katika uislamu huezi kua na imani kamili km hutowaamini mitume na kuamini vitabu vinne vya mitume na mtu akisema nabii issa(yesu) c nabii haiitwii muumini kwa dini ya kislamu
Baba yangu , ikiwezekana Kikombe hichi kiniepuke, basi Yesu alimuomba baba yake , Yesu ni mwana wa Mungu . Yesu alikuwepo, yopo na ataendelea kuwepo, jihimidiwe jina takatifu la Yesu Kristo mwana wa Mungu aliewahi ! Amen.
Kunsyo tifauti ya kumjya Mungu na mapenzi yake na dini. Hakuna anayefika jwa baba bila kupitia kwake bwana yesu. Hekalu kuu sasa si mjengo, bali linajengwa ndani yetu.
Neno la Mungu kila anayejaribu kulitafakari kwa lengo lake ataelewa sawasawa na malengo yake....kabla ya kusoma Biblia ili uelewe sawasawa na mapenzi ya Mungu, muite Roho mtakatifu akuongoze utaelewa sawasaw na mapenzi ya Mungu..tofauti na hapo utakuwa kama wapiga dili wengine wenye makanisa yao huku duniani..Ila nikupongeze Doctor Sule ..ipo siku utaifahamu biblia vizuri. Sisi wakristu tunakupenda endelea kufanya kazi ya Mungu...hubiri Amani na upendo. Uislamu na Ukristu ni Ndugu wa Mama tofauti bali Baba yetu ni Mmoja hivyo Tunapendana na tunafundishana iliyo kweli. Tuendelee kupendana na kufundishana. Amin
Hauhitaji roho mtakatifu kufanya hesabu rahisi 2+2=4, vivyo hivyo huhitaji roho mtakatifu kusoma ukoo wa Yesu, kujua Yesu alitumwa mahsusi kwa Wana wa Israel na kubwa zaidi Kuna aliyemtuma. Huhitaji roho mtakatifu kujua kwamba wanaojiita wakristo Leo hawafuati hata Moja alilolileta Yesu, na badala yake wanafuata maagizo na maigizo ya waandishi.
@@khalfanali akili inakuweka huru ? Naona tayari umesha jipa hadhi ya u Mungu kuwa Unaweza kujiweka huru Kwa akili yako na kufanya chochote Kwa kujitegemea akili yako huo ni mtazamo wa kidunia ambao hata bible imeukataza unahitaji utulivu sana kuweza kuelewa hili Unasema unasema Yesu alikuja kwaajili ya Wana wa Israel upo serious kweli ? Hataivo sishangai kwann hujui kwakuw hata Mungu wa Quran haujui ukristo vizuri Any way kwakifupi Yesu alikuja kutimiza agano la Ibrahim na Mungu kama ni mfuatiliaji utaona Mungu ana muahidi Ibrahim kuw atamfanya kuwa taifa kubwa kitu ambacho Alisha kifanya lakin akamwambia kupitia uzao wake atabariki mataifa yote na Yesu alikuja kwaajiri ya kufanya mataifa yote yabarikiwe kupitia yeye kuhusu kuja Kwa wayahudi yes nikweli ilikuw lazima azaliwe ndan ya wayahudi kwasababu ya agano la Mungu na Ibrahim Lakin kingine nikuw wayahudi waliahidiwa na Mungu kuwa atakuja mtu ambaye atawaunganisha pamoja Yesu alipo kuja walidhan amekuja Kwa kazi ya kurudisha taifa la Israel ndio maana hata akati anapaa wanafunz walimuuliza nilin uta lirudisha taifa la Israel akawambia muda bado haujafika Sababu ya wayahudi kumkataa Yesu ni kwakuw waliona anaiharibu torat Kwa kusema yeye ni Mungu na kukamilsha sheria ambazo zilikuw hazija kamilika hivyo wakahisi ni mpotoshaji anaiharibu Imani yao
Ukimtamka Yesu, kwaimani,Pepo huutii, ukiwa kwenye shidqyoyoteukitaja jina la Yesu unabarikiwa.Kwenye biblia tunaambiwa wakwanza watakua wamwisho,na wamwisho watakua wa kwanza,ni siku za mwisho,hata waliokua wanamkataa Yesu, Sasa wameanza kumhubiri,Mungu apewe sifa jamani.Neno la Mungu liko pale pale,Jana Leo na hata milele.Mbingu na Nchi vitapita lakini Neno la Mungu halitapita kamwe litadumu Milele.Amina.
Pole Joan kwa kukubali kupotoka. Sidhani kama umesikiliza clip yote. Hakuna chochote ambacho huyu shehe anakijua kuhusu Neno la Mungu la kweli. Anachojua ni historia na maandiko tu. Ukimsikiliza vizuri mwishoni utaona anavyojichanganya mwenyewe. Nakusihi ulisome Neno la Mungu vizuri katika hiyo mistari anayoisoma.
Amini nawaambieni Waislam walio wengi wataingia motoni kwa sababu Ukweli mnaujua halafu mnayoyafanya NI tofauti na mlichofundishwa Ila kwa wale wenye hekma kama wewe Hongera sana
Bible inasema Mwenyezi Mungu hatotoa hukumu pasipo kuwafunulia kweli yake, waislam watafunulia neno kabla ya kihama kwasababu ni wapagani, Mungu hana abali na wapagani
be blessed for revealing the truth about Jesus and the coming doomsday. you have narrated the scripture as supposed. to who does not understand wait to be put in fire.
Yesu Kristo ndiye njia kweli na uzima, umebakiza kitu kimoja tu kubatizwa maana umekwisha kumkiri na unamhubiri vizuri sana na huo ndio utabiri wake kuwa neno lake litahubiriwa na watu wote, kubari yaishe sababu kweli unaijua.
waislamu wote tunafaa kuwaamini mitume na kuyafuata mambo yao na yesu tunamtambua km nabii na amepewa injili ambayo tunafaa tuiamini lakn km iko sawa haijapotoshwa na mikono ya watu
Shekhe,umesema kweri,nikupongeze Kwa tafakari ya Neno la bwana,kubadirika Kwa jengo la kuabudu Kuna ukweri nyuma ya paazia ambao hatujaufaham.nahisi kulitokea mkanganyiko.Tuombe Mungu atupe amani TU. Dini haimpeleki mtu mbinguni.cha msingi tuwe na matendo mema,maana ndiyo yatakayotusindikiza akhera.Mi nikupongeze sana Kwa neema hiyo Mwenyezi Mungu amekupa ya kuielewa biblia,ni wachache wenye hiyo neema.umepewa neema, basi endelea kunitumia Kwa neema.Mugu akubariki sana.
