🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 มิ.ย. 2024
- 🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE / SEASON TWO
Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE / SEASON TWO
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
TH-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
TH-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv - บันเทิง
Papa Ndacha Wewe Mungu akujalie sana 🎉🎉🎉🎉 Hawa Wandugu Za djini Wapo N'a Akili Ya upotevu Kweli Kweli
Waisilam acheni tu kwa maana amuna majibu sahihi poleni sana
njooni kwake yesu kristo muokolewe
MWANZILISHI WA IMANI YA WAKRISTO YUKO HAI MPAKA LEOOOOO ELEWA APO WAISLAMU
Ninampenda sana Pastor Ndacha hata kama Kiswahili kinamsumbua lakini ana lengo sahihi
Yaani Kiswahili kinamsumbua kivipi
Ndacha ndacha juu😅😅😅😅😅😅😅amen
Ndacha anakuzidi sana uelewaji pamoja na vitu vingi sana..!
Acha kelele wewe ..!
Hakuna Andiko Linalo Sema Yesu Hakufa Na Hamuto Pata Hata Milele
Acha uchizi
Pastor Ndacha ni Bingwa na amnyoa Sulle .
Sema uislam dini yakweli kabisa❤
Leo ndio nimegunduwa kuwa ndacha niki ponde cha nyanya amepigwa mtengo ambayo haelewi mtego alitegwa wallah makafiri poleni
🎉🎉 Ndacha oyeeee 🎉🎉❤
Kiswahili wanajua, lakini tu. yausindani lakini yanaonekawasi hawana LA maana😂😂😂😂 yesu ndiye wakuabudiwa
Pastor Ncha akili yake iko juu sana , ni mwalimu Karama yake
It has been REVEALED to Ndacha by the Holy Spirit! Let him proclaim it LOUDLY as he has been empowered to do. May God give him the boldness to say it as the inspired Word is, not as human wisdom as others want to display it.
Sule Jibu Swali Kuna Andiko Lolote Koro Wani Linalo Sema YESU Hakufa...
Dr sule kuhubiri sio sawa na mdahalo kuhubiri unaweza usiulizwe maswali
Takbir 👏👏 Allah Akbar ❤️
Poleni sana , mtayakumbuka hayo maneno ya ndasha .
Ndacha mbatize mazinge hata sule ili waelewe yesu vizuri.
Sule unanyoosha maneno sana mfundishe kiswahili uyo pumbu
Acha matusi acha
Sule welcome to Jesus
Amina ndacha waambie
Mnaabudu Mtu kweli????
Sule alimuuliza swali hivi yuse alifanywa laana sababu alitundikwa msalabani alivyo kwenda kujibu hakuelewa hiyo naana imetokana nanini pale sule alipo uliza ndacha hamna kitu katika wa kiristo
Ndacha wew mbishi umeshindwa mara kibao ukubali kenya ulitaka andiko ukipewa uislam nidini ya haki unaslimu ukapewa andiko ukakataaa wew amna kitu
Kwa mawazo yako kashindwa ila kwa hoja uyu jamaa ni hatar sana
Ila makafiri hata mitume waliwakataa na dalili zote walokuwanazo lkn walipinga itakuwa ndacha kupinga Mungu mkoja
Hakuna sehemu ndacha amepinga Mungu ni mmoja.Mungu ni mmojs tangu zama za Zoroaster nabii wa kiajem miaka 700 kabla ya kuzaliwa kwa nabii Musa. MUHAMAD NI KOP AND PASTE KWAMBA MUNGU NI MMOJA KATIKA IMANI YA KIPAGANI YAAN UISLAM
Ukristo ni jina la kipagani walilopewa wanafunzi wa mwanzo huko antiokya
Ndacha kashindwa amna kitu
I love Ndacha
Microphone zenyu zinasumbua kila kipindi chenyu.ila ndacha mkali
I LOVING JESUS
Ndacha kiboko aisee
Ndacha amna kitu
Huu Sule hana hakili kabisa
Kwakweli mpya hiyo alie kufa baba ake paulo simion wa kirene
Nawapata vyema kutoka marekani hapa, ila nawahurumia sana weslamu wanavyo kuwa wa ngumu na wabishi kwa mambo yalio wazi wao ndo wanataka kuyapindisha kwajili ya lunga na uelewa mdogo walio nao .
Wakuhurumiwa ni nyinyi sababu hamuelewi hata mitego mnayo tegwa yani kweli nyinyi ninazi macho matatu alakini hayaoni
Ask them what 1John 2:23 means....... who's this Son that is being talked about in the Word of God Almighty in His Voice In Print, The Bible?
Sule Ana Ongozwa Na Majine Yake Ya Usilam Kukwepa Maswali Yanayo Uliza Na Pastor Ndacha. Na Hato Weza Jibu Maswali Ya Ndacha Hata Milele Na Milele
Alafu ndacha anaongozwa na mapepo sindio
Pastor ndacha wew ni mwamba kwelikweli..... Dr. Sule ushauri wangu akae chini ajifunze tena ukristo maana biblia haitafsiriw kirahisi hivyo kwani huitaji ufunuo kwa roho wa Mungu
Hapo amskii nimefurahia adi nikapiga makofi.
