NYUMBANI KWA ASKARI ALIYEJICHIMBIA KABURI, AMETUMIA MILIONI 4 "NAANDIKA WOSIA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Patrick Kimaro maarufu kama sabasita mkazi wa Kijiji cha Mbosho Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro amejichimbia kaburi lake lenye thamani ya shilingi million 4 nakusema amefanya hivyo kwa lengo la kuandaa Mazingira mapema ili kutokusumbua watu baadaye.
Hongera sana mzee una busara una upendo una amani umenifundisha kitu kizuri cha maisha Duniani tunapita tu
Dunia ni matembezi kwa binadaamu!! Hongera Mzee!!
🙏 kabisa
Mzee Yuko sawa, kufa kupo tu hata ufanye nn, Mzee upo sawa, lakini jeneza usinunuwe kwa ushauri wng, maana sehem ya kulihifazi ni changamoto.
😂😂Analiweka umo umo ndani ya kabur...cku akifariki linatolewaa wanafutaa vumbii TU kidogo
🤣🤣🤣🤣
@@ciarmnyone738 afadhali nilijua ataliweka ndani watu wafike waaze kukimbizana
Mzee.kimaro.uko.sawa.kwani.marafiki.sii.wema.has a.ukifa.bora.ufiwe.hongera.sana.Mr.kaburu.kimati.mbuyuni.moshi
😂
Baba angu alifariki akiwa na miaka 86..kipind anaumwa alihisi ataaga dunia,kuna siku akiwa hospital aliniita akanambia kwa hali aliyonayo hatoweza kupona amechoka kutumia mashine kupumua..akanielekeza kwenye documents zake alificha historia ya maisha yake..aliyoandika kwa mkono wake,alisema ipo kwenye diary moja niende nikaichukue alaf nikae na ndugu zangu panapotakiwa kurekebisha turekebishe(editing) niliona km anaota au kakata tamaa ila kesho yake tu Baba alifariki..R .I.P Baba yangu😭😭
Pole Sana!
😭😭 pole sana mpendwa
Innalilah wainailah rajiun
Pole mpendwa
R.i .p baba
Hii inaitwa foward thinking. Nakupongeza mzee mwenzangu kwa ujasiri wako. Ninakuunga mkono. Hata mm nimeshaonyesha mahali pa kuzikwa ingawa sijajenga kaburi. Umenipa wazo. Mungu akulinde na akufikishe kwisho mwema.
Hiii ni nzuri sanaaaa,Mama yangu alionyesha sehemu yakuzikwa kila mtu alikuwa anamuonyesha,siku alipumzika ikawa rahisi wala hakuna kuulizana mpaka wajukuu wote walikuwa wanajua atazikwa wapi.
Nakuombea mwili wako usipotee siku ya kufa kwako mzee, maana hilo kaburi litabaki kama box tupu 😊😊😊😊😊😊😊 Mungu akujalie maisha mema babu alovera
Hakuna ajuae kifo atakachokufa cha ajabu anaweza asiingi kwenye hilo kabur mwil ukaishia hewan MUNGU hakadiliwi
Mzee ana busara sana. Wachache tunamuelewa. Hasa hapo kwenye Wosia mtu akishafariki familia inasumbuliwaga sana, wakati mtu akiwa hai pengine alikuwa hana ukaribu kivile. Big up Dady
Bora kajichimbia sehemu yake nzuri kabsa.. Maana walimwengu hawa unapesa kibaoooo unakuja kuzikwa kama mbwa rambirambi zinapigwa juu kwa juu.. Wanabaki kusema kila siku tutajengea kaburi tutajengea..
