#USHUHUDA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!

ความคิดเห็น • 577

  • @barakamgumba7112
    @barakamgumba7112 3 ปีที่แล้ว +43

    Wanaosema mungu ni mwema tujuane

  • @adhangobu7613
    @adhangobu7613 4 ปีที่แล้ว +30

    Yaallah nakuomba utuongoze sute katika ndia yako na huyu msichana pia yaallah uongofu uko kwako yarab

  • @ayoubkikoti6344
    @ayoubkikoti6344 4 ปีที่แล้ว +8

    Madiha mungu amekuokoa mtunze mama,atakubariki zaidi Amina.

  • @fabricemuhanuka4865
    @fabricemuhanuka4865 4 ปีที่แล้ว +8

    I connect to Madiha's testimony even in my family(Shalom International famaly from Burundi) Major Apostle Simon sometimes analejesha nyota ziliyo ibwa so because of that testimony i connect and connect again to this and i believe that my life'll never be the same.Glory to God cause what He does is so amazing.

  • @SuperMuhoro
    @SuperMuhoro 5 ปีที่แล้ว +21

    Amen Niko .Kenya kupitia huu ushuhuda was Madiha Niko guru na nyota yangu imerundishwa ngonjeni ushuhuda wangu hivi Karibuni.

  • @roberttiman7026
    @roberttiman7026 ปีที่แล้ว

    Jina la Mungu lihimidiwe.. God bless Nabii Mkuu Geordavie

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 5 ปีที่แล้ว +10

    Mimi nili mkubuka huu dada Mungu akubariki sana, divyo Yesu anafurahisha nao wanao rundi na kushukuru tusiwe kama wale watu kumi abao walipona akarundi moja kushukuru👏👏👏👏👏

  • @victoriavictory8605
    @victoriavictory8605 5 ปีที่แล้ว +11

    I like her she is happy and proud of God, kwa miujiza Mungu aliyomtendea. The Lord God of Nabii GeorDavie be praised forever

  • @tedweddingreviews1821
    @tedweddingreviews1821 ปีที่แล้ว +1

    God is good madiha i connect to your testimony 🙏🙏🙏

  • @dorcasmueni8619
    @dorcasmueni8619 4 ปีที่แล้ว +5

    Tena Ana ongea kw furaha kupwa mno mungu sifa na utukufu n zako baba

  • @janatabdo9476
    @janatabdo9476 5 ปีที่แล้ว +44

    I can never forget Madiha since I saw her first time she has always been in my mind am happy to see her again. May God Almighty bless GeoDavie. Amen

    • @radicalsaint1817
      @radicalsaint1817 5 ปีที่แล้ว

      Me too....in fact I was thinking and asking ...did she go and wenttt....... am so happy to see her again .....

    • @karizangel4301
      @karizangel4301 5 ปีที่แล้ว

      Hello ...Nabii Wa mungu naweza mpata wapi Tanzania ....can someone help me pliz

    • @sittaeric8003
      @sittaeric8003 5 ปีที่แล้ว

      .

    • @doreenerickmybest8177
      @doreenerickmybest8177 5 ปีที่แล้ว

      Inanigusa had machozi yanimwagika huyu ndio Mimi najion

    • @davidkainonge1139
      @davidkainonge1139 4 ปีที่แล้ว

      I love that l give great to heavenly father

  • @RoyceEzron-zk4ne
    @RoyceEzron-zk4ne 5 หลายเดือนก่อน

    Kuhusu huyu dada, Akika mungu Anaweza, tuzidi kuombeana ata ambao atujafika tufike apo kwa GEOR DAVE

  • @jadeowili4488
    @jadeowili4488 3 ปีที่แล้ว +4

    I'm happy for her,such an innocent girl,the devil wanted to destroy her destiny,Thnks to Jesus she's delivered

  • @gmelaaa7432
    @gmelaaa7432 4 ปีที่แล้ว +6

    Mungu anaweza kila Jambo Kama huyu dada amefanikiwa kweli mungu yuko emen

  • @davidkihiga3531
    @davidkihiga3531 4 ปีที่แล้ว +17

    mtu wa Media yupo vizuri . unatupa before and after safi sana

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 7 หลายเดือนก่อน

    Ameen mungu ni mwema atanivusha na mimi na mwanangu katika mapito anayopitiwa

  • @suzzyblessedshow2174
    @suzzyblessedshow2174 2 ปีที่แล้ว +1

    Through this lady I believe i will now succed in life I the Mighty name of Jesus

  • @tatukhamis6349
    @tatukhamis6349 4 ปีที่แล้ว +4

    Nami nimevutiwa na maombezi ya Nabii Mkuu naomba msaada nami niunganishwe na Nabii.

