NABII MKUU ATOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA WADADA WALIOKUWA WAKIJIUZA SASA WAFANYE BIASHARA HALALI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ต.ค. 2023
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Nabii i highly commend you for that wonderful work you have done. You have saved those young women. May the Almighty God bless you and rerr member you in His Kingdom.
Mimi ni mama Florence Mushi[ Kimambo] former Arusha NIC. Manager. My regards to your good family.
Asante Baba;kuwa saidia hao nahisi umenisaidia mimi na wengineo zaidi;
Kweli baba nimekuelewa sana na nimekukubali sana baba naomba unisamehee sana nimekuwa nikikulaumu sana kwa sababu nilikuwa sikuelewi mtumishi wa Mungu
Jambo zuri la kusaidia binadamu wezetu wasipotee kiongozi huyu mungu atamlipa mazuri Amin🤲
Ok. Huyu sasa ndo nabii mkuu, leo ndo nimemjua mwenyewe kwa akili zangu. Sio huyo mnaye msema sema. God bless you chief prophet.
Asante kwa Tendo hili Umefanya Jambo jema la kuwafunika miili yao
Great work... Man of God.. I salute your efforts to support those ladies. They deserve a second chance in life. Umewatoa misri.
Pesa za kipepe zinaendelea kufanyakaz
Amen..Amen Glory be to God kwa kazi hii kubwa ya Mungu ...❤❤❤❤...Thank u God kwa Nabii mkuu...kwakwel anayesema huyu sii Nabii mkuu shetani yuko nyuma yake
"Kazi nizifanyazo mtafanya na kubwa kuliko.....",Hii ndiyo maana yake 🙏🙏 Daddy ❤
Aminaaaaaa,, waache wasiomjuwa Mungu na matendo yake wapuyange midomo,Hawana hela,Hawana Elimu,Hawana chochote na wala hawajui nini maana ya Ukuu wa Mungu na wala hata Yesu mwenyewe hawanjui na matendo yake makuu,wanekalia kupiga ngumu ukuta, Mungu akubariki baba Geordavie
Amina
Amina dada Roz
Baba mungu akutunze haya unayoyafanya ni ZAIDI ya upendo yaani machozi yamenitokankwa majengo yako ya hekima
Ana majengo ya hekima?
Je mungu afanye nini kwa ajili yako nabii naamini mungu atakuzididishia mapesa mengi sana mkono unaotoa ndio unaopokea zaidi
Mungu akubariki sana baba wewe nimtumishi wa mfano mimi nalia tu nikiangalia jinsi unavohudumia watoto wako
Mungu akuzidishie nabii mkuu geordavie the king of father over the world
Baba kaz nzur wanaokusema vibaya mungu anawaona
Baba, Mungu amekuita kweli. Asante sana nabii mkuu 🙏🏻🙏🏻👍🏽👍🏽🌺🌺🌹🌹🌻🌻💐💐
Ivi mungu amekushusha ujeukomboe vizazi kiukweli
Nakukubali sana prophet wewe ni mfano wa kuigwa ukiwasaidia wengne kwangu Mimi inatosha sio lazima tusaidiwe wote
Daah hii sijui tusemeje lakini ni zaidi ya upendo, baba Mungu akubariki na uzao wako
Baba Mungu Akulinde tu na hilo Kundi la Mwisho usije ingia majaribuni mahana , kwa mtazamo wangu naona wao dhairi ksbisa shida zao ni hela tu na endapo hela ikisha wanaonekana tu watarudia mambo yao !! Angalia hata wakivyo vaa utazani siyo kanisani!!
UBARIKIWE SANA NABII MKUU!MUNGU AKUTUNZE!KAZI YAKO NI NJEMA SANA.
🙏 naomba na Mimi nimsaidie mmoja 1mln ya mtaji atakao itaji
Nisaidie hata Mimi ndugu, utabarikiwa
Huko hawako!??
Mimi nipo hapa
Ivi ndivovitu serekali ingeviunga mkono
0654
Amina Nabii zMungu akubariki
Nimebarikiwa na uduma yako mungu akubaliki kupitia uduma yako nimeona mtandaoni ukiwaudumia watu ata Mimi nimependezewa na uduma yako ninaitaji unikumbuke naitaji msaada wako ninashida na milioni moja naitaji kufanya biashara Sina mtaji baba Niko mbeya mungu akuzidishie uishi miaka mia
Baba Sisi warundi tunakukubari san mungu azidi kukubariki
Mfano wa Kuigwa Baba Mchungaji, Mungu Akubariki Sana
Amina nabii mkuu mungu akubariki baba na ninaomba na mimi unifungue kwa damu ya yesu na umponye mwanangu
God bless chief Prophet GEOR DAVIE
God bless you daddy hii yote inanikusa Sanaa mimi pia niko hivyo daddy uniombee nifanikiwe nitoke kwenye hii shida kama wao nina watoto watatu daddy secondary sina jojote ninajiusa pia ndio nipate pesa ya nyumba na school fees ninapitia mambo mingi daddy ninakufutia kwa simu uniombee
Wewe ubarikiwe sana nakutakia mafanikio makubwa Amen kazi hiyo ndio kazi wito Mkuu wa Mungu kweli kabisa
Congratulations prophet, for taking them through processing, because processing is always greater than the results
Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu 😭😭😭😭😭😭😭 nitakupataaje uniombee mutumishi wa Mungu kwakweli namuomba Mungu akubaliki sana sana 🙏🙏🙏🙏
GOD bless u man of God
Baba Asante mungu akubali maneno machache kazi kubwa zaidi
Ukwer mzee nakufatilia sn Ila ww na diamond platinumz umebalikiwa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwer mzee nime elewa maana ya kua Kiongozi bora
Mungu akubark sana
Mungu akuongezee Nabii mkuu
Baba nimelia Hadi kichwa kinauma hakika umechaguliwa na Mungu Mengi. Alikua mfadhili wa walemafu kimwili ww. Umeinuliwa nyanja. Zote kimwili na kiroho makahaba wahitaji na wote wenye shida Baba nashindwa. namna ya kutafakari hekima uliyonayo niseme 2 Mungu akupe miaka 120 ya kuishi dunia I ukiwa smati kama ulivyo
Nakufuatilia Sana kuna siku mama y'ako alisimama madhabahuni akielezea namna ulinyokua nilikufurahiya Sana kipaji Chako ulikianzia tumboni mwa mama Mungu akutunze Bb
Unamoyo wa huruma xn Mungu akutunze 🙌😔
Kazihii imenitoa machozi ya furaha. Mungu wangu àkutunze. Umetimiza maandiko, " Nilikuwa na njaa ukanipa chakula".
