#UNABII
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
Nabii mkuu ngurumo ya upako napokea na kufunguliwa milango ya baraks in mighty name Jesus Christ.Amen...........................
Amen,mchungaji niombee nami nifike mikononi wako kwa tamko.
Huyu ni Nabii mkuu siyo Mchungaji
Max Love karibu ni kisongo ngurumo ya upako
Boniventure Marrirey thanks kwa kunirekebisha,God bless u.
Albert Ntola Asante natamani sana kuona nabii Mkuu.
Amen
Napokeya baraka,uponyaji na ufungulivu katika jina la yesu christu, Amen 🤲🙏
Mungu akubariki baba kwa kazi nzuri
Ameen prophet Geor Davie mungu akubariki sana niombe na mimi baba
Baba mungu akuongezee milango ya baraka
Amen asante baba kwa kunitoa kwenye hilo shimo Amen
Nabarikiwa xn nampenda Baba yangu wa kiroho by Mussa kijiko
I feel blessed how GoD is using his servant
I connect my brother to this prophecy he is delivered IN JESUS MIGHTY NAME AMEN
ameee
Amina
Asante sana Baba kwa ufungulivu
Thank you senior prophet Dr Geordavie I appreciate
Love u daddy
baba naomba nsaidie nteseka sana
GOD is Good
Kazi nzurii sana
Amen!
Nabii naomba maombi yako katika familia yetu na Dada yangu ni mwendazimu
Amina sana
Huyu ndio baba yangu sio mchungaji ni nabii yani msemaji wa ufalme wa mungu duniani
Mungu akinibariki nitafika apo
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nabii namm napokea naiwe kwangu kwa jina la YESU MUNGU ailinde mimba ya mkewangu ajifungue salama
Nabii wa mungu niombee na Mimi kila mtu yeyote ninae mdai akaweze kulipa pesa yangu kabla hii mwezi uishe
Ameeni
In kenya pray for me I have hearing problem chest and stomach.
Nataka nimkabidh yesu maisha yangu kupitia huyu baba na kabisa lake
Ameen
Nabii na Mimi niombe nipate kazi nzuri na afya nzuri kila nitakapo enda nipokelewe vizuri na niwe mwenye bahati
Hakika baba nabarikiwa
amen
Amen kubwaaa
I would like to know where exactly I can get you, which part in Arusha cause I have known the headquarters is there. When I called your number it is never picked , am from Kenya
Powerful
amina
Amen
Hi
Hakika mungu mwema
Baba wewe ni hatari,eee,bwana wangu yesu akubariki mara dufu
nasikiliza sana shuhuda zako lakini sijawahi kusikia ukimtaja Yesu mm ndo nashindwa kukuamini
Mimi nimeza sikia nabii akitaja jina la Yesu ebu fuatilia kwa utube maonyesho yote utasikia,lakini kuna swali na kuuliza ? Yesu alikuwa nabii mkuu wa wakati huo na tena alikuwa mwana wa mungu, na tena alikuwa baba, cha mhimu ni kujua kuna mungu aliye umba mbingu na nchi na kila mtu, Bwana Yesu alikuja kuokoa,Kazi ya Nabii ni kutoa watu kwenye kufinyika maisha na kuwaonyesha vile kutakuwa maishani ili waweze kubadîlika,isitoze nabii ni wa kila mtu hana dini uwe mslam au kabiri au mchristo ,yeye tu ni nabii wa wakati huo kwa mjira hiyo,Kwa hivyo nabii mkuu geordavîe ni nabii wa wakati huu nampenda sana huyu nabii namfuatilia ni kiwa kenya, Kwa kweli wanatanzania mmebariki, Na ni vizuri usome bibilia sana agano la kale vitabu za wanabii ujue kazi yake usiwe na suku tena kuhuzu Nabii Mkuu GeorDavie
Glory Nguma tatizo walioweka msingi wa neno la Mungu kwako nakwangu ndio walio kosea ndiomaana tunapatashida ukitaka kumwamini Nabii Mkuu lazima usikilize mafundisho yake na watumishi wake na baadhi ya watumishi wanaosema kweli ya Mungu bila kupindisha
Kwani umetumwa ungalie siutafute kazi ya kufanya huku TH-cam ukimtaja YESU na sisi tukuamini
@Glory Nguma Nabii amepewa mamlaka yakutamka soma wafalme wa kwanza sura 2 mstari wa 4 na 12
Naomba uniombee baba nafanya kazi Saudi arabia na Sina amani kabisa nikishika peza zangu anaishi tu sioni inaenda wapi🙏🙏
Baba tuko pamoja unikumbuke na mm kea maombi na unabii
Jmn samahan huyu baba anasut hiyo tu mbn km kilia video sut hiyo
Chunguza Kwa makini ana suti za design nyingi mno ila kinacho kuchanganya ni huo weupe wa suti zake.
@@R.Dickon mh
@@jacklinamani7519 mbona waguna
Jacklin amani unapenda suti angalia vizuri utaona utofauti wa izo suti nakila siku anapiga mpya tu
Jacklin amani mbona wachungaji wanavaa majoo amuoji kuhusu ayo majoo yakianzia sandy school mpaka leo unayaona baba nabii Mkuu anazo kibao tena mpya tu
Niko Tabora lakin namfualia nabii mkuu kwa you tube
yaani mimi. Baba mtumishi lazima nije uko yaani
Usiofu nimpenda watu baba yangu njoo tu kwani unaishi wap
Ili kanisa linapatikana mkoa gani
Arusha
KANISA LIPO JIJI LA ARUSHA...NJE KIDOGO YA MJI...ENEO LINAITWA KISONGO.. UKIFIKA PALE ULIZIA.... NGURUMO YA UPAKO (CHUO KIKUU CHA MANABII) HAKIKISHA UKIFIKA UNAKUTANA NA HAYA MAANDISHI GETINI KWA JUU... NA HAPO UTAKUA UMEFIKAA NDO NYUMBANI KWETU NDUGU KARIBU SANAAA
You to prove to the people that your miracles are true you are not supposed to give the Secrets of the People especially to a woman where we see you break their inner secrets where the god has hidden That is unacceptable and you will have done them no justice
Nabii mimi nakufataa apo congo rdc natamani kabisa kukuhona jinalangu andrea kabeya nabii mku unisahidiye mahisha siyosawa sinakazi mimi baba wawa totosita mukemoja dinalake maria kabeya
Rukwa sumbawanga lini jmn
Mama kanumba
m nataka kujua mwanza unakuja ln baba nabii
Amina mtumishi, napenda kufika katika kanisha lako mie niko dodoma, kanisa liko wapi?
Nabi niombe na mm unifunguwe
Baba tuone nasisi ktk maombi
Nahitaji maombe yako baba
Usanii tuu lakini at least anawafanya waache ujambazi
Usijitafutie laana ndugu usiombi hili likukute huyu mtumishi mungu anamtumia ipasavyo alichoniambia ndivyo illivyokuwa na hanifahamu wala sijawai kumuambia matatizo yangu
@@emmanuelmollel5636 good for you and hopefully umeacha ujambazi
@@kamanda007 unaona unavyokurupuka sasa kuwa makini uliona video au ulidandia kwa mbele tu
kama kaiba vitu vya watu arudishe,, polic uyo msubirin mlango akitoka tu msepe naye
Ameacha sasa ....siamekiri?
Ameshakufa huyo kaka kwenye tukio la ujambazi
Natamaini nikuone live maana matatizo niliyo kuwanayo hata kusimulia nashindwa
Amen
Amina
Mungu wako nabii awe mungu wangu
Amen.
Amen
Amen