ZEMBWELA ACHEZA KARATE, KUMBE AMEJIFICHA KWA MIAKA MINGI, AMCHAKAZA CAMERAMAN WAKE | MSWAHILI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- ZEMBWELA ACHEZA KARATE, KUMBE AMEJIFICHA KWA MIAKA MINGI, AMCHAKAZA CAMERAMAN WAKE | MSWAHILI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Zembwela anajua sana kuendesha interviews tangu enzi hizo, I'm so in love with the interview
Thanks sensei taifa,nitawatafuta kuendeleza kilicho kwenye nafsi yangu,we love it from the heart
Sensei Taifa+Babu🤝🙌. Asannten Kwa chakula Cha ufahamu Nawatizama Nikiwa Finland 🇫🇮🤝
Live hicho ni chakula cha uzima
Babu kumbe ni fundi aisee!🔥🔥🔥
I like the way you done, also you arause me today I learn something due to this enterview.
Umenikumbusha mbali sana, nimechezaga gujuruu miezi tisa ila long sana
safi sana bwana Zembwela hahahaha
Kak a
hii kipindi ya leo imekuwa bora sana kwangu
Safi sana napenda sana hii kitu
Napenda sana karate 🤼
Naipenda sama karate bikipata muda nitaisoma
Master Yuko vizuri Sana
Mwnye namba za seisei anisaidie naomba
Sensei Taifa,Ahsante sana umeeleweka vzr sana ,oss
Mambo vep ...naweza pata taarifa za sensei taifa wapi yupo nijifunze
Dahhh sauti microphone mnaweka vibaya kiasi hatusikii vizuri maongezi mengine mpk usogeze simu skioni na huku unataka kuangalia pia
Karate hapa Marekani inachulia kama dawa kiafya. Wanafundisha karate kwenye chuo hapa.
Safi sanaaa
Broo zembwera natamani sana kucheza karate
True unajua babu nimeona '''
Daah! Jamani mimi natafuta wanapo fundisha WING CHUN anayejua yeyote naomba anielekeze🙏🙏🙏🙏
Njoo ububgo mchichani
Nenda kibaha MLANDIZI SHAOLIN TEMPLE
Nenda jing hu school
Njoo geto
Wingchu
Big up sana zembwela
Naupenda mchezo huuu mpaka kufa 🙌🙌 nidhamu huwa n zaidi sana. Oss
OSs
Interesting
Mtafute na sensei Aly Bungon anapatikana
Kipindi kizuri sana kinasaidia lakini wana cameraman mmezingua tumecosa baadhi ya details
Safii sanaa
Amazing babu.
Such a nice interview. I'm enjoying it.
wewe mwarim hatar sana
Big Brothers! Sensei Taifa na Kiongozi Zembwela! Nawapa Chu (5)
Nijinsi gani tutapata kazi zako za zamani hususan mizengwe ukiwa na maksi, Babu
karibu UMOJA SHOTOKHAN KARATE CLUB Korogwe kwa Sensei Jango
Jango huyu aliye kuwa mwenge au yupi
Korogwe kimara au korogwe tanga? Naomba namba zako kaka
Tupe mawasiliano
Safi sana
MAMA MIAKA 76 BADO ANAPIGA KARATE YUPO SAWA.
Good nimeipenda
Napenda sana hizi mambo sema nimefanya bonge la upasuajiii daaah 😭😭😭
Polee sana
Pole sana brother
@@missmoona4497 🙏🙏🙏
@@sonnyr1899 🙏🙏🙏
Ise Mungu akusaidie.
Sensei taifa huyu ni ticha wangu wa bagamoyo salamanda sema ulikua unantesa sana🤣🤣
Kunatucha yupo kigoma as likua anaita siliaki laia kutoka Burundi ilikua noma Sana enzi hizo tukiwa na iddi matata ambae alicheza kwenye inspector seba akiwa Kama jambazi tulikua dojo moja
Jamaaa Taifa kanifundisha Makumira daaah kanitembeza sana mwendo wa bata 😁😂😂
Ntumie no yake sensei taifa kaka
Sensei siliak wa kigoma 2003 nillipitia mafunzo pale alikuwa sensei wangu dojo lake lilikuwa pale Sido kigoma kiukweli alikuwa hatari sana
Mpelekee cameraa Mama yake Mwalimu
Nimeinjoi sana leo ktk hiki kipindi
Naomba nipate sehemu ya eneo hilii
Nil wapi? Dojo lipo?
Ila una takiwa kusoma kitu kina itwa TECHNICAL PRESENTATION
3:11 Hahahahah Babu Zembwelaa
Babu msalimie bad boy
kituo kinapatikana wapi?
TAIFA mwalimu wangu wa karate makumira chuo arusha yupo vzur sanaaaaa
Yes Zaman sana nilifanya nae pia miezi kama sita hata ngumi sikurusha ni tizi tu😂😂😂
Mzee Zembwera yuko vizur😀😀
Zembwela hapa umeigiza tu kwa msaada wa ticha.
