TUNDU LISSU ALIPUKA, KUGOMBEA URAIS, MIGOGORO NDANI YA CHADEMA, KUHUSU MICHANGO YA GARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

ความคิดเห็น • 274

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 25 วันที่ผ่านมา +224

    Kama unaunga mkono lisu agombee urais like

    • @HassanIdrisa-uo6qc
      @HassanIdrisa-uo6qc 25 วันที่ผ่านมา +6

      Mm napenda audi tena bungeni

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 25 วันที่ผ่านมา +3

      Lissu ni kiboko yaoo

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 25 วันที่ผ่านมา +4

      ​@@HassanIdrisa-uo6qcakafanye nini labdaa sisi tunataka awe Rais wetu

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 25 วันที่ผ่านมา

      LISU ANATAKIWA KUMTUMIKIA MUNGU AU YESU KWA MWONGOZO WA ROHO MTAKATIFU.

    • @swedywamba5535
      @swedywamba5535 25 วันที่ผ่านมา +4

      Hana sifa ya kuwa rais

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu 25 วันที่ผ่านมา +73

    Hiiii ni zawad tundu tunakupenda sanaaaa

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 25 วันที่ผ่านมา +3

      Usimpende mwana siasa kabla hajashika madaraka. Utashangaa akishika madaraka. Utakua kama wapinzani wote ambao wameshika madaraka Africa, hakuna chochote ambacho wamefaidi nchi za kwao

    • @ibrahshifta1595
      @ibrahshifta1595 25 วันที่ผ่านมา

      Acha mawazo mgando ndugu ,ww ndio kundi linaloamini bila CCM hakuna watu wengine wanaoweza kuongoza kutoka vyama VINGINE, huo ni mgando wa mawazo ,tubadilike ndugu ndo maana tunazidi kuburuzwa na maisha yanazidi kua magumu ​@@barrynzeyimana6270

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 25 วันที่ผ่านมา +1

      Bwana Kikeke unamuuliza Bwana Lisu swali, akijibu unamwambia "hizo ni hisia zake"! Sasa ukitaka anibu kwa "hisia" za nani? Au unamuuliza "leading questions" aingie mtegoni upate jibu ulililokusudia? Jitahidi kuwa "impartial"!

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 25 วันที่ผ่านมา +14

    Aksante sana Mheshimiwa Lisu . Hiyo ndiyo siasa unayoifanya.
    MwenyeziMungu akuzidishie kila la heri.
    uhasama hauna nafasi katika nchi yako ya Tanzania.

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 25 วันที่ผ่านมา +26

    Ahsante sana mheshimiwa Lisu, japo unahojiwa kama kukemea pepo lakini uko vizuri. Mungu akubariki sana, mheshiwa Tundu Lisu..❤️❤️❤️✌️🙏

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 25 วันที่ผ่านมา +28

    Walahi WATANZANIA mnaachilia madini ,tundu lisu ni dhahabu na ni msomi muelewa, na ni kiongozi.