Kbs yn Tena mtu unakufa unaacha pesa lkn unazikwa porini
Nakukumbuka sana ingawa nilikua mdogo ulikimbizana sana na vijana watukutu mitaa ya Ungalimited BIG UP sana
Mzee Saba Sita namkumbuka miaka ya 2002 alikuwa tishio pale Arusha majambazi walikuwa wanajisalimisha Hongera mzee kwa maandalizi mema wa Safari yako ya milele
mimi namkumbuka morogoro huyu jamaa asee 76 ni hatari
Upo vizur sana baba full amani hii ndo halihalisi mtu inatakiwa uwe na kuomba ufe katika hali hii ya iman ya mungu
Mungu akuongoze sana
Kwakweli huyu msee namfahamu sana maranyingi nalimaga na trekita lake na mke wangu anaenda kuchukua mboga nyumbani kwake kiteto
Sasa hv yupo mkoani bbt
Safi sana sie tulioko nje ya nchi tunaona wenzetu wanaanzalipia mazishi yao mapema mno kwakuwa kuna systems nzuri. Kwahiyo kwa nyumbani kama mtu anawezafanya hivi nisafi sana. Anapunguzia familia vurugu na stress na badala yakuwa stressed kukusanya hela zamazishi wanapata wakati wakuomboleza au kucelebrate maisha yaaliekufa.
Andaa roho yako tubu dhambi na mpokee Yesu awe Bwana na mkozi wa maisha yako ndipo uje uandae kaburi.
Ampokee yesu? How issue ni kurejea kwa mola wako na kutubu zambi zako na kumuabudu yy tu, hayo mapokezi vp
nimuislam nilianza Kununua sanda yangu 2016 nakwasasa Nina umri 28 nilijiwekea utaratu huo baada ya yakutambua hapa ulimwenguni nipakupita tu 2016 Hadi Sasa nimebadilisha sanda 9 nazote hizo nimezigawa kama zawadi Kwa walionitangulia kabla yangu nakila nikitoa sanda Ile nilio nunua kwamarehemu najichanga Tena nanunua nyingine nikisubiria siku yangu nitakapo tangulia.
Mm naogopa sana wallah..
Mambo hayo umeyatoa kwenye hadithi gani au aya gani maalim?? Sisi waislam kila kitu tunatoa kwenye quran na Sunnah sio vinginevyo wala sio kwenye mawazo yetu. Je hayo unayoyafanya umeyatoa wapi ewe ndugu muislam??
Unakosea.
Kipo kisa cha mama mmoja kugundua kuwa umri ni mdogo sana akatamka kuwa kama umri ni mdogo kias tu cha miaka 60 basi yeye atakaa tu kwenye kijumba chake na kumuabudu Allah lakn nabii akamwambia hapana, Hayo ni makosa
🙌🙌🙌maelezo yako yanajitosheleza uko Sawa kabsa mzee
Yesuu Babu Lola nakukumbuka Sana Ar Kisha mor tulikua wote,Mungu akuongezee maisha kaka
Huu utamaduni Kwa Africa ni mgeni lakini Kwa nchi za ulaya na marekani hii ipo
afrika tunamaeneo maalum ya kuzikana sio kuzikana katika makazi yetu sasa kila mtu akiwa na mtazamo huu kujenga kaburi ktk nyumba zao mji utakuwaje? unaachia watu waishi katika nyumba yenye makaburi? unaweza kwenda kupanga ktk nyumba yenye makaburi ndani?
@@coazoneone1174 hapo kaburi zinabaki mbili Mama na Baba ili watoto na wajukuu na vijukuu vijuwe vilitokea wapi
one wajenge zao😀
Hongera Mr kimaro hata kaburi la yesu kristo lilikuwa limeandaliwa, imini utaishi miaka mingi
😭💔💔💔🙆🙆🙆🙆🙆🙆nivizuri kujiandaa tu hesema yko nzuri yakupumzika sehemu nzuri sana
Mungu akujaalie uwe musilam kabla y kufa kwako ili uwe mfano mwema ambao uliokua hata hujaufikiria Aamin
kujenga kabuli sio maandalizi wa mwisho mwema maandalizi nikumcha allah
Sikiliza vzr interview yote kabla ya comment yako
Msikilize vizuri utamuelewa..Ana mjua Mungu wake sivyo unavyowaza wewe. Amesema.anafanya maandalizi ya mwili na roho yake. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Kwel kabisa
Unajuwaje km ana mcha mungu yn mnajishauwa utasema ww unamcja uyo mungu au a unqtqka ajiwekee bangi km mqmchanmungu
@@paullubida8058 yn umbea tu umemjqq
Hongera kuwaenzi wajukuu Sabasita. Mungu akikujalia miaka 125 litakuwa fasheni imepita. Wewe ni shujaa.
