38. MAOMBI YA KUPONYA HISTORIA || KUITOA NAFSI KWENYE KIFUNGO CHA MAHUSIANO | MWL. ISAAC JAVAN
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- BWANA YESU asifiwe!
Maombi ya leo yanaenda kufungua nafsi kutoka kwenye kifungo cha mahusiano ya mapenzi. Kama uliwahi kuwa na mahusiano ya mapenzi kwenye maisha yako, haya maombi ni ya kwako na yatakuvusha pakubwa.
Kuna watu hawawezi kufurahia mahusiano yao ya sasa kwa sababu nafsi zao bado zimeshikiliwa kwenye ulimwengu wa roho kutokana na mahusiano waliyopitia zamani. Kuna watu hawana raha kwenye ndoa kwa sababu historia za mahusiano yao ya zamani zinawafuatilia na kuwafunga.
Kupitia maombi haya, nafsi yako inaenda kufunguliwa kutoka kwenye vifungo vinavyokutesa kwenye mahusiano yako ya sasa. Unapofanya maombi haya, omba kwa kumaanisha na utamuona Mungu akikushindia kwa utukufu mkuu.
Mungu akubariki sana na YESU akutane na haja za moyo wako. Ubarikiwe sana na BWANA YESU, na usisahau kumshirikisha na mtu mwingine ambaye unajua anaweza kunufaika na maombi haya. Amen!
Isaac Javan Ministry | +255 745 76 45 72
Amina, namshukuru Mungu nafsi yangu imekombolewa toka vifungoni kwa Damu ya Yesu. Barikiwa mtumishi.
Asante saaaaana mtumishi wa Mungu nasikia niko huru baada ya maombi haya .....
Amen amen amen amen amen amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
BARIKIWA Sana Baba Asante Sana
Amen mwanangu ubarikiwe na YESU azidi kukuonekania
Amen , 🙏🙏🙏 barikiwa Mtumishi
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
AMINA AMINA BARIKIWA Sana
Amen mwanangu YESU akushindie katika yote
Asant Yesu nimefunguka
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ubarukiwe na mungu
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen 🙏
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa mungu
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Nagiungamanisha na maombi yakufunguliwa kwanafusi yangu
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Naomba maombi ya wagonjwa wa ukimwi
YESU akuponye na kukupa uzima kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana
Yesu akubariki saana sana
Amen Amen ubarikiwe kwa baraka za milele yote 🙏🙏
Amen Amen ubarikiwe kwa baraka za milele yote 🙏🙏
Ameen Ameen baba nimepona
Amen mwanangu ubarikiwe na YESU azidi kukuonekania
Asante mtumishi
Amen mwanangu YESU akutane na haja ya moyo wako
Kwa Upanga wa Roho Mtakatifi
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Nahisi uwepo wa Mungu kupitia maombi yako!! Mungu akubariki sana
Amen mwanangu YESU akushindie na ubarikiwe sana
Ameen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
I connect in Jesus name Amen. Nina vunja kila vita vya nafsi Nipo huru 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
In JESUS name receive your breakthrough
AMEEEN AMEEEN AHSANTE BWANA YESU
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Eee mwenyezi Mungu anipe hiyo neema ni kawakumbuke hao wapenzi wa zamani Ili jina la Bwana Yesu litukuzwe ameen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Nagiungamanisha na maombi haya yakugitenganusha navifungo vyama nafsi zote
Amen mwanangu YESU akutane na wewe na akuvushe kwa utukufu wa jina lake
amen amen amen
Ee Mungu wangu ujumbe huu ni wangu,Nani mebaki sina mume😭😭😭😭😭😭Wewe usameheye uovu ni samehe
Amen Mungu akubariki na akupe ushindi kwa utukufu wa jina lake takatifu
Ameen,Nimetokaaaa kwa Jina la Yesu🙏🏿
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ameeen ahsante baba ...
Imekua
Amen mwanangu, YESU akutane na haja ya moyo wako
Nafsi yangu Ikawe Huru kwa Mahusiano mapya na Kibali cha Ndoa Najifungua Kwa Upanga wa yesu Kristo Aliye Hai.....🙋Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amina Nafsi Yangu Imekuwa Huru kwa jina la yesu kristo Aliye hai🙋...Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Mtumishi huwa napata ndoto za jini mahaba usiku Napitia wakati mgumu Maombi haya yakawe ufunguo wa nafsi yangu kuwa huru Nikumbuke kwenye Maombi Rose....
@@rossil3991 Amen mwanangu YESU anaweza yote. Usiache kufuatilia muendelezo wa maombi ya kuvunja ndoa ya kiroho. Mungu akubariki sana kwa baraka za milele yote
Amen Baba yetu, najiunganisha na maombi haya
Amen mwanangu ubarikiwe sana na uzidi kukutana na YESU
Nafsi iliyo fungwa kwa kweli past Mungu atusaidie tu
Amen mwanangu YESU anaweza yote
Amen amen 🙏 be blessed man of God
Amen my daughter God bless you
Amen Mungu akubarki sana
Amen mwanangu, ubarikiwe na YESU akushindie daima
ROHO zote zinazonishikilia zikaniachie
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amina Asante
@@rossil3991 Amen mwanangu
Eeeeh Mungu wangu nakushukuru kwa ajili ya mtumishi wako na kwa maombi take nashukuru nimefunguliwa ktk maisha ya wapenzi wa zamani Asante sn Mungu wangu we glorify your name our Lord's.
Jina la YESU lipewe sifa na kutukuzwa sana. Mungu akubariki mwanangu. YESU akutane na haja za moyo wako
Naomba namba ya simu mtumishi
@@winnienashon108 Mungu akubariki mwanangu
Ameni baba ubarikiwa nimepona na nivuka kwa jina la yesu
Powerful and wonderful prayer thank you dear Lord for your knowledge shine upon your servant May you guide his step to eternal life reign in our hearts Lord Jesus amen 🙏🙏
Amen my daughter to JESUS be the praise and honor. Stay blessed
Amen 🙌🙌🙏🙏🙌
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen 🙏🙏
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen 🙏🙏 be blessed
Amen my daughter God bless you
Hallelujah Hallelujah GLORY to OUR MOST HIGH I Receive it In MIGHTIER JESUS NAME AMEN
Amen to JESUS be the glory and honor. God bless you
Glory to most high God be blessed Man of God 🙏
BWANA YESU Asifiwe mtumishi wa MUNGU nisaidie namba yako ya simu
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amina
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amina
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen Amen
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU