Ushawahi cheka kwasababu mtu hachekeshi??😂😂tujuane kwa likes
Kama wewe umekuja kucheki hii video coz ya kucheka tu naomba like yako
Ila coy mzungu ni mtu na anajua alipotoka namkubali sana coy he is a real man,father and Brother naingalia nikiwa iringa aje tu na huku
Huyo msenge aloambiwa akalete chakula mimi kaniumiza mbavu kabisa ... The guy is naturally funny aisee😁😁😁😁🤦🏾♂️
Wazo ni zuri sana kwa utafutaji wa standup comedian. Ila kwa upande wa programme production haikuwa poa kwani ni copy and paste ya programme production nyingine. Hakuna ubunifu mpya kabisa!!
Safi sana mwanzo mzuri Coy Mzungu, Mungu awabariki mpate wachekeshaji wenye vipaji haswa
Daaah coy is really genius by that way he make decision good up bro
Dhh uyo kaka mwenye ako na Da Neema nime penda alivyo sema❤️😍😍
Kuna jamaa alipoteza kila kitu kwa stage😂😂😂
Dah kuchekesha haijawahi kuwa rahisi imagine kuna watu hapo wanaona wanachekesha aibu napata mimi huku aisee majaji wanakazi sana
Baba Levo alivyo seriously utazan sio yeye Yule chzi 🤣🤣🤣🤣
Yan hpo majaj wanacheka sio kwamba wanachekeshwa ila wanahuzunika to😂😂😂😂😂
😂😂😂 The host njo anachekesha
Mbona hawa watu awachekeshi
Wasafi n kiwanda cha sanaa Africa 🌍
Sina chakusema juu ya broo mungu ampe moyo huo huo maana kwenye dunia hii yupo peke yake
Huyu interviewer hapo nje mnafki sana😂😂😂💔💔💔💔
mchekeshaji anaenda kuchekesha afu anachekeshwa yeyeee😆😆
Asante sana Éric Mungu akubariki kwasababu ulifanya ile ambayo kristoyesu anayo itaka yani nilazima kujitowa kwaajili ya mwengine 🇺🇬🇨🇩🇨🇦
Daaah uyo jamaa alio poteza netwek hahahha
Cheka tu. Hapo nimegundua kitu washiriki wanao kuja wanahofu ya muda ndomana wengine wanatumua muda mchache sana so ingekua vyema washiriki wawekewe saa hapo ukutani
Eliudi alivyomchagua huyo binti niumia but judge alivyomrudisha nilitoka chizi jamaa anajua afu ana upendo
Mwamba elidy nakubali brooo we mkali mungu akubresss sana
Hii ni moja ya show niliyofurahi kuona so nimependa jajiz mlivyofanya selection lakin msiwaache tu bali wafundishen jinsi ya kutengeneza or format ya delivering hizo content
Uwezo kuchekesha unazaliwa na kipaji. hata ukiwa hana experience atakuchekesha. Mimi sijafurahi hata moja. Comedians ni kazi nguvu sana. Nice show
Hapo ndo ushamfikisha baba levo 🤣🤣🤣🤣
Halafu wawekwe audiencesi at least 20 wawepo live. wao ndio watadetermine kama mchekeshaji anachekesha pale watakapo cheka. The Number of people who laugh can determine the competence of the presenter.
That's really bro, audiences wanaumuhime sana make uharisia unakuwepo pia kuna ushawishi wa mchekeshaji kufristyle
Coy your judgement is promising you never demoralize anyone, God bless you, ( wanjala Toka Kenya )
0991 mshiriki kanichekesha kweli Yan akifika kwenye stegi anasahau mwisho akakubali kushindwa tu
Ulie igiza kama dogo langu kinyambe yaani umearibu sana ivi bless ulikua skabda uyole ulikua wap na aliko mkangafu ulikua wap tatu ulikua wap vipaji tunduma ilemi kwa samu video center yaani wote rama sombe nguvu zimenishia kweri samwer vwawa mbeya mmetutia aibu
Jamani mimi kwa ushauli naomba muwape washiliki mda waku weza kufanya kile wana choweza hata waki weza kuigiza kama mtu mwingine
Hizi comedy nazo .😂😂😂Mbona una kipara🇰🇪🇰🇪
Jamani kwani wanashindwa hata kuchukua JOKES za GOT TALENT zile unatranslater unaleta hapa,
😂😂😂😂😂baba levo nakupenda Sana
Zembwela sijawai kumuona akicheka, kwaiyo ukitaka kumchekesha inaitaji kazi kubwa sana
Hey wasafi me cjawah kukoment hat cku moja ila huyo jamaa na uyo dem hapo wameniliza 4sure😭huo cyo msaada bali ni upendo
Jamaaa kauza kampuni yake Cheka tu kwa tajiri kwa mark x kawa mwajiriwa tu sasa hivi
Inaitwa Stand Up Comedy. Sio mchezo😃
Jmn loooooooh uyo wa pili anaongea upuuzi tuu
Lkn naona mulichukua watu sio mbeya vipaji vipo lkn mulichagua sijuhi au matangaxo yalikua sio ya kutosha maana vipaji mbeya Vincng
Tanzania hatowezi Comedy tuwaachie wakenya Comedy za Kenya utacheka tu 😆🤣😄
😅😅😅Denis kaomba aondoke mwenyew aisee... pesa hii daaa
Nyie mi nampendaga baba levo akiongea ata kawaida tu nacheka
Mo town bro uko juu huwa wanipinga sana from 254
Jamani kwa dar es salaam ni lini na programe kujiunga ni vipi vipaji tunavyo tutaishia kuvionesha mashuleni
Mm binafsi nimependa uyo jaji na majaji wote pia kwakulipa wema wa uyo jamaa aliekua tayali kubaki yeye na kukubali mwanamke aende kiukweli kwangu mm imenitoa machozi kabisa ameonyesha kuwasapoti wanawake wanawake wanaweza mwanamke ni Tai mungu awabariki wasafi kanzi nzuli sana
nimecheka sanaa sio kwa ubaya nimependa program iwe endelevuu
Eliud ana roho nzuri sana jamanii
Kipindi kizuri sana! Safi Sana Wasafi TV kwa kutupa burudani tosha!
