

  • @suleimanikirassahassan9711
    @suleimanikirassahassan9711 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbukumbu nzuri safi sana Tbc

  • @donaphertv7229
    @donaphertv7229 2 หลายเดือนก่อน

    Grandpa ❤❤❤ rst easy

  • @jamesk2212
    @jamesk2212 5 หลายเดือนก่อน

    Namuona Mzee wetu Kenya Daniel moi

  • @erickimathi6931
    @erickimathi6931 5 หลายเดือนก่อน +2

    R.i.p Benjamin William mkapa

  • @saadibraahim8561
    @saadibraahim8561 ปีที่แล้ว +6

    Namuona mzee moi wote wapo wamekufa dunia ni mapito tufanye mema

    • @Kenyan_Duke
      @Kenyan_Duke 5 หลายเดือนก่อน

      ila Mseveni ndo bado

  • @ernestmpembela2885
    @ernestmpembela2885 ปีที่แล้ว +2

    Tuwaenzi kwa Mema yao namkumbuka alipambana na mfumko wa bei kwanza miaka kumi mfumko haukutisha

  • @berachahvalleys
    @berachahvalleys ปีที่แล้ว +3

    Kumbe records mnazo.
    Haya tuwekeeni siku Mwl Nyerere anakabidhi Madaraka kwa Mzee Mwinyi

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 5 หลายเดือนก่อน

      Unaulizwa usenge

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 ปีที่แล้ว +1

    Benjamin William Mkapa(Beni),dah!😭

  • @adamzuberi940
    @adamzuberi940 ปีที่แล้ว +2

    R i p mkapa kwa kutuvusha pare rufiji dah

  • @cletusmwanauta9798
    @cletusmwanauta9798 หลายเดือนก่อน

    Kumbukumbu nzuri

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 ปีที่แล้ว +1

    Mzee MKAPA ni Nembo kubwa ya Nchi yetu.
    Ameacha alama, Sijui wengine wataacha alama zipi.

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj 5 หลายเดือนก่อน +1

    Rest in peace

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 2 ปีที่แล้ว +2

    See you on the next life Ben!!

  • @minaside6717
    @minaside6717 4 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa aman mh Mkapa

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @charlesbulayi4095
    @charlesbulayi4095 ปีที่แล้ว

    MKAPA alikuwa kiongozi shupavu sana

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 ปีที่แล้ว +1

    Mercedes Benz ☺☺

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 11 หลายเดือนก่อน

    Endelea kupumzika kwa amani Hayati Benjamini mkapa

  • @johnmathenge3406
    @johnmathenge3406 2 ปีที่แล้ว +2

    Pumzika mzee wa Afrika BWM.

  • @mussadaudi6215
    @mussadaudi6215 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hii nch walah nitawaenz marais watatu tu,,jk Nyerere,,mkapa na jp-maghufur ,,

    • @hmmarjabi4283
      @hmmarjabi4283 8 หลายเดือนก่อน +2

      Kwa sababu ni makafiri wenzako

  • @severinpascal6514
    @severinpascal6514 ปีที่แล้ว

    😥😥😢

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli5297 2 ปีที่แล้ว

    R i p benja

  • @abdulshaferi3053
    @abdulshaferi3053 ปีที่แล้ว

    Kifo hakina huruma

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 5 หลายเดือนก่อน +1

    Museven lipo tu mpaka leo na halina aibu😂😂😂

  • @leonidaspaulo1526
    @leonidaspaulo1526 5 หลายเดือนก่อน

    Mwanga WA milele umpe ewe bwana apumzike Kwa amani

  • @mudiomari3007
    @mudiomari3007 ปีที่แล้ว

    Ah tumetoka mbali

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 ปีที่แล้ว

    Napenda sana adabu ya jeshi. Pumzika kwa amani Rais Ben Mkapa.

    • @brytonmnyama6562
      @brytonmnyama6562 ปีที่แล้ว

      Apumzike nyinyi kwel mikundu uyo sasa yupo motoni muwaji mkubwa uyo

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 ปีที่แล้ว +1

      @@brytonmnyama6562 Pole sana ndugu. Naona una hasira. Huenda ulipata matatizo wakati wa uongozi wake. Pole sana.

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@brytonmnyama6562 alikufira nn

  • @davidocholla8520
    @davidocholla8520 5 หลายเดือนก่อน

    ❤😂😢😅😊🎉😮😂😊😂😂😊

  • @user-oy5st7sf1i
    @user-oy5st7sf1i 26 วันที่ผ่านมา

    Tumepoteza jembe

  • @bahatiisaimbega1149
    @bahatiisaimbega1149 ปีที่แล้ว +1

    wewe kakuwambia nan kuwa kapswa mwaka2000 usiwe unatuma tuma

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale ปีที่แล้ว +1

      Unayumba wewe. Term yake ya pili ilikuwa 2000. Unabisha nini?

    • @double8boy802
      @double8boy802 ปีที่แล้ว

      mhula wa pili n kweli

    • @burhanimahmoud8985
      @burhanimahmoud8985 5 หลายเดือนก่อน

      This man is mwehu wallah sass term yake ya pili ni lini😂😂😂😂😂