Mimi nikuulize,kwenye kitabu Cha mwanzo, Mungu aliumba Kila kitu Kwa Neno, alitumia wingi.niambie alikua na kina nani?alisema na tufanye mtu Kwa mfano wetu.walikua nani na nani.nisaidie shekhe.Mimi nafurahi sana, tafakari ya Neno la Mungu.nahisi kubarikiwa kabisa.Roho wa Mungu azidi kukutumia.
Mungu awabariki waisilamu,kwakukili kua yesu alipaa na hakuzikwa kama muhamadi,siku ya mwisho atakuja kuukumu naye ndiyo njia yakifika kwa Mungu,mama yupo hai,soma koloani mstari au sula 41
Sasa ww mwenyewe ulitakikana utumie akili unavyoambiwa kila nafs itaonja mauti na Yesu naye ananafs na anarudi duniani. Hujiulizi kufanya nn? Kwakukusaidia tu ni Kuonja mauti.
Shehe ni Muongo sana Yesu mwenyewe akuhukumu usichokijua mishipa inakutoka kudanganya watu someni (Luka 2:11maana katika mji wa daudi amezaliwa kwaaji yenu ndiye Kristo Bwana) acheni ufala fundisheni dini yenu
Katika siku ambaye nimefarijika Ni kusikiliza mahubiri yako Dr Sule kila siku tunawaambia waislam alipo Yesu kila goti litapigwa umeanza kumhubiri Yesu kama alivyokuwa Sauli ( Paulo) ( kumbukeni m/ MUNGU alivyowaambia malaika msujudieni Adam "wakamsujudia " isipokuwa Shetani alikuwa miongoni mwa majini kumbuka anayekataa kumsujudia mwana wa Adam Ni shetani miongoni mwa majini
@@saimonmapunda-bx3rp miskiti wa Al agsa sio misikiti kumbe ni nn? Allieda ulaya hiko ndio kuna makanisa huko alipo zaliwa hamna na wayahudi wanasali kwa kichwa kumfata nabee basi chunguzeni mjue ukweli mitume wote ni waislam mmungu ni mmoja alie waleta sio miungu
Mefafanuwa vzr sanaa ilaa apo mwishonii umemalizia kwa kutuvuta sisi tuje kwenye uwislam apana kila mtu abaki na anacho kiamini bwana unataka kuwa kama mlokole sasa manaa utufundisha vzr sanaa ilaa umaliziaji wako ulivyo maliza sijapendaa umekuja kuturubunii tuuu kila mtu aishi kwa jinsi anavyo aminii imanii alazimishiwiii ata siku mojaa
Siyo vizuri kuwadanganya watu kupitia maandiko Yesu kristo hakuja tu kwa ajili ya nyumba ya Israel Bali kwa watu wote Alipokuwa anatia wosia wa mwisho kabla ya kupaa aliwaambia wanafunzi wake enendeni ulimwenguni mwote mkawafanye mataifa yote wawe wanafunzi wangu.
@@mariamngadoa7808 mbona huelewi?yale ni makabila ndani ya taifamoja kama Tanzania tulivo na makabila 120 kwenye taifa moja.kwa hiyo hapo alimanisaha nchi ambamo ndani mwake kuna makabila msitufanye kama hatuna ufaham.
@@athumanitanuke6795Yohana 3:16 [16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ULIMWENGU, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. ULIMWENGU MAANA YAKE NI NINI ?
Inavoeleweka uislsmu unamjua Bwana Yesu, isipokua uisilamu unamafundisho ya kugeuza geuzza na.kubadilisha nalaukweli Bwana Yesu ndio njia ya ulimwengu,
Dr Sule wewe ni Shekh humalizii mandiko unarukaruka kwa malengo uliyonayo kumbuka imeandikwa atakayewapotosha watu wangu ni heri mtu yule afungiwe jiwe la kusaga atupwe kwenye kilindi cha bahari ogopa kufanya hicho unachokifanya hebu tumia mda wako kumhubiri ALLAH unayemwabudu haya mengine huyawezi
Dr sure mimi nikupongeze kwa kufafanua maandiko vizur sana na Mungu akupe kuijua kweli na kweli hiyo ikuweke huru historia ya uislam doctor imeanza mwaka wa 600 AD kuna miaka mingi sana hapo mwanzo hakukuwa na miskiti na ambacho unatkiwa kukumbuka hekalu sio msikiti bali ni nyumba ya ibada inayotumiwa na wayahudi na siowaislam na mimi natamani umjue zaidi Yesu ili awe Bwana na mwokozi wa maisha yeye ni njia na kweli
Waislam mnazidi kujichanganya wenyewe kila siku LUKA 8 10 Akasema, nyinyi mmepewa kuzijua siri za ufalme wa Mungu, bali wengine kwa mifano, ili wakiona wasione, na wakisikia wasielewe. WAGALATIA 3 26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu 27 Maana nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo 28 Hapana Myahudi wala Myunani, hapana mtumwa wala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu 29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahim, na warithi sawasawa na ahadi. Amen !!!