Shikamoo standup comedy hahaha
Kumbe co rahisi
Mtu imala bhana hapo kwa kinyambe hahahah
Yaan apa utacheka sio sababu washiriki wanavichekesho hamna ila wanachochekesha kinachekesha🙄🙄😂
Uyu mzee baada ya kuchekesha anatoa nasaha hahahahah
nmependa iyo matching items
Habari zenu ? Mzuri...Mumekula ? ndio..
Aya kalete chakula basi😂😂😂 Hii kali wadau😂😂😂😂
Chiff dguje anaheshima sana I like that
Huyu Jose wa kweny Tunu huko wasaf anakipind siku gan?????? Napendag anavosema jion ya leo
Neema. Nimekupenda sana. Next time tufurahishe sisi wahanga wa hisia. Wakati Eliud alipoanguka chini....nilitamani ungemuinua na kum hug sana kwa sababu ya kile alichofanya yeye kwako. Hongera sana.
tisha sana.
ila mmetunyim utamu wa round ya pili
Jo master hachekesh bana labda lkn uwezo mdogo sana
Kwaupande wangu hapo sijaona wachekeshaji ila waigizaji wa movies wamo.
Nakubali sana Jose wa mama Jose safi sana wajina unakipaji sana man piga kazi
Nimempenda huyo aliyecopy jolmaster 🤣🤣🤣
Ann nimejifunzaa kituu kikubwaa saana kutokaa kwa eliudi kama katika maishaa yako yotee lengo lako nikufanikiwaa tuu hutakujaa kufanikiwaa kamwee lazima tuwaze na hekima naa busara pia
Zembwera saruti kwako nilijua tu lzm umukumbatie neema😁😁
Uyo jamaa mpishi nime cheka sana yani hahaha
mnaishia Mbeya tu tuaomba mje pia Rukwa tumo tusiovuma mtacheka kuachia hews
Coy mzungu has a free heart.. he is really trying to see good in them
Yaani nacheka kwakuwa sielewi kinachoendelea kweli kuchekesha kazi aise 😂😂😂😂😂😂😂 Et naona kama sukar ya zuchu yote kama amelala nayo yeye 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Ma judge wiki ongea waki hoji ndio raha yake hahahhaha Safi Sana kutoka Dubai pamoja sana
Nenden arusha ndo mtawapata wengi wa arusha wapo serious mno halaf wanamaneno yakuchekesha saana
Nimechelewa kuangalia ila eliudi shikamoo sina dada wakukupa umuoe una moyo wa upendo sana
Muje kunisaport na mimi kipaji ninacho gonga sabuscribe apo
Nafikiri Comedy bado haijashika mizizi TZ, wako 'comic' lakini Delivery ndio shida
Oya wanangu zembwela ni kauzu zaidi ya dagaaa uyu jamaaa hanatakiwa kuwa usalama wa taifa.😎😎😎 kwakweli🤠🤠
Hakuna kitu kwakwel sijaona mchekeshaji inawezekana hawajaelewa nn maana ya kuchekesha
Sijaelewa alomleta Baba levo Baba levo kuwa judge ni Nani, kwa kweli hafai
Yaan wanaochekesha sio watainiwa n majaji
Mbn hii inanipita jamaan mpo mbeya sehem gan... WA-MBEYA COMEDY
Imeisha hiyooo 😂😂njoo dar kesho Asubuhi kinondoni viwanja vya leaders 🚶🚶🚶
Big nimemwelewaaaa sana
Kwamba kachiri on dis one nakukubali kinoma noma an
Mwanza Lin au mmeisha toka by king killer
Hili zoezi gumu mno😄
Hakuna Kazi Ngumu Kama Kuchekesha...Tena Unamchekesha Usiyemjua Nn Kinamchekeshaga Akiwa Kanuna 😅😅😅
No Confidence, No comedy
Simple
Eliud ni mwamba yupo tayari kujitoa kwa ajili ya mwingine big up bro
mzee mtapwela ni jeur htri
No.0991---😄😆😅sema blackout 🌚.....pole bro tha is always next time👊🏿
😂🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣zebwela nakuolewa
Aisee Ninacheka kwasababu Hawachekeshi 😂😂
Sijamaliz Kuangalia, mtanipa feedback kama kuna aliyechekesha 😂😂😂
Ila kuwa mwanaume kazi kinoma
Eliud anaroho nzuri sana, Mungu azd kukusimamia Eliud wetu❤❤