#MAHUSIANO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ม.ค. 2021
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Hii sio sawa kabsaaa me nadhan njia njema angewaita faragha jmniiii, unaweza ua mtu kwa presha et😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kabisaaaaaa kwa hapa amewadhalilisha Sana Ni bora angewaita pembeni maana Hawa tayari Ni Wana ndoa
Dhambi haina faraga
Hapana hii nizuri zaidi kwaajili yakuwajengawegine pia ndani yakanisa
Huu ndio ubaya miongoni mwa mabaya mengi ya ukiristo kudhalilisha watu
Kurekebisha dhambi haina faraga.hiki alochofanya nabii mkuu na wengine wanajifunza na kujirekebisha wenyewe. Ingefanyika faragha wengine wasingejifunza.Asante
Kwa kanisa kubwa Kama hili vijana na mabinti wa Aina hii huwezi kuwakosa kanisani Mungu tupe Neema Tuongoze Hawa kondoo salama
Baba yangu,baba yangu ninaekupenda,kweli wewe ni nabii mkuu tena mungu anakutumia vipasavyo,be blessed mhe.Nabii Mkuu
Watanzania angalini sana hawa manabii wanapenda sana kutenganisha ndoa sawatu na yeye yesu yule mwanamke alie vumaniwa kasamehewa bure kwambiwa wakwaapi wates wako
Amen.kweli baba una Roho wa Bwana yu juu yako.kitendo ulichokifanya hapo si cha kawaida ni advanced sana.ubarikiwe mtu mkuu wa Mungu
Watu mnateseka aiseh na haya yanatokea hasa pale mwanadamu anapomtegemea mwanadamu mwenzie na kumsahau Mungu hatimaye kudhalilishwa mbele ya hadhira
Amini kuna watumishi wa Mungu na kuna wacaguliwa
Nachukia sana aibu hii sijawahi ona mtumishi wa mungu asiyekua Na kifua inaonekana huyu mtumishi yupo kimwili Wala si kiroho watu wa mungu someeni sana Bible Na mungu atusaidie
Very right bibilia inasema watu wangu watapotea kwa kukosa kujuwa maandiko.
Dada acha wajinga wadanganywe,hakuna utumishi wa jinsi hiyo huo,unaitwa upumbavu.( hayo ni mambo ya ofisini sio madhabahuni) Mungu hakuwahi kudharirisha biblia ni amini na kweli.huo ni unabii wa kusomea saikolojia za watu,sio unabii wa mafunuo kutoka ofisi ya mbinguni.
Pole dada mwenye watoto...MUNGU Ni MKUBWA watakua tu
Shikamoo baba, Naomba. Kwa hisani yako ufunguo kanisa hapa Kenya, Napenda huduma yako sana sana ili nasi tukaweze kunywa maji kwenye kizima chako
Jamani kama mnaigiza kwaajili ya kufurahisha watu mungu anawaona
Ndo dawa mmezid
True this is man of God watching all the way kenya
Barikiwa Nabii.
Nabarikiwa sana kwa mafundisho yako.
Asante sana mtumishi wa Mungu nakufwatilia nikiwa narobi Kenya nimeumia sana na nimenjutia dhambi zangu zote na ninakili katika jina ra yasu mwana wa Mungu nimenziacha kuwanzia reo jina ra Bwana Mungu na damu ya yesu kristo msarabani ikaniongonze handi nitakapo Kutana na wewe
Nahisi ni Sanaa tu inachezwa lakini ya Ngoswe tumwachie Ngoswe mwenyewe.....Sanaa tuuu....
Mh....iii maelezo yako bado hayajashibisha juu ya ukweli unaoufunua zaidi ya kuona visa na matukio ya kutungwa ni wazi sikatahi kile unachokitoa kwa wale wanaokuamini....unajua sasa watu wengi hujificha katika dini katika kuyatimiza mahitaji yao ya msingi,mara nyingi huwa napenda kujadili juu ya ukweli unaofanywa na baadhi wa viongozi wa dini ambao uitumia dini ni Kama ni chombo Cha kutekeleza biashara zao.....siku njema, ukweli anaujua Mungu pekee...
