Baba umenitowa mashozi Sana nimekumbuka shida niliyopitiya . Alakini nilipo mtazamiya Jesu nikabarikiwa nanikaachambi nakila kitu kikakuwa sawa. Tuashe zambia chameni. Baba Mungu akuinuwe zaidi.🙏🙏🙏
Ahsante sana mchungaji kwa mafunzo haya yenye upako wa Mungu. Natamani sana kuwa kama wewe mchungaji Abuidi niombee sana Mungu anipe kibali cha neno lake anitumie kama chombo ili kuihubiri injili kwa watu wote
kweli mchungaji siku ya mateso hakuna atakaye kuona ,tena zaidi sana, kuna siku nilisikiza wimbo wako nikafarijika sana ilikuwa mwaka 2007 wakati naanza huduma mpya dar es salaam Mungu akubariki sana natamani sana siku moja nikukaribishe kanisani ,
He is soo used of the Lord!! He reminds me of when the Pharisees heard Jesus Christ in the temple and they said he speaks with authority!! He is so spirit filled! Thank you pastor for the uncompromising full gospel!!! Powerful word of God!
MTUMISHI WA MUNGU HUWA NABARIKIWA SANA NA UTUMISHI WAKO NAKUOMBEA MUNGU AKUONGEZEE HEKIMA NA MAARIFA YA KIMBINGU,MUNGU AKUBARIKI SANA.YAANI NATAMANI SIKU MOJA KUMWONA USO KWA USO.MUNGU AKUINUE SANA AIBARIKIE NA FAMILIA YAKO.
14:12 Dhambi ni kama kiu kikimkamata mtu haikutoshelezi. Mungu anisaidie sana, Nionje maji ya uhau nipate kukata kiu cha damu. Yesu apewe sifa🙏following from Kenya 🥰
Injili kama hizo ni adimu sana siku hizi fundisha pia juu ya mapambo ya kiyezebel kwamba ni ukahaba pia na wala sio usafi kama madai ya wachungaji wahuni, kimsingi umenibariki
Ahsante sana mchungaji kwa mafunzo haya yenye upako wa Mungu. Natamani sana kuwa kama wewe mchungaji Abuidi niombee sana Mungu anipe kibali cha neno lake anitumie kama chombo ili kuihubiri injili kwa watu wote
Amen 🙏 hakika wewe umefanyika baraka njoo Kenya 🇰🇪🇰🇪 utufunze kummjua mungu zaidi.
Baba umenitowa mashozi Sana nimekumbuka shida niliyopitiya .
Alakini nilipo mtazamiya Jesu nikabarikiwa nanikaachambi nakila kitu kikakuwa sawa.
Tuashe zambia chameni.
Baba Mungu akuinuwe zaidi.🙏🙏🙏
I'm humbled 🙏🙏
I don’t understand Swahili so much but I love his songs. Some how I understand the songs much better and I glorify God for that.
Barikiwa sana mchunganji. Neno la hekima na baraka nyingi hilo. Mungu atusaindie tuendapo safari hii ya kwenda mbinguni tukaweze kuishi kwa utakatifu.
Ahsante sana mchungaji kwa mafunzo haya yenye upako wa Mungu. Natamani sana kuwa kama wewe mchungaji Abuidi niombee sana Mungu anipe kibali cha neno lake anitumie kama chombo ili kuihubiri injili kwa watu wote
Am proud of you my pastor your teachings are penetrating along the valley and mountain,nyumba ya Mungu sio casino, amen
Neema t
Haaaaahaa, Amen WOII alikuwa Hana mtu wa kumweka birikani
Ni kweli pastor natamani kuwa msafi mbele za mungu na niwe pamoja nae mbiguni nikifurahia uzima wa milele
kweli mchungaji siku ya mateso hakuna atakaye kuona ,tena zaidi sana, kuna siku nilisikiza wimbo wako nikafarijika sana ilikuwa mwaka 2007 wakati naanza huduma mpya dar es salaam Mungu akubariki sana natamani sana siku moja nikukaribishe kanisani ,
Mungu akupe umri mchungaji wa mungu ubarikiwe sana pamoja na uzao wa tumbo yako Amen
He is soo used of the Lord!! He reminds me of when the Pharisees heard Jesus Christ in the temple and they said he speaks with authority!! He is so spirit filled! Thank you pastor for the uncompromising full gospel!!! Powerful word of God!