MAREKRBISHO! katika niliyosema ktk post2 hapa Chini kuna sehemu ni sawa na kuna sehemu nimekosea .Na kwakuwa hatuwezi kujadili moja kwa moja ili nirekebishe pale nilipokossea NAMBA KUFUTA MAFUNDISHO YA POST zangu 2 za hapa chini ili kuepuha upotoshaji zaidi usio wa makusudi ktk jambo hili.Ahsanteni
Sehemu nyingi Sheikh umetereza, kwa mfano juu ya mlima wa mizeituni alihubiri unabii wa mambo makuu yatakayo tokea cku za mwisho ambayo mengi yametimia
Dr Sulle Nimekufuatilia Sana Unatumia Bible kufundisha lakini unakosea kutumia Mantiki ya maneno kupotosha umma soma Kwa Mantiki halisi ni kwamba Yesu alimanisha watu watakuja wakijiita kuwawao ni Kristo na watawadanganya wengi Kwa kufanya ishara sawa na yeye, Wewe Leo unatumia kupotosha Mantiki ya uwandishi kwa manufaa ya Dini Yako.
Kwahiyo wewe unasemaje kuhusu Utume wa Yesu kwa wana wa Izraili? Unataka useme Yesu alitumwa na kwa watu wengine wasiokua Waizrail yaani ukimaanisha na wewe pia Mtume wako ni YESU?
Ndugu zangu yani hii ni mpango wa Mungu kabisa jina la Yesu litatajwa mara nyingi ili lisiwe geni masikioni na miyoni mwa watu ,na ule wakati ukikalibia watu waokolewe na kuijua kweli kwahiyo shekhe Mungu akutumze mim ni mkristo najua Mungu yupo kazini Kwa haya zote unazopotosha na kuweka historia Mungu akudamehe ila kama mmetamubua Yesu Kristo + msalaba na kuwa Yesu Kristo atarudi tena kuhukumu ulimwengu ( msalaba ni kweli ilikuwa laana wagalatia 3:13 umesoma ila someni maandiko yote ilimpasa aendee msalaba kwa kubeba ahibu, laana na kila aina ya vifungo ili tuwe huru)
Wewe ndiye unaetaka kuwapotosha watu kwamba Yesu siye kristo sasa nakiri mbele yako kwamba yesu ndiye kristo na mokozi wa maisha yangu tena yesu alinionya kwamba nisiwsamini watakao kuja kunidanganya kwamba wao ndiyo makristo akaniambia nisiwaamini hao kwasababu yeye kama vile umeme unavyo katika ndiyo atakavyo kuja Bwana wa mabwana Nayeye. Ndiye njia iliyo nyooka Njia safi ni yesu kristo njia ya ukweli na uzima ni yesu kristo
Mm sisikilizagi wapinga christo akuna awezahe kwenda kwababa bila kupitia kwangu mm ndio njia ya kweli na uzima alisema bwana yesu potesheni wasio soma bibilia kilakitu kilifundishwa mpaka kusali alisema watakuja manabihii wa uwongo watakuja kwajina langu ndio unaona watuuu wanaojihita manabihii lakini akusema sheee anavotupoteza ata wakiristo wapo wanaotumia jina lake kupoteza watu kwenye upande wawapiga kristo kumbukeni alisema bwana wetu yesu ukinikana nami nitakukana mbele baba yangu atakuruhani ina mzungumzia sijawahi soma bibilia walakusikia bibilia hinamzungumzia mtume atakidogo
Huwezi kujua habari za Yesu Kwa sababu bila Roho Mtakatifu kitakachoelezwa ni ubinadamu mtupu. * Yesu ni Baba,Mwana na Roho Mtakatifu.Akili ya kibinadamu haiwezi muelewa mfumo huu. Mungu ni Mfumo. Mungu sio kama Jabali au bahari,Mungu ni Roho na Wanaomwabudu watapaswa kumwabudu katika Roho wa kweli
Mashaaa allah shekh Allah akujaalie kheri maana unafikisha na una kumbusha ukumbusho utakao wafaa watakao amini ili kila mwada Adam asije akasema sija wahi kusikia haya mafundisho ni juu yao
@@richardnganya2311ambao ni watu wa Quran na mtume wetu ndyo Muhammad Kwa sababu tunasema kweli na yesu ni nabii wa Allah..Allah hawaongoze kwenye njia ilionyooka na hawape upeo wakupambanua haya zake tukufu
Yesu Kristo Anasema Wengi Watakuja kwa jina Langu !, Je kwa Ndani yaani Rohoni Mwao je Wana Yesu Uyu wa Kweli ?, Hao watakao Kuja kwa jina lake ?, Jibu hapana Hao ndio Mbwa mwitu Simba kuvaa ngozi ya Kondoo ,!.
Dr Wacha kusoma bibilia kama norvoll kitabu chamchezo wa kuingiza BWANA YESU NI Ekalu alimaanisha kuaawa bona Roho wa mungu awafunulii maandiko mnasomanga bibilia kama kitabu Cha hekaya za Abunuwazi wasaliti
Dah!!! Namuonea huruma yesu kristo kumbe alikua anaogopa kufa bhana..🤣🤣🤣🤣🤣 basi Mungu atuepushe cc Waislam na kufuru ya makafir na mayahudi tuendelee kuamini yesu sio Mungu na ndio mana ana hofu na umauti km Mimi na wewe Allah atulipe kila la khery inshaallah
Mbona unakiri yesu kuwa ni bwana tena njia ya uzima wa milele huku unamkashifu njootukufunze zaidi ndipo uondoke kule uliko kwenye giza nene ndangu angu kwa kweli yesu anaokoa na anabixha oyoni mwako, hebu mfungulie
Ni kweli mkuu usishangae mwishoooni kabisa Dr Sule akampokea Yesu . Mungu anamtumia huyo huyo wa kwao kueneza neno la mungu hata kama ni kinyume kinyume lakini wanasikia
Nyinyi waislamu Roho mtakatifu awezi kuingia ndani yenu kuwafunulia maandiko mnalazimisha maandiko vile akili zenu zinataka sii vile roho wa mungu anasema
MI NADHANI WEWE NDIO WA KUJIREKEBISHA UNAWEKA FITINA KATI WAISLAMU.NA HAPA NDIPO WAISLAMU TUNAPOKOSEA.UNAACHA POINT UNAZUNGUMZA UTOMBO.EBU TUBADILIKE NDUGU ZANGU.MBONA WAISLAM TUNAMENGI YA MAANA YA KUFANYA.AU HILO JINA SIO LAKO.UNAJUA MAANA YA ATHUMAN WEWE.
