🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 มิ.ย. 2024
  • 🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE / SEASON TWO
    Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE / SEASON TWO
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    TH-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    TH-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 84

  • @KasalyaKimimbi
    @KasalyaKimimbi 22 วันที่ผ่านมา +2

    Papa Ndacha Wewe Mungu akujalie sana 🎉🎉🎉🎉 Hawa Wandugu Za djini Wapo N'a Akili Ya upotevu Kweli Kweli

  • @johnkisubi8974
    @johnkisubi8974 หลายเดือนก่อน +5

    Waisilam acheni tu kwa maana amuna majibu sahihi poleni sana
    njooni kwake yesu kristo muokolewe

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 หลายเดือนก่อน +4

    MWANZILISHI WA IMANI YA WAKRISTO YUKO HAI MPAKA LEOOOOO ELEWA APO WAISLAMU

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 หลายเดือนก่อน +2

    Ninampenda sana Pastor Ndacha hata kama Kiswahili kinamsumbua lakini ana lengo sahihi

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq หลายเดือนก่อน

      Yaani Kiswahili kinamsumbua kivipi

  • @user-ee8dr9iw4k
    @user-ee8dr9iw4k หลายเดือนก่อน +4

    Ndacha ndacha juu😅😅😅😅😅😅😅amen

  • @chandelierlumona3447
    @chandelierlumona3447 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha anakuzidi sana uelewaji pamoja na vitu vingi sana..!
    Acha kelele wewe ..!

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna Andiko Linalo Sema Yesu Hakufa Na Hamuto Pata Hata Milele

  • @geoffreymuraya938
    @geoffreymuraya938 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor Ndacha ni Bingwa na amnyoa Sulle .

  • @BernardMgimba
    @BernardMgimba หลายเดือนก่อน

    Sema uislam dini yakweli kabisa❤

  • @kudraabdul7257
    @kudraabdul7257 19 วันที่ผ่านมา

    Leo ndio nimegunduwa kuwa ndacha niki ponde cha nyanya amepigwa mtengo ambayo haelewi mtego alitegwa wallah makafiri poleni

  • @KasalyaKimimbi
    @KasalyaKimimbi 22 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉 Ndacha oyeeee 🎉🎉❤

  • @user-ee8dr9iw4k
    @user-ee8dr9iw4k หลายเดือนก่อน +1

    Kiswahili wanajua, lakini tu. yausindani lakini yanaonekawasi hawana LA maana😂😂😂😂 yesu ndiye wakuabudiwa

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor Ncha akili yake iko juu sana , ni mwalimu Karama yake

    • @elkairosway1895
      @elkairosway1895 หลายเดือนก่อน

      It has been REVEALED to Ndacha by the Holy Spirit! Let him proclaim it LOUDLY as he has been empowered to do. May God give him the boldness to say it as the inspired Word is, not as human wisdom as others want to display it.

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno หลายเดือนก่อน

    Sule Jibu Swali Kuna Andiko Lolote Koro Wani Linalo Sema YESU Hakufa...

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 หลายเดือนก่อน

    Dr sule kuhubiri sio sawa na mdahalo kuhubiri unaweza usiulizwe maswali

  • @isahbarasa
    @isahbarasa หลายเดือนก่อน +2

    Takbir 👏👏 Allah Akbar ❤️

    • @vyaduoj
      @vyaduoj 27 วันที่ผ่านมา

      Poleni sana , mtayakumbuka hayo maneno ya ndasha .

  • @MugishaMusabwa-lc7hq
    @MugishaMusabwa-lc7hq 14 วันที่ผ่านมา

    Ndacha mbatize mazinge hata sule ili waelewe yesu vizuri.

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan หลายเดือนก่อน

    Sule unanyoosha maneno sana mfundishe kiswahili uyo pumbu

  • @EmanuelHema-gf1cj
    @EmanuelHema-gf1cj หลายเดือนก่อน

    Sule welcome to Jesus

  • @user-yl4wq7hb5c
    @user-yl4wq7hb5c หลายเดือนก่อน

    Amina ndacha waambie

  • @binseif2216
    @binseif2216 หลายเดือนก่อน +2

    Mnaabudu Mtu kweli????