  • @evansmalombe7871
    @evansmalombe7871 5 ปีที่แล้ว +3

    I can see a great change, glory to God, mpaka nami nifike kwa hio madhambau siku moja

  • @miriamquite7665
    @miriamquite7665 4 ปีที่แล้ว +7

    Madiha im happy for you may God bless you im visiting you soon Nabii wamungu🙏

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 2 ปีที่แล้ว +1

    She is very bright. With JC she will hit the skies and make all the difference.

  • @faizatmfaume9051
    @faizatmfaume9051 3 ปีที่แล้ว +5

    Mungu Yu mwema kila wakati kila saa na kila siku eeh Mungu naomba unifungulie milango yangu ya ridhiki unifikishe katika kusudi langu🙏🙏🙏🙏

    • @PandoraPandora-e6w
      @PandoraPandora-e6w หลายเดือนก่อน

      Mh ungekuw unajuw ungechokaaa,ila usiombe kuujua ukwli

  • @esthermulinda7784
    @esthermulinda7784 4 ปีที่แล้ว +1

    Shalom mtumishi wa BWANA. Naitwa MULINDA ESTHER naishi katika ichi ya Zimbabwe ndani ya kambi ya tongogara refugees camp.
    Nazidi kufata miujiza ambazo zinafanyaka kupitia nguvu za Yesu kristo mwanazareti.
    Na mimi naamini miujiza na natamani nione miujiza katika maisha yangu.
    Pepo ya vurugu inaitawala ndowa yangu...
    Nyota ya mme wangu nayo imechezewa na wanadamu sababu anapenda kuwasaidiya watu wakuachana...
    Kwa ombi ya zaidi naomba Mungu ailinde
    1. Ndowa yangu.
    2.atufanyikishe kwakuenda ulaya...resettlement.
    3.nyota yangu pamoja na mme wangu zingae.
    Kuomba ni kwetu ila kutenda ni kwake naamini kwa jina la yesu Christo AMEN

  • @mesonimwanja3783
    @mesonimwanja3783 ปีที่แล้ว

    Nabii jodev mungu akupe uzima maisha marefu baba

  • @SMtv2022e
    @SMtv2022e 5 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ndiye Mungu wa kweli apigaye Ngurumo

    • @davyadamsontz
      @davyadamsontz 5 ปีที่แล้ว +2

      Unamuitaje Mwanadamu kuwa mungu??

    • @rehemadaudi742
      @rehemadaudi742 4 ปีที่แล้ว +1

      my God mwl issaya msaidie mwenzio bado hajakuelewa anasema eti umemwita mwanadamu ni Mungu

    • @SMtv2022e
      @SMtv2022e 4 ปีที่แล้ว

      @@davyadamsontz ndugu yangu hapana Sijasema nabii mkuu ni Mungu hapana ila nimesema huyu ndiye Mungu apigaye ngurumo yaani Mungu Jehovah wa mbinguni ambaye nabii mkuu ndio anamtumikia.

    • @SMtv2022e
      @SMtv2022e 4 ปีที่แล้ว

      @@rehemadaudi742 kweli ninamsaidia hapa.

    • @davyadamsontz
      @davyadamsontz 4 ปีที่แล้ว

      @@SMtv2022e Ohh Ahsante sasa nimekuelewa.... Lakini ninajiuliza ni kwa kwa nini Geo Davie aseme yeye ni Nabii Mkuu Tanzania???

  • @harzondzombe4247
    @harzondzombe4247 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana dads mungu yu pamoja na wewe, ulifanya vyema kumkumbuka mungu kwa kumfata mtumishi safi sana mungu yu pamoja na wewe,.

  • @jean-baptistenkurunziza2949
    @jean-baptistenkurunziza2949 4 ปีที่แล้ว +5

    I remember your history, Madiha. I'm very happy for you and continue to believe in God. God's everything!