There are so many ways to manage and prepare for a relaxing future, we just always have to keep doing our best because whatever we plant now, we will harvest later good or bad
For beginners it's advisable to get a coach, an expert trader who would serve as a coach and mentor to ensure you make profits and increase your accuracy when you make trades in that way you get to make money with low risk or loosing your capital
Nadhani hujaelewa vizuri Yesu alikua akizungumzia manabii wa uwongo watakao jiita kuwa wao ni Yesu Kristo,ndio maana alisema wakati akija kila jicho litamwona msije mkadanganywa kuwa Yeau ametokea mahali fulani au ameonekan mahali fulani..maana hata sasa tunaona kuna watu wanajiita ni Yesu.
Katima shekh wote nakupenda wewe nimutumishiwangu ubarikiwesana Mimi ni mu kristo nakufatiria 💯/🙏
Tunakushukuru sana Dr.Unamtangaza BWANA YESU Kristo
katika uislamu huezi kua na imani kamili km hutowaamini mitume na kuamini vitabu vinne vya mitume na mtu akisema nabii issa(yesu) c nabii haiitwii muumini kwa dini ya kislamu
Baba yangu , ikiwezekana Kikombe hichi kiniepuke, basi Yesu alimuomba baba yake , Yesu ni mwana wa Mungu . Yesu alikuwepo, yopo na ataendelea kuwepo, jihimidiwe jina takatifu la Yesu Kristo mwana wa Mungu aliewahi ! Amen.
Kila mtu ni mwana wa Mungu, tumia akili...
Mweyezi mungu awaongoze hii ni zaidi ya jihadi. Kuwarudisha watu katika dini ya kweli. Amina.
No
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mashaalah shukarani doct sule kuwakumbusha wasio waislamu
Kunsyo tifauti ya kumjya Mungu na mapenzi yake na dini. Hakuna anayefika jwa baba bila kupitia kwake bwana yesu. Hekalu kuu sasa si mjengo, bali linajengwa ndani yetu.
Wewe unafuata Dini ?
Neno la Mungu kila anayejaribu kulitafakari kwa lengo lake ataelewa sawasawa na malengo yake....kabla ya kusoma Biblia ili uelewe sawasawa na mapenzi ya Mungu, muite Roho mtakatifu akuongoze utaelewa sawasaw na mapenzi ya Mungu..tofauti na hapo utakuwa kama wapiga dili wengine wenye makanisa yao huku duniani..Ila nikupongeze Doctor Sule ..ipo siku utaifahamu biblia vizuri.
Sisi wakristu tunakupenda endelea kufanya kazi ya Mungu...hubiri Amani na upendo. Uislamu na Ukristu ni Ndugu wa Mama tofauti bali Baba yetu ni Mmoja hivyo Tunapendana na tunafundishana iliyo kweli.
Tuendelee kupendana na kufundishana.
Amin
Ipe akili Yako nafasi, moyo wako unakupeleka pasipo, akili Yako ndio itakuweka huru, silimu usalimike.
@@khalfanali usimwamini kamwe mtu yeyote aliebadili Imani yake...chukua hiyo
hamna cha mtaka vitu shauri yako
Hauhitaji roho mtakatifu kufanya hesabu rahisi 2+2=4, vivyo hivyo huhitaji roho mtakatifu kusoma ukoo wa Yesu, kujua Yesu alitumwa mahsusi kwa Wana wa Israel na kubwa zaidi Kuna aliyemtuma. Huhitaji roho mtakatifu kujua kwamba wanaojiita wakristo Leo hawafuati hata Moja alilolileta Yesu, na badala yake wanafuata maagizo na maigizo ya waandishi.
@@khalfanali akili inakuweka huru ? Naona tayari umesha jipa hadhi ya u Mungu kuwa Unaweza kujiweka huru Kwa akili yako na kufanya chochote Kwa kujitegemea akili yako huo ni mtazamo wa kidunia ambao hata bible imeukataza unahitaji utulivu sana kuweza kuelewa hili
Unasema unasema Yesu alikuja kwaajili ya Wana wa Israel upo serious kweli ? Hataivo sishangai kwann hujui kwakuw hata Mungu wa Quran haujui ukristo vizuri
Any way kwakifupi Yesu alikuja kutimiza agano la Ibrahim na Mungu kama ni mfuatiliaji utaona Mungu ana muahidi Ibrahim kuw atamfanya kuwa taifa kubwa kitu ambacho Alisha kifanya lakin akamwambia kupitia uzao wake atabariki mataifa yote na Yesu alikuja kwaajiri ya kufanya mataifa yote yabarikiwe kupitia yeye kuhusu kuja Kwa wayahudi yes nikweli ilikuw lazima azaliwe ndan ya wayahudi kwasababu ya agano la Mungu na Ibrahim
Lakin kingine nikuw wayahudi waliahidiwa na Mungu kuwa atakuja mtu ambaye atawaunganisha pamoja Yesu alipo kuja walidhan amekuja Kwa kazi ya kurudisha taifa la Israel ndio maana hata akati anapaa wanafunz walimuuliza nilin uta lirudisha taifa la Israel akawambia muda bado haujafika
Sababu ya wayahudi kumkataa Yesu ni kwakuw waliona anaiharibu torat Kwa kusema yeye ni Mungu na kukamilsha sheria ambazo zilikuw hazija kamilika hivyo wakahisi ni mpotoshaji anaiharibu Imani yao
Jadhakha LLAHU khair 🙏🙏👍 👍 mwenyezi mungu akufanyie wepesi shekh tena akulinde daaiman akue ghilimu Zaid ya hiyo inshaaa ALLAH!!
Ukimtamka Yesu, kwaimani,Pepo huutii, ukiwa kwenye shidqyoyoteukitaja jina la Yesu unabarikiwa.Kwenye biblia tunaambiwa wakwanza watakua wamwisho,na wamwisho watakua wa kwanza,ni siku za mwisho,hata waliokua wanamkataa Yesu, Sasa wameanza kumhubiri,Mungu apewe sifa jamani.Neno la Mungu liko pale pale,Jana Leo na hata milele.Mbingu na Nchi vitapita lakini Neno la Mungu halitapita kamwe litadumu Milele.Amina.
