Mtumishi Abiud na aliyekutia mafuta hayalinde yazidi kuwa mabichi zaidi na zaidi.....ata thamila inahisi ukweli uliomo katika maubili Yako....na barikiwa sana utukufu kwa Yesu☝️
Wewe ni chombo cha Bwana,wengine watakupinga si wao ni pepo ndani yao,kweli inabaki kuwa kweli,ila upako upo ukipewa na Mungu na uongo upo ukitekwa na shetani,prophetic action ni mdhihirusho wa Mungu kupitia mtu
Mungu akubariki tu sana mtumishi wangu ,mafundisho yako ishanijenga tu sana ,na siubarikiwe tu sana hadi kizazi chako ,na mungu azidi kukufunuliya haki .nikiwa hapa kenya
Kwakweki muchungaji ubarikiwe maana neno ulilo sema nikweli ,Yani tutaletewa Hadi magali ya upoko .mifangio ya upoko Yani Mungu atasaidie tujue wakati tukio nao
Mzee wangu nakuomba mshikamane mchungaji mbalikiwa mwakipesile mnajenga nyumba moja Mungu ni mmoja
Mtumishi Abiud na aliyekutia mafuta hayalinde yazidi kuwa mabichi zaidi na zaidi.....ata thamila inahisi ukweli uliomo katika maubili Yako....na barikiwa sana utukufu kwa Yesu☝️
Nainuliwa sana na injili unayo ihubiri mchungaji na natamani niwe mmoja wa wale wataingia ufalme wa mbinguni
Hallelujah...mafundisho Kwa kanisa la leo
Huu ujumbe wa mbeya ni kweli kabisa.mimi sio wa huko na sipajui ila niliona Yesu akiiendea mbeya
Aaah hii ni nguvu yamungu yenye ukombozi Leo sijafatilia Giza maana nimeiona Nuru mungu mbariki mchungaji abiud
Barikiwa Sana najifunza mengi kupitia kwako,,,
Nabarikiwa sana Kwa neno
Wewe ni chombo cha Bwana,wengine watakupinga si wao ni pepo ndani yao,kweli inabaki kuwa kweli,ila upako upo ukipewa na Mungu na uongo upo ukitekwa na shetani,prophetic action ni mdhihirusho wa Mungu kupitia mtu
Mch Abiud miaka 10 iliyopita nabaki tu nalia kwa machozi ya furaha... Mungu aendelee kukuweka ktk kizazi hiki cha nyoka
Ameeen....barikiwa sana mtumishi wa Mungu...naomba nikae katika utakatifu wa Mwenyezi Mungu
😢 Mungu atusaidie, kanisa mh
Barikiwa mtumishi tunaomba somo la dhaka
Nakuombeaga Sana mchungaji mungu akuongezee siku za kuishi uzid kutufundisha
Yaani pasta umeni jenga sana mungu akubariki Inga nimeapitia Sana Asante kunifunza 🙏🙏🙏
Kw kwel baba nimekuelea sana na MUNGU Akubariki sana
Yaani kila nisikilizapo neno lako najikuta nainuka tena ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi wamngu nimejifunza
Barikiwa sana mchungaji,,SI wengi watumish wakemeao dhambi
Ameeen ubarikiwe mtumishi wa Mungu mafundisho yako yamenifikia
Asante sana mutu wa Mungu uendelee kubarikiwa na kuhubiri kweli ya Kristo
Bwana yesu asifiwe sana mtumishi wa Mungu
Ameen Ameen Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Bwana
Aminaa Mchungaji upako una gharama kubwa.
Hapa sawa MAANA mafuta ya UPAKO yanatupeleka wapi mbinguni wanaenda watakatifu
Amina mtumishi neno la kuokoa kabisa
Mungu akubariki nimepata kitu hapo kwenye wokovu na utakatifu
Thank you Jesus tumechokaa kunywa maji ya UPAKO na MUNGU ATUSAIDIE
Mtumishi mungu akubarik sana kwa mafundisho. Isee .
Mungu akubariki tu sana mtumishi wangu ,mafundisho yako ishanijenga tu sana ,na siubarikiwe tu sana hadi kizazi chako ,na mungu azidi kukufunuliya haki .nikiwa hapa kenya
I feel blessed kwakweli nikisikiliza mahubili yako pastor,,,,,,Ubarikiwee pastor
Mchungaji unaeleweka sana. Wewe unaihubiri kweli ya Mungu
Bora sedekia
Mh! Kwel najifunza mengi,ubarikiwe mchungaji.
