Mtoto wa Deo Filikunjombe Aibukia Mkutano wa CHADEMA, Adai Naye ni Mhanga wa Manyanyaso ya Polisi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Mtoto wa aliyewahi kuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe ameibukia kwenye mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na waandishi wa habari na kueleza maswahibu yaliyowakumbuka kufuatia kifo cha baba yao.

ความคิดเห็น • 89

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 21 วันที่ผ่านมา +15

    Hakika umejieleza vizuri sanaaa. Na habari yako inasikitisha kwakweli hadi hapo ulipofikia inauma.

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 20 วันที่ผ่านมา +16

    Mbowe ni mwamba hasa wa kuibua vipaji vya vijana ktk uongozi ndo maana akina Msigwa baada ya kushiba na kuvimbiwa wana mtukana lkn ukwl Mbowe ni bonge la kiongozi

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l 20 วันที่ผ่านมา +13

    Hapa ndo kama mtu mwenye akili timamu utambue kwamba hata wewe unayejiita CCM haupo salama kwa utawala wa kishenzi namna hii.

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 7 วันที่ผ่านมา +3

    CCM Ina wenyewe

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 2 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa si uende mahakamani shekh badala ya kukimbilia chadema. Watakusaidia kweli? Au majungu

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 7 วันที่ผ่านมา +2

    Kama huyo anafanyiwa hivyo sembuse mtu mwingine asie mtoto wa ccm

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 19 วันที่ผ่านมา +5

    HII SIYO CCM ILE YA NYERERE, CCM HII NI YA WATAFUTA MAISHA KWA NJIA YOYOTE ILE YAANI NJIA INAYOKUBALIKA NA MUNGU AU HAKUBALIKI NA MUNGU MRADI WAPATE WANACHO TAKA!!! NI HATARI SANA!!!

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya 20 วันที่ผ่านมา +4

    Pole.sana kijana. Mungu awatetetee mupate haki yenu

  • @EarnestMwangombola
    @EarnestMwangombola 18 วันที่ผ่านมา +4

    Filikunjombe jieleze kwa kiswahili unaeleweka vizuri tu, achana na kuchanganya na kiingereza, unatuchanganya….

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i 21 วันที่ผ่านมา +3

    Dah ccm imefikia pabaya sana hivi mnalingia nini.
    Mnafanya watanzania hawaoni et mnatutishia polisi hivi nanyie polisi ndiyo mliyo jifunza kuumiza laiya wa Tanganyika kweli inauma sana 😭😭😭😭😭

  • @benmushumbusi
    @benmushumbusi 18 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni sana. Hao ni WAATHIRIKA na SIO WAANGA. Washauri viongozi. Mhanga ujitakia, Mhathirika ni Mdhulumiwa.

  • @AhmediKilingamoyo
    @AhmediKilingamoyo 9 วันที่ผ่านมา +2

    Duh Jamani hiiserekali ya ccm mmmh hatari mpakamungu aamuetu

  • @nsubisimwasandende-kl9vy
    @nsubisimwasandende-kl9vy 9 วันที่ผ่านมา +2

    Umeshafeli kabla ya kusikilizwa

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 21 วันที่ผ่านมา +9

    Nmefrah na neno-very unfortunately

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv 21 วันที่ผ่านมา +4

    Pole sana aisee

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 21 วันที่ผ่านมา +4

    Pole sana mno,Filikunjombe hatutamsahau kwa kulipenda taifa lake,aliwapenda wapiga kura wake sana sana.

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 7 วันที่ผ่านมา +1

    Inamaana wakati wa jpm mtu wa wanyonge mlishindwa tena miaka 6 mpaka kuja kulialia wakati huu

  • @siphaholelaholela6956
    @siphaholelaholela6956 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ongea kiswahili tu usichanganye lugha

  • @husnabashiru1660
    @husnabashiru1660 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    I always miss the MAN Deo Filkunjombe😢 R.I.P

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 21 วันที่ผ่านมา +7

    Very unfortunate 4R ni uhuni km uhuni mwingine.

  • @hawahbohero2425
    @hawahbohero2425 19 วันที่ผ่านมา +2

    Kuna jambo linajificha msimamizi wa mirathi anahusiana vipi na serikali mbona hili jambo ni la kifamilia zaidi

  • @RachelMligwa
    @RachelMligwa 15 วันที่ผ่านมา +3

    Jamani hii nchi inaenda wapi?