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 25 วันที่ผ่านมา

      Unamtaka aje awe kiongoz ktk taifa lenu

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 22 วันที่ผ่านมา

      Ni madini kwa wenya afya mbaya ya akili

  • @IvanRaphael-hh6zz
    @IvanRaphael-hh6zz 25 วันที่ผ่านมา +28

    Kiuongozi ❤ uko vizuri baba

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 25 วันที่ผ่านมา +55

    Lisu akili kubwa sana

    • @WillisonMkumbo
      @WillisonMkumbo 25 วันที่ผ่านมา

      Lissu anaa ability nzito sana,hafai kuwa rais

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 25 วันที่ผ่านมา +21

    Kikeke muachie mh Lissu nafasi ya kuongea usikatishe mazungumzo yake

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 25 วันที่ผ่านมา

      Anaona anakwepa mitego yake

    • @stewartdyamvunye-wz6rn
      @stewartdyamvunye-wz6rn 25 วันที่ผ่านมา +1

      Ni sawa kabisa usemalo Ramadhan. Kikeke hajatulia. Na kuhusu mchango wa CCM kwa Lissu. Mdogo wangu na cmde Lissu, usemalo kuchangiwa na yeyote ni sawa. Tatizo letu ni: Mosi. Mchango umetoka muda gani (nakupiga makofi Mbeya halafu sasa chukua hela). Huoni kama hili lina ukakasi? Pili. Mchango unatoka kwa mtu mwenye akili gani. Watu kada ya aina ya Peter Msigwa, Enos Makala nahisi wakikuchangia waweza baadae wakakusimangia mchango huo. Je ikiwa hivyo huoni kama itakuwa aibu? Kumbuka wale wengine wa CCM waliokusadia na kukufariji wakati wa shida ni watu waungwana wanaojitambua. Lakini hii kada nyingine ya akina Peter Msigwa uwe macho sana nayo! Bado msimamo wangu, nakushauri usipokee mchango huo toka kwa wasiojitambua!

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i 25 วันที่ผ่านมา +22

    Tundu Lisu ndio Rais ajaye Mungu atupe wasomi ndio waiongoze Tanzania
    wanapatikana chadema haya makijani yashashiba vya kutosha

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 25 วันที่ผ่านมา +1

      Yaani natamani nione lissu akiwa Raisi ningari hai

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@faustinebahenobi3412Amen

  • @Nunshumutwafa
    @Nunshumutwafa 25 วันที่ผ่านมา +9

    Mimi ni mwana CCM ila tundu lisu nikiongozi kweli kweli na zidi wakina mboe 100 lisu uko vizur sana BROTHER.

  • @nautharimakuka
    @nautharimakuka 25 วันที่ผ่านมา +10

    Crown mko vizuri sana

  • @SaitotiLukumar
    @SaitotiLukumar 25 วันที่ผ่านมา +17

    Alisu.kachukue.fomu.unapita.kwakishindo

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 25 วันที่ผ่านมา +9

    Crown tunakua kwa kazi hongera king kiba

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 25 วันที่ผ่านมา +9

    Naam, namwomba Mungu apite kwa KISHINDO KWELI, KAULI YAKO IWE AMINA!!!

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x 25 วันที่ผ่านมา +8

    Tundulisu mwaka ujao Hauna mpinzani maana safari hii WATANGANYIKA hawakosei.

  • @JamalyzoMilanzi-h2d
    @JamalyzoMilanzi-h2d 25 วันที่ผ่านมา +4

    Uyu Mzee tundu Lissu mungu amlindetu maaan duh

  • @FrenkMushi-i7f
    @FrenkMushi-i7f 25 วันที่ผ่านมา +18

    Onaoji Kwa kumbanaa Sanaa Yani utaki ccm ukosolewee tufauty na ulivyo kuwa na BBC

    • @user-lm3lt7xx6l
      @user-lm3lt7xx6l 25 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna muandishi hata mmoja tz ambae anaweza kumbana kiongozi wa upinzan mwenye kutaka haki

    • @gabrielolotu6857
      @gabrielolotu6857 25 วันที่ผ่านมา +3

      Hapana kikeke hayupo upande wowote ukitaka kujua ukwel angalia interview alivyofanya na msigwa ...kosoa ukiwa na data kaml

    • @mohamedhamad2374
      @mohamedhamad2374 25 วันที่ผ่านมา +3

      Kikeke ni khabar nyingine anafanya kazi yake vzuri hana upande angalia mahojiano yake na samia.

    • @user-qh2bx5em6j
      @user-qh2bx5em6j 25 วันที่ผ่านมา

      @@gabrielolotu6857🙌🙌🙌

    • @DennisFandi
      @DennisFandi 25 วันที่ผ่านมา

      Nenda kamohoji ww tukuone

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 25 วันที่ผ่านมา +9

    Let's Pray for our Country.✌️

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 25 วันที่ผ่านมา +4

    mungu akusimamie uwe rais

  • @officialyasum5390
    @officialyasum5390 25 วันที่ผ่านมา +5

    beautiful interview, salim inabid ujiamin unapohoji usioneshe kam upo upande flani na unahofia kuwakwaza, fany kaz yako

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 24 วันที่ผ่านมา

      Alivyokuwa BBC anzi za Magufuli alikuwa anahoji akiwa against Magufuli Leo Yuko bongo ..

