JIFUNZE KUKAA KIMYA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2021
- Pamoja na nguvu ya Mungu iliyokua juu ya Mariamu mpaka kuumba kitu ndani, Mariamu alijifunza kufunga mdomo.Kitu cha muhimu na cha kuzingatia, jifunze kufunga mdomo. Sio kila anayekupongeza kwa mazuri yako, anakufurahia kutoka moyoni.Mariamu hakumueleza kila mtu kuhusu kitu alichokibeba, kulikua na mtu sahihi aliyeandaliwa ku-share naye jambo lake. Elizabeth aliandaliwa kwa ajili ya Mariamu.
Ukiona unatumia nguvu kubwa kumshawishi mtu aamini kuhusu maono yako, ujue hajaandaliwa kwa ajili yako. #PastorSunbella#Jifunze#KukaaKimya
Mungu nisaidie kuanzia leo ninyamaze kwa jina lá yesu
Mungu nipe neema ya kunyamaza ni tatizo langu kubwa nawashwa San mungu wa madhabau hii nifundishe kunyamaza
From experience nimejifunza kunyamaza kwa yote, nimepitia usaliti mwingi maishani but nashukuru Mungu cz it made me Wiser, my life and secrets are safe with God! Asante kwa kunikumbusha haya
Mungu wangu nisaidie nisiongeeeeee kila kitu.
Mungu nisaidie nijifunze kutunza siri
Amina Mtumishi umenisaidia sana naomba uniombee ili nifikie malego yangu
Bwana YESU nisaidie kukaa Kimya ktk maisha yangu.
Amen barikiwa Sana pastor Sanbella 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. nmejifunza kufunga mdomo wangu..ujumbe n mzur sana
Nimekuelewa mtumishi wa Bwana, Mungu akubariki sana
Eee mungu🤲 nisaidie kutambua jinsi ya kutunza Siri, nawoto nilio waambia yasiyo stahili, Mungu naomba uni epushie Hatar zote mbaya wanazo niwazia ktk maisha yangu Emen🙏
Wamesahau kwa jina la Yesuu!
@@viddamgeneka8881 🙏 Amen Asante nashkulu 💯🙏
Mungu nifundishe kukaa kimnya katika jina la Yesu
Amen
Asking God for wisdom, to know when to talk what to say and to who. This preaching has touched on me
AqA
Me too for sure
Mariamu alikuwa na akili nzuri ndiyo maana Mungu aka mchagua kuwa mama yake Yesu.Abarikiwe mama mtakatifu
Nami somo hili ni langu naomba mungu awafunge mdomo wale marafiki zangu wabaya yesu nisaidie🙏
Pastor you are right.....work hard in silence ...,.let success make noise.
Be blessed Man of God
"An untested friend is just a neighbor",Pastor I am exceedingly blessed by your sermon! May God Bless You!
Ameen hallelujah ❤naona kitabu kina hubiriwa🙏
Kuanzia Leo nitajifunza kukaa kimya ktka maisha yangu god bless you
Ni vizuri sana na mm nakuombea kheri kutoka kwa mwenyezi mungu
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Amen 🙏 mtumishi wamungu,kuanzia leo nitakaa kimyaa 😷
Hakika nimejifunza pia
Napenda unavyofundisha neno Mungu
Truth pastor ...u get me offside surely ntajifunza kunyamaza ... people are not good at all...
Amen. Ni kweli mtumishiii Mungu naomba unisaidie kutunza Siri.
I love him😍...baba Kama ananiambiaa Mimi🙏🙏🙏umejua kuniponyaaa
Nifundishe kunyamaza na unipe wepesi palipo na ugumu amen 🙏🙌💖❤👏😊🙏🙌💖
Ee Bwana YESU nisaidie niweze kukaa kimya🙏🙏
Eeeeh mungu wangu nifundishe kunyamanza,
Ni mengi niliyoyaongea Kwa maadui waliojifanya marafiki na yakafeli, nashukuru mungu alinifungua jicho la ndani nikaweza kuona na kutambua
Amen amen
Amen Amen Mtumishi wa MUNGU umenifundisha kitu kikubwa... Barikiwa sana
Leo umeongea ukweli ni vizuri kunyamaza sio Kila mtu anakutakia mema.Amen.
