NABII MKUU ATOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA WADADA WALIOKUWA WAKIJIUZA SASA WAFANYE BIASHARA HALALI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ต.ค. 2023
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

ความคิดเห็น • 201

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 25 วันที่ผ่านมา +1

    Nabii i highly commend you for that wonderful work you have done. You have saved those young women. May the Almighty God bless you and rerr member you in His Kingdom.
    Mimi ni mama Florence Mushi[ Kimambo] former Arusha NIC. Manager. My regards to your good family.

  • @SalmanSelah
    @SalmanSelah 8 วันที่ผ่านมา

    Asante Baba;kuwa saidia hao nahisi umenisaidia mimi na wengineo zaidi;

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tz 17 วันที่ผ่านมา

    Kweli baba nimekuelewa sana na nimekukubali sana baba naomba unisamehee sana nimekuwa nikikulaumu sana kwa sababu nilikuwa sikuelewi mtumishi wa Mungu

  • @user-ic2ci1zf5k
    @user-ic2ci1zf5k 15 วันที่ผ่านมา

    Jambo zuri la kusaidia binadamu wezetu wasipotee kiongozi huyu mungu atamlipa mazuri Amin🤲

  • @HAAM670
    @HAAM670 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ok. Huyu sasa ndo nabii mkuu, leo ndo nimemjua mwenyewe kwa akili zangu. Sio huyo mnaye msema sema. God bless you chief prophet.

  • @IMODESIGNER-ej6gj
    @IMODESIGNER-ej6gj 17 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa Tendo hili Umefanya Jambo jema la kuwafunika miili yao

  • @fredrickomwega8250
    @fredrickomwega8250 8 หลายเดือนก่อน +4

    Great work... Man of God.. I salute your efforts to support those ladies. They deserve a second chance in life. Umewatoa misri.

  • @RoseMapunda-pd6vg
    @RoseMapunda-pd6vg 4 หลายเดือนก่อน +2

    Pesa za kipepe zinaendelea kufanyakaz

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 9 หลายเดือนก่อน +4

    Amen..Amen Glory be to God kwa kazi hii kubwa ya Mungu ...❤❤❤❤...Thank u God kwa Nabii mkuu...kwakwel anayesema huyu sii Nabii mkuu shetani yuko nyuma yake

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 9 หลายเดือนก่อน +6

    "Kazi nizifanyazo mtafanya na kubwa kuliko.....",Hii ndiyo maana yake 🙏🙏 Daddy ❤

    • @rosemuhandoofficial5676
      @rosemuhandoofficial5676 9 หลายเดือนก่อน +3

      Aminaaaaaa,, waache wasiomjuwa Mungu na matendo yake wapuyange midomo,Hawana hela,Hawana Elimu,Hawana chochote na wala hawajui nini maana ya Ukuu wa Mungu na wala hata Yesu mwenyewe hawanjui na matendo yake makuu,wanekalia kupiga ngumu ukuta, Mungu akubariki baba Geordavie

    • @user-ob4yx3zg4d
      @user-ob4yx3zg4d 7 หลายเดือนก่อน

      Amina

    • @PaskalinaNgiliule
      @PaskalinaNgiliule 5 หลายเดือนก่อน

      Amina dada Roz

  • @dainessukosi
    @dainessukosi 9 หลายเดือนก่อน +4

    Baba mungu akutunze haya unayoyafanya ni ZAIDI ya upendo yaani machozi yamenitokankwa majengo yako ya hekima

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 8 หลายเดือนก่อน +1

    Je mungu afanye nini kwa ajili yako nabii naamini mungu atakuzididishia mapesa mengi sana mkono unaotoa ndio unaopokea zaidi

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki sana baba wewe nimtumishi wa mfano mimi nalia tu nikiangalia jinsi unavohudumia watoto wako

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuzidishie nabii mkuu geordavie the king of father over the world

  • @JoshuaMuyanjizi
    @JoshuaMuyanjizi 19 วันที่ผ่านมา

    Baba kaz nzur wanaokusema vibaya mungu anawaona

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 9 หลายเดือนก่อน +1

    Baba, Mungu amekuita kweli. Asante sana nabii mkuu 🙏🏻🙏🏻👍🏽👍🏽🌺🌺🌹🌹🌻🌻💐💐

  • @dianahussein8934
    @dianahussein8934 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ivi mungu amekushusha ujeukomboe vizazi kiukweli

  • @user-ni6vz5sk6p
    @user-ni6vz5sk6p 6 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana prophet wewe ni mfano wa kuigwa ukiwasaidia wengne kwangu Mimi inatosha sio lazima tusaidiwe wote

