Brother joel mungu aliyehai akutendee mema nilisoma kile kitabu cha kuweka aslimia kumi ktk kila unacho kipata ndani ya mwezi nimeenda vairo sana. One day nitaleta zawadi ya gari kama sadaka yangu ❤🙏🙏
samahan kaka joel naomba nikuulize swali kwa mfano kama mtu ni muajiriwa wa serikali halafu ana interest ya kufanya biashara hapo napo itabidi aache kimoja?
Hapana sio lazima.....ila atatakiwa afanye biashara ambayo haichukui muda wake mwingi. Mfano: Anaweza kufanya biashara ya usafirishaji mfano kua na bajaji, daladala, Taxi. Anaweza kuwekeza kwenye biashara ya kilimo cha muda mrefu mf: Miti, matunda kama maparachichi. Anaweza kuwekeza kwenye majengo n.k
Ahsante kaka ubarikiwe kwa mafunzo
Asante mtumishi ,mafundisho yako yamebadilisha maisha yangu sasa na hata milele,Amina
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu Usingekuwa wewe kunielimisha nisinge fika nilipo sasa
Bro Joel ndani ya moyowangu nimekuchongea sanamu nakusikiliza na kukuelewa mungu akubaliki sana
Kwakweli mwalimu njia mbili ninghumu sana kuziendea
Asante mwalimu
Hakika barikiwa
Saw mkuu🎉
Ni Kweli kaka Mimi napendwa kafanya Sana biashara Lakin ofu inanisumbua Sababu kila ninachokiona naona kinafaa
Saw mkuu
fact bro Joel God bless you
Asante
the power of conscistency💪💪
That's right mr joel i appriciate you
Je,Kama nilichokichagua hakilipi
Brother joel mungu aliyehai akutendee mema nilisoma kile kitabu cha kuweka aslimia kumi ktk kila unacho kipata ndani ya mwezi nimeenda vairo sana.
One day nitaleta zawadi ya gari kama sadaka yangu ❤🙏🙏
Sawa sawa
Km mm nimechagua kitu ambacho akitoki kichwani
Kinatoka wapi
Barikiwà Santa
🤝🤛
Sasa hapo sio wenye akiri wasio na hakir ndyo Wana taman kufanya mambo meng mwisho wanakosa yoote
Asante sana kaka nimekupata
🎉🎉🎉
Hii ni hot sana
samahan kaka joel naomba nikuulize swali kwa mfano kama mtu ni muajiriwa wa serikali halafu ana interest ya kufanya biashara hapo napo itabidi aache kimoja?
Ndio, aache ajira
😢
Hapana sio lazima.....ila atatakiwa afanye biashara ambayo haichukui muda wake mwingi. Mfano: Anaweza kufanya biashara ya usafirishaji mfano kua na bajaji, daladala, Taxi. Anaweza kuwekeza kwenye biashara ya kilimo cha muda mrefu mf: Miti, matunda kama maparachichi. Anaweza kuwekeza kwenye majengo n.k
Ajira ya nn tena😂
😅 a. ,