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo 15 วันที่ผ่านมา +4

    CDM ndiyo chama pekee kilicho beba matumaini ya watanzania

    • @abuukarata9653
      @abuukarata9653 2 วันที่ผ่านมา

      Labda matumaini ya mbowe

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 21 วันที่ผ่านมา +4

    Inatia uchungu sana.

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 21 วันที่ผ่านมา +5

    Nenda mahakamani huyo aliokudhulumuni.kwa nini anafanya hivo

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 15 วันที่ผ่านมา +1

      Inavyoelekea ni wakubwa maana Mkuu wa mkoa kashindwa na kila😊 anapokwenda hasikilizwi

  • @zver7342
    @zver7342 21 วันที่ผ่านมา +8

    Unfortunately...... Unfortunately....... Very Unfortunately.....unfortunately😂😂😂😂

    • @geofreyedwin5062
      @geofreyedwin5062 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @geofreyedwin5062
      @geofreyedwin5062 11 วันที่ผ่านมา

      Dogo shule yake vip huyu!?

    • @Allymwasunga
      @Allymwasunga 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@geofreyedwin5062vip mwamba kajichanganya au maana kapiga kingeri sana wazee wa kukimbia umande hatujaelewa

    • @geofreyedwin5062
      @geofreyedwin5062 10 วันที่ผ่านมา +1

      @@Allymwasunga haujaelewa nn hapo hamna lugha ila anajifanya kujua na anajikuta kurudia neno moja hilo tu!

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 11 วันที่ผ่านมา +1

    Alafu mtu anasema ccm ni baba yake😊😊😊😊

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o 21 วันที่ผ่านมา +3

    Daah pole sana

  • @fauluonlinetv
    @fauluonlinetv 15 วันที่ผ่านมา +2

    DaaH UONEVU MKUBWA SANA

  • @cyrusmichael6906
    @cyrusmichael6906 13 วันที่ผ่านมา +2

    Sorry buana

  • @RizikiMlela
    @RizikiMlela 14 วันที่ผ่านมา +2

    Ndunguyangu hiyondio ccm chama Cha majambazi Tanzania huwezikupatahaki

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i 16 วันที่ผ่านมา +1

    Deo utahangaika sana ktk nchi hii rudi matumbala kakae bureee

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 15 วันที่ผ่านมา +1

    Heeee jamani duuu kazi kweli kweli

  • @lgf7297
    @lgf7297 21 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa ndiyo watoto wa Simiyu wanaopotes halafu wanalaumu Polisi kutowatafuta.

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 20 วันที่ผ่านมา +1

    Jembe gani !!.Walimteuwa mtu..awasimamia sasa serikali inahusikaje . wamfuate huyo waliomteuwa kwenye ukoo..ulikoenda huko.wakusaifiye

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm 20 วันที่ผ่านมา +3

    Punguza Unfortunately

  • @Gadielrussia
    @Gadielrussia 20 วันที่ผ่านมา +2

    unfortunately ccm nikumamayo zao

  • @iamnormal8648
    @iamnormal8648 15 วันที่ผ่านมา +1

    Nenda kafungue kesi ya madai Mahakamani hakuna atakayekuja kukukamata na kukutia ndani. Ila ukiwa unahangaika kutafuta jibu la kiutawala (yaani jibu la kisiasa) watakusumbua sana.
    Wewe unamshukuru Mbowe kwa kukupa hilo jukwaa la CHADEMA kumwaga machozi, mwenzio Mbowe amefurahi kukuona umekuja hapo ili akutumie kisiasa kuonesha maovu ya CCM. Ndo maana hata jina lako hawajaandika kwenye maelezo ya video. Wamekutambulisha kama *Mtoto wa Deo Filikunjombe*
    Sasa kua mtu mzima, nenda Mahakamani ili utambulike kwa jina lako badala ya kutambulika kama Mtoto wa Deo Filikunjombe.

  • @veronicmkenda9939
    @veronicmkenda9939 8 วันที่ผ่านมา +1

    😢

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 21 วันที่ผ่านมา +2

    Duh 😭Hii Nchi Yetu Inaenda Wapi Jamani.

