NiliwAhi kuota ndoto Fulani ilikuwa ngumu Sana kuitafsir na hata mpaka leo hii siikumbuki,, baada ya kuiota hiyo ndoto nikaamka usiku huo huo na mda huo huo nikamuomba mwenyezi mungu anipe lugha rahisi niweze kuielew ile ndoto yaani anioteshe ndoto nyingine iliyo rahsi niweze kujua, nilivyolala tu haikupita mda mrefu nikapata mafunuo makubwa yaliyorahisi Sana ambayo hata mtoto mdogo anaweza kujua... Asante mungu
Amen, ubarikiwe Sana mtumishi ,nami nimeelewa sasa ,kuna ndoto naotaga mno inajirudiarudia Sana ,na huwa nafadhaika Sana kwasababu ni Mara nyingi sasa zinajirudia hizo ndoto🙏🙏🙏
Ndo leo napata ujumbe huu wakati nikiuhitaji zaidi, hakika wakati wa Bwana ndo wakati sahihi. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu na Bwana aendelee kukutumia kwa ajili ya Utukufu wake 🙏
Mwalimu natamani kukutana nawewe lkn nashindwa me kumfwata kwangu Mungu ndugu wamenitenga sijui nifanye nini na moyo wangu unaniambia nikikutana nawewe bc yote yataisha akuna ndugu anae niitaji kwasababu nimeamua kumfwata Mungu nashindwa kuendelea mbele vita nikubwa sana Baba kwangu maisha yangu yanaangamia naomba nisaidie 🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭kilio changu nikikubwa mno sijui nifanye nini Mungu anipe neema ya kukutananawewe vikwazo nivingi sana pale ninapotamani kukutana nawewe naomba nisaidie mwalimu 🤲🤲🙏
Amen amen barikiwa sana baba nimekuanikikufatilia tangia nikiwa mdogo nasoma shule ya msingi hakika ufunuo wako kwangu uwanashuuda sana Baba yangu Mungu hakubariki sana 🙏🙏🙏
Amen Amen glory to God am glad to hear from this channel. Asante kwa kunifungua macho ya ndani na kunifungisha kwajili ya ndoto be blessed too Amen watching from Germany
Bwana yesu asifiwe watu wa mungu, mm nilikuwa naomba juu ya kupata mume. sahihi kwa muda wa siku kadhaa, lakin gafla naskia sauti ikiniambia mume wako anakuja ila hana mbuz wala kondooo ila ana kiu ya upendo mmpokeee. Jaman nisaidien kuhusu hili jambo
Mchungaji naitwa Lili nipo njombe naomba uniombee rehema mchungaji tangu mwezi wa Saba nimekuwa nikiota na kuwaza hizo ndoto za kumkufuru mungu wangu nampenda mungu wangu niombee mchungaji
I'm so happy umeongea mengi yananihusu ukiwa na kupewa Cha utambuzi utawe tafsiri ndoto zako Kuna siku nilipata ndoto ya kufunguliwa anga Mungu azidi kukubariki Mtumishi wetu
NDOTO NI VITA NDANI YA NAFSI.EEEH MUNGU NIZIJUE NA KUTAMBUA NINI MANAKE NA NIFANYE NINI NA NDOTO SUMBUFU ZA ROHO CHAFU ZINIACHE KTK JINA LA YESU.AMINA.
Bwana yesu asifiwe ,naitwa AMINA HAMADI WAZIRI kutoka mbeya, Naomba tafsiri ya ndoto hii niliota ninakula ugali maharage ,ndoto hii niliiota kwa siku tatu mfululizo
Wakati unaendelea kuitafakari, weka kinga, yaani Achilia damu Ya Yesu,juu Ya ndotohiyo. Na uiharibu kwa Damu Ya Yesu.kwamaana kula ktk ndoto si jambo jema.
mwl bwana yesu asifiwe....asante sana kwa somo zuri ila naomba unisaidie maana kuna ndoto naiyota mala kwa mala ila cjui maana yake (naota na paa hewani)
Wachungaji wa mungu bwanayesu asifiwe.. Naitwa miriam ..Naomba mnisaidie nimekwa nikiota ndoto kuhusu mtoto wangu mara kwa mara .. Naota mtoto wangu amefura uvimbe mkubwa sehemu zake za siri tena naota analia kwa uchungu sana kuenda niangalie nikaona mtu ametoka hapo huyu mtu nikama amemba mtoto wangu tena naota mama yangu amemwinua mtoto wangu juu akamwangusha na tumbo macho ya mtoto ikatoa damu na mdomo nikalia kwa uchungu zaidi...sasa hi si ndoto mtoto wangu akiwa amelala ana tafuna sana meno nisaidieni tafathali ...