Hakika unanifundisha sana mtumishi na UBARIKIWE sana uwe VIWANGO na VIWANGO
This Pastor can real preach, he follows the steps of apostle Christopher Mwakasege.. can someone share his location please?
Sinza mori, opposite na la chaz bar
Reality of Christ Ministry (ROC) Lipo sinza Mori karibu na ofisi za Tamwa
Dar es salaam
I agree with you Pastor, silence is the language of the wise too. N poa kunyamaza tu 😊
Nikweli ni vyema kuwa kimya
Mungu nisaidie niweze kutunza siri zangu hadi za familia yng had watu wengine 🙏
asante baba yangu mungu akupe nguvu zaidi
AMEN AMEN HALLELUYAH, IT'S TRUE PASTOR, GOD help me to be silent 🤫, may God continue to lift you more and more, teaching 👌👏👏❤❤🙏🙏
This hit me hard oh LORD help me to stay SILENT
Amen🙏
Nimejifunza kitu kikubwa sana katika maisha yangu.......You mean tuwe na upako wa kuficha mambo.Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Baba nimepokea ujumbe kwa mikono miwili 🙏🙏ubarikiwe sana
Kaka mchungaji nakuonmbea mungu akupe nguvu ya kupunguza mwili.kwa afya tunakuhitaji sana mchungaji.
Hahaa! Dunia nzima wote waweza kuwa wembamba? Mungu aliamua watu wawe tofautitofauti.
Yamkini ni unene wa kuzaliwa maana kazi ya Mungu sio rahisi, ina hekaheka sana. Wee unadhani anavyotembea hapo hadi akimaliza kuongea si atakuwa amesafiri Moshi to Arusha!!!
Huyu mtumishi wa Mungu ana neema ya ajabu ata akiwa jinsi alivyo.
Ee Mungu wangu nisaidie, mi pia Nina kiherehere. Nanyamaza kuanzia leo.
Chako kidogo mi changu ndio balaaa😂😂Mungu anisaidie
Sijui nampataje huyu Kamanda nakuelewa sana mtu wa Mungu
Mungu ni fundishe kunyamanza,
Eeeh mungu nijalie neema ya kukaa kimya,roho mtakatifu nielekeze kwa right friend
Somo zuri sana. Mungu azidi kukutia nguvu pastor.
Nimepokea 🙏🙏🙏nimejifunza pia nimuhanga pia 😭😭😭😭hasa kwa watu ninao waamini
Asante sana iyo nikweli MWENYEZI MUNGU anisaidiye
Come on pastor I feel blessed HALLELUYA
Thanks alot Pastor ,I have learnt to be quite in my life after the experience i had 4 yrs ago..To date am always at peace and pray to God alot .Am from Kenya and saved ..
Asante MUNGU nimejifunza naomba nisimamie uniongoze unikumbushe kila wakati
Asante mtumishii nimejifunza kitu
Wonderful sermon
Mungu wangu sisaidiye kbs ndo tatizo yangu hiyo ,Niwezeshe Mungu wangu
Pastor miti mingi, ambaye bwana ametuletea
Ubarikiwe sana 🙏🏽
Yaani namuona yeye kabisa🙏
Mungu ni fundishe kunyamanza
Ameen 🙏 Baba ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Mungu nipe ukimya😊
Ahsanteee Yesu Nimejifunza Leo Trh 1/12/2021 Nifundishe Kunyamaza Maana Kwakweli Sikujua Kunyamaza Kunafaida Ila Kwanzia Leo Mungu Nisaidie Nijue Kunyamaza.
Bwana Yesu Kristo unirehemu kwa kuto kunyamaza nifundishe kunyamaza naomba neema yako initoshe kunyamaza ninapopaswa kunyamaza. Roho Mtakatifu naomba unisaidie mimi kunyamaza.
God bless you man of God. God help me to keep quiet all the time.
Mungu nifundishe kunyamaza
Nifundishe kunyamanza yeah wangu
Mm ni Muslim lkn nimejifunza kitu pastor ubarikiwe sn kwa maneno mazuri na mungu anisaidie kutunza siri inshaallah
Hekima ni kitu kilichompotea Muislam,popote akikutapo anatakiwa akichukue!!