Hayo nimalumbano simahubili audebate
Ndacha kwa kugeuza hoja anaweza ila c zakweli
Mm ninafs naona waislam hawana hoja thabiti ya kujib
Sule ni mweupe hajui chochote bora hata mazinge
Sulle hujui chochote, wewe ni muongeaji sana alafu huweki point..!
Huyu anarudia rudia vitu visivyo eleweke anapewa jibu bado anarudi nyuma tena ameshindwa huyooo shekhe batizwa bhn hauna chakutuambia sisi
Sulle anaongozwa na mapepo ya uongo na kusema uongo kwake kama muislam aina ya waislam wengine ni halali .
Izo zako chuki na propaganda za kujifurahisha Domo lako
@@SalmaAbdul-zz7dy na sema ukweli .kusema uongo kwa waislam n halali
@@Sbstn1913 kama ilivyokua kwenu nyie kuzini na kulewa ni halali
@@SalmaAbdul-zz7dy kuzini na kulewa s halali kwetu amri ya sita kati ya kumi inasema DONT COMMITT ADULT yaan Usizini .Kulewa n haramu katika ukristo lakin ktk uislam pepon tu kuna mito ya ulevi na uzinz nao upo mwanaume mmoja mabikira 72.Simamia kwel acha maslahi .utaish ata ukiacha uislam kichaka cha maovu
@@SalmaAbdul-zz7dy kuzini ni haram ktk ukristo .amri ya 6 inasema USIZINI.kulewa ni haramu ktk ukristo.Uislam una ruhusu uzinzi mfano mukhtar ktk uslam n ndos ya muda mfupi kwaiyo umalaya n halali na mpaka peponi kuna uzinz mfano mwanaume mmoja wa kiislam anapewa mabikira 72.alaf ongezea mito ya ulevi.Njoo kwa kristo salma acha kuwa mchumia tumbo maisha yanaendelea nje ya uislam.
Da aise kama mtu haelewi ana shida
Waislam hawana lakusema, wanasema yesu alikuja kwa wana wa israil😂😂 wana wa israel walio ongoswa na Musa kutoka misri. Wako tafautu na wa bibilia? Mulisachanganyikiwa. Wana wa israil ni wale wele walio kwa bibilia na kwa quoni😮😮😮
Nyie makafiri tatizo lenu munashabikia ushabiki lakini ndacha anyooshi maandiko
Hakuna muislam aliejib hoja za ndacha
Ndacha bab piga mwingi
Mtu Anae Fungwa Sanda Na Aka Wekwa Kaburini Huwa Ame Kufa Ama Huwa Yuko Hai... Jibu Swali Sule Wacha Kukwepa Maswali
Sule ajui quaran ata kidogo
Sulle muongo
Sasa kwani maana ya Elimu ni nini ? Maana yake ni kujifunza , Sasa utajifunzaje , Sule yupo sahihi kwamba anaxhoamini yeye je ni sahihi au sio sahihi
Ndacha fundii
Sulle Hana elimu ya udaktari wala shahada ya udaktari, ila Una utoto mwingi Sana lakina hata Masai ni madaktari wa miti shamba. Kafiri mkubwa huyu
Huyu Wakwanza Na Wamwisho Alie Sema Ame Kufa Ni Nani Jibu Swali Wewe Sule Majini
MUNGU KASEMA NDANI YA QURAN HAKUULIWA WALA HAKUSULUBIWA LKN ALIMFANANISHA KATIKA WAO NAYESU AKAMPAISHA MBINGUNI mjue quran haikubakiza kitu msifkiri Mungu anaghafilika na madhalimu kama nyie
Tunawasi na qurani yenyu mnakufulisha hata majini yaani mashetani😂😂😂
@jacksonngusi4122 Yeyote atakaeenda kinyume na mafundisho ya Mungu na kumfanya Mungu anamtoto au binadamu ni Mungu huyo sio katika sisi,someni bible na Quran mtafute ukweli sio kusomewa hao wachungaji na maaskofu wanatamaa na pesa kwahiyo kweli wanaipindisha
Unajua maana ya kufananisha tafsiri yake ni kusema uongo maana hatuna ushaidi ni nan alifananishwa na Yesu
@@Sbstn1913 Unaujua uwezo wa Mungu?anachotaka huwa hakosei
@@binseif2216 hapa hatuzungumzi neno Mungu kwa dhana ya uelewa wako kwamba mungu unayemjua ni allah ambaye hafati moral principle yaan anaweza kusema uongo kwa maslai yake binafsi .Q .inasema Yesu kasubiliwa na amefufuka huu ni ukwel .waislam wanaamin katika uongo unaotungwa na akina sulle.
SULLE HANA ELIMU YEYOTE , MPAKA ANACHANGANYIKIWA JUKWAANI
Sule huna elimu yoyote
Sule kakosa utetezi kabisa aisee
Sule ni waajabu. Wapi Mungu kasema Yesu kafa?. Sule amewahi kusikia wapi Mungu kaongea? Ulisema Mungu akiongea utakuwa umemfananisha ni mtu.
Papa Ndacha Wewe Mungu akujalie sana 🎉🎉🎉🎉 Hawa Wandugu Za djini Wapo N'a Akili Ya upotevu Kweli Kweli
Sulle umepotezwa.
Sule muongo mno