ALLAH SIO MUNGU WA WAKRISTO: MCH NDACHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 มิ.ย. 2024
  • Mdahalo wa kidini
  • เพลง

ความคิดเห็น • 47

  • @melkizedck
    @melkizedck 5 วันที่ผ่านมา +3

    Tangazo! Tangazo! Wakristo tuingie ktk maombi maalum ya kumwombea NDACHA. Ili Mungu amlinde na mabaya

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 3 วันที่ผ่านมา +1

    Ndacha up makini sana nimecheka

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 12 วันที่ผ่านมา +4

    Ndacha umeumaliza uisilamu ni wao tu kuamua Mungu yupi wakeeli wakumtunikia je ni wamasanamu au aliyehai aliyemtuma yesu kristo aliyehai

  • @MugishaMusabwa-lc7hq
    @MugishaMusabwa-lc7hq 6 วันที่ผ่านมา +1

    Wa Islamu ni watu ambao wanajuwa ukweli alakini wanataka kupoteza hao wasiyo jua ukweli katika bibiliya.
    Pastor ndacha mungu akubariki Kwa kutangazia wa Islamu ukweli

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 4 วันที่ผ่านมา

    Hii dini haina tofauti na wale wanaoenda kwa mwamposa mwaminni YESU KRISTO muokolewe

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 12 วันที่ผ่านมา +3

    Ndacha Hana mpinzani

  • @user-xy1cj9wo7x
    @user-xy1cj9wo7x 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kabisa ndacha

  • @eddagreyson-pc7cv
    @eddagreyson-pc7cv 5 วันที่ผ่านมา

    Ndacha waondolee hao Mawani ya MBAO

  • @pastorhermantv5420
    @pastorhermantv5420 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hahahahaha 😂😂😂😂😂😂 duh ndacha kiboko et walio kwenye huo msikiti wao wanaangalia wapi hehehe😂😂😂😂

  • @salimkondo3354
    @salimkondo3354 14 วันที่ผ่านมา +3

    Ndacha ndacha wewe 😂😂😂 BWANA YESU ASIFIWE

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 11 วันที่ผ่านมา +1

    SOMENI BIBLIA KWA SAUTI JUU KWA WATOTO WENU. SOMENI Ezekiel Verse 23 kwa sauti ya juu.

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r 6 วันที่ผ่านมา

    Ndacha ni kiboko ya waislam

  • @Mejaclub
    @Mejaclub 8 วันที่ผ่านมา +1

    Alafu bado mutu amekatalia kwa uisilamu 😂😂

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 9 วันที่ผ่านมา

    Dini ya Hawa watu ni ya kutengeneza na watu sio ya kweli😢
    Wanawaingiza watu motoni pasipo kujua

  • @kkhalifairumba2932
    @kkhalifairumba2932 7 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ndacha amesoma kweli na kama amesoma anaakili vizuri kweli?mungu wa ibrahim baba wa mitume ndio tunaemuabudu hakuna mungu isipokuwa mungu ni mmoja tu alieumba mbingu na ardhi,mm naona anapiga kilele tu hajui chochote akasome quran vizuri

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mjapan anaumba motorcars

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 9 วันที่ผ่านมา

    Hivi kuna aya ndani ya Quran au Bibilia inasema Allah sio Mungu wa kweli???
    naomba jibu wakristo maiki hiyo chukueni🎤

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 7 วันที่ผ่านมา +1

      Matendo ya Muhammad ndiyo yanayo muwakilidha allah,angalia maisha ya Musa, Yoshua na Yesu kisha ulinganishe na mud ndipo utajua ni tofauti kabisa

  • @DicksonRwechungur
    @DicksonRwechungur 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarkiw san Ndacha

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 8 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulillah ni sis waje wake ndio tunamsifia hivyo na si Mungu anasema hivyo.. Watu hawaelewi dini ya Islam wala kur ani wsnapiga tu makelele ya tafsiri za uongo

