DR SULE WAZEE WA ZAMANI HAWAKUNYWA SODA NDIO MAANA HAWAKUOTA MVI MAPEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 11

  • @TwalaaTaib
    @TwalaaTaib 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤Jazallah kheri kwèli maneno yako ni sawa kabisa frm Kenya❤❤

  • @MariamAbdalla-d3z
    @MariamAbdalla-d3z 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dr sule tungekuomba utueleze ni miti aina gani majina yake na maelekezo ya kutengeza.ili uwape binadamu elimu sababu leo tuko hai kesho hatuko.kizazi kijacho wajuwe namna za kutafuta hizo mimea na kupata faida na kunusurika na maradhi jazakaallahu kheiran.pepo yako utakuwa ushaijenga duniani na akhera amin

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maji ya kisima ndio maji original kutoka kwa Allah Tabbarak Rahman ❤

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabisa maneno yako

  • @jmihenga9079
    @jmihenga9079 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mtu ninamkubali sana! Yuko vizuri kivitabu na kihistoria!

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 5 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah Tabbarak Rahman ❤wazindue waislam

  • @mifugozanzibartv1196
    @mifugozanzibartv1196 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Dr sule

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nawashangaa wasomi nawasikitikiya😂😂

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sule acha janja janja

  • @JamesNgari-ud2oz
    @JamesNgari-ud2oz 4 หลายเดือนก่อน

    Tupe majina ya hio miti