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 24 วันที่ผ่านมา

      Hujamsikia akiwa BBC enzi za Magufuli

  • @erickmkwera2784
    @erickmkwera2784 25 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu ndiyo angekuwa mwenyekiti wa chama cha maendeleo na demokrasia Taifa chadema

  • @GivenMabena-ls7dq
    @GivenMabena-ls7dq 25 วันที่ผ่านมา +2

    Pumzika kikeke unauwogasana❤

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 25 วันที่ผ่านมา +4

    lissu twakupenda sana kwakweli

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk 25 วันที่ผ่านมา +6

    Ukiwa unaenda kumuhoji lissu jipange na Kama huna maswali ya mhimu na kueleweka usihangaike.

    • @Juma-e8l
      @Juma-e8l 25 วันที่ผ่านมา

      Uhakika anahoj kwa fact lakin kikeke analazimisha kudominate mjadala

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisaaa

  • @user-nd4tq6nd8s
    @user-nd4tq6nd8s 10 วันที่ผ่านมา

    One army, one struggle and one state!!! Together

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akupe maisha Malefu kaka Na mzalendo Lisu

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py 25 วันที่ผ่านมา +3

    big brain lisu

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 25 วันที่ผ่านมา +7

    Maswali gani haya? Kwa mtu Mwenye exposure kama Kikeke???!!!!. How on earthy Katiba ya Chama KIMOJA itumike kwa vyama vingi?????? Inahitaji PhD hiyo??????

  • @meiruzibwe9145
    @meiruzibwe9145 25 วันที่ผ่านมา +6

    Tundu Lissu ana sifa zote za Urais.
    Tundu Lissu siyo mnafiki na hana uchawa.
    Tundu Lissu ni mzalendo 100%.

    • @WillisonMkumbo
      @WillisonMkumbo 25 วันที่ผ่านมา

      Wewe huyu jamaa hana sifa ya kuwa kiongozi

    • @WillisonMkumbo
      @WillisonMkumbo 25 วันที่ผ่านมา

      Hata ubaLozi hana loote

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 23 วันที่ผ่านมา

      Humjui vizuri

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@mohamedhaji2200 wewe ndo unamjua vizuri

  • @titojeremiah1441
    @titojeremiah1441 25 วันที่ผ่านมา +6

    Kikeke nikama anakwepa hoja juu ya mamlaka
    Kam umeliona hilo nipe like😂

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven 25 วันที่ผ่านมา +1

      Kikeke ana kera sana

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 25 วันที่ผ่านมา

      Kikeke anajpendekeza kea serikal anataka apate uteuzi

  • @Manikacha
    @Manikacha 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mtu makini sana.

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 25 วันที่ผ่านมา +1

    Crown media hapa ni nyumban

  • @ericklyatuu1098
    @ericklyatuu1098 12 วันที่ผ่านมา

    Very Nice Interview Indeed

  • @MONEY_CHANNEL.
    @MONEY_CHANNEL. 24 วันที่ผ่านมา +1

    Majibu ya Kisiasa hayo.
    Hela imeingia Hujapata Text Tena Mheshimiwa Msomi.
    Hapana mpaka uende Bank kuangalia

  • @yusuphkayuni8188
    @yusuphkayuni8188 25 วันที่ผ่านมา +2

    Boss ana msimamo mkali sana akati tamaa

  • @EdesAron
    @EdesAron 25 วันที่ผ่านมา +4

    Ninapo kusikiliza sijawahi kujutia mwamba Lissu

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 25 วันที่ผ่านมา +5

    Vilevile kikeke uelewe lisu ni mtu msomi tofauli nawewe kikeke elimu yako ndogo huwezi Jilinganisha na lisu hivyo nterviwe na lisu inaangaliwa na watu wengi duniani hivyo watu wanakufuatilia natunaona umesha Anza kuyumba vitu ambavyo kikeke jiepushe navyo nikama vifuatavyo udini uchawa chuki hila, unafiki

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 22 วันที่ผ่านมา

    Jipange kumuhoji mtu mwenye akiri kubwa.Safi sana lisu.