  • @lucylaizer-dv5yc
    @lucylaizer-dv5yc 8 หลายเดือนก่อน +1

    Daah hii sijui tusemeje lakini ni zaidi ya upendo, baba Mungu akubariki na uzao wako

  • @judicasarakikya9315
    @judicasarakikya9315 27 วันที่ผ่านมา

    Baba Mungu Akulinde tu na hilo Kundi la Mwisho usije ingia majaribuni mahana , kwa mtazamo wangu naona wao dhairi ksbisa shida zao ni hela tu na endapo hela ikisha wanaonekana tu watarudia mambo yao !! Angalia hata wakivyo vaa utazani siyo kanisani!!

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 9 หลายเดือนก่อน +6

    UBARIKIWE SANA NABII MKUU!MUNGU AKUTUNZE!KAZI YAKO NI NJEMA SANA.

  • @josephlucas2786
    @josephlucas2786 9 หลายเดือนก่อน +6

    🙏 naomba na Mimi nimsaidie mmoja 1mln ya mtaji atakao itaji

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tz 17 วันที่ผ่านมา

    Amina Nabii zMungu akubariki

  • @estarmwakatage220
    @estarmwakatage220 8 หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa na uduma yako mungu akubaliki kupitia uduma yako nimeona mtandaoni ukiwaudumia watu ata Mimi nimependezewa na uduma yako ninaitaji unikumbuke naitaji msaada wako ninashida na milioni moja naitaji kufanya biashara Sina mtaji baba Niko mbeya mungu akuzidishie uishi miaka mia

  • @mohamediradukunda3996
    @mohamediradukunda3996 8 หลายเดือนก่อน +2

    Baba Sisi warundi tunakukubari san mungu azidi kukubariki

  • @judicasarakikya9315
    @judicasarakikya9315 27 วันที่ผ่านมา

    Mfano wa Kuigwa Baba Mchungaji, Mungu Akubariki Sana

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 5 หลายเดือนก่อน

    Amina nabii mkuu mungu akubariki baba na ninaomba na mimi unifungue kwa damu ya yesu na umponye mwanangu

  • @HAAM670
    @HAAM670 3 หลายเดือนก่อน

    God bless chief Prophet GEOR DAVIE

  • @RuthJeptoo-sc9ox
    @RuthJeptoo-sc9ox 6 หลายเดือนก่อน

    God bless you daddy hii yote inanikusa Sanaa mimi pia niko hivyo daddy uniombee nifanikiwe nitoke kwenye hii shida kama wao nina watoto watatu daddy secondary sina jojote ninajiusa pia ndio nipate pesa ya nyumba na school fees ninapitia mambo mingi daddy ninakufutia kwa simu uniombee

  • @richardmollely2933
    @richardmollely2933 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe ubarikiwe sana nakutakia mafanikio makubwa Amen kazi hiyo ndio kazi wito Mkuu wa Mungu kweli kabisa

  • @user-vw7sk8li1l
    @user-vw7sk8li1l 2 หลายเดือนก่อน

    Congratulations prophet, for taking them through processing, because processing is always greater than the results

  • @GahimbareMariechantal
    @GahimbareMariechantal 26 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu 😭😭😭😭😭😭😭 nitakupataaje uniombee mutumishi wa Mungu kwakweli namuomba Mungu akubaliki sana sana 🙏🙏🙏🙏

  • @OmarAli-bj2cw
    @OmarAli-bj2cw 8 หลายเดือนก่อน +2

    GOD bless u man of God

  • @user-yo2ny1bj3u
    @user-yo2ny1bj3u 5 หลายเดือนก่อน

    Baba Asante mungu akubali maneno machache kazi kubwa zaidi

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 6 หลายเดือนก่อน

    Ukwer mzee nakufatilia sn Ila ww na diamond platinumz umebalikiwa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwer mzee nime elewa maana ya kua Kiongozi bora

  • @GodfreyBashonsho
    @GodfreyBashonsho 22 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubark sana

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akuongezee Nabii mkuu

  • @elizabethmushi7424
    @elizabethmushi7424 8 หลายเดือนก่อน +1

    Baba nimelia Hadi kichwa kinauma hakika umechaguliwa na Mungu Mengi. Alikua mfadhili wa walemafu kimwili ww. Umeinuliwa nyanja. Zote kimwili na kiroho makahaba wahitaji na wote wenye shida Baba nashindwa. namna ya kutafakari hekima uliyonayo niseme 2 Mungu akupe miaka 120 ya kuishi dunia I ukiwa smati kama ulivyo