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 4 ปีที่แล้ว

      If it's true, she will be in satan until she dies. She left the religion of ALLAH.

  • @salmasaid7669
    @salmasaid7669 5 ปีที่แล้ว +19

    Mungu nikumbuke na mm 😓😓🙏

  • @enocksuku9146
    @enocksuku9146 2 ปีที่แล้ว +1

    I like to follow this lady madiha lilly you helped

  • @suavisndayizeye5732
    @suavisndayizeye5732 ปีที่แล้ว

    Mungu amubariki mtu wa Mungu. Amubariki sana mwanangu madiha kwa kurudi Gushukuru. Amen

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 5 ปีที่แล้ว +9

    Mungu ni mkuu,Madiha be blessed,proud of u prophet GeorDavie.

  • @salmaamilkani8170
    @salmaamilkani8170 3 ปีที่แล้ว +2

    Wowo madiha mungu akubaliki sana

  • @nessa4899
    @nessa4899 5 ปีที่แล้ว +1

    Yes Prophet, nimefurahi kumuona madiha amependeza sana sana.utukufu Kwake Yesu.

    • @jacklinebakari6295
      @jacklinebakari6295 5 ปีที่แล้ว

      katika clips nyingi na comment nyingi zinazomhusu huyu nabii wewe ndo wa kwanza kuona umetaja jina lipitalo majina yote YESU sijamsikisikia hata yeye akitaja hili jina ngoja niendelee kufatilia

  • @prudencenganga4811
    @prudencenganga4811 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi wa mungu bwana yesu asifiwe mtumishi namimi naitaji maombi yako Baba yangu kwani na mimi nimekuwa sielewi maisha maisha yangu ni yakuyumbayumba nami nikifanya biashara sioni pesa na wengine wananikopa na awanilipi na mwili wangu uko na shida nimetokewa na upele ambao autibiki na nimeishi nao ndani yamiaka kumi

  • @radicalsaint1817
    @radicalsaint1817 5 ปีที่แล้ว +9

    She is lovely from the first day I saw her......today she is suuuuuuuppppeeeerr pretty.......lovely personality. ...God is good all the time. ....can't hold my tears and laughter 😢😂😂

    • @upendoluv7197
      @upendoluv7197 3 ปีที่แล้ว

      Na kanenepa jamani Hadi Raha

  • @EstherJerald-tc6ct
    @EstherJerald-tc6ct หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema
    Afanye na kwa wengine pia zaidi

  • @balbinabrendan2279
    @balbinabrendan2279 3 ปีที่แล้ว

    Simuoni Madiha bali namuoma mchungaji na mwenye uimbaji mkuu ndani yake Nakupenda YESU.....

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya278 5 ปีที่แล้ว +12

    Amen kiongozi nazifutilia nilimuona first time TH-cam

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 ปีที่แล้ว +1

    mungu ni mwema ushuhuda huu umenigusa sana

  • @eunicemsigo9677
    @eunicemsigo9677 3 ปีที่แล้ว

    Hakumuonea mungu haya huyu mungu ataendeleankumubariki zaidi
    She will go.places in hesus name
    She smiles like an angel nay our good lord continuebto see her thru

  • @yakoboabdul141
    @yakoboabdul141 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu azidi kuku inua katika viwango vikubwa

  • @carolinepurity772
    @carolinepurity772 3 ปีที่แล้ว +1

    It is motivating and I wish that one day i'll be there God bless you Nabii

  • @esaulongo9781
    @esaulongo9781 4 ปีที่แล้ว +4

    Jaman ashukuliwe mungu Ila shida yangu kubwa ni namba ya huyu nabii 2

  • @johnbsuhud1774
    @johnbsuhud1774 3 ปีที่แล้ว

    Niombee Mola ilinami nipate fanaka,niweze kusaidia familia yangu
    Amina

  • @mariammarko807
    @mariammarko807 2 ปีที่แล้ว

    Shalom shalom natamani kufika uko kanisani na mimi Mungu baba wa mbinguni anifungie na mimi naomba msaada jinsi ya kufika

  • @kyalankota7083
    @kyalankota7083 5 ปีที่แล้ว +17

    Nampenda sana huyu dada

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 5 ปีที่แล้ว +2

    Madiha! Allah akuonyeshe njia sahihi ya Maisha ya na Ibada yako.