Achaa achaaa mtachomwaaa
Ameeen mtumishi 🙏 naomba mungu anitue nguvu za kutafuta uso wake
Amen, Mchungaji napenda Sana Injili hii unayo ihubiri.
Niite nami hako Mbea TZ.
Kuhubiri injili pamoja nawe.
Natamani sana kumhubiri Kristo Yesu.
Ubarikiwe, hubiri hapo ulipo, Mungu mpaka Mungu atakapo kupa maelekezo ya kwenda sehemu nyingine baada ya kuwa umeikamilisha kazi hapo
@@elkanakilumbe Ni kweli Mpendwa Elkana. Napenda pia nifike Tanzania
Mungu sio mungu
BWANA YESU awe pamoja nawe Mchungaji
Amina Mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe
Hii ndokweli yakutuokoa, Neno lahivi limekua adimu Sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa Neno la uzima
Mungu yupo ilaaaaaa tunamfanya Kama dukaaa abiudii misholii
Amina Twende Mbinguni
Mungu akulinde nimeipenda mafundisho yako ubarikiwe
Asante mchungaji wa kweli asiejichanganya na mambo ya dunia hii ya kutafta mali tuuu
Naomba ikiwezekana ukuje hubiri kenya
Amen nimekuelewa Muchungaji 😂😂😂🤗🤗🤗
Unaelewaka mtumishi ubarikiwe sana
Amen
Hili utakatifu maana watamuona
MUNGU.
Amina mtumishi
Be blessed pastor
Ubarikiwe kwa neno lisiloghoshiwa Mtumishi wa Mungu aliyehai!
Barikiwa mtumish
Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu
Mungu akubariki Sana Mchungaji Abiudi
Mungu niwetu sote amenii
Uinuliwe Juu Sana katika huduma hii
Ubarikiwe sanaaaaa mtumishi wa Mungu
Kweli mchugaji
Nimebalikiwa mtumishi kwa mafundisho yako MUNGU aendelee kukupigania
Dini niroma tu ata yenyewe ufate Imani yako usimfate Sana padrii
Mtumishi wa MUNGU hajahubiri dini wewe Sande Mmassy kahubiri neno la YESU Kristo, basi.
Eimen eimeen mtumish wa Bwana, watumish Kama wewe wasiochakachua neno la Mungu, wamebak wachache sana siku za leo.. haleluya utukufu kwa Bwana'
Ameni
Ubarikiwee
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Karudie kusikiliza vizuri hikitu yako
Nakuelewa sana
Mung u akubariki baba umenipa kitu kikubwa Sana kwa kupitia mafundisho yako kuhusu tabia
Hubarikiwe sana mtumishi
Mungu akuinue mchungaji
Yesu mwema azidi kukutumia
Amen, amen, Mungu akubariki
Yes
Mungu akuinue Sana .
Hubarikiwe sana
Amina baba barikiwa
Amina Amina mtumishi
Amen blessed pst
Ni ukweli kabisa limeibiwa maombi lakini mungu atuongoze Wachache alafu mungu akombowe kanisa
amina na balikiwa saaana
Haleluyaa jina la Bwana lihimidiweee
Amen,karibu Kenya
Blessed 🙏🙏🙏
Amina mchungaji nakapenda baba unatupa neno rakweri
Amen mtumishi
asante Mtumishi wa Mungu
Twambie baba hizi nyundo kisawasawa
Umeniuzi Sana kwenye hiiii dini nibiashara kwa Sasa
Kip kimekuuzi,?
Ameen ameen mtumishi.
Kweli unavyoongea.
Power
Mwakipesile yuko vema kama Abiudi ila tumwmbee
Kwakweki muchungaji ubarikiwe maana neno ulilo sema nikweli ,Yani tutaletewa Hadi magali ya upoko .mifangio ya upoko Yani Mungu atasaidie tujue wakati tukio nao
Ameni
kweli halali wokovu ni mhimu
Amen
Ameeen
true
Hakika wewe nimtumishi wa Mungu
Ameeen 🙏
Ameen
😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏
Kama utaweza tafathali nisaindie na namba za mch. Abiudi mishori
Nikutumie
Zipo kwenye nyimbo zake