Nani alikwambia kama WaIslam hatumuamini Yesu?
Hatumuabudu ila tunamuamini kama mtume wa Mwenyezi MUNGU
Amen 🙏 umeongea point mtupuu nakuacha na yohana3:16 ishi nayo
Endelea kuwaelimisha wachamungu katika wakristo wanaokusikiliza. Asilimia kubwa ya wakristo wachamungu wanakuelewa isipokuwa wandawazimu wachache.
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Dr Sure, unasoma vizuri sana ila kidogo t umenukuu vibaya, Yesu alitahadharisha kuwa watu watatokea wamisema na kujitaja wao ni Kristo.
Mungu akupe umri mrefu Dr sule
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Masha Allah sheikh wangu ananiosha muno apa hakuna mucristo wakunivamia yani sheikh zangu wa haziri wa kiisilam mulisoma kabisa
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mimi mkristo na uislamu nimeikubali na kuipenda kwa sababu ya mafundisho yako.. MUNGU akuzidishie Nguvu na ujasiri ktk kusimamia ukweli. Ameen
Yaani shekh amenielewesha kushinda my sunday school teacher
Joan ww ndio miongoni mwa wakristo wachache waliokuwa waelewa ,mungu hakupe ufahamu mkubwa.
Acha kudanga yawatu. Hakuna ubusiano kati ya hekalu na msikiti. Wapi na wapi kati ya Yahweh na Allah ?
Nakuombea uishi miaka mingo, unaweza kushuhudia msikiti huo unabomolewa ilihekslu lijengwe
Pole Joan kwa kukubali kupotoka. Sidhani kama umesikiliza clip yote. Hakuna chochote ambacho huyu shehe anakijua kuhusu Neno la Mungu la kweli. Anachojua ni historia na maandiko tu. Ukimsikiliza vizuri mwishoni utaona anavyojichanganya mwenyewe. Nakusihi ulisome Neno la Mungu vizuri katika hiyo mistari anayoisoma.
Kwa Yesu sibandiki ng'o
Yaani nilikuwa nafikiri Dr Dr kweli kweli kumbe bado ufahamu wake ni mdogo Sana,Biblia haijui kabisa
Asante sana Kwa upendo huu hakika waislam na wakristo sie wote ni ndugu Mungu Akutunze napenda mafundisho yako
Mash Allah. Nimekuelewa vizuri Sheikh Sulle. Alhamdilillah nimeijua kweli👏
Maashaa Allah somo zuri Sana sheikh wetu Allah akulipe kher
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Amini nawaambieni Waislam walio wengi wataingia motoni kwa sababu Ukweli mnaujua halafu mnayoyafanya NI tofauti na mlichofundishwa Ila kwa wale wenye hekma kama wewe Hongera sana
Bible inasema Mwenyezi Mungu hatotoa hukumu pasipo kuwafunulia kweli yake, waislam watafunulia neno kabla ya kihama kwasababu ni wapagani, Mungu hana abali na wapagani
Hujui usichokijua....tafuta ....
Mash Allah,jazakallah kheir sheikh doctor sule.
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Waooo anaonekana ataokoka mda c mrefu huyu maana anaelekea kuijuwa ile kweri inayoweka watu huru💫
Ww unasema ivo lakn wenzio wanampinga. Hamjielewi wakristo
Hawez huyo Quran iko kifuan na ina hiyo Injil Taurat na Zabir.
Huyu ni Mtumishi wa Mungu. Angepita makanisani na kuwaelewesha vizuri. Ana kipaji sana na uwelewa. Ni zaidi ya wachunga .
Waaleikum Salaam warahmatullahi wabarakaat. jazakAllah kheir
Masha Allah shekh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
be blessed for revealing the truth about Jesus and the coming doomsday. you have narrated the scripture as supposed. to who does not understand wait to be put in fire.
No He just needs the Holy Ghost to understand the Bible
Jazaaka lahu haira sheikh Alhaj DOCTOR SULE
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Yesu Kristo ndiye njia kweli na uzima, umebakiza kitu kimoja tu kubatizwa maana umekwisha kumkiri na unamhubiri vizuri sana na huo ndio utabiri wake kuwa neno lake litahubiriwa na watu wote, kubari yaishe sababu kweli unaijua.
waislamu wote tunafaa kuwaamini mitume na kuyafuata mambo yao na yesu tunamtambua km nabii na amepewa injili ambayo tunafaa tuiamini lakn km iko sawa haijapotoshwa na mikono ya watu
Ma shaa Allah sheikh mafunzo ni mazuri na ya kueleweka....Allah na akuzidishie
Shekhe,umesema kweri,nikupongeze Kwa tafakari ya Neno la bwana,kubadirika Kwa jengo la kuabudu Kuna ukweri nyuma ya paazia ambao hatujaufaham.nahisi kulitokea mkanganyiko.Tuombe Mungu atupe amani TU. Dini haimpeleki mtu mbinguni.cha msingi tuwe na matendo mema,maana ndiyo yatakayotusindikiza akhera.Mi nikupongeze sana Kwa neema hiyo Mwenyezi Mungu amekupa ya kuielewa biblia,ni wachache wenye hiyo neema.umepewa neema, basi endelea kunitumia Kwa neema.Mugu akubariki sana.
Hatutaacha kumfuata yesu kristo.wa mwilini bakini lakini kama unataka kwenda mbinguni YESU NDIO NJIA NA UZIMA TUMFUATE YEYE
Mimi nikuulize,kwenye kitabu Cha mwanzo, Mungu aliumba Kila kitu Kwa Neno, alitumia wingi.niambie alikua na kina nani?alisema na tufanye mtu Kwa mfano wetu.walikua nani na nani.nisaidie shekhe.Mimi nafurahi sana, tafakari ya Neno la Mungu.nahisi kubarikiwa kabisa.Roho wa Mungu azidi kukutumia.