    • @mkalimussa1846
      @mkalimussa1846 5 ปีที่แล้ว +1

      Salim Harrasy @ huu si mchezo lkn ambao wanaufanya wachungaji

    • @fadhilabbas5784
      @fadhilabbas5784 4 ปีที่แล้ว +1

      It's just lies everything is just well planned there is fake actress there and actors. "manabii wa uwongo"

    • @salimharrasy7047
      @salimharrasy7047 4 ปีที่แล้ว +1

      @@fadhilabbas5784
      We should becareful on these kind of act.
      Allah amrejeshe to the right path.

    • @fadhilabbas5784
      @fadhilabbas5784 4 ปีที่แล้ว +1

      Let's use logic here the way how the world is alafu ati unapata mtu anaombea watu wapate chochote watakacho, the point is why yeye asijiombee na kujifungua mwenyewe awe tajiri mkubwa duniani? The answer is maisha yake anaishi kwa urongo and that's how he survive yeye na mke wake they are just big liars. Period

    • @mariamkingazi6416
      @mariamkingazi6416 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 ปีที่แล้ว

    Nabii mkuu testimony ya mafinikio.Amen..

  • @elizabethkaragi1397
    @elizabethkaragi1397 5 ปีที่แล้ว +6

    Nakukumbuka sana dada jina la mungu libarikiwe

  • @majaliwajimmy9418
    @majaliwajimmy9418 5 ปีที่แล้ว +5

    Daaaaa kweli Mungu anae tenda makuu yuko na geodavie

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 5 ปีที่แล้ว +38

    Siyo jina la mtu Libarikiwe mnakosea saaana ,Mwanadamu hagawi Riziki ni Mungu tu

    • @mariamgrashen8216
      @mariamgrashen8216 4 ปีที่แล้ว

      Jaman namba tafathar

    • @ireneassey3685
      @ireneassey3685 4 ปีที่แล้ว +2

      That's right uwez tak jina lamtu litukuzw but mungu ndiw muwez wayot

    • @emmanuelmollely1538
      @emmanuelmollely1538 4 ปีที่แล้ว

      Trophaina magogwa ushawai muona mungu?

    • @anthoniogaudence7854
      @anthoniogaudence7854 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisaa

    • @modestarubunda4250
      @modestarubunda4250 4 ปีที่แล้ว

      Kutokana na Shida alokuwa nazo, unachanganyikiwa, jamani unaweza ukatamka chochote, muachieni tu huyu binti.

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 5 ปีที่แล้ว +4

    Amen 🙏 Mungu wa Baba ni mwenye nguvu,jina lako lihimidiwe milele Amina

  • @saeedqaseem7423
    @saeedqaseem7423 5 ปีที่แล้ว +5

    Alhamdulillah kwakua muislamu na aendeleee kunihifadhi na ujinga huuuuuuu. .... Mpaka zama hizi bado ndani ya nyumba ziitwazo za ibada kunaaaminika nyota??????

    • @rizikipallangyo2211
      @rizikipallangyo2211 5 ปีที่แล้ว +2

      Kila mtu ameumbiwa na nyota yake..maana nyingine ya nyota ni talent au kipaji..hata wewe unayo nyota ambayo Mungu amekuumbia na kupitia hiyo ndiyo unapata mafanikio.

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 5 ปีที่แล้ว +1

      Ujinga gani?

    • @missfa4650
      @missfa4650 4 ปีที่แล้ว +2

      Proud to be muslim..

    • @mrsulrichmasawe1991
      @mrsulrichmasawe1991 4 ปีที่แล้ว

      Lakini upo kwenye kucomment kwenye ujinga who is fool you better mind you're business

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 4 ปีที่แล้ว +1

      Unajifanya hujui nyota Wakati nyota zipo toka Enzi za mitume

  • @omarymkumbi4265
    @omarymkumbi4265 3 ปีที่แล้ว

    Mwenyez mungu awe mbele yetu na atuongoze katika safar yetu.