Amina Mchungaji Mungu akubariki, Amina Yesu ni yule yule habadiliki
amenasa na mchungaji mungu azidi kukubariki kwa kipaji chako❤❤🙏🙏🙏
Mch Abiudi , Mungu wa mbinguni asikuache na akulinde na akutunze
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen powerful great teachings indeed more grace and more Anointing Man of God 🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu watumishi wenge wa siku hizi hawa taki kuhambiya watu kuhacha zambi wana taka kuhambiya watu kubarikiwa tu
O888788777778
O888788777778
hakuna mimba inayo tolewa isiyo kuwa na laana kwa mtoaji! MUNGU akubarki sana pastor
Ameen MUNGU akubariki Pastor
Napenda Sana unavyohubili umetulia
Amen mtumishi wa Mungu mwnyz Mungu akulinde daima
Eee Mungu Baba unirehemu nimebarikiwa sana na mahubiri haya mtumishi wa Mungu barikiwa sana
Amen,,, ,,,,Sikh hizi watu wachukia ukweli eneza injili
yes preach it pastor....powerful
Amen thank you powerful mesenge thank
Soo true.Never sugar coat,just preach the truth the era of coating is gone.
Wanawake bhna utaskia Amen,, km buku af ndo wakwanza kuharibu vyooteee
Amina! We need like this preacher
Hili neno lisipite bule kwangu mungu naomba likaende kunisafisha kwa mahali popote nilipo kosea na kutenda vibaya mbele za mungu
Amina mtumishi am so blessed your word is sharp.lets hate sin n flee from it.
Mungu azidi kukutumia katika kazi yake
MTUMISHI WA MUNGU HUWA NABARIKIWA SANA NA UTUMISHI WAKO NAKUOMBEA MUNGU AKUONGEZEE HEKIMA NA MAARIFA YA KIMBINGU,MUNGU AKUBARIKI SANA.YAANI NATAMANI SIKU MOJA KUMWONA USO KWA USO.MUNGU AKUINUE SANA AIBARIKIE NA FAMILIA YAKO.
Mungu akubariki sana pastor
Asante Mungu kwa Neema ya Yesu Kristo uliyekuja kutukomboa, maana nimekukosea sana Mungu wangu.😭😭😭😭
Nafuu wewe unakubali maana wengi wanapinga na kundelea na mavazi yao
Amen Amen Amen, mungu akutunze sana masomo mazuri sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Mungu aendelee kukupigania na kukupa maisha marefu ili uendelee kutangaza utukufu wa Mungu na kuokoa.
Mungu atuponye kwa Nema yake.
Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana, utunze daima.
May God enable manifestation of what this guy preached for our total change together with our families. Amen!
😢😢😢Nime barikiwa nikiwa Kenya...ujumbe huu ungali hai... namshukuru Mungu
Kuna kanisa moja huku mjini linaitwa FEEL FREE CHURCH...huko wanajivalia tu wanavyojiskia afu watu wanapenda kwenda coz kuna uhuru kama nn!!!!
Tunashukuru kwa mafundisho mazuri mungu akupe maisha marefu uendelee kutuhudumia
Injiri ya nyakati za mwisho.kwenye kizazi kilichopotoka.
Mungu airehemu nchi.
Hallelujah pastor ubarikiwe sana na huduma
Echo ne chi tufu msaja wa katonda/ nikweli kabisa mtumishi wa Mungu be blessed
Welcome to Mozambique 🇲🇿🇲🇿 pastor!
14:12
Dhambi ni kama kiu kikimkamata mtu haikutoshelezi.
Mungu anisaidie sana,
Nionje maji ya uhau nipate kukata kiu cha damu.
Yesu apewe sifa🙏following from Kenya 🥰
16:54 - 17:
Mungu atusaidie tujisitiri vyema tusije tukalete shetani kanisani ya kulete attraction kwa watu.
Nisitende dhambi tena maanake nikiibembeleza, itanikaba😢Yesu nisaidie 🙏
Mithali 6:32-33
Dhambi yaibisha
Bwana Yesu asifiwe.