Hmmmm pole Sana mpenz ukiona hivyo basi jua kuna nguvu flani inayowez kumjarb mtoto wako hivyo umepewa maono ili uweze kusimama na kumwombea mwanao na pia unapopat ndoto km hizi ni muhimu Sana kusali na kukemea nguvu za magonjwa au za Giza maan unaweza kuot kumbe si mwanao akawa ni mtoto wa mwingine kupitia maombi yako yakamponya
Namshukuru sana Mungu kutupatia Mwalimu Mwakasege ambaye Roho wa Mungu yupo ndani take.🙏🙏.
Damu ya Yesu ikanene mema maishani mwako baba 🙏.
Amen Mungu tusaidie tupe Roho wako mtakatifu atuwezeshe kutukumbusha ndoto tunazoziota kwa jina la Yesu
Kes
Oooh yes.. Asante sana Roho mtakatifu kwaajiri ya ujumbe huu kupitia Mtumishi wako mwakasege
NiliwAhi kuota ndoto Fulani ilikuwa ngumu Sana kuitafsir na hata mpaka leo hii siikumbuki,, baada ya kuiota hiyo ndoto nikaamka usiku huo huo na mda huo huo nikamuomba mwenyezi mungu anipe lugha rahisi niweze kuielew ile ndoto yaani anioteshe ndoto nyingine iliyo rahsi niweze kujua, nilivyolala tu haikupita mda mrefu nikapata mafunuo makubwa yaliyorahisi Sana ambayo hata mtoto mdogo anaweza kujua... Asante mungu
Ameen
Betina naomba mamba y'all pls
Asante mtumishi wa MUNGU barikiwa utokapo na uingiapo,MUNGU asikupungukie HEKIMA
Barikiwa sana mtumishi
Naomba uniombe nipatekazi nimechoka kufanya kazi zandani sikia maombi yangu BABA na Mungu akubaliki sana tena sana naitwa yasinta maiko🤲🤲😭
Amen, ubarikiwe Sana mtumishi ,nami nimeelewa sasa ,kuna ndoto naotaga mno inajirudiarudia Sana ,na huwa nafadhaika Sana kwasababu ni Mara nyingi sasa zinajirudia hizo ndoto🙏🙏🙏
Mwambie mtu yeyote haswa mtumishi wa mungu akuombee na baadae muulize tafsiri yake 🙏🙏
Amen Ubarikiwe Baba, Ninakutakia Baraka Za BWANA Na MUNGU MKUU, Aendelee Kukupa Upako.
Amina🙏🏾
Ndo leo napata ujumbe huu wakati nikiuhitaji zaidi, hakika wakati wa Bwana ndo wakati sahihi. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu na Bwana aendelee kukutumia kwa ajili ya Utukufu wake 🙏
Mwalimu natamani kukutana nawewe lkn nashindwa me kumfwata kwangu Mungu ndugu wamenitenga sijui nifanye nini na moyo wangu unaniambia nikikutana nawewe bc yote yataisha akuna ndugu anae niitaji kwasababu nimeamua kumfwata Mungu nashindwa kuendelea mbele vita nikubwa sana Baba kwangu maisha yangu yanaangamia naomba nisaidie 🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭kilio changu nikikubwa mno sijui nifanye nini Mungu anipe neema ya kukutananawewe vikwazo nivingi sana pale ninapotamani kukutana nawewe naomba nisaidie mwalimu 🤲🤲🙏
Amen amen barikiwa sana baba nimekuanikikufatilia tangia nikiwa mdogo nasoma shule ya msingi hakika ufunuo wako kwangu uwanashuuda sana Baba yangu Mungu hakubariki sana 🙏🙏🙏
Niliwai kuota ndoto kuhusu baba angu aliekua mgonjwa kesho yake baba angu akafariki nilitamani kuhama dunia💔
Mungu azidi kukupa nguvu mwalimu tunakupenda😍
baba nashukulu kwa chakula charoho
Namshukuru Mungu kwa ajili yako mwalimu na mtumishi wa Mungu.
Mungu azidi kukubariki baba
Uyu mtumishi nilikuwa na mskiliza tangu nikiwa mtoto adi Sasa niko mtu mzima Mungu akutuze baba yangu wakirooh 🇰🇪
Thanks to God !!! It has touched my heart and l am blessed too much .God bless the words of your mouth
Thanks,Man of God. Umenisaidia sana kwa hili. Be blessed.
God bless you daily,your my teacher in my life
Your Blessed Man of God... I'm Healed.Glory to Almighty God.