    • @user-xh1ls2et5n
      @user-xh1ls2et5n 12 วันที่ผ่านมา

      Inaelekea Kizimkazi FM🎉

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ongea kiswahili mjomba acha jichanganye lugha

  • @ONESMOKAUNDE
    @ONESMOKAUNDE 13 วันที่ผ่านมา +1

    Nyinyi ndio ccm endeleen kuipambania achen kulialia watoto wa mwenye nyumba

  • @veronicmkenda9939
    @veronicmkenda9939 8 วันที่ผ่านมา +1

    😊😊

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 20 วันที่ผ่านมา +2

    Safi

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 2 วันที่ผ่านมา

    Very unfortunately

  • @MnmTv255
    @MnmTv255 18 วันที่ผ่านมา +1

    Dah pole

  • @MalaikaHome-b6r
    @MalaikaHome-b6r 21 วันที่ผ่านมา +1

    Deo alikua mtu kamili mwamba yule rip my shupavu nimefurahi kulisikia jina kake

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 วันที่ผ่านมา

    Yaan wangejua kuwa madaraka ni ya muda hata wasingewatesa wenzao bac tu roho ya Philip njombe inahuzunika

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or 20 วันที่ผ่านมา +1

    Msaada jamami kwenye tuta apo 4R ni nini? Jamani

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 18 วันที่ผ่านมา +1

    Unfortunately litamfikia samia

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 20 วันที่ผ่านมา +2

    Ongea kiswahili wewe mbowe atakupa hata ubunge😂😂😂

  • @leonimsimbe7433
    @leonimsimbe7433 15 วันที่ผ่านมา

    That's politics boy! No permanent friends no permanent enemy!! CCM Ina wenyewe, je wewe na marehemu baba yako ni miongoni mwao??

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ivi kama huyunaye analalamika je kuna hajagani ya

  • @abrahamuisrael6161
    @abrahamuisrael6161 15 วันที่ผ่านมา +1

    dogo tumia lugha fasaha basi na sio kuchanganya,, ujue Kuna watu hata secondary hatujafika ko English kwetu ni tatizo

  • @JohnMarco-b9l
    @JohnMarco-b9l ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ongea kiswaili acha izo

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 14 วันที่ผ่านมา +1

    Dih,haya mashetani yalaaniwe

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn 21 วันที่ผ่านมา +2

    😢😢 ccm. Kwajweli. Mnakwama. Wapi???

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf 2 วันที่ผ่านมา +1

    P0le sana mwanangu de0

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 21 วันที่ผ่านมา +1

    Changamoto kubwa sana

  • @user-wl9ev2mb5s
    @user-wl9ev2mb5s 20 วันที่ผ่านมา +1

    CCM woote ni matapeli wakubwa familia ya shetani

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga 15 วันที่ผ่านมา +1

    Waambieee wanachosha

  • @bahatielias6443
    @bahatielias6443 20 วันที่ผ่านมา

    Aiseee nchi hii ukiwa na shida halafu utake haki yako huko juu ,utakutana na majangili kweli

  • @EmmanuelCharles-d6x
    @EmmanuelCharles-d6x 19 วันที่ผ่านมา +1

    The slave no leave

  • @zver7342
    @zver7342 21 วันที่ผ่านมา

    Unfortunately...... Very Unfortunately. Don't you have any other English word?

  • @emanweljohn1240
    @emanweljohn1240 21 วันที่ผ่านมา +2

    Hiyo ndio ccm

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 21 วันที่ผ่านมา +2

    tkisema delete ccm huwa hamuelewi

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga 15 วันที่ผ่านมา

    Kwaiyo unatakanini

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 20 วันที่ผ่านมา

    We Kaa hapo hapo chadema achana na wale

  • @zver7342
    @zver7342 21 วันที่ผ่านมา

    Unfortunately.... Unfortunately....unfortunately 😂😂😂😂

  • @hamzarumela1784
    @hamzarumela1784 5 วันที่ผ่านมา +1

    Duh hatari sana hii

  • @djurio
    @djurio 20 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni enantiomer ya Filikunjombe. Mzee ameacha jembe

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg 21 วันที่ผ่านมา

    laa aise

  • @nyeurakibura4791
    @nyeurakibura4791 17 วันที่ผ่านมา +1

    Chagadema mtafika mmechoka sana maana wakati wote mnahasira duh

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 17 วันที่ผ่านมา

      Heri wajinga waishio katika ujinga maana Hawa hawatambui hata haki zao za msingi

  • @fidelisjoseph-tt9zl
    @fidelisjoseph-tt9zl 20 วันที่ผ่านมา

    Rc ndo mnafki

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 21 วันที่ผ่านมา +1

    Ccm.kwishaaaa