  • @protusmushi7162
    @protusmushi7162 25 วันที่ผ่านมา +12

    Nimekosea ku like.
    Mana ulichoandika ni tofauti na unachohoji.

  • @pdwanakaza2411
    @pdwanakaza2411 25 วันที่ผ่านมา +8

    Crown kutuleteaa huyu mtu

  • @stephenaron1251
    @stephenaron1251 25 วันที่ผ่านมา +3

    big mind mh tundu lissu

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mheshimiwa kwahili mm ccm lakin kula yanguu umepata huna ubaya na yeyote

  • @SetephaJery
    @SetephaJery 25 วันที่ผ่านมา +3

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿lissu his my blood president forever🫵💪💪🙏

  • @HamisiSamweli
    @HamisiSamweli 25 วันที่ผ่านมา +7

    2027 kura yangu chukua

    • @farijala1
      @farijala1 25 วันที่ผ่านมา

      Uchaguzi upi wa Kenya au Tanzania?

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 25 วันที่ผ่านมา +3

    Lissu president

  • @johnboscomasumbuko1073
    @johnboscomasumbuko1073 25 วันที่ผ่านมา +1

    Khari ni mbaya sana kwasasa

  • @Chekibobu
    @Chekibobu 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tundu ni Genius

  • @amidulyuma1833
    @amidulyuma1833 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kamanda Lissu

  • @Nunshumutwafa
    @Nunshumutwafa 25 วันที่ผ่านมา +9

    Kama una jua lisu moja ni akina mboe 100 nipe Like zangu hapa.

  • @ericsway3093
    @ericsway3093 25 วันที่ผ่านมา +1

    King salim kwenye moja na mbili , legend na journalist wangu bora toka nimeaanza kumsikiliza na kumuona kwenye runinga🎉

  • @AmosNhandi
    @AmosNhandi 25 วันที่ผ่านมา +3

    Kikeke mpe nafasi ya kuongea unamaliza Radha bana

  • @Mosmwampa
    @Mosmwampa 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kuhusu pesa zilizochangwa na ccm hazina shida hizo chukua tu rais wangu

  • @johngerrald4453
    @johngerrald4453 25 วันที่ผ่านมา +3

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania -Tundu 🐜 pus Lissu

  • @abrahamuisrael6161
    @abrahamuisrael6161 25 วันที่ผ่านมา +1

    uzuri na ubaya wake kura hazipigwi mtandaoni,,,subiri NOVEMBER 2025 Uone CHADEMA watakavokuwa wadogo km paka

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 24 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa Rais wa Tanzania....Tundu Lisu..hata kama C.C.M wataiba kura kama ilivyo kawaida yao. Ana hadhi...ya kuiongoza si Tanzania tu peke yake..
    Asanteni sana!

  • @thomasmwaipaja5158
    @thomasmwaipaja5158 24 วันที่ผ่านมา

    Kikeke umepooza sana kaa kwenye nafasi yako au unaogopa serika

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 24 วันที่ผ่านมา

      Lazima aogope kwani hajui wasiojulikana wapo

  • @Hyun626
    @Hyun626 23 วันที่ผ่านมา

    It's so sad, the "journalists" who interview Tundu Lissu don't even listen to his answers; all their attention is directed by the nature of their question to please the government in place. they cut off and jump to the next trick question. Everything is done to show that I am fighting the opposition, shame on you! too sad, bravo for your patience Mr. Lissu

  • @SeaBreeze-k5p
    @SeaBreeze-k5p 9 วันที่ผ่านมา

    CCM hawatatoka kwa amani, ever!!!