Asante Mwakasege Mimi din nyingine lakin, nakuelewa saana/
Mungu anakutambua
Amen mwenyez Mungu akupe maisha marefu uzidi kujua yaliyo ya Mungu na kuyatenda
Ubarikiwe Sana dada
Amen mtumishi wa mungu Kwa kweli umenibariki sana and be blessed 🙏🙏🙏🙏❤️
Amen Amen glory to God am glad to hear from this channel. Asante kwa kunifungua macho ya ndani na kunifungisha kwajili ya ndoto be blessed too Amen watching from Germany
Mungu akupe afya zaid mtumishi wa mungu
Amen umeniongezea kitu Mungu aendelee kukupa ufunuo zaidi
Asante Yesu Kwa kumtumia mtumishi wako, Mungu azidi kukuinua na kukutia nguvu mno
Mungu akupe umri mrefu Amina somo zuri sana
Ubarikiwe sana mtishi wa MUNGU umenifumgua kitu nilikuwa sijui
Natamani kama wewe au zaidi ya wewe,unanibariki sana MUNGU azidi kukunza nakukutumia zaidi
Yap
Ubarikiwe mtu wa Mungu soma nimelielewa
Bwana yesu asifiwe watu wa mungu, mm nilikuwa naomba juu ya kupata mume. sahihi kwa muda wa siku kadhaa, lakin gafla naskia sauti ikiniambia mume wako anakuja ila hana mbuz wala kondooo ila ana kiu ya upendo mmpokeee. Jaman nisaidien kuhusu hili jambo
hakika somo hili ni jema na MUNGU akubariki sana mwalimu mwakasege I LOVE YOU
Mungu akubariki mwalimu you are the best
Umebarikiwa sana mtumishi wa mungu. Mungu azidi kukubarki uzidi kutufundisha ile kweli tuipasayo kuenenda
Mungu akupe maisha marefu baba yangu nakupenda Sana naomba niombeee uchumi wangu ukatulie baba
Be blessed man of God!! This has really touched my heart....
Amen
Mungu wa Mbinguni aendelee kukutia nguvu katika utumishi wako.
Mungu akubariki na akutunze mwalimu
Am blessed with ths 🙏🙏
AMINA
Nabarikiwa Sana Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏
Thank you for good massage to us God bless you forever.
Amen Man of God.
Mchungaji naitwa Lili nipo njombe naomba uniombee rehema mchungaji tangu mwezi wa Saba nimekuwa nikiota na kuwaza hizo ndoto za kumkufuru mungu wangu nampenda mungu wangu niombee mchungaji
Ameen Ameen Yesu akutunze mwl wetu
amina napokea kwa jina la yesu
Mungu akuinue mtumishi Asante nimeijua Siri
I'm so happy umeongea mengi yananihusu ukiwa na kupewa Cha utambuzi utawe tafsiri ndoto zako Kuna siku nilipata ndoto ya kufunguliwa anga Mungu azidi kukubariki Mtumishi wetu
NDOTO NI VITA NDANI YA NAFSI.EEEH MUNGU NIZIJUE NA KUTAMBUA NINI MANAKE NA NIFANYE NINI NA NDOTO SUMBUFU ZA ROHO CHAFU ZINIACHE KTK JINA LA YESU.AMINA.
AMEN
Damu ya yesu inanena mwema maishani mwangu Amina mtumishi
Amina mtumishi BWANA yesu akubaliki.
Asante sana Mchungaji,nahitaji sana huduma yako,Mungu akubariki
Mwendelezo maana neno ni tamu sana
Thank you so much mwalimu.Mungu wa mbinguni akubariki sana na akuongezee ufunuo mkuu kwakusaidia watu wote.aksanti sana papa
Baba asante kwa hii chanel. Sala ya Bwana ,ilinifungua sana
To God be the glory..!
Ameni mtumish wa Mungu napenda hudumazako.
Amina mtumishi wa mungu, mungu atusaidie katika ndoto na niwe na kiu ya kukujua wewe zaidi
Ubalikiwe Sana Mtumishi Wa Mungu
mungu akubariki sana mzee mwakasege.
Amina Baba, Baraka za Mungu ziwe juu yako!
God bless you Dad, it touch my heart
Ubarikiwe Mwalim
Nabarikiwa sana na mahubiri yako,be blessed baba.