Ubarikiwe🙏🙏🙏
Jitayarishe kwa kuweka maisha yk na Mungu
Mungu akubarki sanaa kwa hilo.
Mzee una imani kubwa sana mungu akulinde,
Hongera vipi shabaha uko vizuri kama zamani meku
Mungu akupe maisha maref zaid 🙏🙏
Kaburi litaota kutu
Nakukubali mzee wakazi ata mm najifuza kuto kuwapa watu majukumu
🙏🙏 mtu mzuri sana huyu sidhani kama alikua mla rushwa mungu amutunze
Alikua anakula her aache tena
Kwahiyo ukijiandalia kaburi hukula rushwa hahahahaaa
Kila kitu ni suala la muda tu.
Wanaokumbuka Hapo mwanzo watu walikuwa hawaandiki kabisa wosia
Kwa madai ni jambo baya kabisa maana kwa kufanya vile unajitabiria mambo mabaya ya kifo.
Lakini kwa sasa hali ikoje?😆😆
Kadiri siku zinavokwenda na hili litapita vzr sana.
Naunga mkono mawazo yake huyu mzee maana sasa ameanza kuyaishi maisha kabisa.
Wanaofikiri kwamba kakosea ama anajitabiria mabaya bado wapo gizani tena kwenye giza nene.
Pumzika mzee wangu.
Pata ugali wako na kipande cha samaki pale kula na ukune kitambi chako.asante.
Kwan anaumwa nn mwambieni asitembelee ukelewe anaweza bebwa na mamba alafu tusimuone Tena
Hongera baba......kuish n kristo kufa n faida
Congratulations mzee, mm na mume wangu tulishalipa insurance ya mazishi sitaki kutesa wanangu baadae na madeni !!!
😅😅😅weeee usiniambie
Huyo Askari namjuwa miaka ya 97 mpaka 2002 alitupeleka sana kibabe arusha, akijulikana Kama 76, yaani ukisikia 76 anakuja unaweza jiharishia
Hongera sana Tunda una Baba Mzuri na wa Mfano kwa Taifa.
Tunda huyu wa whozu au
Innalillahi wainnailayhi rajjiun ,namshukuru mungu kunipa neema ya UISLAM
Kwa wazungu haya mambo ni ya kawaida, ila hapa kwetu bado hatujazoea, Asante Mzee kwa ujasiri wako, tutaanza kuzoea kidogo kidogo na sisi wengine tutafatisha
Sis tuna utamaduni wa kutokuwa responsible na maisha yetu. Mtu anasema nikifa watajijua wao walobaki. Halafu anaacha mashart kibao..mara nizikwe hivi na hivi na wakati hajaavha hata pesa ya kuzikwa anavotaka.
kila mtu ana utaratibu wake, acha kutukuza wazunga
umeweka histori katika nchi hii saba sita nimeipenda sana
Mwaka huu usiishe Mungu akutendee hil.
Huyu Mzee ana vituko sana, zamani alikuwa anavaa suruali kifuani pamoja na tai ndefu mpaka magotini
Kweli alikuwaga mbuguni na alikuwa anaogopeka sana.
Yupo sahihi kabisaa ifike mahali kila mja natambua kua dunia njia na kujiandalia mwenyewe makazi ya kuhifadhiwa mwili wako na kumrejea mola just like this
Safi mzee nakumbuka msiba was mama yangu kuna ndug alipiga hela yote kwa madai ya kutulea na hakufanya hivyo had Leo kabur LA mamang alijajengewa,no vyema kujiandaa mwenyewe
pole bertha
Baba napenda uendeelee kufundisha kifo sio laana kwa kiumbe chochote, ni kujitambua tu ss waafrika hatuna utambuzi mungu akupe upeo mpana sana, tunamkosea na anatusamehe jina lake lihimidiwe milele.
Uwishi miaka mingi baba mungu awe na ww babu yetu namuombea wuishi sanaaa
upo sahihi sana mkuu ni vinzuri kubana matumizi kwenye msiba wako ni wa kuingwa
Hilo Ni Jambo la kawaida Sana. Hata Bwana Yesu alizikwa kwenye kaburi la Yusufu Almataya alilokuwa amejiandalia. Bali Mimi Kama Bwana Yesu atawahi sitahitaji kaburi.