  • @kudraabdul7257
    @kudraabdul7257 19 วันที่ผ่านมา

    Sule alimuuliza swali hivi yuse alifanywa laana sababu alitundikwa msalabani alivyo kwenda kujibu hakuelewa hiyo naana imetokana nanini pale sule alipo uliza ndacha hamna kitu katika wa kiristo

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan หลายเดือนก่อน

    Ndacha wew mbishi umeshindwa mara kibao ukubali kenya ulitaka andiko ukipewa uislam nidini ya haki unaslimu ukapewa andiko ukakataaa wew amna kitu

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 8 วันที่ผ่านมา

      Kwa mawazo yako kashindwa ila kwa hoja uyu jamaa ni hatar sana

  • @binseif2216
    @binseif2216 หลายเดือนก่อน +2

    Ila makafiri hata mitume waliwakataa na dalili zote walokuwanazo lkn walipinga itakuwa ndacha kupinga Mungu mkoja

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 หลายเดือนก่อน

      Hakuna sehemu ndacha amepinga Mungu ni mmoja.Mungu ni mmojs tangu zama za Zoroaster nabii wa kiajem miaka 700 kabla ya kuzaliwa kwa nabii Musa. MUHAMAD NI KOP AND PASTE KWAMBA MUNGU NI MMOJA KATIKA IMANI YA KIPAGANI YAAN UISLAM

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy หลายเดือนก่อน

      Ukristo ni jina la kipagani walilopewa wanafunzi wa mwanzo huko antiokya

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan หลายเดือนก่อน

    Ndacha kashindwa amna kitu

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 หลายเดือนก่อน

    I love Ndacha

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq หลายเดือนก่อน

    Microphone zenyu zinasumbua kila kipindi chenyu.ila ndacha mkali

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 หลายเดือนก่อน +2

    I LOVING JESUS

  • @revelationofgodswordminist9730
    @revelationofgodswordminist9730 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha kiboko aisee

  • @pascalbalex5142
    @pascalbalex5142 หลายเดือนก่อน

    Huu Sule hana hakili kabisa

  • @SeciliaJosephat
    @SeciliaJosephat หลายเดือนก่อน

    Kwakweli mpya hiyo alie kufa baba ake paulo simion wa kirene

  • @vyaduoj
    @vyaduoj 27 วันที่ผ่านมา

    Nawapata vyema kutoka marekani hapa, ila nawahurumia sana weslamu wanavyo kuwa wa ngumu na wabishi kwa mambo yalio wazi wao ndo wanataka kuyapindisha kwajili ya lunga na uelewa mdogo walio nao .

    • @kudraabdul7257
      @kudraabdul7257 19 วันที่ผ่านมา

      Wakuhurumiwa ni nyinyi sababu hamuelewi hata mitego mnayo tegwa yani kweli nyinyi ninazi macho matatu alakini hayaoni

  • @elkairosway1895
    @elkairosway1895 หลายเดือนก่อน

    Ask them what 1John 2:23 means....... who's this Son that is being talked about in the Word of God Almighty in His Voice In Print, The Bible?

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno หลายเดือนก่อน +1

    Sule Ana Ongozwa Na Majine Yake Ya Usilam Kukwepa Maswali Yanayo Uliza Na Pastor Ndacha. Na Hato Weza Jibu Maswali Ya Ndacha Hata Milele Na Milele

    • @user-rm4me4ss8u
      @user-rm4me4ss8u 16 วันที่ผ่านมา

      Alafu ndacha anaongozwa na mapepo sindio

  • @JerrycollinsPaul
    @JerrycollinsPaul หลายเดือนก่อน +2

    Pastor ndacha wew ni mwamba kwelikweli..... Dr. Sule ushauri wangu akae chini ajifunze tena ukristo maana biblia haitafsiriw kirahisi hivyo kwani huitaji ufunuo kwa roho wa Mungu

  • @bongemichael5772
    @bongemichael5772 หลายเดือนก่อน

    Hapo amskii nimefurahia adi nikapiga makofi.

