SHETANI ANAZUIA MATOKEO SIO BIDII - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 มี.ค. 2022
- Shetani haogopi watu wanao omba, huwa anaogopa "MATOKEO" kwa sababu matokeo ndiyo yanayowavuta watu kwa Kristo. Akikuona una matokeo anaanza kukuona ni mtu HATARI.
Muhuburi 10:7
Anasema kuna "ajabu" kubwa Duniani, wale ambao Mungu amewaumba kuwa mifano, kuwa kimbilio, kuwa watu wakuu hawapo kwenye nafasi walizoumbiwa, nafasi zao zimekaliwa na watu wengine WASIOSTAHILI kuwepo.
Ifike sehemu wale walioumbwa kuwa kwenye hizo nafasi, kuwa wakuu wawepo kwenye hizo nafasi.
Enough is ENOUGH! #Shetani#Anazuia#Matokeo
Sijawahi kuona mtumishi wa MUNGU km wewe. Ungekuwa mwalimu wa shule basi wanafunzi wangefaulu vizuri sana... watching from Mombasa 🇰🇪
Yuko vizuriiii....sanaaa mnoo
Mno mno
Mwengine iko fungua vuka yorodani uta ona
Mungu akuweke mtumishi kwa ajili yetu , Asante sana Yani unafundisha jaman ,mungu aendelee kukuinua juu zaidi akupake mafuta yake
To be honest most people's Destin has been exchanged. This world ni mungu atusaidie 🙏
Mtumishi wa mungu una neema kubwa sana ktk ufundishaji mungu akupe uzima
Moyo wangu unatamani siku moja nishuhudie Yale MUNGU atanirudisha kwenye nafasi yangu
Powerful message wa Tanzania kwakweri Muna mutumishi wamungu tembea Kenya please 🙏🙏🙏
Mungu akuinuwe zaidi mtumishi wa mungu
Bwana Yesu Kristo nipandishe kwa punda wangu nisende kwa miguu tena uliniumba mwenye ukuu na ukaniokoa kutembea kwa miguu nimenda yatosha I was born for greatness I am great for your Glory Lord. Amen Ubarikiwe Mtu wa Mungu kwa huduma hii njema. Ulindwe na Mungu Baba daima.
Very nice my God steel bless you
Ee mungu nitoe kwenye iyo roho inatesa maisha yangu
Barikiwa sana man of God 👏💪
kila kiti kilichokaliwa au kukalia ninakirejesha kwa Jina la yesu kupitia huu ujumbe wa Mungu.
Amen mtumushi barikiwa sana
Mungu nikumbuke nibaliki nihurumie Mungu nishike watoto wangu wawili wadogo wanao fatana wanavinyama puani namimi sina pesa ya oparesheni hivyo MUNGU simama badala yangu
Amen. Baba ukatukumbuke kwajiliya jina lako.kila goti lipingwe sifa na utukufu ni wako bwana.
may God continue bless you man of God.
I'm in oman when I listen you're preaching am blessing always I see The peace in my heart may God open all the gate which trouble my result of success 🙌 🙏
I humble to God,let me less and Him to be more.
God remember us
Amina
Mungu azid kukutumia
YESU KRISTO NIPE SHUHUDA .AMEN
Amen amen nimemuona eliud Samuel barikiwa sana, pia nimebarikiwa na neno
GOD I ask you to place me where am supposed to be
Am tired of this situation plz heal my heart ooh God
Mungu akubariki sana myumishi
I really like your preachings am following you daily at your TH-cam channel while am out of Africa continent and learnt alot,you are a preacher and teacher too .Iooking forward to come at your church once I come back be blessed.
Powerful Revelation Indeed.. Help us Ooo Lord..
Barikiwa sana mtumishi kwa huduma, naomba mungu anipe na Mimi kibali Cha kufunguliwa kupitia madhabau hii ya Reality of Christ.
UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU🙏🙏🙏🙏Mungu aniketishe katika kiti changu🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi Nkyando Sunbella
Amina Sana mtumishi barikiwa mno 🙏
Akina Cornelio wengi leo ndio wana vita za kiuchumi na nafasi.Powerfull Revelation Mteule
Nabarikiwa mnoo na mahubiri yako maan yanagusa moyo wng na Mungu afny badilik la hayo mahubiri ndan ya maish yangu , ubarikiwe mtumish wa Mungu
Amina ni kweli kwako kuna majibu yangu
Amina Mungu Yuko na wewe ni zaidi ya mchungaji,
Amen amazing word inside of us there is special materials
Amen
Tumeijua kweli nayo kweli itatuweka huru
God Bless You
Barikiwa sana mtumishi YESU akutunze
Ndio maisha yangu baba naomba mungu anitowe huko
Mungu akubariki Sana Mtumishi wake na azidi kukutumia zaidi zaidi
Amina baba ndio kinachonikuta kwa Sasa ninawakati mgumu mno na sitoki ee mungu naomba unitowe ktk kifungo hiki Ninaamini
Amen mtumishi wa MUNGU somo zuri
Am blessed 🙌🙏✨
Powerful message true man of God Mungu akuinue viwango vikubwaa zaidi
Nakupenda sana baba mafundisho yako yanagusa mioyo yetu
Bwana Yesu akubariki Sana Mtumish
Amen
Aminaa
God bless you man of God
MUNGU azidi kukutumia zaidi na zaidi mtumishi👏
Be blessed Pastor
Barikiwa san mtumish 🙏🙏
Enough is enough GOD!
MUNGU AKUWEKE PASTOR SUNBELL KYANDO.
Asante Yesu
Barikiwa mtumishi
Mungu wangu nisaidie..
Barikiwa saana mchungaji
Respect sana ntazid kukufatiliaa milele
Pastor unanijua kwan?maana unaniongelea mimi kabisaaaa😭😭😭
Powerful Revelation
🙏🙏🙏😭😭🙏🙏😭
Mtumishi uko vzr
Helps us God come and rescue your people 🙏
Amiina
Amen 🙏🙏🙏🙏
somo lote linaitwaje niliangalie
Safiiii
JUSUS IS POWERFUL
Dah!
Amenii
Daddy ❣️
00:21
Ahsate kwa neno
Kweli
Oooooo yes
Amina mtumish am blessed
Unakuja mwanza lini
Hili somo ni langu kabisa,farasi wangu wamepanda wengine,nalima shamba wengine wanavuna 😭😭😭 Ee MUNGU MUNGU nisaidie
MUNGU ni mwema Sana hashindwi na kitu
Natamani kujua ratiba ya ibada za hapa
Unafundisha neno vemaa
Mungu naomba nitembee na punda wangu na sio miguu
wakati sahihi MATOKEO YANGU YAKOJE
Ebu tufafanulie 1st peter 18-25 it's the blood of Jesus that redeems not silver or gold we are in a new despensition of Jesus'Christ Not amount of money can break evil Covent/yokes
KYANDO LINI MBEYA ILI TUPATE NENO LISILOGOSHIWA TUNAKUFATILIA TU KWAMTANDAO TU PROMIS
SoMo fup san
mtumishi hujui tu umenitoa mbali na mahubiri haya am very much blessed una majibu yangu but i dont know how to reach and see you personal
Ubarikiwe Pastor. Anwan yako please na phone number ni ipi ? naomba uniombee .
Ameni
Amina
Amen
Amen
Amina
Ubalikiwe sana Mtumishi wa Bwana umetumwa kwetu mtumishi nakutazama nkiwa kenya 🇰🇪🇰🇪 Nairobi god bless you so much
Imekua kwangu katika jina la YESU kristo emen