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 9 วันที่ผ่านมา

    Au kuna aya inasema Allah sio Mungu wa wakristo ndani ya Quran au Bibilia 🎤

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 13 วันที่ผ่านมา +1

    uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

    • @justine-2707
      @justine-2707 12 วันที่ผ่านมา

      Yes ni Nuru kw upotefu

    • @innocentndikumana8928
      @innocentndikumana8928 12 วันที่ผ่านมา

      mweye bashikirina amuna mungu

    • @innocentndikumana8928
      @innocentndikumana8928 12 วันที่ผ่านมา +1

      musilimu mufate mungu wahaki wenye azari afanani nacocote allah uwislam utazidi kuwa nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿allah Akbar

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 9 วันที่ผ่านมา

    Kumbe Mungu wa wakristo anazaa anaenda matenet huu ndiyo ukafri kweli

    • @stephen-S7n
      @stephen-S7n 7 วันที่ผ่านมา

      Kwa Quran shetani ana kizazi, je shetani anaenda maternity?

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f 13 วันที่ผ่านมา

    Ndacha MUNGU akubaliki ila uskatae utatu mtakatifu wa MUNGU nitakuwa skuelewi soma 1yohana 5:8

    • @ShomiLongwa
      @ShomiLongwa 13 วันที่ผ่านมา

      Ujui ulisalo

    • @ShomiLongwa
      @ShomiLongwa 13 วันที่ผ่านมา

      Ujui usemalo

    • @MiziziMti
      @MiziziMti 12 วันที่ผ่านมา

      Utatu haupingiki

    • @justine-2707
      @justine-2707 12 วันที่ผ่านมา

      Mm ata iyo utatu imekata kuningia kw akiri juu mna yesu n mna mungu

    • @user-le6pf7lq2y
      @user-le6pf7lq2y 12 วันที่ผ่านมา

      Muombe Mungu akusaidie maana kwa biblia hakuna Utatu ndg

  • @Skeletonking2116
    @Skeletonking2116 4 วันที่ผ่านมา +1

    Allah ametajwa ktk bibilia original ya ki-ebrania ikiwa inamaanisha Mungu wa Ulimwengu. Hizi za siku hizi zimerekebishwa ZAIDI ya mara 500 kwa maslahi ya kundi Fulani la watu

    • @B4meizu13
      @B4meizu13 3 วันที่ผ่านมา

      Yaani ninyi hamutosheki na promises ya kitabu yenyu Quran ? Leave the Bible alone.

  • @mohamedmillanzi9070
    @mohamedmillanzi9070 7 วันที่ผ่านมา

    Hakana point zaidi ya povu

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu anajichanganya tu akidhani yuko Shakahola anapotosha tu ma kutoa maelezo yake binafsi akiita tafsiri

  • @user-vv5hq9mc1k
    @user-vv5hq9mc1k 10 วันที่ผ่านมา

    Wewe ndacha ni ngombe kabisa , wewe unastahili viboko

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 10 วันที่ผ่านมา +1

      Hivi viboko ni hoja gani? Vunja hoja kwa hoja nyingine, sio kwa viboko. Kwani wafuasi wa marehemu Muhammad wanatetea dini yao kwa viboko?

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 8 วันที่ผ่านมา

    Mtu anashindwa hata kugoogle tu akaona nini maana ya Allah. Allah ni kiarabu maana yake God ni huyo huyo mmoja. Kuhusu masanamu wapi tunaona masanamu na mapicha misikitini au makanisani? Si tunaona masanamu ya Yesu na Maria makanisani? Yesu alikataza kuabudu masanamu. Ash hadu alaila hailala wa ash hadu anna Muhammad arasulallah. Imani ya waislam katika kor ani kwamba nakiri kwamba hakuna apasae kuabudiwa kwa haki ila mwenyezi Mungu na ninakiri kwamba hakina Muhammad ni mtume wake. Ajabu mtu bado anachanganya kati ya Mungu na mtume wake

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 วันที่ผ่านมา +1

      Jina la Mungu wenu nj nani ?

    • @tomnethan757
      @tomnethan757 4 วันที่ผ่านมา

      Google ilianza lini? Kwani wewe huabudu google. Kuwa na hekima

  • @Khalidmwangwai4651
    @Khalidmwangwai4651 9 วันที่ผ่านมา

    Jifunze kusoma kusoma wewe kafiri