Amen ,tunabarikiwa sana na mafundisho yako ya ,,,,,ukweli halisi,,,.Lkn tumetofautiana kidogo kwa kuwabark waimbaji na wasomaji wa neno madhabahuni wakati wanahudumu .Mara nyingi tunawapa si kwa kutafta sifa wala si kwa kuwa tuna vingi bali Roho aliye ndani yetu hutusukuma kufanya hivyo.Ukisubiria baada ya ibada mara nyingi wengine hutawapata kivyepesi na wengine utakuta wapo pamoja na watumishi maofisini,mbali na hayo ukichelewa kuwabariki mara moja mahitaji yako yanakujia kimoyomoyo na kujikuta tayari umeisha ahirisha.Hivyo mi nasema kadri Roho atakavyokuongoza fanya hivyo,asante
Ameen!!! Ukweli ni kwamba wetu wanafanya kazi ya Bwana wakiusikilizia mwili na siyo Roho wa Mungu. Kuna makanisa nje ya pentecoste ukifika kanisani kabla ya ibada ni chai!! Ukikataa wanakushangaa sana na kukwambia kula ushibe uhubiri kwa nguvu!!! Lakini siku ya huduma ni kujiunganisha na mbingu hadi jioni
Baba sema AAA wanaondoka uwepo wa MUNGU kanisani kutoa tuhela AAA na haya NDO MANENO ya MUNGU na pia dhambi zimehamia kanisani uvaaji mubaya na KUJICHUBUA na KUVAA MAWIGI acheni walokoke tunahibili NN Kama SS walokoke twavaa Kama wajkuzao tunatangaza NN tukubali kuonyeka tuache ubishi jehanamu INATISHA
Nabarikiwa sana na Injili isiyoghoshiwa, keep fire burning baba
Yes hakuna Kama YESU tuache uhuni NDO injili
Mungu akupe miaka mingi zaidi kwaajili yetu vijana iliturisishwe injili ya kweli
Nakuelewa Sana Mchungaji Magembe! Kila ninapokufuatilia kiwango changu Cha imani kinaongezeka! Barikiwe Sana mzee wetu wa Imani!
Amena bba ubarikiwe mungu azidi kukuweka iliutufundishe kwel ya mungu
Mmmmmmmh Rev.Maghembe Mungu akubariki baba kwa kazi ya Mungu.
Mungu akubariki sana baba yangu wa kiroho nabarikiwa sana asantee ameeen
Asante pastor kazi yako njema tunakupata duniani kote maana bwana anasikizisha sauti yako
Dah babaa Nakupenda mnooo jamaaan,Mungu akubariki. Wish whole Tanzanian tuwe tunakusikiliza tuu.
Napenda wachungaji wa injili ya kweli kama mch magembe na ABIUD MISHOLI na wengineo
👍🏽
Mungu akubaliki baba Neema ya Bwana ikufunike na huduma yako Bwana aitakabari
Amen mutumishi wa Mungu ubarikiwe na Bwana
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki sana Baba,, Ujumbe mzurii sana kwa kwetu
Ameni mtumishi ubarikiwe sana na injili ya kweli Wewe na mama hilda mbarikiwe mno
Among the powerful preachers I have ever heard. God bless you baba and live long
Napenda sana maubiri Yako ya uwazi kabisa Moses Magembe GOD bless you
Amen ,tunabarikiwa sana na mafundisho yako ya ,,,,,ukweli halisi,,,.Lkn tumetofautiana kidogo kwa kuwabark waimbaji na wasomaji wa neno madhabahuni wakati wanahudumu .Mara nyingi tunawapa si kwa kutafta sifa wala si kwa kuwa tuna vingi bali Roho aliye ndani yetu hutusukuma kufanya hivyo.Ukisubiria baada ya ibada mara nyingi wengine hutawapata kivyepesi na wengine utakuta wapo pamoja na watumishi maofisini,mbali na hayo ukichelewa kuwabariki mara moja mahitaji yako yanakujia kimoyomoyo na kujikuta tayari umeisha ahirisha.Hivyo mi nasema kadri Roho atakavyokuongoza fanya hivyo,asante
Ubarikiwe saana mchungaji, , injili yako ni ya kweli kabisa babaangu
Mtumishi mungu akubaliki Sana najua umeongea na watu wote makanisa yotee nimebarikiwa sana
Mungu akupe maisha marefu baba.. binafsi nabarikiwa sana na huduma yako
real pastor in the world
Wazee kama Hawa wamebaki wachache sana wanaohubili injiri ya kwenda mbingun Mungu aendelee kumpa afya njema ili tujifunze zaidi vijana
Nimeyapenda sana mahubiri ya mchungaji Moses Magembe, Mungu ambariki sana..