  • @mankautv9993
    @mankautv9993 25 วันที่ผ่านมา

    Chadema inaendeshwa kijanjajanja sana, namna hii inatia mashaka kuaminiwa kukabidhiwa Nchi, heri ya nusu shari kuliko Shari kamili

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 25 วันที่ผ่านมา +1

    Alichosema Mrema siyo kupokea watia nia bali alizungumzia kama tayari chama kimepitisha mgombea naye akasema kuna kufuata katiba na chama kikipokea kitayapitia kwa mujibu wa katiba hiyo

  • @petromahona6809
    @petromahona6809 23 วันที่ผ่านมา

    Haiwezekani mtu anaongea bila kuoneshwa, kwa walemavu wa masikio mnatunyima haki yetu😮

  • @saidi.m.korongo9855
    @saidi.m.korongo9855 25 วันที่ผ่านมา

    Hivi Kuna crown TV kweli?

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 22 วันที่ผ่านมา

    Lissu kiboko rais 2025

  • @AngelJoseph-charllo
    @AngelJoseph-charllo 20 วันที่ผ่านมา

    I'm looking for extended interview

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 23 วันที่ผ่านมา

    Mm sina chama ila ili jembe Nashukuru kuzaliwa Tanzania ningetaman viongozi waache uchama watengeneze nchi kwa pamoja japo kikeke unamuhoji kama Afande bhana unampa maswali magumu

  • @lordymawoiya5818
    @lordymawoiya5818 25 วันที่ผ่านมา

    Tundu na Mzingwu kuna kitu wanapika

  • @AdilOmary
    @AdilOmary 25 วันที่ผ่านมา

    🌍🌍🌍🌍🌍🌍

  • @emmanuelshimbi4494
    @emmanuelshimbi4494 25 วันที่ผ่านมา

    ✌️✌️✌️✌️

  • @yudakavugushi
    @yudakavugushi 12 วันที่ผ่านมา

    Kwani Lowasa alipatikana muda gani. Mbona hata mwezi haukupita?

  • @Charlesmajani
    @Charlesmajani 25 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤

  • @thadeipeter2592
    @thadeipeter2592 23 วันที่ผ่านมา

    😂😂 nimefurah milion 5 za CCM

  • @SalmaLigeni
    @SalmaLigeni 25 วันที่ผ่านมา

    Mpovizuli sana

  • @Ba63828
    @Ba63828 25 วันที่ผ่านมา

    Vibaraka hao

  • @JERRYMWAKABONA
    @JERRYMWAKABONA 24 วันที่ผ่านมา

    CHAMA YUPI BRO😂

  • @nickchengula9983
    @nickchengula9983 25 วันที่ผ่านมา

    • @humphreychristopher8577
      @humphreychristopher8577 25 วันที่ผ่านมา

      Kwa mara ya kwanza nayasikia maswali ya ovyo ya Kikeke akilazimisha majibu

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tatizo usikute hapa hamna mpiga kuraa

  • @richardgeorge5377
    @richardgeorge5377 25 วันที่ผ่านมา

    Hawa wanaiga sana mambo ya Kenya niwahuni tu

    • @user-eg1pk1sw4j
      @user-eg1pk1sw4j 25 วันที่ผ่านมา

      Take care!!

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 25 วันที่ผ่านมา

      Mhuni ni mamako na Kuma lake

  • @Juma-e8l
    @Juma-e8l 25 วันที่ผ่านมา

    Weŵe unforce kudominate mjadala subil upewe madini ya hoja kikeke huyo ni Lissu origin si copy

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 25 วันที่ผ่านมา

    List akili kubwa sana,Kikeke rudi shuleni,Amejibu vizuri sana kama msomi.

  • @abasiachimika541
    @abasiachimika541 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hakuna kma lisu

  • @VictorMgodomi-xj1ey
    @VictorMgodomi-xj1ey 25 วันที่ผ่านมา

    Kikeke fala sana kama ulikuwa unagopa usingemuita lisu naona umekuwa kama muandishi wa vi chanel vidogo

  • @evaristmshanga
    @evaristmshanga 25 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji elewa mambo,...Wakati unaongea na Mrema unatakiwa utambue kwanza je press hiyo ilikuwa ni ya kawaida au ni ya dharura,...Kwa hiyo kama ilikuwa dharura Msemaji wa Chama ilikuwa ni Haki yake kusema kuwa hajui,...Kwa sababu Ili kujua Hilo lazima mawasiliano yangetakiwa,..Acha kulazimisha mambo,..