Mungu ni Mungu tu atakacho kisema yeye au atakacho kifanya yeye hakiping kwahiyo ww usiwe na fikira zako tu
Mashalla dr
Mungu awabariki waisilamu,kwakukili kua yesu alipaa na hakuzikwa kama muhamadi,siku ya mwisho atakuja kuukumu naye ndiyo njia yakifika kwa Mungu,mama yupo hai,soma koloani mstari au sula 41
AMIN.ILA KUMBUKA WAJINGA HAWAISHI MJINI
Unailewa ninjia kivip lakn kka
Sasa ww mwenyewe ulitakikana utumie akili unavyoambiwa kila nafs itaonja mauti na Yesu naye ananafs na anarudi duniani. Hujiulizi kufanya nn? Kwakukusaidia tu ni Kuonja mauti.
Kiufupi naye atakufa na atazikwa.
KWAIYO USHAKUBALI YESU HAKUULIWA EE?
UKWELI WOTE MNAUJUWA JUU YA YESU MWANA WA MUNGU ILA MNAPINDISHA UKWELI MUNGU ATWAHUJUMU WOTE MAZINGE NDO WAKWANZA🙏🙏🙏🙏
Shehe ni Muongo sana Yesu mwenyewe akuhukumu usichokijua mishipa inakutoka kudanganya watu someni (Luka 2:11maana katika mji wa daudi amezaliwa kwaaji yenu ndiye Kristo Bwana) acheni ufala fundisheni dini yenu
Yesu n Bwana amini uokoke
Mungu atulinde dhidi ya maovu ya dunia na watu wadhalimu ameen inshaallah
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Swadakta dr sule Allah Barik
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Katika siku ambaye nimefarijika Ni kusikiliza mahubiri yako Dr Sule kila siku tunawaambia waislam alipo Yesu kila goti litapigwa umeanza kumhubiri Yesu kama alivyokuwa Sauli ( Paulo) ( kumbukeni m/ MUNGU alivyowaambia malaika msujudieni Adam "wakamsujudia " isipokuwa Shetani alikuwa miongoni mwa majini kumbuka anayekataa kumsujudia mwana wa Adam Ni shetani miongoni mwa majini
❤❤❤❤❤❤
Unanifuraisha sana tena sana. Mwenyezmungu akupe maisha marefu.
Ishaa Allah Shee wangu nakupenda sana.
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Amina
Umejidharirisha sana alhaj
Injili Safi kabisa, najua hakika wapo wengi watakao mjua kristo kupitia hii.Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Dr Sulle.
Njaa unayozungumza sio hiyo ya kula na sio ya Sudan tu nikwadunia si njaa ya kukosa chakula kwa ajili ya tumbo
Yesu hakuingia. MSIKITINI. Hakuna
ANDIKA yesu. Hakuingia msikitini
@@saimonmapunda-bx3rp unataka kusema aliingia kanisani?
@@saimonmapunda-bx3rp miskiti wa Al agsa sio misikiti kumbe ni nn? Allieda ulaya hiko ndio kuna makanisa huko alipo zaliwa hamna na wayahudi wanasali kwa kichwa kumfata nabee basi chunguzeni mjue ukweli mitume wote ni waislam mmungu ni mmoja alie waleta sio miungu
@@saimonmapunda-bx3rpmusikiti ndiyo hekalu kwa swahili bora
Sule umeuimarisha zaidi ukristu wangu
Wahubiri wote wangekuwa hivi kusingekuwa na mgongano ya kiimani
Mefafanuwa vzr sanaa ilaa apo mwishonii umemalizia kwa kutuvuta sisi tuje kwenye uwislam apana kila mtu abaki na anacho kiamini bwana unataka kuwa kama mlokole sasa manaa utufundisha vzr sanaa ilaa umaliziaji wako ulivyo maliza sijapendaa umekuja kuturubunii tuuu kila mtu aishi kwa jinsi anavyo aminii imanii alazimishiwiii ata siku mojaa
Dr masha Allah huko ndio pahali yako na ndio tunakuelewa sanaaa kule kwengine utajikosea heshima yako wachie vijana wako in shaa Allah
Nakubali Kabisa
Wapi huko pengine
@@zvpOnlineTv kuuza dawa sio sehem yake wengi tumemzoeya au kumpendeza akiwa mtoa daawah au Dr mzee wa sayansi na teknolojia ndani ya Qur'an
Siyo vizuri kuwadanganya watu kupitia maandiko
Yesu kristo hakuja tu kwa ajili ya nyumba ya Israel Bali kwa watu wote
Alipokuwa anatia wosia wa mwisho kabla ya kupaa aliwaambia wanafunzi wake enendeni ulimwenguni mwote mkawafanye mataifa yote wawe wanafunzi wangu.
Andiko lipi kaka
Mataifa Ina maana yale 12 ya israel
@@mariamngadoa7808 biblia haisomwi kama mnavyoitafsiri nyie biblia Ina mistari mingi inayotafsiri uhalisia wa maneno ya Yesu
@@mariamngadoa7808 mbona huelewi?yale ni makabila ndani ya taifamoja kama Tanzania tulivo na makabila 120 kwenye taifa moja.kwa hiyo hapo alimanisaha nchi ambamo ndani mwake kuna makabila msitufanye kama hatuna ufaham.
@@athumanitanuke6795Yohana 3:16
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ULIMWENGU, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
ULIMWENGU MAANA YAKE NI NINI ?
Inavoeleweka uislsmu unamjua Bwana Yesu, isipokua uisilamu unamafundisho ya kugeuza geuzza na.kubadilisha nalaukweli Bwana Yesu ndio njia ya ulimwengu,
Kiswahili ki safi mno... hongera kwa kuwajibika kwa lugha ...
