Elimu Ya Pesa: Boom La Chuo Lilivyoweza Kununua Kiwanja | SALAMA NA DANIEL KIJO PART 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ส.ค. 2022
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kwenye maisha kuna watu ambao ukitutana nao tu unaamini wana kitu kizuri ndani yao na bila ya shaka watakua na mafanikio mengi tu huko mbele tuendako, hii ndo hisia ambayo mimi nimekua nayo toka siku ya kwanza naonana na Daniel Kijo. Mwerevu, mcheshi, ana muonekano mzuri na mkarimu, ila kubwa kabisa ana akili, mgunduzi na mtafutaji hasa, toka siku ya kwanza.
Ukiachana na kwamba pengine ametoka kwenye familia ambayo kipato chake si kibaya na amesoma shule nzuri sana, Daniel hakuwahi kijikweza na kujiona yeye BORA zaidi ya wengine alionao chumba kimoja.
Nilikutana nae EATV wakati yeye akiwa bado mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam lakini wakati huo huo anafanya kazi ili mambo yake mengine yaende vizuri. Na kazi alikua anaifanya kwelikweli, ikiwa ya kutaarisha yani kwenda kuitafuta habari na kuifanyia uchunguzi na kuhakikisha inarekodiwa vizuri, na kama itahitaji sauti basi ataiwekea na mwisho kabisa yeye ndo atakua mtangazaji wa hiko kipindi wakati watazamaji wanakiona kwa mara ya kwanza.
Nadhani utashi huo ndo ulimfanya aone unajua nini, mbona mi naweza kufanya mwenyewe hii? Mbona nisitoke tu hapa na kuanzisha kitu changu mwenyewe? Na hilo alilifanya.
Daniel ananielezea mitihani aliyopitia baada ya kuamini kama anaweza kufanya shughuli za uzalishaji wa vipindi na mauzo mara baada ya kujikusanyia PENSHENI yake, anakumbuka kama wakati huo ulikua ukiacha kufanya kazi, ulikua na uwezo wa kwenda kuchukua NSSF yako na ukajianzishia biashara yako. Daniel anasema alienda akanunua ma camera na vifaa vyengine akiamini kabisa kama maisha ndo yameanza sasa, ila dunia ndo ilimuonyesha kwamba ki ukweli vitu si RAHISI kama ambayo alikua anadhania. Na kwenye kipindi hiki ndo ambacho aliwajua Ndugu zake ni nani na marafiki zake ni nani. Maana Rhumba lilikua si la NCHI hii.
Daniel ameshawahi kuanzisha na kufanya vipindi mbali mbali vya TV hapa nyumbani na kwenye TV stations tofauti tofauti kwahiyo ashakutana na mabosi na wafanyakazi wa aina tofauti tofauti sana. Na akiwa huko kwenye safari yake hiyo ndo imemjenga awe huyu ambaye tunampenda na kujifunza kutoka kwake sasa.
Miaka ya hivi karibuni Daniel amekua akiyafanyia kazi mashirika mbalimbali ya habari ya kimataifa hapa nyumbani na hii ni kazi ambayo yeye na MKE wake walipambana nayo sana mpaka ikadondokea kwenye mapaja yao.
Daniel pia anatuhadithia jinsi ambavyo alikutana na mke wake, mazingira ambayo walikutana na jinsi ambavyo walianza kuongea, mara ya kwanza alivyompeleka kwa wazazi wake na jinsi ambavyo wanaishi kwa misingi ya kujijali wao na afya zao. Daniel anatuambia jinsi ambavyo anapenda anavyokua anaenda shuleni kwa mtoto wake na kuwa yeye ndo Baba cool kuliko wazazi wengine, na hii anaipambania sana kwasababu ni moja ya vitu vinavyompa raha. Daniel anapenda mazoezi, analinda afya ya akili yake na mwili wake na ni mtu ambaye anajifunza sana, tena kila siku.
Yangu matumaini episode hii yangu na Rafiki yangu itakusaidia hapa na pale kuhusu kujiamini na kujijali ki mwili na ki roho maana mwisho wa siku, hakuna anayekuja kukusaidia kwenye hayo. Mwisho wa siku hayo ni maisha yako na jinsi gani unataka kuyaishi ki ukweli ni juu yako.
Tafadhali enjoy,
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - บันเทิง
Sister Salama, Apo alie mzungumzia Daniel kijo anaitwa “ Ally Jape “ zanzibar ni one among young content creators.
