MAMA WA WATOTO NANE AONA MAAJABU MCHANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 เม.ย. 2022
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Maa shaa Allah... Allah awazidishie barka waliotoa sadaka zao...amiin
Subira, mama yangu, hii ni punje moja tu ya suke ya mahindi, Mungu akipenda☝☝🤲🏼🤲🏼☝☝
Jazakum Allahu Khairaan Kathiraan Al-Fatah.
Assalamu alaikum Alfatahi mnafanya kazi kubwa na nzuri sn, ila tu kwa ushauri muctie miziki
Mungu akujaalieni maisha marefu na akuzidishieni ktk kutoa ila ushauri wangu kwenu mx wachukue video au unaweza kuchkua video au pcha na kutuma kwa hauhxka ili waweze kuamin kua mzigo umeenda sehem huxka
Asalam aleykum mimi nahitaji munisajili kwenye kubeba mizigo bure kwaajili ya Allah
Waghalaikum salamu warahmatullahi wabarakatu mugu awabariki nyote mulio jitoleya
Takbri Allah akibru Allah awalipe kwatuwa zote walojitolea Allah awalipe kwakila jambo
TabarakaAllah Ma Sha Allah
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. ALHAMDULILLAH ALA KULLI HAALI
Allah awawekey wepesi awape kira raheri leo nakesho ahera
😭😭😭😭nime guswa nahii mungu atawa jaaliya maisha mema
Allah awape uwezo wa kutosha muwasaidie nawengine wa aina hy.Hii ni mitihani ya Allah,hvy wasijione wapweke.Mzidishiwe zaidi pale mlipo punguza inshaallah.
Al hamdulillah,in sha Allah kheir ziko njiani
maashaallah mungu awazidishie afya njema
MashaAllah Alfataha Allah awaongoze kwakazizrnu
Allah atukutanishe duniani na peponi
Walakyum Salam Warhumatullah wabarakatuh
Mashaallah Mashaallah ☝️ Allah anawaona basi in shaa Allah 🤲🤲🤲❤
Asalam alaykm warahmatullh wabarakatu nimeguswa na hili nitumie nomba zao mama
Poleni Sana kuondokewa na wazazi pagumu Sana.
Mashaaallah jazzaallah kheri
الله يبارك فيكم التجارة مع الله ليس فيها خسارة
فتاجر مع الله يرى الدنيا مزرعة يزع فيها الأعمال الصالحة غداً توفى النفوس ويحصد الزارعون مازرعوا إن أحسنوا أحسنوا لأنفسكم وإن أساءوا فبئس ماصنعوا
Swadqta
Allah akuhifadhi na taasisi yote
Mashaallah tabarakallah kszi nzuri sana malipo yenu mtayakuta mnele ya allah
Mashallah 105 Allah amlipe jannah
بارك الله في مسعاكم و سهل عليكم كل صعب لأجل خدمة الفقراء خاصة في هذا الشهر الكريم
Amiin
Yaa Allah wape kheir wote wanao saidia jamii
Mashaallah Allah Aiendeleze mpaka kufikia kwenye Taasisi
Asalam aleykum mnafanya vizur al falah lkin ushaur wang allah anasem toa zaka lkin mkono wak wa kushoto usipate habar saw chkueni video vzur ili watu waelew zaid ila msaada munotoa pia zur ila kma ivo pesa so vizur kusem ni kiasi gan na kila mtu akajua...tunaelew kila mtu n roho yak wawez wakaj uliwa n kupat shida kuliko izo asanten nadhan maan yang umeelew vizur mungu awabarik zaid inshallah amin
Kutaja kima ni kwa ajili ya wale wanaotoa wasijehic kuwa pesa wamezila wao
@@kheiramour2973 saw ni kwel lakin haimnish km nd kwel zimo zile zile wawez ukasem zim kias gan il so kwel but inshallah kher hmn ttz
Maa shaa Allah
Allah akulileni malipo makubwa
Mashaallah mashaallah allah atawalipa wale mlojitolea kuistir familia hii
Bismillah mashaallah 💞
Mashaallah tabarak Rahman mungu atawalipa
Allah awape kher na Imani kubwa Zaid ili muwajengee na kijumb chao
MashaAllah MashaAllah
Subhaanallah Allah awalipe kheri jamani wenzetu wanaishi katika maisha duni
Masha Allah
Hongereni sana lakini na vijijj vya kaskazini wapo mayatima wanahitaji msaada
Mashaalha
Mashallah tabaraka llah 😭 Alhamduli llah aala kulli Hali 😥😭🙏
Allah awape subra
Asalamu araikum warahmatullah wabarakatu munimewapenda Dana nataka uyumama aniozeshe naomba
Mashaallah Allah awalipeni khery
AMINAAA.
Mashallah Allah
Al fatah ningeomba mtuekee namba za Simu zao. Kama Mimi ningependa ata kuongea nao na kuwatumia chochote kile. Na pia kuwajulia hali zao . Wahadha assalamualaikum shukran 🙏🙏🙏
Mashallah mashallah
Asante mungu
Mashallah
Mashallah Allah awalipe mema
Mungu akuzidishie kaka
Webye nazo Wanaenda kufturisha bungeni 🙄🙄🙄🙄Dunia hiiii ngumu
Allah akbar
Allah hapendi watu wanaotoa sada km hivyo kujionesha huna malipo kwa Allah ww nikama umejifurahisha tu
Kaka usihukumu hakika mwenye funguo za pepo ni Allah pekee na yeye ndie mwenye kuhukumu... Na Hawa sio kua wanajionyesha Bali wa nafanya kuonyesha mtu kama wewe na mimi ili tukiguswa na yale wanayofanya Ya kheir kwa kusaidia MASIKINI basi na sisi tuchangie ila pole kama nitakua nimekujibu makosa..
Mimi myarwana IRA nimewapenda
Does Samia and Mwinyi watch these photos or watch these videos?
mmi nime umia san ila ila nime pendrzewa na maish mnayo ishii na kugus waumin wa kiislam mungu ata lipia ila ktk awa watto yatima wakike mmi nilitak kuowa moja nimeon km itawezekn
Wapo wapi, Kijiji gani,
Nataman mee nikae nae uyo m1 maan km mie sn baba
Samia acha safari angalia hali halisi
Nawao wanaomba msaada mkubwa
As/alkm?nisawa mnavyofanya lkn mnafanya ibadan ya riya
Hi ni ria kwani lazima mumtangaze
Hawa viongozi wetu hawaoni aibu kula hela zetu na watu waishi hivi. We shuould shoot all politicians! This is a very sad story
huyo mtoto alie ongea mwanzo alfatah nimempenda kwa ajili ya allah nifanyieni mpago
Fafanua vizuri😂😂
😃😃
wtt masha llah polen sn na Allah atawafanyia wepesi
Sema bath umempenda kvp kumfkia ni mara moja uyo
tuambie bana
Na miezi mingne mnafnya kama hv au ndo mwez huu t wa ramadhn mpate mjioneshe kwny channel yenu
Wanafny san mbon labda hujafuatlia2
hujafatilia kwa umakini unakurupuka tu kucoment
@@kheiramour2973 aya barka ishaallah
@@sleifikhajjir262 sw barka inshaallah
Wanajitahidi sana mashaallah sio Ramadhani tu
Bismillah mashaallah 💞