Kwa kweli najiskia kuwa huru kupitia kwa huyu mjungaji wa mungu.ni mara yangu ya kwanza lakini nimejifunza kitu .na ninahapa chchote nlichofanya kwa kutojua mungu nisamehe naufute makosa yngu.chochote nimeskia kwako mtumishi never and ever kurudia maishani mwangu.mungu azidi kuinua viwango zko.
Amina mtumish mishori, Mungu akubariki kwa injil nzur, kwa kua njili nyingi siku hizi hawaiubir ile kweli ya Yesu kristo wanaubir mafanikio2 hii dhambi Mungu atuhurumie
Sifa kwa MUNGU wetu aliye juu mbinguni, kabisa mchungaji MUNGU wangu akubariki sana kwasababu unasemaukweli ndiyo injili yenye inaitajika kwa nyakati hizi za nyongezo , sina mengi ya kusema ila ubarikiwe na MUNGU azidikutukuzwa milele na milele amen
Haya ndio mahubiri yanayotakiwa sio baraka ukishamjua Mungu hizo baraka zitafuata asante sana na Mungu azidi kukutumia.(from US🙏)
True
Mung akubarik
Mara yangu ya kwanza kukuskiliza Mutumishi wa Mungu ujumbe umefika vizuri kabisa niwachache mno wanaweza kuyasema haya
Hii ndio kweli tunayoihitaji Mungu tusaidie wana wako
Ndo wachungaji walibaki Mungu awabariki sana
AMEN napokea NENO hili la MUNGU aliye hai katika jina la YESU
Namshukuru MUNGU kwa ajili yako mchungaji BWANA aendelee kukuongoza katika Utumishi huu
Baba Mungu akubariki kwakweli nimepata kitu kwenye Mahubiri haya hasa kwenye Makundi ya dhambi hapo kwakweli Mungu anisaidie
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu wa aliye hai tu nahitaji watumishi wa Mungu ambao wanahuri injili jinzi ilivyo
Mch Abiudi,am always blessed with your scripture, blessings Great man of God
Daka kitu hapa
Kwa kweli najiskia kuwa huru kupitia kwa huyu mjungaji wa mungu.ni mara yangu ya kwanza lakini nimejifunza kitu .na ninahapa chchote nlichofanya kwa kutojua mungu nisamehe naufute makosa yngu.chochote nimeskia kwako mtumishi never and ever kurudia maishani mwangu.mungu azidi kuinua viwango zko.
Amina mtumish mishori, Mungu akubariki kwa injil nzur, kwa kua njili nyingi siku hizi hawaiubir ile kweli ya Yesu kristo wanaubir mafanikio2 hii dhambi Mungu atuhurumie
Mungu akubariki Mchungaji! Nainuliwa na kubarikiwa Sana na Mahubiri na mafundisho yako yamejaa neema na nguvu za kipekee
Ahsante,mtumishi Leo nmeelewa
Mungu akutiee nguvuuu mchungajii Abiudi na Mama Mchungaji, mbarariikiwe saaanaa na BWANA Yesu
Amen kweli ni mfariji , Mimi ni muchungaji Daniel kutoka KENYA ASSEMBLIES OF GOD , MUNGU akubariki mchungaji kwa neno la ufunuo wa kiroho .
Mungu akubariki Sana mtu mishi wa mungu
Mungu akubariki akupee mafunuo zaidii
Baba barikiwa sana neema hii tunabarikiwa ,mimi mwanao dori kutoka musoma naomba kupata mawasiliano
Hakika mch. Abiud Mungu azidi kubarika huduma yako
Forgive me lord in everything that goes against your will.🙏🙏
Aminaa Baba MUNGU AKUTUMIE KWA VIWANGO ZAID BABA 🙏🏾🙏🏾
Mchungaji barikiwa sana hakika umenivusha pakubwa sana nimebarikiwa
Hakika haya maneno ni kweli mungu twakuitaji
Ameeeen! Mungu azidi kukuinua Baba
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah JESUS have mercy in JESUS Name
Ameen, Asante Yesu umekuwa Nami hata ukanifundisha kuacha mapambo nakujistiri Hakika nakushukuru Sana Mungu wangu rafiki yangu wakaribu
Correct, lord forgive me and show me mercy in Jesus name Amen.