  • @elizabethmushi7424
    @elizabethmushi7424 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakufuatilia Sana kuna siku mama y'ako alisimama madhabahuni akielezea namna ulinyokua nilikufurahiya Sana kipaji Chako ulikianzia tumboni mwa mama Mungu akutunze Bb

  • @joycehaule9686
    @joycehaule9686 9 หลายเดือนก่อน +2

    Unamoyo wa huruma xn Mungu akutunze 🙌😔

  • @enocktuza1819
    @enocktuza1819 8 หลายเดือนก่อน

    Kazihii imenitoa machozi ya furaha. Mungu wangu àkutunze. Umetimiza maandiko, " Nilikuwa na njaa ukanipa chakula".

  • @JohnpNtilema
    @JohnpNtilema 8 หลายเดือนก่อน +1

    Baba pia nawanaume wanao nunuwa shiva's nao waje waokoke ngurumo Ina sauti Dunia nzoma ammmmmmmen

  • @christinakomba689
    @christinakomba689 หลายเดือนก่อน

    Mungu atakulipa acha wakutukane,mimi nakupenda sana

  • @ReginaRombo-ug7uj
    @ReginaRombo-ug7uj 9 หลายเดือนก่อน +1

    Baba mungu akubariki sana Kwa upendo na utu uliyo nayo

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hili jamaa freemason anapotosha watu nabii wa uwongo ww utawapata ao au njaa kali

  • @user-ef4vb1it1l
    @user-ef4vb1it1l 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nabii mkuu nimeguzwa na matendo hayo,natamani usaudizi wa maombi,nimekuwa kwa ndoa miaka mitano na Sina mtoto,Naomba uniombee.

    • @LucyTengeneza-ej4rb
      @LucyTengeneza-ej4rb 8 หลายเดือนก่อน

      Nabii Mkuu haombi. Anatamka. Ameshapewa mamlaka ya kufanya hayo na Bwana Yesu.

  • @nehemiakahangwa1091
    @nehemiakahangwa1091 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe niazina mungu akupe maisha malefu

  • @user-yn3xu3nm4t
    @user-yn3xu3nm4t 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu wewe wa kweli umeponya kondoo waliopotea

  • @ibrahimzabron4619
    @ibrahimzabron4619 8 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana mtumishi

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nabii mkuu Mungu akupeleke mbali sana

  • @angelamarlow4834
    @angelamarlow4834 4 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wa Mungu ninashida naomba msaada maana mbaka naamua kukutafuta si kwa uwezo wangu bali Mungu ndo amenionyesha nikutafute

  • @kiyesterday
    @kiyesterday 8 หลายเดือนก่อน

    This is amazing and very believable you really a man of God royal prophet and I'm proud me saying you my spiritual father

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya278 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kazi njema

  • @happynessyohana9568
    @happynessyohana9568 4 หลายเดือนก่อน

    Baba mungu akubaliki kwa kazi nzuri❤❤❤❤

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kikupa maono na kukuinua mtumishi qa mungu maana niwatumishi wachache wenyemzigo na wenye uhitaji maana yani apo mtumishi wa mungu umenisuru vifo vyao maana umepanda mbegu ndani yao

  • @user-vw7sk8li1l
    @user-vw7sk8li1l 2 หลายเดือนก่อน

    Y❤❤es Prophet, remain focus that God has called you to do, Remember, what people doesn't know they call names, and they know they destroy,.

  • @tikisaelikivuyo4030
    @tikisaelikivuyo4030 8 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana awa mliowapa pia wafatiliwe

  • @adenisaac7599
    @adenisaac7599 8 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana mchungaji

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 9 หลายเดือนก่อน +2

    God bless your path,

  • @QueenElizabeth-ws6rp
    @QueenElizabeth-ws6rp 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie nabii mkuu

  • @janethsempiga970
    @janethsempiga970 8 หลายเดือนก่อน +1

    God's movement..fire fire 🔥

  • @sofiaantonioantonio7265
    @sofiaantonioantonio7265 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu ajazie kikapu chako ulipo punguza na Mto wa Fedha usikauke kwako!