Hongera mzee uhakika tulionao haha dunian ni kifo tu na si kuihsi ulivhokifanya uko sahihi na Wala sio uchuto Wala zambi
Uyo police ana roho mbaya sana wallahi. Wana morogolo awata kusahau kwa ubaya ulio wafanyia kuwahuwa na kuwafanya wawe na vilema vya maisha pale kituo kikubwa karibu na uwanja wa mpira wa jamuhuri
Baba Tunda kweli kidume
Iko vizuri sana ata mimi cku mfuko ukikaa vzuri lazma nifanye ivyo
hongera mzee nanyie wazee wengine igini hapo
Hata vijana pia maana kufa ni umri wowote
Yuko sahihi kabisa dunia ni mapito hii💪
ila kweli ukifikilia mtu akifa wengine ndo wanafanya sehemu yakazi kupiga pesa ukiwa tayar unaandaatu vitu vyako
Mzee Saba sita Arusha moja ya maaskari tishio umeacha alama Ars na mikoa mingine
Alitisha Arusha enzi hizo miaka ya 1990's ukisikia 7'6 unaweza kimbia bila kosa lolote
Hongera Saana Mzee Wetu
Mimi ni Costiven, MUNGU wa mbinguni akutegemeze akutie nguvu na akuvushe ktk magumu unayoyapitia.
Mzee Kimaro hutakufa bali utaishi uangaze,matendo ya Bwana wetu Yesu Kristu
Unajidanganya halafu hujui kama unajidanganya.....Tafsiri vizuri maandiko usiwe unayachukua kama maandiko ya kwenye gazeti
Yeye mwenyewe amesema atakufa wewe unamkatalia kama nani kwake? Je wewe ni Mungu?
Kufa atakufa tu sema analofanya ninjema saana
Umefanya nimkumbuke mama yangu aliefarik KWA vvu mwaka 2015 nikiwa na miaka 10 nakufanya nitapetape mpk leo hata elimu ilixhindikana rip my mother 😭😭😭
Polee dia
🤧🤧mshukur Munguu kwa Kila jambo ndugu yangu 🙏🏾🙏🏾
Pole mwanangu,
Binadamu waweza kufia baharini na mwili usionekane hilo likabaki kuwa pango badala ya kaburi. Muhimu zaidi tumche Mungu.
Maelezo yake mazuri anyway Mungu ampe maisha marefu sanaaa
Duniani tunapita, Toba nimuhimu Sana umesema vyema
Huyu Mzee ako na strong faith balaa...hautokufa utaishi miaka mingi kma Job🙏
Job ndugai au job nani 🤣🤣
Tatizo la huyu Mzee anaona kustafu kazi ndiyo mwisho wa Maisha kuishi
Ulikuwa unapenda vitu vizuri tokea nakujua😊
Je ukitunbukia baharini ukiwa kwenye ndege na abiria wote msipatikane
7 6 naona jua linazama na ukali wake... Sema poti umeona mbali, ungekuwa na mtoto wa kiume usingefkiria haya mambo... Ila umeona hizo nyau zitapiga mnada kina whozu waje kula.... Akili za kiintelijensia... Wachaga oyeeeeee
Hongera mzee
Upo vizuri nimependa Mahandalizi yako
Mr. Saba Sita, ninakukumbuka sana ukiwa Central pale Arusha mjini. Tuliziona kazi nzuri ya kiaskari! Kuh kujitayarisha kaburi nk. Ni sahihi. Wanangu naye alitenga eneo, na mbao za sanduku, alitushirikisha. Naliheshimu fika maamuzi yake, waliopingana naye, amini, wamepata tabu na wewe si wa kwanza, endelea na maono yako. Ninakupongeza afande!
Weka na Air Condition kabisa kwenye hilo kaburi
Uko vizuri Sana kamanda 7 6
Upo sawa mzee lakini mara nyingi wanaojiandalia kaburi hua hawadumu muda mrefu mfano yule mzee wa njombe alikua mganga wa jadi
Hongera kwa kumtumaini MUNGU ukistaafu uwe Mwalimu wa Neno la MUNGU kwakuwa lipo moyoni mwako linaonekana
Alikuwa antirobary huyu amekuwa sana huyu walimwua jamaa moja morogoro bila kosa anajua atakufa mwache ajichimbie kaburi
Ni sawa tuu
Minafurahi sana kuona tena mwalimu wangu 76 , mimi nilikuwa CCP Moshi Mwaka 2000, Naomba number yake plz
Aaa...saba sita,kweli umeokoka!!