Barikiwa Sana Mungu awe kazi hiyo ndio kusudi la Mungu hubiri kama hutahubiri Tena
Muhubiri kweli hii ndio injili ya mbinguni
asante sana wanibariki sana. GOD BLESS YOU
Na MUNGU ATUSAIDIE MAANA TUNAPITA
Asante mtumishi kwa mafundisho mazuri
Thank u lord am blessed 🙏🙏🙏
God bless you pastor
Umetukumbusha Neno la msingi katika kutoa hesabu ya makosa yetu Ee Roho Mtakatifu tuongeze tujute kwa kweli Amina
Yesu tusaidie peke yetu hatuwezi
Barikiwa sana mtumishi
Mwenyezi Mungu akujalie afya njema uendelee kuihubiri injili ya Yesu aliye hai
Sifa kwa MUNGU wetu aliye juu mbinguni, kabisa mchungaji MUNGU wangu akubariki sana kwasababu unasemaukweli ndiyo injili yenye inaitajika kwa nyakati hizi za nyongezo , sina mengi ya kusema ila ubarikiwe na MUNGU azidikutukuzwa milele na milele amen
Na iwe Amina katika hili
Amina mtumishi barkiwa
Amen baba yangu Mungu akubariki sana
Pastor Mimi nimekuelewa sana
Ubarikiwe sana songa mbele,na kujinyenyekesha.
Asante mchungaji abiud unasema ukweli kabisa ubarikiwe na Mungu uendelee kutupa ukweli wa kumfuta Mungu nakuyatenda yale yampendezayo
❤amina sana baba uhalikiwe na upewe siku nyingi na MUNGU
Amen Mungu atusaidie.
Amina mtumishi barikiwa
Amen ..Barikiwa mnooo baba
Mungu awe nawe 🙏🙏🙏🙏🙏
....safisha ndani na nje....dhambi za kuiga....Asante Mungu azidi kukutumia.
Ameeen , Ameeen, Ameeen, ubarikiwe mtumishi nimebarikiwaa xaaana
Ubarkiwe mtumishi,mojawapo ya injili adimu makanisani ni hii.Nimekupenda sana na neno hili la utakatifu ,nami nimepona,thx
Napokea kwa jina la yesu naomba mungu nisaieee san nina haja nawe
Ansante kwa kuokoa roho yangu
Asante mtumishi wa mungu barikiwa,kwa kunikumbusha
Veronica ubarikiwe sana mtumishi
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Roho Mtakatifu ndiye mfariji.
Daaah! injili imenyooka kama nini, Yesu yupo.
Amen chai ilikuwa tamu😂😂😂😂🤗🤗🇰🇪
Eriedha Haule mungu ni mwema nime ona akitenda miujitha Juu yangu
Amen barikiwa sana mtumishi mafundisho mazuri na nimebarikiwa mno
Injili isiyoghoshiwa
Amena nimejifunza kitu hapa
Mungu akubari mchungaji Abiud.
Mungu akubarki
Mimi ni mkenya nabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi naomba jina langu lisiondolewe kwa kitabu cha uzima
Asandi sana nafunguliwa na mafundishohaya barikiwa mtumishi
Nabarikiwa
Amina sana mtumishi,nabarikiwasana.
Amina mungu akubariki mtumishi wa mungu
god bless you man of god noreen from kenya
Mungu angekuwa wa kujadiliana, bado dunia ingalikuwa inaumbwa
Iko vizuri
Mungu wa bwana wetu yesu akulinde
Ninakubali Sana nyimbo zako na mahubir Mungu azid kuuinua
Ubalikiwe Mch.
Cfg f ¹has
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
Nimebarkiwa sana mtumishi wa Mungu
Mungu ampe mafunuo makubwa na maisha yasiyonamagonjwa ili ahubiri injili
👏👏MUNGU ATUSAIDIE
Mchungaji mwema najawa na nguvu mpya kila nisikiapo maubiri yako amina
Mungu akubariki Abiudi
Grace lord to overcome sin plz
Amina muchungaji napenda mahubiri yako
Ninabarikiwa sana
Sifa kwake yesu
My mission now kuangalia video zote za abiud maana ananibaliki sana
Very true 🙏 amen am blessed
Yes hii NDO injili YA YESU mmmmh shetani kaingia kanisani ubishi umejaa Sana MAKANISANI mbinguni Ni kugumu Sana KWENDA na MUNGU AKUBALIKI SANA
Kanisa la sshv halina tofauti na disco
Na kweli
Piga kelele bila kuchoka mzee Yesu Yuko karibu
Mungu akubaliki sana
Mungu anitoe kwenye dhambi ya kushirikishwa na za kuiga
Mungu hakutoi kwenye dhambi, ila unatakiwa wewe mwenyewe utubu kwa Yesu. Kama unavyofua nguo mojamoja na dhambi tubu pia moja moja sio za mafungu
MUNGU awabariki sana
Songela tata
Amina mtumishi wa Mungu.
Amen Asante
15:00-18:00
Dhambi za kushirikishwa,
Hii Mungu atusaidie sana Manake nimeiskia
Kweli,itakuweka huru, Amina mtumishi
Ubarikiwe mchungaji Abiud
asante mchungaji wangu nimepona
Amen nakukubari sana mtumishi
Mungu azidi kukuongoza 2:05
Hallelujah yupo mfariji