EBITOKE AFUNGUKA MAZITO "NILISHAWAHI KUWA BEKI TATU KABLA YA KUJA DAR ES SALAAM"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - บันเทิง
Ebitoke ni dada ambaye yuko vizur sana katika kaz yake na anauwezo mkubwa sana mungu amjalie na kaz yake
Daaaah nakukubali sana Ebitoke hasahasa kwenye ujibuji wa maswali jamna ...uko vizur mtoto mzur Mungu akufikishe mbaaaali
Irene sana
One of her best interview ever, wow she sounds professional... keep it up girl, u got this
#EBITOKE/EBIPOL
Pwaaaa boccc tupoooo
Plus ebilelaa
Arikip
I
Q4qr46q54qkqq5qqqqqq⁶qqqqqqqqqqqq0qqqqqqqqqqqqqq
@@neemajackson3115 bongoflava
Huyo ebitoke kumbe ni mzuri niliwahi kuona post yake akiwa safi hata sikuamini kama nn yeye from nairobi kenya dodoma kwetu
George chacha nipo dom nampa bigup sana ebitoke namkubali sana
she's genuine. stay blessed ebitoke
mrina..arusha
Mambo
Ebitoke nimekupenda bureeee!! pia unavyojibu maswali uko vzr sanaaaa
ebitoke una moyo Wa ujasili
Ya anajibu vizur ndio ya nilisikia Jina lake nikasema zur nasikia anastazia
Ya hiy Cho maye hiyo kabila wanazipendaga. Da kumbe alifaulu mwenyewe alikuwa Ana akili ya hata mie nilisikia walisema alifanyaga kazi za ndani na mwenyewe anasema ukweli
Wengine wanafanya Kwa ndugu ndio
Hapo anaonekana mweusi
Ebitoke wewe ni jasiri rafiki yangu keep it up
Carene Faustine hi
Ndalo Fredrick hello
Jamaniiiii ebitoke sina mbavu mieeeeee dah
Carene Faustine ebitoke
hongera sanaaa ebtoki mungu akuongoze njia nzuri
Ebitoke unanifurahisha sana mwanangu nacheka peke yangu hongera kwako songa mbele
Rahma Mrope
Wow wow this girl is very intelligent!!anajibu vizur sn interview hongera sn mdogo angu
Très bien je suis congolais
Kama umesikia mtu anacheka kishilawadu ngonga like apa
Epitome nakupenda bure mungu akutimizie malengo yako
ebitok muombe sana mungu ktk hilo unalo lihitaji lakuwa na ben amini mungu hashindwi najambo km rizki yako utampata atakuowa tuu
Nilichokukubali zaid eb, hupendi kutoa siri za ndani. Ulipoulizwa kama umeshare penz na Ben ukasema huweziongelea hayo hayahusu🤗🤗
Like
Kley Kisoma yani amenibu vizuri tena kizuri zaidi anamshikisha Mungu
+Kley Kisoma Iberia lament nzuri
Kley Kisoma had I'd hi a kiswahili
Nivizuli kufunguka kwa kitu unacho kitaka
ebitoke nmekipenda bhure unajua kujielezea sana
Ebitoke we noma dada
Mungu akusaidie ktk mipango yako uliyonayo
Hongera ,vipi kuhusu elimu?? Maana ume ishia la 7 kwa ushauri wangu jiendeleze na elimu .Diploma is your fast husband in the world.BP atakuacha kama alivyo waacha wengine, ila elimu yako na diploma haito kuacha maisha fikiria hilo mwanangu .
kweli kabisa
*Neema Kilomoni* Exactly my Dear
kweli aise umemwambia kitu
Fundi babu
+Moses Mwaipyana kamirioni
I love u ebitoke npenda kutaza comedy zko
Not educated but this gal is smart , thats for sure.mm ni fan wake ebitoke.
Love you Eby. Good answers. Such a clever girl keep it up a good job
Mam
uko vizur Ebitoke so napenda sana vichekesho vyako mungu akubariki
ebitoke uko vizuri
eeeeeh utandawazi kutongoza wanaume
nampenda sana ebitoke kwa ucheshi wake
Nice ebitoke pambana
Atareeeee 💓 💓💓 💓❤️ sana eby uko vizr kwel yn kwenye interview 💪💪💪💪💪💪💪
Kazana Mdogo wangu, hata mimi nilikuwa beki tatu ila Mungu ameshatenda, ujiendeleze kielimu utafika mbali maana una uelewa mkubwa sana.
Daaaaah one day yes na mim
Jaman Shem yangu ebitoke karibu dom. Jaman mweeeeh
ebitoke unstisha jaman mungu akufanikishe sisee
Nakupenda sana Ebitokeeee upo vizuri interview
Bida maşiki
my men fast hahaaaaa ebitoke ongea kiswahil jamani kiingereza waachie wazungu
Haki ebitoke nakupenda sana coz wafurahisha
ebitoke ukoviz nakupenda bur
Ebitoke you are very well
Uko Vizur Ebitoke
Germana Minja yaa yuko vizuri Ebi
Sasa eb .. uko vizuri
Kley Kisoma mwanangu unayumba
Pa1 sanaa eb-toke
Thank you for watching Citizen TV as we watch Clouds TV....That's love.