Praise God through Our LORD and Savior Jesus Christ.Personally have gone through such,nikawa na maono ya mtu niliyekuwa karibu naye.Nilimwahadithia akasema mawazo tu hayo...Tena mara ya pili nikamwendea akasema ndoto za kitoto hizo,Mwishoye nikamwarifu ikatendeka waziwazi.Nimejifunza siku sote sio wote walio na macho ya kiroho,Mungu nipe hekima na maarifa niwe kimya kama Mariam,wakati natarajia kuzaa maono yaliyo ndani yangu. Pastor and brethren kwa ujumla Barikiwa...Following from Kenya.We love you so much.Shalom
Wise people knows how to keep their lives private and being silence
Kweli kabisa.
Mungu akubariki sana
Asante mtumishi wa mungu
Good doctrine you have poured into us” Silence is the source of all success”
Amen baba am Amos musukwa from Zambia
Amen Amen
Mungu nisaidie nijifunze kukaa kimya
Mungu nisaidie sana niweze kufunga mdomo wangu kwa damu ya YESU 🙏
Ee Mungu nipe nguvu ya kukaaaa kimy Kwa Kila jambooo🙏🙏🙏
God bless you, Pastor
Amen God is the reedimer at any moment
Naamin sijachelewa kuyasikiliza haya maneno Mungu atafanya Amina Mungu nikumbushe kukaa kimyaa
Mwenyezi Mungu nifunze kukaa kimya
Nakupenda Sanaa Sanaa pastor
Umeninyoosha akiii mweeh asanteh nimejifunza
Ameen barikiwa sana
Amen amen mtumishi wa Mungu , asante kwa mafundisho mazuri
Love from Kenya, powerful Sir
We Mungu wangu nisaidie kufunza kwako
Nifundishe kunyamaza
Mungu wa mbingun akubaliki sana paster azidishe kalama hiyo zaidi na zaidi ili uzid kuwasaidia mamilion ya watu wenye uhitaji wa kumjua mungu ubalikiwe sana,,
Amen nabarikiwa
Nimejifunza sana, be blessed pastor.
Mungu akulinde Babaangu 🙏 una fanya kazi nzuri sana katika Kristin🙌🏾🙌🏾🤲🏽 mema nakuombeya Baba 🙌🏾🙌🏾🤲🏽🤲🏽
Amen pastor ubarikiwe sana kweli tunakosea sana ila nimejifunza be blessed pastor
Shukrani kwa somo baba.Mdomo sio mzuri!.
Amen MUNGU nisaidie kutunza siri za mambo yangu
I normally get alot from your teaching ,may God continue depositing His wisdom a pon your life because of us 🙏🙏
Iapreceit your preaching may God bless you in talent which God has given to you amen
Thiz very true for I have learn something here be blessed pastor
Nimejifunza baba AMEN ubarikiwe.
Asante mtumishi😊
Amen. I got it🙇
Barikiwa mnooo nimepona kwa Jina la Yesu Krito
Wow what a blessing message
It's true..my hus alitangaza kuwa kijana wetu amepata kazi bado kuanza tu. Nilikuwa naulizwa..nayeye kijana anaulizwa kila mahali. Hiyo kazi hakuipata na baba alikoma..
Hili ni somo langu 😭eeh MUNGU nisaidie mwana wako niepushe na mabaya yoote🙏🏼🙇
Asante Pastor kwa neno lenye pumzi ya uwepo.
Kukaa kimya ni tiba na suluhisho jema
Halleluya!! Nilikuwa namsikilizisha mtu mafundisho haya hakupata kitu nilichokipata sababu ya mixer ya language naona haupati uhondo wenyew sababu hajui English, nashauri ikiwezekana Mtumishi wa Mungu muhibiri English na swahili translation totally
Amina 🙏
Ameen pastor
Amen🙏🙏from today I'll learn to keep silence 🤐🤐🤐Not all that you share out your issues and happy with it🤔🙏🙏Let God's presence be upon me🙏
sina la kusema Mchungaji, be blessed, I meet God again today
Amina, kuanzia Leo nitakaa kimnya nimejifunza