Uyu ni mtoto wa sinza kijiweni na Mambo haya kayafanya kijiwe chake kikubwa kilikuwa shule ya regnard mengi sinza
Zembwela kacheza japo sio Sana Ila kacheza cc tunafahamu Alie cheza nilifika mkanda blown
Hapana kacheza kama unajua utamwona
Dojo wapi hii nije
Inachukuwa muda gani kupata mikanda yote 7?
Kama kichwa yako ni smart ni chap saaana tu
10 Pak 15
Nimejifunza vingi sana sasa nikafanyie kazi mtaani 😆
🤣🤣🤣
Karibu kwenue dojo yetu ilala boma bro
Wata kupasua kenge wew😂
Bado upo vizuri zembwela
Nitapataje mawasiliano Hapo?
Oss!.
Nimekoshwa sana
Du! Kumbe zembwela noma
Ok
Chinese kung fuu ndo kila kitu
Naomba namba zake nataka kujiunga au kama kuna anaejea shule za karate muongozoo
Makopo ya rangi
Kwaiyo mtu akicheza ni kwahajili ya panya road
Habari
Oss
Morogoro sijajua sehem wanaofundisha ningempeleka mwanangu ajifunze angali mdogo
Nakuona Joo twende Tebain tukakonke!
Mchezo mzuri sana huu,na ninaupenda mno
Ooss ooss sensei taifa
Jamaa pia anapenda mziki Sana ,na NI producer KITAMBO Sana ,anaishi Yombo kwalimboa maeneo ya kwa Chande)
Mbona mmefanana
Nafikaje ghàra
Daaah Taifa jamaaa hatari sanaa
#AVATASTAR255 👽🎵
Kipindi chako kaka kizul sana
Nimecheza mchezo wa Judokan,combat,shotokan kwa sasa nina miaka mitano ndani ya mchezo huu. Judo nimecheza mika 7 na combat miaka 4 namshukuru Mungu.
Combat ni style nawala sio aina ya karate na judokhan ni mtu anaecheza judo
Wekeni number zenu wazee
😅😅..kabeba beba Makopo ya rang...🤣🤣🤣
msenge zembwela anajua fala ngumi
Wanaume wasasahiv wanahitaji mke alie pitia hii kitu, so nami najiandaa kujisahili huu mchezo kabla ya ndoa yangu ili nikiolewa niwe konk🤣🤣🤣🤣maana kina said wa mwanza wamekuwa weng sikuhiz kina dada jiungen na hii kitu inafaa sana😂😂😂😂
Tunatumia pistol sikuhizi risasi tuu
Kwakweli 😁😁😁
Bro hatar sana huyu
Nimekubari ipo poa sana babu
uwe unarudia rudia tujifunze na sisi uku tulipo
Ooohh panya road wana copy baadaee usiku wanaenda kutest
Taifa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 "UNAJUAAAAAA WEEEEEEEE"
🤣🤣💔💔💔💔
"HUNIAMBIII KITU UJUEEEEEEE"
Contact za mwalimu
Master samahani nikitaka kujiunga na wewe kwenye dojo yako utaratibu ukoje?
hiyo vizur hila wengi wanatumia vibaya
mbona mnafanana sura jaman au nyie ni ndugu 😄😄
Sensei taifa nakusikiaga 2 nafrah kukufaham
Huu mzezo naupenda sana ila du majukumu noma
Nikweli kaka
Mwalimu uyu amewai kutufundisha apa Arusha west coast
Me mwanamke ila napenda sana
Karate haina jinsia dada.
ich,ni san,shi,go,ruk,sich,hach,kuu,juu
Mimi napenda Sana lakini pia sipendi uogovi
Hiyo ukijifunza huwez kuwa mgomvi hata Kama ulikuwa mgomvi vip
Ugovi tena
Okapi
Sasa nyie chukueni Haya mafunzo ya Babu kwenye video, alafu tukutane mtaani Kama ujafa wewe 😂 watu tumeshavulugwa 😂 kaleti za mitaani zina eliminated yake pia 😅
🤣🤣🤣😂😂Hawajui mtaa tupo wazee wa street fighting
Usije ukadanganywa , jaribu uone labda kwa mawe na bunduki!!!
As
Nipo Kibaha naitaji dojoo
Karate sio kareti mwalimu zembwela
Bora umeelewa
Babu nisaidie no ya mwalimu
Hii ni Baraka sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥👉🏼👉🏼👉🏼
th-cam.com/video/cgb-mXBbADk/w-d-xo.html
😁😁😁
Wanawake tunafaa kucheza karate?
ndio unaweza
@@petrogodfrey6170 ok asante
Mmmmhhh Babu kumbe ndo maana ulimpeleka polisi polisi
Mm pia ntajfunza hii ktu kwa ajil ya kujilnda mana dunia ya sasa uonevu umezd nkjua hii ktu mmeisha,uknigusa nakuvunja🤣🤣🤣