Mungu akubariki saana mtumishi wa mungu
Hatujaja kuamshana ngono kanisani... tumekuja kushusha uwepo
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🙏
Mungu wambinguni akubariki sana ijili inakaza sana ameneeeeeesana
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu nabarikiwa na injili yako
Mungu akubariki mchungaji kwa ujumbe mzuri hakika Mungu mwenyewe anakutumia
Maubiri ni fire. Mungu atusaidie kwaweli YESU YU aja
Injili kama hizo ni adimu sana siku hizi fundisha pia juu ya mapambo ya kiyezebel kwamba ni ukahaba pia na wala sio usafi kama madai ya wachungaji wahuni, kimsingi umenibariki
Ni KWELI dhambi ya kujipamba kwa walokole imekamata nafasi ya kwanza makanisani KUJICHUBUA KUVAA MAWIGI tumeona ni kawaida mmmmh
@@geitandelwa299 MISHOLI HAJAWAHI KUNIFELISHA KWA NYIMBO NA MAFUNDISHO YAKE. Geita ndelwa ni wewe wa 1984 Lupila?
Aminaaaaa Baba ujumbe na ufike mbali kwajina la YESU ❤❤
Kweli Mchungaji unani bariki Sana, duniya ya Leo watu wamemwasi Mungu, ila wajiumbiya mahubiri ya kuwafurahisha
Asante Yesu kwa ajili ya watumishi wako, yaani mchungaji ameongea yangu yote Asante Yesu Kristo
Injili kavu na imenyooka hongera Sana pastor Abihudi
Mungu akubariki sana mtumishi !
Amen mchungaji be blessed
Amina ,Mwenyezi Mungu akubariki baba
Ubarikiwe mtumishi utumishi was kisasa unapoteza uwepo wa Kimungu.
Barikiwa mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yatujengayo
Mungu aliponye kanisa lake Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi wa MUNGU,ubarikiwe sana
Upo vzr mchngaji nimekukubali mafundsho yako mungu akubariki sana ktk kuitendela oazi yake.
Ujumbe mzr san Mungu akubarik mtumish
Amen hallelujah beloved brother 🙏 MOG, Preach it... thanks God bless you abundantly and always 🙏
Mtumishi Mungu akubariki kwa kusema ukweli. Wa neno la Mungu. Mungu akupe maisha marefu
ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma nzuri
Amen amen Ubarikiwe kweli baba 🤝🙏🏼🙏🏼🙏🏼🤝🙇♂️🙇♂️🙇♂️👏👏👏
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Mch Abiud Nakupenda Sana Baba Angu wa kiroho na Mungu Akubariki Azidi kukuinua Zaid.
Mjjjjjj
Mhhjj
Kama unaabudu kanisa ambalo kuna mtumishi kama huyu usitoke hapo.
Kabisaaaaaaa
Kabisaaaaaaa
Kweli kabisa
Barikiwa mtumisi wa Mungu
Glory to God for the living Testimonies!
Amina barikiwa mtumishi wa MUNGU
Ubarikiwe Pastor Abyudi
Amina mtumishi wa Mungu .
Waoooo nawapenda sanaa jaman
Barikiwa mtumishi wa mungu
Michieka from turkana mutumshi mungu akusidishe baraka ,nimebarikiwa amina
May God bless you man of God,am blessed
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Ubalikiwe sana baba
Ubarikiwe sana mchungaji Abuid
Amina nimebarikiwa xana mtumish 👏👏
Ahsante sana mchungaji kwa mafunzo haya yenye upako wa Mungu. Natamani sana kuwa kama wewe mchungaji Abuidi niombee sana Mungu anipe kibali cha neno lake anitumie kama chombo ili kuihubiri injili kwa watu wote
amina
Asante Mungu Akubariki sana
Mungu akubaliki Sana mtumishi wa bwana endelea kuitenda kazi ya mungu mungu akubaliki sana
Mwenyezi Mungu nmekukosea ila kupitia hili Neno naomba msamaha 😢😢Mungu 🙏🙏
Sema kweli mchungaji tupone 🙏🙏
Amen amen mtumishi wa Mungu.
Ubarikiwe Sana Baba
Barikiwa mchungaj nyimbo zako na maubiri yako hunibariki kanisa lako liko wap
Mbeya lipo
We need such pastors in this era of the last days....
True
Daaah wachungaji kama hawa ni wachache. Wengi wao wanahubiri pesa.
Abiudi nakukubali sana eemungu azidi kukuongezeya nguvu napenda sana nyimbozako sana
Amen ubarikiwe daddy
Mungu akubaliki mutumishi