Naitwa zachalia daudi msaada wangu mkubwa ninaombi naomba mala 3 naomba tena mala3 naomba nipatetu namba ya nabii mungu tena jambo juu ya kuomba namba za nambii nifanikiwe amen🙏🙏
Pastor katumia hekima ya hali ya juu sana. Huyu mwanaume Ni mshenzi sana
Mpaka na mimi nalia kweli dada 😥😥a Mungu awasaidie na kuwalinda katika ndoa yenu 🙏🙏
Jamani huu Ni sinema kabsa,Ni game limetengenezwa😆😆😆😂
Nashangaa! Kanisa limekuwa kichaka watu wanafanya uzinzi wao kwa wao kanisa moja wake 2 alafu unasema umeokoka! Heri kuwa baridi kuliko kuwa vuguvugu.
@@marymfugwa847 ll
Jamani ..mbonna tunaangamia kwa kukosa maarifa...kwel nabii gani wa namna hii...si tujifunze ukweli ..
Hongera sana nabii, kijana nae very humble
Dah hili kanisa noomaa hongera mchungaji
Sema alivyo nyoa tu anaonekana ni tatizo sana. Kiduku hiki
Ase kweli mkuu
kabisa,huo mnyoo wa kiduku noma...
Amen be it done to me according to your word Jesus Christ name
Kwel adi nimelia mwanamke hakika anamjuwa Mungu
Huyu si mtumishi wa mungu wa kweli ako anaangamiza watu tu
Kanitoa machozi aisee huyu Dada😭😭bt hongereni kwa kupatana👏👏
Mm pia nimeumia Sana
L. .,.
Hata me nimelia aisee
Ndoa zina maumivu 😭😭
For this geordavie salute to you papaa
Kwakweli namshukuru mungu sana kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye njia ya haki uislamu huyo jamaa tunamjua fundi mpiga rangi huo ni usani unafanyika hapo watu wanashangalia na kusema ameni kweli inasikitisha sana sana aya ndani ya quran inasema viongozi wao wa ibada wanawapotosha watu wasimjue mungu wa kweli na kula Mali zao kwa njia ya baatuli wanapotoshwa wengi sana hapo
Uwiiiiii nimelia jamani Mungu akutunze nabii mkuu nakupenda baba
Mbona hivi mke wake yupo hapo kumbe na hawara nae yupo tena na mimba juu ndio nini madhabahu ya vipi hii jmn hapana 😢
Mimi hata sijaerewa
Mama na watoto kunashinda ,nabii protect the kids🙏🙏🙏
Mtumishi umefanya Jambo zuri saana ubarikiwe mno
Mungu msaidie Jmn
Kiukweli, Hapo Kwenye Majina kuandikwa MTU mwingine Inavunja Moyo Sana.
Natokeya Zambia nakukumbali mtumishi wamingi
Powerful powerful anointing deliverance from Daddy Nabii Mkuu
Nakupenda Nabii wa Mungu, haya mambo yapo makanisani na nafurahi unaonesha. Wengine wanayaficha na kuwalaumu wanawake tu. Ukweli nakuelewa Geordavie. I wish to meet you face to face bt protocol is another issue
Baba MUNGU akupe maisha marefu unasaidia sana
Hii sio sawa mmemumiza mwingine sio sawa
Akuna cha kumuumiza kwa sababu yeye kavamia ndowa ya watu ♥️❤️🙏🏻
Charles 🤣🤣🤣
nabii nakufatiria Sana ntafika hapo kwako nakupenda sana
Sasa kumuuliza mwanamume kama watoto ni wa kwake kwani anayejua ni mama wa watoto ndiye anajuwa baba zao.
Halafu hilo suala ni la ndani si busara kuendesha kesi namna hiyo. Kama si picha ya kutengeneza, basi hapajatumika busara. Watoto pia wanajifunza nini hapo. Na pia watoto ni mali ya Baba na mama. Unaposema mke kumzalia mume maana yake nini. Nadhani ungefungua NGO au taasisi ya kuendesha kesi na sio kuita KANISA. Hapo hakuna sifa za KANISA la kweli.