  • @ibrahimunyaruhawa2416
    @ibrahimunyaruhawa2416 25 วันที่ผ่านมา

    2025🔥🔥🔥🔥🙏

  • @IsraelLekumok
    @IsraelLekumok 24 วันที่ผ่านมา

    Tuku. Tayari.. anawesa. Lisu

  • @kianda973
    @kianda973 25 วันที่ผ่านมา +3

    Mwandishi uhodari umeishia wapi? Sioni kama ile ya majuu!!??

  • @bilalseleman5867
    @bilalseleman5867 25 วันที่ผ่านมา +1

    Simuelewi kikeke kwa aina ya maswali yake

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 25 วันที่ผ่านมา

      Ukumuekewa mwalimu wako,
      Utamwelewa kikeke😂

  • @Ibrahim-p7b2y
    @Ibrahim-p7b2y 25 วันที่ผ่านมา

    Mwakahuu wa Tanzania tunahitaji mabadiliko lisu jiandae kiti nichako ccm hawana nafasi tena tanganyika

  • @UfundiSaidi-em2fb
    @UfundiSaidi-em2fb 25 วันที่ผ่านมา

    😢😢

  • @alphaexaud5279
    @alphaexaud5279 25 วันที่ผ่านมา +1

    Radio ya mtanga anafanya kazi mtanga! Uliza swali subiri jawabu

  • @deohank5995
    @deohank5995 25 วันที่ผ่านมา

    usomi sometimes ni wendawazimu

  • @obedkiswaga2790
    @obedkiswaga2790 25 วันที่ผ่านมา

    Hivi kweli makamu Mwenyekiti wa chama hajui signatories wa chama

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 24 วันที่ผ่านมา

      Nami natia shaka katika hilo .......

  • @ahnafaykhan698
    @ahnafaykhan698 25 วันที่ผ่านมา

    anavaa shanga mikononi then anahitaji urais

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay 25 วันที่ผ่านมา

      Wapi wamesema ni kosa kuvaa bracelet mkononi? Au hizo ni shanga kwako? Duuh

  • @samwela.kasamalo2113
    @samwela.kasamalo2113 25 วันที่ผ่านมา

    Nadhani saivi baadhi ya vyombo vya habari vimeanza kuwa na counterbalance.

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 25 วันที่ผ่านมา +2

    Kikeke mpe mtu nafasi YA kuongea mbona Kama upo kimkakati?

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 25 วันที่ผ่านมา

      Mi mwenyewe ninamashaka na bwana Kikeke, maswali yamekuwa hayajatulia.

    • @felicianmapunda856
      @felicianmapunda856 25 วันที่ผ่านมา

      Kikeke akikuuliza swali jibu swali uliloulizwa ukianza mizunguko ya kukwepa swali anakukatisha

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 25 วันที่ผ่านมา +2

    Heche yuko wapi?

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 25 วันที่ผ่านมา +2

    kura yangu na familia yangu tutakupa wewe

  • @BarakaMugisha-g2m
    @BarakaMugisha-g2m 25 วันที่ผ่านมา

    Kule huwa wana shinda kwa magoli ya mkono😁

  • @lgf7297
    @lgf7297 25 วันที่ผ่านมา

    Kumbe hakuna kitu ni yale yale ya alinasha anaenda mahakamani kushinda serkali za mitaa

  • @Juma-e8l
    @Juma-e8l 25 วันที่ผ่านมา

    Ukwel mwamba anaifahamu sheria bila unafiki si kuijua futilia hoja zake wakati wa ubunge wake akimpa hoja za facts with relevance vision

  • @JAMILAJAFAR-jk8iu
    @JAMILAJAFAR-jk8iu 25 วันที่ผ่านมา

    Hakuna lolote mpe urais mutajitia.watanzania uliza libia huo ujingaa😂 from Moçambique