Baba pia nawanaume wanao nunuwa shiva's nao waje waokoke ngurumo Ina sauti Dunia nzoma ammmmmmmen
Mungu atakulipa acha wakutukane,mimi nakupenda sana
Baba mungu akubariki sana Kwa upendo na utu uliyo nayo
Hili jamaa freemason anapotosha watu nabii wa uwongo ww utawapata ao au njaa kali
Nabii mkuu nimeguzwa na matendo hayo,natamani usaudizi wa maombi,nimekuwa kwa ndoa miaka mitano na Sina mtoto,Naomba uniombee.
Nabii Mkuu haombi. Anatamka. Ameshapewa mamlaka ya kufanya hayo na Bwana Yesu.
Wewe niazina mungu akupe maisha malefu
Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu wewe wa kweli umeponya kondoo waliopotea
Barikiwa sana mtumishi
Nabii mkuu Mungu akupeleke mbali sana
Mtumishi wa Mungu ninashida naomba msaada maana mbaka naamua kukutafuta si kwa uwezo wangu bali Mungu ndo amenionyesha nikutafute
This is amazing and very believable you really a man of God royal prophet and I'm proud me saying you my spiritual father
Ni kazi njema
Baba mungu akubaliki kwa kazi nzuri❤❤❤❤
Mungu azidi kikupa maono na kukuinua mtumishi qa mungu maana niwatumishi wachache wenyemzigo na wenye uhitaji maana yani apo mtumishi wa mungu umenisuru vifo vyao maana umepanda mbegu ndani yao
Y❤❤es Prophet, remain focus that God has called you to do, Remember, what people doesn't know they call names, and they know they destroy,.
Safi sana awa mliowapa pia wafatiliwe
Barikiwa sana mchungaji
God bless your path,
Mungu akuzidishie nabii mkuu
God's movement..fire fire 🔥
Mungu ajazie kikapu chako ulipo punguza na Mto wa Fedha usikauke kwako!
❤Kazi Nzuri Inaonekana Kabisa
Mungu azidi kukubariki mtumishi
Heshima kwako na kwa Mungu wako IMEKUWA alama kwetu pia
Prophet Mungu akutunze sana
Zamani nilikuwa sikuelewi kabisa na nilikua nakupinga sasa nimekuelewa hakika una Mungu tena wewe ni nabii
Wanao tukana Yesu Yuko karibu kuja mtumishi endelea mbele
God bless you
Ubalikiwe sana baba mungu akutunze baba❤❤
Mtumishi unachofanya unanibariki sana
Kweli mtumishi wa Bwana
God bless chief prophet
Glory be to God 🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana nabii
We Mzee nimekupenda bure
Mungu akubariki baba akupe miaka mingi
🎉wachungaji wengi hawatoi
Mungu aku bariki sana 🇨🇩🇨🇩
Nimependezwa na utendakazi wako mtumishi🎉
Baba mlezi wawalio angu na kutuinua ninawiutaji wakuinuliwa kiroho na kimaisha mimi mwanaoninawatoto2 ninamama yangu wote wananitegemea nimeachishwa kazi na ninamwezi natamani office lakini sina msingi
Natamani niwasaidie wanangu baba umeokoa vizazi vingi tafadhali okoa chakwangu baba
Kiukweli baba wewe naweza kusema ni namba moja kwa huduma kwa hili ulilo lifanya nimeguswa Sana mungu aendelee kukuinua zaidi.
More Grace nambii
Nimelia, jamani ,, mungu akutumie Zaid usaidie watu
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Mungu akuinue sana
Asante baba
Ubarikiwe na mungu
Mungu akubali nabii
MUNGU NDIVYO ANAVYOFANYA KAZI YAKE❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakupenda San San baba yangu ❤
Kuna watu wanatafuta kiki kupambana na wewe kumbe ndo wanangamia kea kia wanapambana na. Mungu mwenyewe
Ubarikiwe sana baba
Mara ya kwanza to watch this channel.
Hope to get transport and to visit your church for deliverance, stagnation and rejection
Yesu samehe watumishi wako..
Upendo mkubwa❤❤❤❤
kweli huyu ni mtumishi was Mungu
Mungu akubariki baba
Nilikua siamini kwajina ulikonalo hakika kweli wewe nibaba mkuuu
MUNGU AKUBARIKI SANA