Kaburi unaandaa mapema lakini neno LA Mungu unasubiri kustafu hapo sijaelewa kipi bora kuchimba au kumuhubiri Mungu
Je umemuelewa vizuri ? Msikilize tena usije ukamhukumu bure.
Naomba ukawe mwalimu wa kufundisha ukakamavu. Nakumbuka ukakamavu wako Arusha. Sabasita wengi walifurahia ukakamavu wako .
Sasa la mkeo lipo wapi?
Ama kweli huyu polisi anajipenda. Kila mtu akijijengea kaburi kubwa kiasi hicho punde si punde kutakuwa hamna ardhi ya kulima.
Duh ule msemo wa kale sasa naona faida yake, wanasema hivi **KUA UKUE MWANANGU DUNIA INA MENGI**☝️☝️☝️...Tukishakufa kilichobakia ni dead body ambayo hata ukiweka njiani no effect but Mungu source yetu katuambia ni udongo na tutarudi kwny udongo...Baada ya kufa gharama ni kujitakia maana hata ukapelekwa kinamna gani utafika tu kwa Mungu....
Mzee huyu yupo sawa...Kwa sababu mtu aliye hai anatambuwa kuwa siku moja atakufa lakini aliyekufa hajui kama atakufa sababau ameshakufa.
Uko sawa mana unaweza zikwa kwenye vichaka na arthi nzuri ulinunua
Ni akili ya ki first born. Watoto wa milango
Mzee uko smart sana…Mungu akuongoze inshallah 🤲🏿
Nimekuelewa sana na nimeipenda mno
76 huyo katusumbua xana morogoro enzi zetu saiv keshaisha
Aaisee hivi huyu mwamba ndio yule aliye pambana na wasomali kule loliondo au kuna mwingine
Ndio huyo huyo..hichi kichwa acha kabisa
Ndio huy mi nashangaa kwann hakupew cheo kikubwa kwa hay matukio ya tz watu wangekuw naadabu
Mkwe wake whozu
Ndiye huyo
Nakukumbuka sana bro 7'6 tukiwa ktt nimeipenda nakuja Feb nitakutafuta mkuu
Hongera sana duniani tunapita
Mungu akusaidie mzee maiti ije ipatikane sbb Mungu anatupangia kufia popote
Kumbe huyu baba ake tunda mashaallah
Kumbe ni first born ndo maana..
Maana first born wote huwa na akili za ajabu sana😂haya baba mkwe
Si wote 😁
acha uongo
Idea yako nimeipenda sana.
Ila Kwa mfano ikitokea ukafia kwenye ndege itakuaje???
Mimi namuunga mkono ni bora kujiandalia mazingira bora ya kukustili maana unaweza kufa alafu waliobakia wakakuzika ndivyo sivyo,mm naona kafanya kitu bora maana kafanya kitu apendavyo.
Safi sana. Watu wasio na uelewa wanaweza kuona anajichulia lakini wote yatupasa kujiandaa na kifo maana ni lazima. Na pia inasaidia kuondoa gharama kwa wanaobaki. Huyu ni mtu ambaye hana ubinafsi hataki watu wasumbuke akifa
Cha ajabu mungu atakuweka miaka mingi mpaka utashangaa,mungu syo mjomba ako umpangie
Amejiandaa kwa vyovyote au hujamsikia? Amesema Mungu anaweza kumpa kuishi zaidi lakini amefanya hivyo akiwa na nguvu kabla ya miaka ya tabu
@@sweetbertrwiza5982 hivi mungu unaweza ukamkadlia kweli??,je anauhakika atazikwa humo ktk kabur alolijenga ?...anajua kifo atakachokufa au alitaka kuleta drama tu
@@naomypaul2761 Yeye kajiandaa akifa kifo cha kawaida, akifa kifo kichojulika hapo sawa