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Dr Sule wewe ni Shekh humalizii mandiko unarukaruka kwa malengo uliyonayo kumbuka imeandikwa atakayewapotosha watu wangu ni heri mtu yule afungiwe jiwe la kusaga atupwe kwenye kilindi cha bahari ogopa kufanya hicho unachokifanya hebu tumia mda wako kumhubiri ALLAH unayemwabudu haya mengine huyawezi
Right
Dr sure mimi nikupongeze kwa kufafanua maandiko vizur sana na Mungu akupe kuijua kweli na kweli hiyo ikuweke huru historia ya uislam doctor imeanza mwaka wa 600 AD kuna miaka mingi sana hapo mwanzo hakukuwa na miskiti na ambacho unatkiwa kukumbuka hekalu sio msikiti bali ni nyumba ya ibada inayotumiwa na wayahudi na siowaislam na mimi natamani umjue zaidi Yesu ili awe Bwana na mwokozi wa maisha yeye ni njia na kweli
Hayo sio maneno ya sule ni bible sule ananukuu tu
@@user-mf4km2gi9lkanukuu wapi panaposema Hekalu la Suleiman ni msikiti ?
Waislam mnazidi kujichanganya wenyewe kila siku
LUKA 8
10 Akasema, nyinyi mmepewa kuzijua siri za ufalme wa Mungu, bali wengine kwa mifano, ili wakiona wasione, na wakisikia wasielewe.
WAGALATIA 3
26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu
27 Maana nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo
28 Hapana Myahudi wala Myunani, hapana mtumwa wala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahim, na warithi sawasawa na ahadi.
Amen !!!
MashaAllah
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
MAREKRBISHO! katika niliyosema ktk post2 hapa Chini kuna sehemu ni sawa na kuna sehemu nimekosea .Na kwakuwa hatuwezi kujadili moja kwa moja ili nirekebishe pale nilipokossea NAMBA KUFUTA MAFUNDISHO YA POST zangu 2 za hapa chini ili kuepuha upotoshaji zaidi usio wa makusudi ktk jambo hili.Ahsanteni
Mwezimungu ,awajaaliye kuwaingizwa peponi, na awajaliye msamaha Kwa juhudi yenu ya dini
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mungu wenu anasamehe kwani 😂😂😂😂 au mpaka awachome kwanza
Sehemu nyingi Sheikh umetereza, kwa mfano juu ya mlima wa mizeituni alihubiri unabii wa mambo makuu yatakayo tokea cku za mwisho ambayo mengi yametimia
th-cam.com/video/gmmdhdhaQlQ/w-d-xo.html
Dr Sulle Nimekufuatilia Sana Unatumia Bible kufundisha lakini unakosea kutumia Mantiki ya maneno kupotosha umma soma Kwa Mantiki halisi ni kwamba Yesu alimanisha watu watakuja wakijiita kuwawao ni Kristo na watawadanganya wengi Kwa kufanya ishara sawa na yeye, Wewe Leo unatumia kupotosha Mantiki ya uwandishi kwa manufaa ya Dini Yako.
Kwahiyo wewe unasemaje kuhusu Utume wa Yesu kwa wana wa Izraili? Unataka useme Yesu alitumwa na kwa watu wengine wasiokua Waizrail yaani ukimaanisha na wewe pia Mtume wako ni YESU?
Ndugu zangu yani hii ni mpango wa Mungu kabisa jina la Yesu litatajwa mara nyingi ili lisiwe geni masikioni na miyoni mwa watu ,na ule wakati ukikalibia watu waokolewe na kuijua kweli kwahiyo shekhe Mungu akutumze mim ni mkristo najua Mungu yupo kazini
Kwa haya zote unazopotosha na kuweka historia Mungu akudamehe ila kama mmetamubua Yesu Kristo + msalaba na kuwa Yesu Kristo atarudi tena kuhukumu ulimwengu ( msalaba ni kweli ilikuwa laana wagalatia 3:13 umesoma ila someni maandiko yote ilimpasa aendee msalaba kwa kubeba ahibu, laana na kila aina ya vifungo ili tuwe huru)
Mashallah Allah 💕
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Ubarikiwe Sana
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Yesu. Ndie njia ya kweli na uzima
Mmh mhhhhhh Soma biblia vizuri.
Mungu akubariki sana
Wewe ndiye unaetaka kuwapotosha watu kwamba Yesu siye kristo sasa nakiri mbele yako kwamba yesu ndiye kristo na mokozi wa maisha yangu tena yesu alinionya kwamba nisiwsamini watakao kuja kunidanganya kwamba wao ndiyo makristo akaniambia nisiwaamini hao kwasababu yeye kama vile umeme unavyo katika ndiyo atakavyo kuja Bwana wa mabwana Nayeye. Ndiye njia iliyo nyooka Njia safi ni yesu kristo njia ya ukweli na uzima ni yesu kristo
MashaAllah MashaAllah 💕💕💕💕
Mm sisikilizagi wapinga christo akuna awezahe kwenda kwababa bila kupitia kwangu mm ndio njia ya kweli na uzima alisema bwana yesu potesheni wasio soma bibilia kilakitu kilifundishwa mpaka kusali alisema watakuja manabihii wa uwongo watakuja kwajina langu ndio unaona watuuu wanaojihita manabihii lakini akusema sheee anavotupoteza ata wakiristo wapo wanaotumia jina lake kupoteza watu kwenye upande wawapiga kristo kumbukeni alisema bwana wetu yesu ukinikana nami nitakukana mbele baba yangu atakuruhani ina mzungumzia sijawahi soma bibilia walakusikia bibilia hinamzungumzia mtume atakidogo
Huwezi kujua habari za Yesu Kwa sababu bila Roho Mtakatifu kitakachoelezwa ni ubinadamu mtupu.
* Yesu ni Baba,Mwana na Roho Mtakatifu.Akili ya kibinadamu haiwezi muelewa mfumo huu. Mungu ni Mfumo. Mungu sio kama Jabali au bahari,Mungu ni Roho na Wanaomwabudu watapaswa kumwabudu katika Roho wa kweli
Mashaaa allah shekh Allah akujaalie kheri maana unafikisha na una kumbusha ukumbusho utakao wafaa watakao amini ili kila mwada Adam asije akasema sija wahi kusikia haya mafundisho ni juu yao
Nimegundua Sule anaipenda sana Injili ya Yesu Anasoma maneno ya Yesu kwa hisia kabisa
Bwana Yesu..