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 14 วันที่ผ่านมา

    Hayo nimalumbano simahubili audebate

  • @user-uy5ue2tz6g
    @user-uy5ue2tz6g หลายเดือนก่อน

    Ndacha kwa kugeuza hoja anaweza ila c zakweli

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 8 วันที่ผ่านมา

    Mm ninafs naona waislam hawana hoja thabiti ya kujib

  • @joelmhezi8039
    @joelmhezi8039 หลายเดือนก่อน

    Sule ni mweupe hajui chochote bora hata mazinge

  • @chandelierlumona3447
    @chandelierlumona3447 หลายเดือนก่อน

    Sulle hujui chochote, wewe ni muongeaji sana alafu huweki point..!

  • @SeciliaJosephat
    @SeciliaJosephat หลายเดือนก่อน

    Huyu anarudia rudia vitu visivyo eleweke anapewa jibu bado anarudi nyuma tena ameshindwa huyooo shekhe batizwa bhn hauna chakutuambia sisi

  • @Sbstn1913
    @Sbstn1913 หลายเดือนก่อน +1

    Sulle anaongozwa na mapepo ya uongo na kusema uongo kwake kama muislam aina ya waislam wengine ni halali .

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy หลายเดือนก่อน

      Izo zako chuki na propaganda za kujifurahisha Domo lako

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 หลายเดือนก่อน

      @@SalmaAbdul-zz7dy na sema ukweli .kusema uongo kwa waislam n halali

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy หลายเดือนก่อน

      @@Sbstn1913 kama ilivyokua kwenu nyie kuzini na kulewa ni halali

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 หลายเดือนก่อน

      @@SalmaAbdul-zz7dy kuzini na kulewa s halali kwetu amri ya sita kati ya kumi inasema DONT COMMITT ADULT yaan Usizini .Kulewa n haramu katika ukristo lakin ktk uislam pepon tu kuna mito ya ulevi na uzinz nao upo mwanaume mmoja mabikira 72.Simamia kwel acha maslahi .utaish ata ukiacha uislam kichaka cha maovu

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 หลายเดือนก่อน

      @@SalmaAbdul-zz7dy kuzini ni haram ktk ukristo .amri ya 6 inasema USIZINI.kulewa ni haramu ktk ukristo.Uislam una ruhusu uzinzi mfano mukhtar ktk uslam n ndos ya muda mfupi kwaiyo umalaya n halali na mpaka peponi kuna uzinz mfano mwanaume mmoja wa kiislam anapewa mabikira 72.alaf ongezea mito ya ulevi.Njoo kwa kristo salma acha kuwa mchumia tumbo maisha yanaendelea nje ya uislam.

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 หลายเดือนก่อน

    Da aise kama mtu haelewi ana shida

  • @user-ee8dr9iw4k
    @user-ee8dr9iw4k หลายเดือนก่อน +1

    Waislam hawana lakusema, wanasema yesu alikuja kwa wana wa israil😂😂 wana wa israel walio ongoswa na Musa kutoka misri. Wako tafautu na wa bibilia? Mulisachanganyikiwa. Wana wa israil ni wale wele walio kwa bibilia na kwa quoni😮😮😮

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan หลายเดือนก่อน +1

    Nyie makafiri tatizo lenu munashabikia ushabiki lakini ndacha anyooshi maandiko

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 8 วันที่ผ่านมา

      Hakuna muislam aliejib hoja za ndacha

  • @user-qn2pk9bv5n
    @user-qn2pk9bv5n หลายเดือนก่อน

    Ndacha bab piga mwingi

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno หลายเดือนก่อน

    Mtu Anae Fungwa Sanda Na Aka Wekwa Kaburini Huwa Ame Kufa Ama Huwa Yuko Hai... Jibu Swali Sule Wacha Kukwepa Maswali