Salama huyu Brother amenifanya niumie xana napitia magumu ambayo one day ntaelezea
God bless this man " Daniel Kijo "
Am in Tears 😭😭
This is Probably the Best interview i ever watched in this Channel...Very Courageous, inspiring and Motivational
Shout out to Dany Kijo Aseee...umefunguka sana sana,
I remember watching u na Carol Ndosi back in the Days niseme tu ur my role model from today
SALUTE 👏
The only bad thing about this episode is that it ended.. 😔
Dany Kijo is genius🔥🔥🔥
One of the very best and even better ever interview Salama. Nimefurahi na kujifunza mengi kiukweli, asante sana na Mungu abariki kazi yako zaidi katika siku na siku...
Hakika salama na team nzima ya YahStone town mzidi kubarikiwa kwa kazi nzuri mnayofanya. Tunajifunza mengi sana kupitia kipindi hichi
Interview yangu Bora kabisa,Nimejifunza mengi mnoo Asante kijo na Salama
3:20 🔥 Danga Wana itwa ku hamasisha vijana kufanikiwa I wonder.
7:20
19:29 brother kila hatua Looks for help kutoka juu
Very inspiring....good stuff
What an interview🔥💪🏾
Keep evolving! Loads of wisdom from both of you. Asante kwa interview ya maana
Bonge la interview 🔥
Again this is one of the best editions
SISTER SALAMA, you the best in wat you do, kwanini hupendi kusifiwa lakini??😂 you the best bhna we kila siku unawapa watu maua yao ila ukipewa wewe unayaepuka😂😂.. we love you.
Yes we do.. eight months later and I rewatch this
😆
In love with this interview 👏
Miongoni mwa interview chache nlizo enjoy za Salama hii moja wapo na nimejifunza vingi mnoooo I mean mnoooo
Best of the best interview
Huyu Kijo nilikuwa namu admire wakati anatangaza. Good interview iliyogusa mambo mengi ya kujifunza
Ally Jape..... Yupo vizuri sana mashallah
Bro upo vizur kichwan hongera sana
very inspiring🔥🙏🏾
Wow! Such an interview…
This wow..
Nimemuelewa Sana kaka #Daniel_kijo kanielewesha pia kuji- brand lakini pia na kuangalia mikataba Kwa umakini zaidi.
this one is 💥legendary
Hii ni masterclass.
Very inspiring
Great session
Very Fact brother Kijo
Nimeenjoy sana...
Dada hii ni interview bora kabisa
I real like the Interview
Sis Salama we honestly enjoy and learning tulikuw tunaomba atleast a part iongezew muda maybe like 45 min a part ili tujifunze zaid
Masha'Allahh 🤗
I remember watching brother kijo's show ilikua TV 1 nadhan kilikua kinaitwa BOYS TALK (am not sure) but n kipndi kilichokua kinahusu mahojiano kati ya wanaume and i was in secondary school (A level). Sikuwahi kukikosa aisee. Nmeturahi sana kusikia mazungumzo yake. I'll take the advice of being a family guy na kuwa mbahili (hahaha)
Boys Boys
Nice interview
I have learn something
God bless you all
More levels, new devils,,, rapcha daka hiyoooo😀😀😀
Salute broh kijo
Smart sana.
Salute pia Sj bonge ya kipindi
Shame on you men 😉😁😁😁salama bana
salama anaakili sana
Hii interview hatariiii fire 🔥🔥🔥🔥
Interview nzuri sana👍🏾💯
Wapo wasichana wa hivo,tatizo wanaume amsomek unaweza mvumilia mtu na kungaik na yy siku akipt ela anakupotezea,anatak wanawake wazur unaachwa solemba
Hahahahah nakubali mwamba ajaleta Habari zakuvunga kuhusu kula Safi sana broh umetisha sana mzee wangu 😄 🤣 😂
The best
MADINI TELE 🙌🙌
Tujifunze kujua nafasi ya mwanamke kwenye mafanikio yetu. Ni jambo muhimu sanaa
Kunavitu vyakujifunza hapo
Big brother kijo
Dah! Hii interview kama isiishe!
Mimi ni yule ninayesubiri kwa khamu sana
What a session!
Why you guys you don’t post all the videos on TH-cam?
Kwa kwanzaaaa kucoment
Umeshinda bro
Mjamaa nimetamani kuchek interviews zako nyingi zaid kijo
Best interview ever
Wale waandishi wanaosema "AIKEI" BADALA YA "OK" WAACHE.
Wanakera ...kingereza kiiiiiiiiiiing
Jamaa ni genius
Nimejifunza mengi. Aisee kila mtu na mapito yake
Bonge la show
💃
👊🙏👍
Huyu jamaa ni mimi kabisa
Kwa bahati mbaya imekuja Part 2 Instead of part 1
Part 1 ipo pia
Salama tuletee huyu jamaa anaemsema Daniel anaitwa Ali jape
Alli jape huyo unawza kumpata hata tiktok
DARASA
16:08
I think huyo ni ally yape
Nimekua wakwanza
Ni ALI JAPE salama mtafute huyu dogo
Nice interview