Maandiko matakatifu..
Kuna kuhubiri habari za Yesu Kristo kutoka kwa watu wasio wa Biblia.
@@richardnganya2311ambao ni watu wa Quran na mtume wetu ndyo Muhammad Kwa sababu tunasema kweli na yesu ni nabii wa Allah..Allah hawaongoze kwenye njia ilionyooka na hawape upeo wakupambanua haya zake tukufu
Shekh Mazinge katika maelezo yako umepotosha hapo uliposema Yesu siyo Kristo. Rejea Mathayo 16:13-18
Mashalla!
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Kweli unasema Yesu si Kristo kisha unatumia mstari ambao Yesu anajitambulisha ni Kristo!! Huu ni upofu wa ajabu
Mungu akubaliki sule
Mie nimempenda sana mtu msema kweli duh angekuwa karibu ningempa maua yake bc na wengine waige mfano wake hongera dr sule
Yesu Kristo Anasema Wengi Watakuja kwa jina Langu !, Je kwa Ndani yaani Rohoni Mwao je Wana Yesu Uyu wa Kweli ?, Hao watakao Kuja kwa jina lake ?, Jibu hapana Hao ndio Mbwa mwitu Simba kuvaa ngozi ya Kondoo ,!.
Mashaallah
Preach
Sasa uje kwa Yesu Dokta Sule
Amin
Dr Wacha kusoma bibilia kama norvoll kitabu chamchezo wa kuingiza BWANA YESU NI Ekalu alimaanisha kuaawa bona Roho wa mungu awafunulii maandiko mnasomanga bibilia kama kitabu Cha hekaya za Abunuwazi wasaliti
Hongera shekhe
Na Yesu kristo....
Assalam alayikum shukran kwa darsa la bibliya
Kweli
Dah!!! Namuonea huruma yesu kristo kumbe alikua anaogopa kufa bhana..🤣🤣🤣🤣🤣 basi Mungu atuepushe cc Waislam na kufuru ya makafir na mayahudi tuendelee kuamini yesu sio Mungu na ndio mana ana hofu na umauti km Mimi na wewe Allah atulipe kila la khery inshaallah
Yesu ni messager
Hongera kwa kuihubiri injiri
Mungu akujalie kheri upate kutufundisha habari njema
Masha Allah shekhe Allah akubariki sana
Ulianza vizuri ila unakomalizia nawewe ni mpinga kristo
Hongera sana
Luka 2:11 na mtari 26 Maana leo katika mji wa daudi amezaliwa kwaajili yenu mwokozi ndiye Kristo Bwana
Injili ya kweli❤❤❤
MIMI NDIYE KRISTO.YAANI WALE WANAOJITAJA BADALA YAKE.HAPO UMECHEZESHA MANENO.YESU NDIYE KRISTO.
Mbona unakiri yesu kuwa ni bwana tena njia ya uzima wa milele huku unamkashifu njootukufunze zaidi ndipo uondoke kule uliko kwenye giza nene ndangu angu kwa kweli yesu anaokoa na anabixha oyoni mwako, hebu mfungulie
Msisahau "Neno hili haliji upesi hadi lihubiriwe kwa watu wote" basi akina sule wanasaidia kuhubiri safi kabisa
Anapotosha, Yesu Anasema watu watajita Wakristo,hakusema wataniita mimi kristo hapana,Anapotosha Sana
Mfano Yesu wa tungarini
Ni kweli mkuu usishangae mwishoooni kabisa Dr Sule akampokea Yesu . Mungu anamtumia huyo huyo wa kwao kueneza neno la mungu hata kama ni kinyume kinyume lakini wanasikia
kwa sababu katika Yohana 17:3, Yesu mwenyewe anajiita Yesu Kristo
Nyinyi waislamu Roho mtakatifu awezi kuingia ndani yenu kuwafunulia maandiko mnalazimisha maandiko vile akili zenu zinataka sii vile roho wa mungu anasema
Jazzakallahu khairan
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Dr sule inabidi ujirekebishe wewe ni mtu muhim sana katika uislam cha kwanza acha kumu unga mkono athman machael kushabikia maulidi maulidi ni uzushi
MI NADHANI WEWE NDIO WA KUJIREKEBISHA UNAWEKA FITINA KATI WAISLAMU.NA HAPA NDIPO WAISLAMU TUNAPOKOSEA.UNAACHA POINT UNAZUNGUMZA UTOMBO.EBU TUBADILIKE NDUGU ZANGU.MBONA WAISLAM TUNAMENGI YA MAANA YA KUFANYA.AU HILO JINA SIO LAKO.UNAJUA MAANA YA ATHUMAN WEWE.
@@fadhilikawambwa1586 good shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Othman Mulendelwa Ndugu yngu hebu angalia yale mazri Dr sule amekufunza kwanza :hitilafu zipo yeye ni mwanadamu kwahio simkamilifu
Acha Ujinga kwani iyo ndo mada inayozungumziw hapa halafu mijitu mengine cjui ata ikoje ayo ya maulid yametokea wapi hapa jielewe bro
Yesu ndiye njia ya uzima bila kukiri Yesu ni BWANA mbinguni huoni.
I learnt to manage my money through investments and it really works for me.
There are so many ways to manage and prepare for a relaxing future, we just always have to keep doing our best because whatever we plant now, we will harvest later good or bad
For beginners it's advisable to get a coach, an expert trader who would serve as a coach and mentor to ensure you make profits and increase your accuracy when you make trades in that way you get to make money with low risk or loosing your capital
@Ellie Clark They are not seriously.
Ameen
Nadhani hujaelewa vizuri Yesu alikua akizungumzia manabii wa uwongo watakao jiita kuwa wao ni Yesu Kristo,ndio maana alisema wakati akija kila jicho litamwona msije mkadanganywa kuwa Yeau ametokea mahali fulani au ameonekan mahali fulani..maana hata sasa tunaona kuna watu wanajiita ni Yesu.
Mbona unachanganya Usemi ,?. Shekh Sule Umesema Mwenyewe jina la Yesu Kwa Kiyunani ni Mungu , .