ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
KAMANDA MULIRO: USO KWA USO NA SALIM KIKEKE/ KUTEKWA/ DAR IPO SALAMA/ AJIBU KUHUSU UTEKWAJI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Mm nimeacha kufwatilia hii intaviu maana naona kikeke anakaribia kula makofi mtaniambia imeishaje😂😂😂
Salim kikeke Anaipeleka CROWN NAMBA MOJA 1
Muliro anakwepa maswali anajibu ki Tz zaidi mjanja mjanja huyu.. Sema Kikeke kajitahidi sana 💪💪 😊😊
Tunahitaji kuiona crown tv katik dstv azam pamoja na startimes🎉🎉
Oyaa muriloo kapaaaniikiii sema anajikaza sana
Mmeona tofauti ya International Muandishi wa habri na wa Tz? 😂😂😂😂😂😂😂😂Kamanda kabanwa but hata yeye yupo vizuri
Kwanini watu wanatekwa ? Mtu akivunja sheria inabid awe arrested siyo kutekwa . Hujajibu swali
ila Kamanda Murillo
amejibu Kikamanda sana
maswali ya Kikeke ni ya Mtego sana😂😂😂😂
Kaka kazi nzuli mzee sn kiba ajafanya kosa kukusaini unabaya uyo umemkaba kwenye kooo
Kikeke upo vzr sana umebobea kwenye skta ya hbr mkuu
KAMANDA WA POLISI WA KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM...KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA JESHI LA POLISI MULIRO JUMANNE MULIRO 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Muliro anakwepa msenge sana..
Mko juu kazi imeanza vyema kabisa,Allah awaongoze muendelee kupasuwa anga
Kamanda katulia sana! Mimi hapa America nili mpa my employee a car aka potea na gari ya kazi! 2 days later nika report to Police! Wakasema same thing huyu kamanda ana sema! Baada ya 5 days, this guy bring car back 😢😮😅
hongereni crown media
Hawezi kusema ukweli
Kamanda muliro yupo sawa kabisaaaa
Kwa mwenye akili timamu keshapata jibu kama kuna kitu gani kinaendelea kamanda anakwepa maswali sana Dar kila siku watu wanalia vijana wao wanatekwa nahawapati majibu yupo mtoto mdogo wa miaka Minne kasoro namdada wa kazi hadi leo hawajulikani alipo mtuhumiwa yupo polisi lakini polisi hawamuhoji mtuhumiwa watoto wako wapi halafu mnasema tupo salama
📌📌📌
I love commander Muliro He is super Inteligent to handle tricky questions from Salim hhahahah
Mbona mlilo anajibu kienyeji sana
Kifupi watu hawapendi maswali
Safi san salim kikeke kujuwa kusimama ktk maswali na kutaka wana nchi tujiwe 😂
BBC Kwisha habari yao tumerudi nyumbani
Asante kikeke hiki ni kipindi bors.
Na kanda maluum amenibu kwa mujibu wa kazi yake
Hamna kitu hapo ukimsikilza vizuri.
Safi sana
Kamanda yuko sahihi, mara nyingi ni matatizo ya kifamilia kisha wanalitupia lawama Mamlaka husika hususan Jeshi La Polisi. Kudos kamanda Muliro🎉🎉
Mtangazaji mahiri vs Mwanasiasa wa polisi...this is Tz
Majibu ya hovyo kabisa haijawahi tokea,hata aliempiga lissu risasi mpk leo hajulikani lakini kujitia mnafanya uchunguzi usioisha wala kueleweka aaahg hapo mmetisha,,salim your the best maswali so technic and forensic lakini anaejibu sasa ni zero brain! No wonder polisi wote ni form 4 failure div 0000
Kikeke ndo mwanahar bora tanzania na africa sio wengne machawa❤
Interview makini sana both team to score😊
Kamanda Murillo yuko vizuri isipokuwa watanzania tunateswa na siasa na wanasiasa
WANASHERIA BWANA:
RES GESTAE
The common law doctrine only admits evidence which, if not absolutely contemporaneous with the action or event in issue, must at least be so closely associated with it in point of time, place and circumstance, as to be part of the thing being done. “Facts which, though not in issue, are so connected with a fact in issue as to form part of the same transaction are relevant, whether they occurred at the same time and place or at different times and places”.
***
Wanasheria kwa herini.
One of the best interview
Kamanda mtulivu Sana
Muito bom trabalho
Kazi nzuri muito bom trabalho
😂😂 kamanda muliro anakwepa swali issue Kuwa kijana katekwa dar es salaam na kuwekwa kitho cha police oysterbay jibu swali Hilo
uyo anajua kinachoendelea angalia ata majibu yake na anavokwepa maswali
Polic hatumuelewi kabisa na majibu yake ila siwezi kuongea mengi kinga yangu ndodo
utamuelewaje na wakati umevaa Dela la Bonyokwa
😂😂😂 Hana mwanasheria.@@shaurimtanda8285
Tulio soma Cuba tumeelewa kwamba kwenye katiba imeandikwa ukiikosoa serikali lazima utekwe hii wachache wameelewa ila ipo siku
😂😂😂😂😂 upo sawa
Maswali ya msingi lakini majibu ya ujanja ujanja tuu.
kamanda anaulizwa kunasehemu ipo chini osterbay inaitwa karakana , anasema tupo tunafanya uchunguziii daaahhh😅😅. hii noma....