  • @Eddyx21
    @Eddyx21 2 ปีที่แล้ว +1

    So amazing 👏

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 2 ปีที่แล้ว +1

    Man at work

  • @yesayamziwanda9603
    @yesayamziwanda9603 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakumbuka mara ya kwanza na sasa naangalia mara ya mwisho kweli mungu ni mkubwa sana wewe wa media aise ubarikiwe sana maana umetupatia vitu vya uhakika nadhani kila mtu ameshaelewa god bless you AMEN

  • @ElizabethMtambo-pv2ql
    @ElizabethMtambo-pv2ql ปีที่แล้ว

    Mungu nimwema kweli ooo mungu nikumbuke ata mm

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 4 ปีที่แล้ว +1

    Praise the Lord God
    Bwana YESU Asifiwe.

  • @rossellabint3682
    @rossellabint3682 5 ปีที่แล้ว +30

    Namkumbuka sana huyu dada Mungu mkubwa jamani 😢😢

    • @umarsaid9912
      @umarsaid9912 5 ปีที่แล้ว +1

      Nasi Tutabarikiwa Emen

    • @vitukobongo9841
      @vitukobongo9841 5 ปีที่แล้ว +2

      @@umarsaid9912 nawew ubarikiwe nini, acheni iman potofu, kama wew ni muislam muomb mungu tu atakufanyia wepesi katka mambo yako..

    • @umarsaid9912
      @umarsaid9912 5 ปีที่แล้ว

      @@vitukobongo9841 Inshallah

    • @moshdiv3716
      @moshdiv3716 4 ปีที่แล้ว

      nimebarikiwa sn na huyu binti

  • @salhaabuu1649
    @salhaabuu1649 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu ni mwema all the time

  • @nuhukihegulo141
    @nuhukihegulo141 5 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana BABA Nabii wetu Tanzania, endelea kusaidia mtumishi.

  • @goldensunshine8693
    @goldensunshine8693 4 ปีที่แล้ว +2

    I am happy for this girl.....God is great

  • @ahmedelalawi6143
    @ahmedelalawi6143 4 ปีที่แล้ว +2

    Mchongo huo hao mapastor au manabii wa uwongo ni matapeli . Inatengezwa game kitambo ikish badae mudanganywe na kutapeliwa kifedha hadi kingono . Im so proud to be a muslim alhamdulillah god bless

  • @upendostephen9926
    @upendostephen9926 5 ปีที่แล้ว +4

    Nilikuwa nakufwatilia madiha toka day one ubarikiwe sana

  • @estherpassaris4912
    @estherpassaris4912 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu nionekanie na mimi😢🙏🙏

  • @mohdsaid7189
    @mohdsaid7189 3 ปีที่แล้ว

    Nimelipenda jina lako Madiha Muslim mwenzangu

  • @bafaello2619
    @bafaello2619 5 ปีที่แล้ว +2

    Wow God bless you abundantly

  • @RosemaryNyalandu
    @RosemaryNyalandu 11 หลายเดือนก่อน

    Ee mungu baba mpe afya njema babayetu Jo devi❤❤❤❤❤

  • @paulinekababa524
    @paulinekababa524 5 ปีที่แล้ว +8

    God bless you

  • @glorieuseluhavo9032
    @glorieuseluhavo9032 3 ปีที่แล้ว

    Dieu m a fait grâce aksante nabii mukuuu

  • @jesicandunguru2328
    @jesicandunguru2328 3 ปีที่แล้ว +1

    😭Nasikia mapaka homa jamani duu asante sana nabii🙏🙏🙏

  • @ehstermuhoho2704
    @ehstermuhoho2704 3 ปีที่แล้ว

    God bless you nabii how l wish ninge fika pia mm penye uko natamani Sana help.

  • @cyrusmachoka5969
    @cyrusmachoka5969 5 ปีที่แล้ว +2

    Jesus love this pastor

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameen Mungu uzidi kuabudiwa

  • @fionawangeci655
    @fionawangeci655 2 ปีที่แล้ว

    Dear lord the u "ve remembered madiha remember me too,u r a great lord Amen.

  • @abdulrahmanpaskalina7627
    @abdulrahmanpaskalina7627 3 ปีที่แล้ว

    Jina la Bwana libarikiwe Nabii unapofungua watu wa Mungu nawe Mungu akutukuze🤲🙏

  • @niletrierweiler1607
    @niletrierweiler1607 5 ปีที่แล้ว +3

    Ninafurahia sana kuona mambo Kama haya, Nabii abarikiwe sanaa, ata mie ningependa kukufikia ,naona maisha yangu yakibadilika Kwa kukuona tu ata kbla kunitakasa, ubarikiwe

  • @erickjuma5751
    @erickjuma5751 4 ปีที่แล้ว +3

    Vizuri sana at mm nimependa God bless you

  • @theodorekiyaka2476
    @theodorekiyaka2476 3 ปีที่แล้ว

    Ndipoza aitwaye na mungu anapewa upako

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 5 ปีที่แล้ว +4

    She so cute,To God be the Glory,Thanks God of Father Geor Davie Amen 🙏.

