Wakristo wako ibadani wakiwa na nyuso zafuraha hadi wanatamanisha jmn. Watakuwa wanalishwa chakula chenye afya na Mchungaji Eliona Kimaro.Barikiweni Sana.
Ahsantee sana pastor..... Nakumbuka siku tumekutana muhimbili ,licha ya kuwa hujawi kuniona macho yetu yalipogongana ulisimama pamoja na mama tukasalimiana .....Moyo wako wa Upendo na unyenyekevu ni mfano.... Mungu aliyehai azidi kukutuza zaid
Housegirl ni binaadamu kama watu wengine. Hii ni AFRICA TUU , UKIENDA NNCHI ZA ULAYA WATU HAWAJALI MAMBO YA ELIMU . WANAJALI UPENDO MTU ALIO NAO JUU YA MTU.
Our own house girl nilikutana nae anaendesha bonge la gari akaniambia siku hizi naishi USA ila kwa Sasa Niko Mbezi beach nilikojenga..Karibu kwangu jamani..Mimi nilikua naenda kupanda daladala 😂
Hakika mchungaji huwa nakuelewa sana tena zaid ya sana kwani ibada yako inanitia moyo kwani inagusa uhalisia wa maisha yangu. Mungu aendelee kukupa afya njema Na uzima tele.
Mungu akitaka kupa hakuletei barua. I'm a Muslim ila nimeipenda hii. Ni mambo yanayo tokea katika maisha. Wa Asia wanawake hua hawasomi na waume zao ni wasomi.
Sawasawa Mchungaji wetu. Lkn hii ni story ya Kutunga. Japo Una mafunzo ndan yake. It's not a real story badala yake ni dhanifu. Ni kweli inawezekan San kuwa hivyo. Self-discipline as a key point. One love our pastor. Get me from Thailand thought am a 🇹🇿
Kama umemuona Millard Ayo gonga like twende sawa
Tumejifunza kitu cha maana sana sana...elimu bila nidhamu ni buree..
Amen
Ameeeeeeeen
Ameeen kubwa
nimeiona bei gani
Amen mtumishi.Nimemuona our one and only kwenye kutuletea HABARI mbalimbali zinazondelea ulimwenguni mwote @Millardayo👏👏👏.
Barikiwa sana Pastor. Kweli binadamu angeijua kesho yako angekuheshimu sana leo
hakika
Wakristo wako ibadani wakiwa na nyuso zafuraha hadi wanatamanisha jmn. Watakuwa wanalishwa chakula chenye afya na Mchungaji Eliona Kimaro.Barikiweni Sana.
Ahsantee sana pastor.....
Nakumbuka siku tumekutana muhimbili ,licha ya kuwa hujawi kuniona macho yetu yalipogongana ulisimama pamoja na mama tukasalimiana .....Moyo wako wa Upendo na unyenyekevu ni mfano....
Mungu aliyehai azidi kukutuza zaid
Amen
My favourite pastor, UBARIKIWE sana Mtumishi wa Mungu!
Zaburi 71:8
Kinywa changu kitajazwa sifa zako, Na heshima yako mchana kutwa.
*TUJAZE SIFA ZA BWANA KWENYE VINYWA VYETU WAKATI WOTE, HALELUYA!!!*
Housegirl ni binaadamu kama watu wengine. Hii ni AFRICA TUU , UKIENDA NNCHI ZA ULAYA WATU HAWAJALI MAMBO YA ELIMU . WANAJALI UPENDO MTU ALIO NAO JUU YA MTU.
House girl hapa wanadharauliwa sanaa mtu aliyepitia hapo tunajua maumivu yake
Sana wabongo wengi malimbukeni
Our own house girl nilikutana nae anaendesha bonge la gari akaniambia siku hizi naishi USA ila kwa Sasa Niko Mbezi beach nilikojenga..Karibu kwangu jamani..Mimi nilikua naenda kupanda daladala 😂
Maisha hayana formula
Jaman
Duuuu pole
God's grace is sufficient 🙏🔥🔥🙏
Hakika mchungaji huwa nakuelewa sana tena zaid ya sana kwani ibada yako inanitia moyo kwani inagusa uhalisia wa maisha yangu. Mungu aendelee kukupa afya njema Na uzima tele.
Nimefurahi sana kumuona milladayo mtu wangu wa nguvu
Discipline goes with respect. I am humbled. Behavior and character goes together.
Mungu akitaka kukubariki hakuna wakuzuia kwani yy ndo Mungu mwenye malmlaka zotee
Halleluya. God is always good 👍
My favourite pastor thanxs for good testmony
Amen , Mungu ni mwema kila wakati
God remember us house girls 🇺🇬🇺🇬👏👏👏👏👏👏
God will!