Kasiri la kikeke tulikumis hom boy endelea kuzidisha ubunifu crown ninyumbani
Shikamoo kamanda Muliro🤝
Safı sana Kikeke 🙏
Nakubali sana
Yan mwananchi hana haki kabisa katika nchi yake 😢😢
Tanzania ipo salama kabisa 😢mama acha apinge kazi nakazi iendeleee 😅
uongozi ni mgumu jamaniiii😢😢😢
Kamanda yupo makini sanaa, hana papara kwenye kujibu,
Body Language yake haendani na taarifa na majibu anayotoa
Wao tuna kikakao wcb simbaa wasafi diamond platnumz salamu kikeke kutoka bbc swahili mpaka kwa alikiba crown fm
Hapa tu ukisikiliza kwa kutafakari unaona kabisa hakuna haja ya kusubiri uchunguzi katika suala hili
Siasa nyingi sana jeshini
Aina ya majibu yanatia mashaka kwa nini mtu usitoe jibu lililonyoona wakati mtu alitokea dar means kuna kukwepa maneno yasije yakapishana
Police is the first place to go hata kama mtu amekutwa amefariki, sasa watu waende wapi? Kama hamuwezi ongelea matukio ya kupotea. Haijalishi kazi ndio hiyo, so you need to do it until that person is found. If the police can't be the first to come out then the country is not safe.
❤❤
Hahahahahah hapo chini kweli chumba kipo karibu na baharini kabisa, panaitwa bondeni😂😂😂😂😂
Hot chair, just sticking to the point Salim
Uyu Afande Anajibu kiakili Sana anakwepa swali Anazunguka
😂😂😂😂 dah, ngoja nikaushe tu maana mwanasheria wangu amesafiri 😂
If you're not curious it's true that you can not understand what is meant. Have a beautiful flower Mr. Kikeke.
Crown atari
Mtangazaji mahiri vs Mwanasiasa wa jeshi.
Mimekoment nikafuta😂😂
Kamanda katulia hadi raha!!
Africa
Kikeke🙌
Ila Kamanda 😂😂😂🙌
Shida kubwa ya wananchi wana ona Police ni kama Mungu! Communication between police and citizens is very rough all over the world! At the same time police abuses their power no wonder wananchi don’t trust Police institutions! 😢😮
Apo Sina comment 😂
Saws
Kwanini kwa mfano ni nyingi saaaana.....😮
Ila Murilo..😢
Salim umesahau kumuuliza kwanini hao wasio julikana hawajawahi kujulikana mpaka mpaka leo!!?
Wakwaza nipe like zangu
Ili zikusaidie Nini?
Kamanda muliro atuambie lini uchunguzi Uta kamilika
Elewa neno tunalipokea na tunalifanyia uchunguzi mbona mbishi kikeke?
Hawezi kujibu huyo jamaa anarooho mbaya mtamsikia ktk uchaguzi wa serekali za mitaa mtomuona tuu hata dodoma mlimuona wakati wa uchaguzi wa 2020 pale dodoma kauli zake katokewa dodoma kaletwa daresalama
Ofisa kama amepanic hivi
Polisi wetu hawana ushirikiano na jamii hata umjue mhalifu wapi yupo hawa wezi kuku saidia niwazembe wa hali ya juu
Hamna kitu hapo wala hakuna jibu aliolijibu just kazunguka zunguka2 na Dar kweli hamupo salama
Mmh napata mashaka IQ ya huyu polisi
Kwel ayko sawa
Are you sure...!?
Mr Salim Kikeke hapa kama umepunguza speed ya maswali na kurudi nyuma kidogo.
Notes: Umetuondolea utamu wa kikao Cha maojiano.
Kwenye kikao tunataka, Maswali magumu, Kujua uwezo wa VIONGOZI kufikiria.
Next time kwenye kikao, Speed 120.
#HonMichaelDeusdedityKessy.
Habari ya kiuchuguzi 👏👏👏
👍✌️👊.
Kamanda uko sawa
Huyu Afande mbona ana story za kitoto san😂 ni msomi kweli huyu?
😂😂😂Watu wamechukua Camera 📷 mchana kweupe
Dar es salama kunautulivu lakini hatuna u
Kikeke unakumbuka ulivomuhoji mama ??? Usiwe mjuaji sana hi bongo ina wababe afande anakuvungia tu hapo ila hayo maswali unamchanganya
Muliro yupo vizuri sana, nimependa namna anavyojibu. Very professional
umeishia langap?
kamanda anakwepa kiakili sana
😀😀 kifua kimejaaa nishikeni😂😂😂😂
Je kama angekutwa amekufa uchunguzi usingefanyika?
issue ilianzia oysterbay kamanda;tell us something from that angle
Kurukaruka kwa maharage ndio kuiva kwake
Mwandishi Salim Kikeke kaonyesha weledi ktk taaluma yake kwa miongoni mengine kuhoji shauku kubwa ya wananchi kuhusu kuwepo kwa karakana ya binadamu!
We askar si ujibu Kuna sehemu ya kutesea watu Kwan Kuna shida gani
Sema inaomba akili kubwa sana kujibu haya maswali...
Sifa ya kwanza kuwa askari police Tanzania ni kuwa MUONGO