Amen
Fuatilia pia Robert TV usikie neno lisiloghoshiwa au angalia channel ten jumanne saa mbili usiku na marudio siku ya alhamisi saa nane mchana
Mungu akubariki nakuelewa sanaa mtumishi
Barikiwe Sana mchungaji vijana unatu Jenga Asante MUNGU akubariki mno
Ameen!!! Ukweli ni kwamba wetu wanafanya kazi ya Bwana wakiusikilizia mwili na siyo Roho wa Mungu. Kuna makanisa nje ya pentecoste ukifika kanisani kabla ya ibada ni chai!! Ukikataa wanakushangaa sana na kukwambia kula ushibe uhubiri kwa nguvu!!!
Lakini siku ya huduma ni kujiunganisha na mbingu hadi jioni
Mungu akubariki baba
Barikiwe sana mtumishi
Mungu akubariki sana
Spiking up my be loved pastor. Really good man of God!
Baba mchungaji ubarikiwe I feel blessed
MUNGU AKUONGEZEE HEKIMA USIBAKISHE HATA UDHAIFU MDOGO KUKEMEA ILI WA KUPONA TUPONE. MUNGU AKUBARIKI SANA !!
Mungu mlinde mtumishi wako
Aminaaaa
Asanteeeee sanaaa Pastor magembe kwamba kwa huduma njema ......nimecheka hapa...tufunike bibilia hahahahahaha Mungu atsaidiee
Safi sana baba mch. Magembe.
Amen 🙏 ubarikiwe mtumish
Hahahahaaa nabarikiwa sana et naondoA jiweeeeee nimecheka sana
Bwana ainue huduma yako
Bwanwa akubaliki muteuwe wa Mungu
Mungu akujaze nguvu mchungaji
Amina mtumishi wa MUNGU barikiwa Sana
Naondoa jiweee😂😂
Huyu ni Mmoja wa Wachungaji wa kweli, wanahesabika kwa sasa
Ubarikiwe
madumu ya maji hoyeeeee nadhani imewafikia vizuri manabii
Mchungaji nabarikiwa sana na mahubili yako unanifundisha sana
Ubarikiwe baba magembe
Hii imekaa sawa
Mungu akutunze baba
Amen. Our GOD is great. Be blessed man of God
Naomba kuuliza je sabato ya kweli mnazngatia, manake mnayo yasema n kweli lkni sabato mmeikanyaga chini
Usihangaji, nitafute nkusaidie hapo
MUNGU akubariki sana
Barikiwa sana.
Amen🙏..ubarikiwe
real pastor in the world
Tunawasiliana mkuu
Ameeen asante baba akiii 🙏🙇
Natama Sana niwe kama wewe kihekima yamngu ,ubalikewe sana
Watu wa namna hii wapo wachache Duniani kwa sasa !
Mnapatikana wapi kanisa lenu
Baba mm nakuelewa kwa mifupa unayo tulisha hakika baba mm nakuelewa Sana maana unaongea kweli
Ninakuelewa Baba 🤏🏼🙌
MUNGU akulinde
Mungu ni Mkubwa
nabarikiwa saana kabisa!!!
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Amen
Tuonywe na kufundishwa, ili tuende mbinguni.
Acha sheriya baba
Bila sheria utatambuaje dhambi?
Kwa maana dhambi Haita watawala ninyi kwa sababu hamuwi chini ya sheria bali chini ya neema
Kweli Mungu yuko kazini
Ameen
Amen mch magembe
Mungu n mwema azidi kumbariki lakin angepunguza kuchanganya Kiswahili na Kiingereza madhabahuni ingependeza
Kwa sababu gani ndugu
@@elvisndenge6758 kwa sababu wengine hawaelewi kiingereza
Mmmmh ndo nzuri kama haujui
haha this is 21century walisema walokole hawana kisomo sasa hivi doube double
Amen
Saba kavu kwa mpentekoste ni kawaida
💪💪💪🌹
AMENI baba
Ameeen
Huyu mchungaji ananiinua sana kiroho
TOBOA MTUMISHI. AMEN.
Amen
Jaman huyu mchungaji napenda sana mahubili yake kanisani kwake WAP???
Amen amen🙏🙏🙏
Hasa kwetu sisi vijana
Baba sema AAA wanaondoka uwepo wa MUNGU kanisani kutoa tuhela AAA na haya NDO MANENO ya MUNGU na pia dhambi zimehamia kanisani uvaaji mubaya na KUJICHUBUA na KUVAA MAWIGI acheni walokoke tunahibili NN Kama SS walokoke twavaa Kama wajkuzao tunatangaza NN tukubali kuonyeka tuache ubishi jehanamu INATISHA
Ukweli
Baba Mchungaji ukianzaga Mahubiri yaani nina cheka mpaka watu wamenizoe huku USA yaani mbavu sina ni kweli yote UBARIKIWE SANA
Mchungajii wambie wapentecoste wanakazi ya kushangilia tu afadhali umeligundua hilo
Amin
baba wakipatika kama wewe taifa litapona
😂😂😂
Nabarikiwa sana na Injili isiyoghoshiwa, keep fire burning baba
Amen
Ameen
Amen
Amen
Amen
Ubarikiwe Saaana mtu waMungu