  • @bambuguyasamuel3107
    @bambuguyasamuel3107 9 หลายเดือนก่อน +1

    ❤Kazi Nzuri Inaonekana Kabisa

  • @user-en6dk7et2x
    @user-en6dk7et2x 29 วันที่ผ่านมา

    Mungu azidi kukubariki mtumishi

  • @johnelias2
    @johnelias2 8 หลายเดือนก่อน

    Heshima kwako na kwa Mungu wako IMEKUWA alama kwetu pia

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 9 หลายเดือนก่อน +1

    Prophet Mungu akutunze sana

  • @BAHATIAMRI
    @BAHATIAMRI 8 หลายเดือนก่อน +2

    Zamani nilikuwa sikuelewi kabisa na nilikua nakupinga sasa nimekuelewa hakika una Mungu tena wewe ni nabii

  • @johnstony4938
    @johnstony4938 23 วันที่ผ่านมา

    Wanao tukana Yesu Yuko karibu kuja mtumishi endelea mbele

  • @antonydorian1402
    @antonydorian1402 28 วันที่ผ่านมา

    God bless you

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 8 หลายเดือนก่อน

    Ubalikiwe sana baba mungu akutunze baba❤❤

  • @GraciaMbayo-hb4jc
    @GraciaMbayo-hb4jc 2 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi unachofanya unanibariki sana

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tz 17 วันที่ผ่านมา

    Kweli mtumishi wa Bwana

  • @HAAM670
    @HAAM670 3 หลายเดือนก่อน

    God bless chief prophet

  • @Dancanchege
    @Dancanchege 8 หลายเดือนก่อน +2

    Glory be to God 🙏🙏🙏

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana nabii

  • @respiciuscronery1133
    @respiciuscronery1133 9 หลายเดือนก่อน +1

    We Mzee nimekupenda bure

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki baba akupe miaka mingi

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c 24 วันที่ผ่านมา

    🎉wachungaji wengi hawatoi

  • @veroniquemango1114
    @veroniquemango1114 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu aku bariki sana 🇨🇩🇨🇩

  • @hassanzuberi9091
    @hassanzuberi9091 6 หลายเดือนก่อน

    Nimependezwa na utendakazi wako mtumishi🎉

  • @dianahussein8934
    @dianahussein8934 8 หลายเดือนก่อน +1

    Baba mlezi wawalio angu na kutuinua ninawiutaji wakuinuliwa kiroho na kimaisha mimi mwanaoninawatoto2 ninamama yangu wote wananitegemea nimeachishwa kazi na ninamwezi natamani office lakini sina msingi
    Natamani niwasaidie wanangu baba umeokoa vizazi vingi tafadhali okoa chakwangu baba

  • @mayungakisinza6090
    @mayungakisinza6090 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kiukweli baba wewe naweza kusema ni namba moja kwa huduma kwa hili ulilo lifanya nimeguswa Sana mungu aendelee kukuinua zaidi.

  • @MusukwaAmos
    @MusukwaAmos หลายเดือนก่อน

    More Grace nambii

  • @successelias9362
    @successelias9362 28 วันที่ผ่านมา

    Nimelia, jamani ,, mungu akutumie Zaid usaidie watu

  • @user-rh7ue1og9n
    @user-rh7ue1og9n 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @ChristinaShirina
    @ChristinaShirina 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuinue sana

  • @LovessAbll-sf2vp
    @LovessAbll-sf2vp 9 หลายเดือนก่อน

    Asante baba

  • @InnocentMlembe-qt9fd
    @InnocentMlembe-qt9fd หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe na mungu

  • @QueenElizabeth-ws6rp
    @QueenElizabeth-ws6rp 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubali nabii

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 9 หลายเดือนก่อน

    MUNGU NDIVYO ANAVYOFANYA KAZI YAKE❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ReubenMichael
    @ReubenMichael 5 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda San San baba yangu ❤

  • @elizabethmushi7424
    @elizabethmushi7424 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna watu wanatafuta kiki kupambana na wewe kumbe ndo wanangamia kea kia wanapambana na. Mungu mwenyewe

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 8 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana baba

  • @JoeNdungu-co2re
    @JoeNdungu-co2re 3 หลายเดือนก่อน

    Mara ya kwanza to watch this channel.
    Hope to get transport and to visit your church for deliverance, stagnation and rejection

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula5261 2 หลายเดือนก่อน

    Yesu samehe watumishi wako..

  • @abibumbota5160
    @abibumbota5160 8 หลายเดือนก่อน

    Upendo mkubwa❤❤❤❤

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 8 หลายเดือนก่อน +1

    kweli huyu ni mtumishi was Mungu

  • @estarmwakatage220
    @estarmwakatage220 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki baba

  • @dianahussein8934
    @dianahussein8934 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikua siamini kwajina ulikonalo hakika kweli wewe nibaba mkuuu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 8 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU AKUBARIKI SANA