SIUWONGO ABITOKE UJUE KUWA UYO YEYE NI KAVAA TISHETI YA JESHI KWAIYO UYO MDADA NI JESHE WA MDAMREFU MUAMINI ANAKWAMBIA MTADUMU KAYAONA MBALI HUYO❤️🌹
Jamani ebitoke kanikumbusha mbali sanaaaaa
Ali hiji iddi, kwani ye Mungu?
Uko sawa sis
Habari zenu jaman nakupenda sana nimm anna kasanga nipo rukwa nilitaka kujiunga naww nafanyaje
E bitoke kwakweli mungu akupe like unacho kitaka
ebitoke mdogo wangu nakuomba punguza promo umeona kaka yeye hapendi ameshasema inatosha asietaka kuamini shauri yake wewe acha nyamaza saizi wanakuinjoy tu benpol ni wako na ameshazungumza kwamba hii sio kiki huo ndio ushauri wangu nashukuru unapokea ushauri
Hongera
Sana
Ebitoke
Mungu akubariki sana
Hongera sana kwakipaji chako
ebitoke hongera san lizik atoae mung kweli usikate tamaa kabla hujafa
Nakunde sana
Nakupenda ebitoke umepitia changamoto
hongera san mbi dada
Ebitoke,yuko,vizuri.
je ilikuaje?
hiyo nzuri
Apo bomba Sana.
Da! nimependa the way unavyojibu maswali
XX
Longue vie à vous 😍😍😍😍😍
Ebitoke naomba kufanya kazi na wew
I love you Ebitoke
nakupenda ebitoke
Ebi my sweet keep it up
Nakukubali sana ebitoke
maisha safari njefu yanakupanda nakushuka zidi kupambana mungu hatupi mja wake penda ebitoke
onqera ibitoke
Watangazaji wa umu wote weupe
ebitoke ww ninoma
+Sada Kilona hahaaaaaaaaaa
Abeli Wijengo ìklklmlk
Kwakweli kuna watu mungu amewapa vipaji
uko pow sana ebitoki
Vava Dani ebitoke unapendeza Sana nakupenda
Haaa haaaaa jaman Ebitoke nakupenda buuree
Alexandrina Domaino konk
Mwambie anaweza ebitoke
vizur sana bint yng unajua kujieleza
Safi sana ebitoke
You are smart Ebitoke
ebitoke uko vizuri mng akusaidie chapa kazi kwanza mtangulize mng
Kwa kwel Dada huyu ana akili sana anajua kujieleza vizur safi sana iwe. Ajiendeleze kielimu
ebitoke songa mbele my dear
Unajuwa sana
jaman ebitok nakupenda
Ebitoke hoyeeee
Mtangazaji mzungu sana 😳
nakupendaga ebitoke unavyo xema ukweli
Best exlussive interview than ever
*Ebitoke original* wewe ni nomaa 😂😂😂👌
Dada mm name iloveyou bitoke naitwa cobilo master chanika
Dada mm name iloveyou bitoke naitwa cobilo master chanika
Shemela ebitoke
Ebitoke weninoma jaman
Walai hii show nliikosa hiyo time ila namzia sana ebitoke
MBONA MIMI AONA ABETOKE ANANYWELE ZAKE MWENYEWE ANAKUWA MZURI ZAIDI KULIKU MANYWELE YA MAITI KAMA HAO WENGINE FEKI YA KUDANGAYA WANAUME ILI KUPATA WANAUME ❤️
Yaaan duh penda sna ebitoke
yaan ebi toke ni zaid ya msomi kaaah nakupenda bureee.
Sema awa waduwanzi wanaomuulza maswali wanazan wao niwazuri kuliko Ebitoke so wameleta pigo za kumzarau .. ila Ebitoke ye ni mnyenyekevu sana... 😔😔😔😔
jaman ebitoke nimekupenda buuuuleee
Jovina Bunyomyo nnakuelewa xana ebitoke
Hongera binti
Ebitoke unajuwa kuchekesha sanaaa
Ebitoke, wanakung'ong'a😗😗
Yy anaona sifa
Ebitoke kiukweli ana uwezo mkubwa sana Sana wa kujieleza ukilinganisha na elimu yake ya darasa la saba. Akipata fulsa ya kujiendeleza atakuwa juu Sana. Benpol usiachie hiyo ni zawadi kubwa.
Margareth Solomon nimependa alivyojibu kuhusu kulibeba kundi la timamu
Margareth Solomon amen amen
*Margareth Solomon* Exactly my Dear unachosema, me mwenyewe namkubali na namsapot.
point taken ahsante
Margareth Solomon hhhhhhhhh
Nakupenda sana
Keep up mrembo
Smart Lady!
nampenda huyo dada movie zuri
Ben Pol nampenda sana.
ebitoke noma
wanipa raha sana ebitoke
sawa
Ebitoke nakuheart unafuraisha stress zapugua
mnapenda sana tv za kenya,kama ninavyo penda za kitanzania?naiona apo ukutani
vj kym ndio tunazipenda sana tv za kenya
kwakweli nampenda ebi anachekshaa sana
Je mm hunipendi
nice jamani
Sana dida nakupenda
Dida uso umeutia nn jamani hah jaman Allah kakuumbeni vizur mwisho mnatisha
mural yako ebitok nakupenda bure
ebitoke is very strong girl
namuelewa sana embitoke anachekesha