ความคิดเห็น •

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 ปีที่แล้ว +28

    Daniel kijo, a.ka baba festo mwanao wa kwanza mimi ndiyo nilikuwa dereva wa kumpeleka mkeo clinic muhimbili mpaka kujifungua. Nakumbuka ulikuwa na furaha sana. Na ukanihusia kitu kimoja ukaniambia mdogo wangu ukikuwa utayaona nawewe. Tuko mateniti Ward pale usiku tunamsikilizia mama mtu atoke.

  • @iammichaellukindo
    @iammichaellukindo ปีที่แล้ว +11

    Sijui kwann comments ni chache. Lakini nimekua nikikuona Daniel. Nilikua napata questions sana who are you and what you are. Nilikua nakuona nakua nahs kama unafanikiwa kwa kasi sana. Karibu 80% ya mambo unayo zungumza ni mimi completely. Mm nili quit media kwa woga wa kukwama in the future tena baada tu ya kupata mtoto. Niliogopa sana kuona na turn 30 sina nyumba, sina gari, sina hata kiduka cha mangi Nategemea mshahara tu na hautoshi. Nilitamani sana kuweza kuwa na kitu cha ziada cha kusapoti uchumi wangu ili niinuke kufikia malengo angalao nikiwa na age ya 30. Mambo niliyo weza kufanya 5 years after quiting media job, ni 10 times kuliko NILIPOKUWA nimeajiriwa. So this is so exciting to watch you explaining all this. Thought I was complicated enough to make others mis understand me, but now I know I am not alone.

  • @bekarpaul
    @bekarpaul ปีที่แล้ว +2

    Japo sisi wengine tumechelewa ktk kufanikiwa lakini hizi Interview huwa zinatufanya tuone kwamba kumbe bado tuna muda wa kutafuta na kufanikiwa... Thanks bro umekuwa icon mnzuri kiukweli.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว +1

    Namsikia sana tu uyu Jamaa, ila niko hapa kumjua zaidi, maana toka nimeanza kusikiliza interview ni madini matupu yako hapa,respect *Daniel kijo*

  • @samsonsitta6127
    @samsonsitta6127 ปีที่แล้ว

    This is one of those DOPE editions. It's a lot of learning. Great job Salama

  • @nsajigwamwanjati5119
    @nsajigwamwanjati5119 ปีที่แล้ว +6

    Dan I miss u bro,salama nakupenda sana

  • @TemuTV
    @TemuTV ปีที่แล้ว +3

    KUBWA SANA INTERVIEW IMESHIBA 🙌🙌🙌🇹🇿

  • @mokijr1099
    @mokijr1099 ปีที่แล้ว +1

    Very smart interviewee

  • @kismatiproperty
    @kismatiproperty ปีที่แล้ว +2

    This guy is Genius

  • @Nature_adventure
    @Nature_adventure ปีที่แล้ว +1

    We keep learning here.

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule ปีที่แล้ว +1

    Well done Salma,kijo salute bro

  • @ModernFlicks
    @ModernFlicks ปีที่แล้ว +3

    Kuna madini mengi sana kwenye hii interview.

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 ปีที่แล้ว +2

    Danny kama danny nakumbuka enz yupo na calor ndos eatv🥰🥰🥰🥰

  • @titogodwin5701
    @titogodwin5701 ปีที่แล้ว +7

    Boys boys Tv 1 lilikua pindi kali sana

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena5136 ปีที่แล้ว

    Brother from another mother Daniel kijo
    15:18
    20:13 Steal like an artist (book)
    22:46

  • @yusuphaman9294
    @yusuphaman9294 ปีที่แล้ว +1

    Very interesting interview, well done salama!! Kijo he's smart 🧠

  • @joesimba
    @joesimba ปีที่แล้ว +1

    Very nice interview, salama inabidi ajifunze kidogo kuwa ok kupewa compliments, otherwise it was a great show.

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 ปีที่แล้ว +1

    asante sana... Hakika kupata mtoto sio Acceident... THAT'S A PUNCHLINE EVER... Bravo

  • @mgayan1222
    @mgayan1222 ปีที่แล้ว

    The new version of the late Mchungaji Daniel Manase Kijo

  • @bluejayz1428
    @bluejayz1428 ปีที่แล้ว +2

    Boys boys

  • @christophermhina6548
    @christophermhina6548 ปีที่แล้ว +1

    Bigger mind

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 ปีที่แล้ว

    Huyu kaka ni smart sana

  • @sharifsajan7945
    @sharifsajan7945 ปีที่แล้ว +1

    Dan Kijo, kitambo brother, since Mtwara nyakati flani!good to see you

  • @elimanase
    @elimanase ปีที่แล้ว +4

    Huyu jamaa nimegundua leo anafanana sana na nikki wa pili

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 ปีที่แล้ว +1

    Kuna mtu anakumbuka kipindikileeee Salama anaflush CD choooni kama wimbo wako mbaya????🤣🤣🤣🤣🤣 tumetoka mbali sana.

  • @yurisongoro2895
    @yurisongoro2895 ปีที่แล้ว

    Nilikua naisubiria sana hii kwakweli huyu nimtu muhim sana aisee

  • @dublinisa.isayamwinuka9657
    @dublinisa.isayamwinuka9657 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa nimemuelewa sana

  • @jahadi5062
    @jahadi5062 ปีที่แล้ว

    🥰🥰

  • @ibrahimahead6133
    @ibrahimahead6133 ปีที่แล้ว +1

    mjamaa yupo smart sana kwa kichwa

  • @samsonnangai1286
    @samsonnangai1286 ปีที่แล้ว +1

    Ningeshangaa na hatimaye Part1 hii hapa