Tumsifu Yesu Kristo mwalimu nimeota nakufa ila naomba adi nafufuka na nizaidi ya mara moja na kwa mfurulizo nn maana yake nisaidie mwalimu
Mungu akuzidishe nguvu ktk kazi yako ya kutufundisha neno la Mungu
Bwana yesu asifiwe ,naitwa AMINA HAMADI WAZIRI kutoka mbeya,
Naomba tafsiri ya ndoto hii niliota ninakula ugali maharage ,ndoto hii niliiota kwa siku tatu mfululizo
Wakati unaendelea kuitafakari, weka kinga, yaani Achilia damu Ya Yesu,juu Ya ndotohiyo. Na uiharibu kwa Damu Ya Yesu.kwamaana kula ktk ndoto si jambo jema.
Muombe Mungu uvunje hyo ndoto yamkini inamaana ya jela! Mungu akutie nguvu ubarikiwe
Soma biblia Sana maana yake kula neno la mungu
Kula ndotoni ni ambatano la urithi wa kichawi
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana mtumishi..
Ubarikiwe sana mwalimu kwa somo zuri
Amen Mungu akubariki mtumishi wake kwa kutulisha kiroho
Ninakukubali sana MTUMISHI wa MUNGU.Mungu akujaalie maisha marefu.
Powerful massage
Ameen MTUMISHI barikiwa sana
Asante mwalimu kumbe nilifanya bila kuelewa km niko sahihi nitaendelea kufuata hayo mafundisho
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai.
Powerful msg! Praise the Holy- spirit
Hi, kaduma hapa
Baba Yangu ...Mwl Mwakasege
Asante kwa mafundisho yako mtumishi wa mungu akubariki sana
Amina mungu akubariki karikibu utuhubirie injiri iringa mtumish wa mungu
Mungu akulinde na akupe hekima zaid asathe kwa neno la kutukumbussha
mwl bwana yesu asifiwe....asante sana kwa somo zuri ila naomba unisaidie maana kuna ndoto naiyota mala kwa mala ila cjui maana yake (naota na paa hewani)
Amen Nashukuru sana baba Mungu akubarki
Ubarikiwe Sana mtumishi.🙌🙌🙌
Mungu abariki huduma yako maana inatusaidia sana, Amen 🙏
Am blessed!!
Ubarikiwe mtumishi kwa mafundisho mazuri.
Mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa neno zuri
Ameeeen ubarikiwe sana mtumishi was mungu kwa mafundisho
Ubarikiwe sana kwa mafundisho Mazuri Mwalimu
Amen mtumishi ubarikiwe Sana🙏🙏
Amen..be bless A man of God
Thanks father
Niliota mwanaume niliyekuwa nae ananitoa mimba,,,duh kumbe Mungu alikuwa ananionyesha nikapuuzia na akaitoa kweli😭kwa kuniwekea dawa kwenye chakula
Duh nimejifunza kitu,,niliomba kwa kulashia lashia😭,,,Maana kwa siku moja niliota ndoto mbili tofauti ambazo zilikuja kuwa kweli!
Ubarikiwe Sana Mtu mishi wa Bwana Yesu
Ahsante Kwa mafunuo haya mwl.
Mungu àkutunze.
God be with you father..
Ameeen umbarikiwe🙏🙏🙏🙏
Asante baba kwa kuniponya na kunifundisha
Wachungaji wa mungu bwanayesu asifiwe.. Naitwa miriam ..Naomba mnisaidie nimekwa nikiota ndoto kuhusu mtoto wangu mara kwa mara .. Naota mtoto wangu amefura uvimbe mkubwa sehemu zake za siri tena naota analia kwa uchungu sana kuenda niangalie nikaona mtu ametoka hapo huyu mtu nikama amemba mtoto wangu tena naota mama yangu amemwinua mtoto wangu juu akamwangusha na tumbo macho ya mtoto ikatoa damu na mdomo nikalia kwa uchungu zaidi...sasa hi si ndoto mtoto wangu akiwa amelala ana tafuna sana meno nisaidieni tafathali ...
Hmmmm pole Sana mpenz ukiona hivyo basi jua kuna nguvu flani inayowez kumjarb mtoto wako hivyo umepewa maono ili uweze kusimama na kumwombea mwanao na pia unapopat ndoto km hizi ni muhimu Sana kusali na kukemea nguvu za magonjwa au za Giza maan unaweza kuot kumbe si mwanao akawa ni mtoto wa mwingine kupitia maombi yako yakamponya
Mmh
Ubarikiwe mtumishi
We hakika ni mtumishi wa Mungu. Mungu azidi kukupatia nguvu
Nabalikiwa Asante mungu kwa kunifundisha kupitia mtumishi wako
Ameen,ubarikiwe sana.
Mungu akubariki mtumishi mpaka natamani ningekusimulia ndoto ambayo hua hujirudiaridia ukanifasilia