Amen 🙏🙏🙏
From your mouth to God's ear.
@@damariszuckschwert9489 Amen 🙏🙏🙏
Good message God bless you Rev.
Kwakweli, God akisema Yes nobody can say No
000
Elimu bira busara ni ugonjwa,,,,
@@alphoncestumbi908 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu hujibu maombi na matamanio ya binadamu
@@alphoncestumbi908
Yygg
My favourite Pastor ur sermons in evening glory have changed my life, Be blessed Rev. Eliona kimaro👏🏻
Nmemuona
Mungu Akisema Ndiyo, Hakuna wa Kubisha kbs, Sifa na Utukufu Kwa Mungu Aliye Juu 🙏🙏
kwa wanadam haiwezelani lakini kwa Mungu yote yanawezekana
Binadamu mbwembwe
God is good Anashangaza sana watu Ubarikiwe Baba kwa Neno🙏🙏
Asante sana pastor kwa mahubili. Mungu awabaliki.
Yesterday never be today and today never be tomorrow thank you God for everything 🙏
Amen baba ❤️
Mungu akubariki pastor
Ooh Haleluyaaa!!!!Amen Pastor.Nimebarikiwa sana.Mungu Atukuzwe jamani.
Such a beautiful testimony of rising from grass to grace🙏🙏
Natamani kupata namba ya kiongoz wa nabii mkuu jamani
Hallelujah mungu ni mwema sana
Mungu akiamua kukufuata ata porini akuna wa kumuzuhia akubariki
Very strong advice umenitia nguvu na pia kunifunza mchungaji barikiwa
Heshima na Utii ndivyo vinavyopelekea mtu kufikia destination/ Mafanikio yake katika maisha
Good preaching
Self discipline ndo nimejifunza kwenye hii video 🙌 Tubadilike jamn
Amen amen 🙏
Glory to God
Very educative
Barikiwa sana baba. Huduma yako ni njema mno
Congratulations to all 🙏🥰
Mungu akitaka kupa hakuletei barua. I'm a Muslim ila nimeipenda hii. Ni mambo yanayo tokea katika maisha. Wa Asia wanawake hua hawasomi na waume zao ni wasomi.
Pastor kimaro unaushuhuda mungu akubariki
God is Always Awesome 👍
Amen
Amen👏👏👏👏
Asanteee mchungaj ni fundisho mzuriii 🙏🙏
God bless u
Amina
Asante kwa hili somo mchungaji wangu
That's great
A very good story teller
Ubarikiwe sana Mchungaji
Amen 🙏
Ubarikiwe sana Dr.
Amen 🙏🙏🙏
Ameen mtumishi unanibariki
, yes suree
Mungu akubariki mtumishi from canon Jane Mwangangi- Nairobi kenya
Mungu ni mwema🙏👏👏👏👏👏
Maa shaa Allah
Ameni
Correct 👏👏👏👏
Waooooohhhhh.
amen amen.
Hallelujah
barikiwa mtumishi
Nimebarikiwa na ujumbe ubarikiwe sana mchungaji unanibariki sana
Millard Ayo anacheka 🤣🤣🤣🤣
Nabarikiwa sana na mafundisho y'ako ubarikiwe sana
Waoooo!!
Glory to god
Amen asiye kuelewa hatakuwa matatizo Mungu akuzidishie mafuta mabichi
Nakukubali Sana mchungaji mnooo ubarikiwe
Amen 🙏🙏🙏🙏 amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Nimekuwa mbarikiwa 🙏🙏
Ubalikiwe sana mtumishi
Ameeen
AMEEEN AMEEEN 👏👏👏👏👏👏👏
Goood
Amen Amen
👏👏👏
Mwenyezi Mungu ni mkubwa nidhamu ni kitu cha kujivunia
Sana
hallelujah hallelujah
Kweli wakati sahihi ni wa Mungu🙏🙏
Ahahahah ahsante mchungaji 🙏🙏🙏
Ooooooh yes
Napenda hii ibada Wacha mungu awabariki
Millard Ayo I can see you. Safi sana kijana
AYO yuko Church
❤❤❤❤
Barikiwa sana baba
🙏🙏
Amen God is great haleluyah!
Hallelujah and Glory to God
Aimeen
Halleluyah hakikaaaaaa🙌
Baba Mungu akutunze zaidi
Sawasawa Mchungaji wetu. Lkn hii ni story ya Kutunga. Japo Una mafunzo ndan yake. It's not a real story badala yake ni dhanifu. Ni kweli inawezekan San kuwa hivyo. Self-discipline as a key point. One love our pastor. Get me from Thailand thought am a 🇹🇿
Waaaaao safi sana
To be continued