  • @wesakawesaka3516
    @wesakawesaka3516 หลายเดือนก่อน

    Sule ajui quaran ata kidogo

  • @JohnsonKoffee
    @JohnsonKoffee หลายเดือนก่อน

    Sulle muongo

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 หลายเดือนก่อน

    Sasa kwani maana ya Elimu ni nini ? Maana yake ni kujifunza , Sasa utajifunzaje , Sule yupo sahihi kwamba anaxhoamini yeye je ni sahihi au sio sahihi

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq หลายเดือนก่อน

    Ndacha fundii

  • @KennedyBarasa-mc4mz
    @KennedyBarasa-mc4mz หลายเดือนก่อน

    Sulle Hana elimu ya udaktari wala shahada ya udaktari, ila Una utoto mwingi Sana lakina hata Masai ni madaktari wa miti shamba. Kafiri mkubwa huyu

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno หลายเดือนก่อน

    Huyu Wakwanza Na Wamwisho Alie Sema Ame Kufa Ni Nani Jibu Swali Wewe Sule Majini

  • @binseif2216
    @binseif2216 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU KASEMA NDANI YA QURAN HAKUULIWA WALA HAKUSULUBIWA LKN ALIMFANANISHA KATIKA WAO NAYESU AKAMPAISHA MBINGUNI mjue quran haikubakiza kitu msifkiri Mungu anaghafilika na madhalimu kama nyie

    • @jacksonngusi4122
      @jacksonngusi4122 หลายเดือนก่อน

      Tunawasi na qurani yenyu mnakufulisha hata majini yaani mashetani😂😂😂

    • @binseif2216
      @binseif2216 หลายเดือนก่อน

      @jacksonngusi4122 Yeyote atakaeenda kinyume na mafundisho ya Mungu na kumfanya Mungu anamtoto au binadamu ni Mungu huyo sio katika sisi,someni bible na Quran mtafute ukweli sio kusomewa hao wachungaji na maaskofu wanatamaa na pesa kwahiyo kweli wanaipindisha

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 หลายเดือนก่อน

      Unajua maana ya kufananisha tafsiri yake ni kusema uongo maana hatuna ushaidi ni nan alifananishwa na Yesu

    • @binseif2216
      @binseif2216 หลายเดือนก่อน

      @@Sbstn1913 Unaujua uwezo wa Mungu?anachotaka huwa hakosei

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 หลายเดือนก่อน

      @@binseif2216 hapa hatuzungumzi neno Mungu kwa dhana ya uelewa wako kwamba mungu unayemjua ni allah ambaye hafati moral principle yaan anaweza kusema uongo kwa maslai yake binafsi .Q .inasema Yesu kasubiliwa na amefufuka huu ni ukwel .waislam wanaamin katika uongo unaotungwa na akina sulle.

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 หลายเดือนก่อน +1

    SULLE HANA ELIMU YEYOTE , MPAKA ANACHANGANYIKIWA JUKWAANI

  • @pisgatv5863
    @pisgatv5863 หลายเดือนก่อน

    Sule huna elimu yoyote

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 หลายเดือนก่อน

    Sule kakosa utetezi kabisa aisee

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 หลายเดือนก่อน

    Sule ni waajabu. Wapi Mungu kasema Yesu kafa?. Sule amewahi kusikia wapi Mungu kaongea? Ulisema Mungu akiongea utakuwa umemfananisha ni mtu.

  • @KasalyaKimimbi
    @KasalyaKimimbi 22 วันที่ผ่านมา

    Papa Ndacha Wewe Mungu akujalie sana 🎉🎉🎉🎉 Hawa Wandugu Za djini Wapo N'a Akili Ya upotevu Kweli Kweli

  • @patrickpermen
    @patrickpermen หลายเดือนก่อน +1

    Sulle umepotezwa.

  • @wesakawesaka3516
    @wesakawesaka3516 หลายเดือนก่อน

    Sule muongo mno