Halikupaswa kuongelewa hadharani, ni aibu sana
It's so touching,God bless you Nabii
Good work nabii wa mungu pia mimi niombe maisha yangu na yaweze kuwa ya manufaa,na shughuli ya comedy iwe murwa
Mtumishi mungu akubarik saaana hii hali imetesa watu wengi sana hasa wana mzik ndio tumepotea kabisaa tamaambaya sana
Amina baba hiyo ndo kwel anayoitaka mungu ubarikiwe sana
So touching and wise.kusema ukweli nabii Mungu amekupa wise knowledge i reconnect
Kuna kastori katamu hapa ka mahusiano kukiwepo na nabii wa kuona hivi safi sana
I'meniuma Sana pole kweli huyo ndiye me mwema
Hapa ndo tuone kua Mungu ni mkubwa amemuumba mwanamme si wa mwanamke mmoja ndoa ya mke mmoja ni utumwa na chanzo cha mateso hapa suluhu ingekua ni ndoa ya mke zaidi ya mmoja
Dah Mungu atusaidie na atusamee vijana tunamkosea sana
Nabii God bless u,and pray 🙏 4me
Nashindwa kuelezea vile hii video imenifundisha, imenigusa na imeniimarisha, MUNGU WA MBINGU NA NCHI NA VYOTE VIJAZAVYO akuimarishe, akuinue, na akuzidishie hekma yake, vijana tunaangamia wewe Mungu amekuleta kututoa kwenye shimo, unalea washirika vizuri kama baba na WATOTO wake, I like it for sure.. Be blessed Man of God
Inauma sana ila mungu ni mwema azidi kuzitunza ndoa zetu na watoto wetu
Mimi naona kuna manabii wengine ni watu wa hajabu haya una yafanya mbele ya watoto ukiwa na maana gani unawajengea nini na bii ukiwa unataka kuwaonya wambie uko ogisini sio mbele ya watoto huo ni kuwaharibu kimawazo watoto nayi waumini tumieni akili sio shida zenu kanisani hao sio mungu niwatu tu
Je suis tellement touché 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 from DRC God bless you
Uchungaji Ni kazi ngumu nanizuri Sana mwenye kuelewa ameelewa
Mungu ni mungu tu tumuogope public sure what kind of pastor baba tusamehe wote ni wenye dhambi
Mmm kazi ya Mungu ni ya Mungu
Paster I like your wisdom
Wow that's God
Mungu akupe maisha marefuu Amen
Barikiwa sana mtumishi
Huyu nambii hapa ndo nimemdharau anadhalilisha, yesu alisema ambaye hajazin ampige mawe mama hyu wore wakakimbia
Inaniliza sana,mungu azidi kumuinua mchungaji mkuu
Nimebarikiwa na mafundisho yako Nabii...
Kuzalilishana 🙆♀️
@@rosnykayiba6013 baba nabii mm huwa niko na shida na mahusiano waeza niambia yenye niko nayo sasa ivi yatadumu baba nabii
Umeonaee yani ovyo
@@sitisaid8543 wewe unamuomba binaadamu mwezi muombe allah atakujibu haraka kuliko binaadamu allah akuongoze nduguyo yangu inshallah amin amin amin Allah karim
@@aishaarusha894 s ninabii ndio mana namuuliza
@@sitisaid8543 wewe na bii wako ni muhamad s w a sio huyo haina haja ya kumuuliza
God bless you Nabii Mkuu
Mtumishi wa mungu naomba uniombee maana Nina mengi sana yanayonisonga moyo wangu
Tuned from Kenya.
Huyu nabii yuko vizuri mungu azidi kumlinda
It hart me so much na sio hata mimi nimefanyiwa hivo
Baba namii niombeye nipone niokoke baba kweli tyuu
Ameen baba
Ni kazi njema sana hii!!!
@@amritsandhuministries1823 🤔🤔🤔
Wow congratulations mtumishi from Kenya
Amen baba niguse na mm mwenyematatiz kama hayo
Mungu akubariki baba Muchungaji
Amen amen Kenya
Asante 👏👏👏
Mungu anaweza sana
God bless you 🙏
Waaah aki but mungu ndiye mwenye uamuzi kwa kila jambo bt mmmh
Blessed is the name of the lord
God blesse
Thank you 🙏 Jesus
Very touching l pray my marriage to stand firm too
Hekima ya mungu itumike
YESU analirudi wateule jiandaeni kumlaki mawinguni
Hawa watu wanaleta mzaha kwa MUNGU, uhuni na ufusika kanisani. Yesu atusamehe
Usfuska mwenyewe
Hehehee senior prophet ,,hii kaz ni ngumu sana sana
Nakupenda sana baba naamin kufunguliwa hata afya yang
Safi sana nabii...
País God naitaji usaidiz kwa maisha yangu then naitaji no nidze kufika, uko
Tazama hapo juu kwenye description utaona mawasiliano
Asante mungu🙏🙏
Pastor, pls keep and protect the small children from this kind of exposure.... Not good for the children to be present there......
Sure
@@mariasixmund7964 annointing protects them
Amen
🙏🙏🙏🙏
Amen Amen God bless you bishop
Thanks 🙏
Msichana wa watu jamani mungu msaidie
poleee dadaangu mweny watoto
Bwana yesu asifiwe ,unapatikana wapi? Nikufuate uniombea