  • @baudouinecikwanine4690
    @baudouinecikwanine4690 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen amen amen Mubarikiwe saana

  • @rachelmichael7331
    @rachelmichael7331 2 ปีที่แล้ว

    Amen,,,MUNGU nikumbuke na mimi

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 4 ปีที่แล้ว +5

    Pesa alizo pewa na mchungaji Tumia Tu mtoto mzuri, kazi nzuri unayo fanya na pastor

  • @zxcvzxcv1034
    @zxcvzxcv1034 5 ปีที่แล้ว +6

    Mungu wa geordavie mamtukuza asante baba wa bwana

  • @topistablandine2701
    @topistablandine2701 3 ปีที่แล้ว

    Jambo mutumichi wa mungu nakufata kutoka Congo drc mutumichi unisahidiye nateseka sana

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah hongera ❤

  • @jackobsabore4655
    @jackobsabore4655 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mtu wa Mungu kazi yako ninzuri sana sana

  • @aliceagnes4086
    @aliceagnes4086 2 ปีที่แล้ว

    Amen God bless you soo much

  • @nereahwakesho3221
    @nereahwakesho3221 5 ปีที่แล้ว +1

    Wow God bless u madiha, Mungu akuinue zaidi en God bless you man of God

  • @alpheondanzi2544
    @alpheondanzi2544 5 ปีที่แล้ว

    We dada wewe apo mbele kawivu akooo hadi unabinua kamdomo mwenzako kashatusua ivo madiha songa mbele mam na bado mwamini tu Mungu zije nyakati zako za kufurahi👏👏👏👏👏👏👍 love youuuuuuuuuuu

  • @neemashao5314
    @neemashao5314 5 ปีที่แล้ว +2

    Dah!!siongei ila nasikia kumtukuza Mungu nilimfuatilia Madiha since day 1Nataman na mm cku Mungu anikumbuke kwa kweli

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 5 ปีที่แล้ว

    Imechukua muda gani
    Mungu mkuu sana katika maisha yetu
    Unabii ni mhim sana sana

  • @hshshshddjjdd8544
    @hshshshddjjdd8544 3 ปีที่แล้ว

    Mungu nikumbuke nami🙏🙏🙏🙏

  • @sherinelugaliasherry9388
    @sherinelugaliasherry9388 5 ปีที่แล้ว +1

    Wow..am touched by her story from the first time I saw her n when she spoke up..mungu awabariki nyinyi nyote

  • @kipronoofficial6867
    @kipronoofficial6867 3 ปีที่แล้ว

    Santii sana kazi nzuri hata mm pia natamani kuwa huko Tanzania kushuhudia miujiza ya ajabu sana,napenda kazi ya mungu,niombee pia mm kazi ambayo nimeaza kuifanya mchungaji

    • @fokaskiria8863
      @fokaskiria8863 ปีที่แล้ว

      Mungu ni mwema namini nabii mkuu

    • @fokaskiria8863
      @fokaskiria8863 ปีที่แล้ว

      Nabii mkuu napenda sana kufatilia kipndi chako yutubu nabii mkuu

  • @santistkawogo9735
    @santistkawogo9735 2 ปีที่แล้ว

    Mungu mwaminifu

  • @redrosy9586
    @redrosy9586 3 ปีที่แล้ว

    Amen hakika damu ya Yesu ni ufunguoo wa kila kifungo

  • @jacklinemakena1793
    @jacklinemakena1793 4 ปีที่แล้ว +4

    Nakumbuka huyu dada wow mungu ni mwema ukweli

    • @megoj5179
      @megoj5179 3 ปีที่แล้ว

      Mungu not mungu

  • @sophiamashele6191
    @sophiamashele6191 3 ปีที่แล้ว

    For sure najiona kama huyu binti ctofautiane nahuyu binti kwa lolote bt throu ths service may almight God work upon my life in general.,