ASKOFU GWAJIMA ATOA USHAURI MZITO KWA TAIFA | VITA KATI YA ISRAEL NA HAMAS (PALESTINA) YATAJWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 พ.ย. 2023
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Hakika mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu askofu gwajima.Umeongea mambo mazuri sana kuwa israel na palestina tuwachie wenyewe ,na kwamba tuangalie mambo ya tanzania maana taifa la tanzania limetabiriwa mambo mazuri,kuwa litasaidia mataifa mengine kwa chakula.
Umesema tusiongelee mambo ya huko palestina hili nalikubali sana je kuhusu hiyo tanzania ilitabiriwa mazuri inapotokea kuna mambo mabaya yanaendelea nayo tuwaachie wakina nani?Wewe ni mbunge,na ni mtumishi,watu wengi tulifurahi tulipoona mtumishi wa Mungu umeingia bungeni.
Tukajua ungesimama na ile kweli ya Mungu katika mambo yasiofaa yanayotendeka katika serekali ya tanzania,k/f rushwa,ubadhirifu,watu wanaonewa wanafungwa bila makosa.Lakini hata kuongea kuhusu tunu za taifa umenyamaza.Wewe ulionekana unaongea kuhusu corona na chanjo ulikuwa na msimamo walipokuita na kukuonya ukawa muoga mpaka mambo ya bandari umekaa kimya,wakati wewe ni mtumishi wa Mungu na una watu wanakuamini.Unaogopa sana kufa,wakati kabla ya kuwa mbunge ulipokuwa unampiga bashite ulisema huogopi kufa,saa hizi unawaambia watanzania au wakristo hutakiwi kufa kijinga kama stephano.Aise wewe.
Heleluya! Mungu akutunze kw a nyakati hizi za hatari ktk jina la Yesu. Amina !!
Uko sawa kabisa unavyofundisha tofauti na yule mzee wetu sometimes anapotosha watu
Wakristo mnapenda kujinasbisha na wayahudi ukristo na uyahudi ni vitu tofauti wayahudi walimkataa yesu na kusema sio mungu hamtaki kusoma mnadanganya watu.. maadhimisho ya mashoga duniani yanafanyika izrael kila mwaka mungu gan anasapot ushetani
Asantee Sana BABA MUNGU WAMBINGU NA ARIDHI aendelee kukutumia nakukutunza AMINA 🙏
Nimekuelewa pastor wangu
Barikiwa sana baba. Ndo mana nakupendaga. Ila sikuhizi umeadimika sana mtandaoni. Napenda sana mahubir yako
Kuna mambo yanahitaji hekima kubwa kuyaamua vita inayoendelea ni vita ya ndugu zetu na damu inayomwagika ni damu ya ndugu zetu tumuombe Mwenyezi Mungu awape aman ndugu zetu na sisi pia. Ushabiki hauwezi kutupeleka peponi kitakachotupeleka ni vile tunavyompendeza Mwenyezi Mungu na rehema zake Wala sio makanisa na miskiti na tofauti za dini .
Kweli ndugu yangu watu wengi awaelewi kuwa mungu angalii dini Bali unaishi vp na viumbe wake sababu kuna wachungaji na mashekhe wanaishi maisha yasiompendeza mungu
UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA BWANA KWA HEKIMA HIYO ULIYO NAYO. BWANA YESU ASIFIWE MILELE NA MILELE. AMEN.
Unachosema ni kweli. Hata Mungu anapenda wapatanishi. Ninachoomba Mtumishi wa Mungu ACHA ligi na Bashite. Haimpi Mungu utukufu. Sameheaneni.
Gwajima nakukubali sana Kwa kauli zako
Asante baba, Mtumishi kwa maneno yaliyo jaa hekima ya ki Mungu ndani yake , Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, Asante Mungu kwa Askofu Gwaji Boi kuzaliwa Tz. Mungu mlinde mtumishi wako mno mno.
Yesu akamjibu, “Mama, niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala huko Yerusalemu.(Yohana 4:21)
Ameen Baba MUNGU akutunze
huo mstari ukaendeleaje maana haukuishia hapo
Nakuelewa sana mteule barikiwa Sana na Bwana na uzidi kusema iliyo kweli>
Potelea mbali mayahudi wasimwamini Yesu, lakini niukweli usiyopingika kuwa msingi wa wakristo ni Israel na Waislamu ni palestina, uko sawa Bishop gwajima
Aaaamen servant of the living God
Mungu wa mbinguni AKUBARIKI mwenye masikio na asikie maneno hayo ambayo Roho ayaambia makanisa na nchi kwa ujumla! Nakupenda sana mtume Gwajima
Amesema kweli, Israeli Ina Dini ya kizayuni na ukristo
Barikiwa sana mtu wa Mungu
Amen amen Masihi wa bwana, kwa ushahuri mzuri barikiwa Sana 🇰🇪💪.
Amen amen amen Baba,Mungu akubariki sana sana sana, maneno yako ni maziri kama nini
Nilishasemaga muda mreefu kuwa huyu gwajima wa kipindi kile nitofauti na huyu wa sasa ni tofauti kabisa sasa hapo unaona unavyotafuta kubalance mambo sababu tu ya siasa mi ninavyomjua gwajima yule wa zamani katika hili ungekua tu upande mmoja ungesema kweli tu jiangalie sana hiyo siasa itakugeuza moyo shauri yako
Kabisa yani
Hujui kusudi la Mungu mbele kwa mtu huyu kaa kimya.
Haihitaji kuwa muislamu kupinga ubaya wanayofanya Israel inahitaji ubinamu,Hilo taifa la kizayini kwanza lipo mbali na ukristo,wanaua watoto na wanawake wanapiga mahospitali,na wanapiga makanisa huko Gaza wamelipua kanisa ambalo watu wengi walienda kujihifadhi.
Amina. Umeongea kwa hekima.
Hekima ya hali ya juu sana mtumishi wa Mungu.
Kwy na nyinyi mnafirwa au maana hao ni wapingaji na ndomana ata maka makuu yake ni makav telaviv ya ushoga
Ubarikiwe sana
❤Amina kubwa nimekuelewa❤
Inshallah nimekuelewa sanaa gwajima
Amina pastor Mungu awe upande wako
Baba tunashukuru kwa kutuonya
Barikiwa babaaaa!
Mbona husemi kama wayahudi walimkataa yesu na wakakana kama sio mungu
No1 I waiting.
Sawa kabisa mtumishi wa Mungu,
Allah yupo pamoja na ndugu zetu wapalestina
Israel laanatullah alayhim
Amina
Muhimu tujitahidi sana kutokushabikia mambo yatakayopelekea kuvunjika kwa amani na upendo tulio nao Watanzania.
Amen mtumish wa Mungu nakufatilia sanaa
Ni kweli baba uko sahihi sana, asante mtumishi wa Mungu
Most religious scholars and historians agree with Pope Francis that the historical Jesus principally spoke a Galilean dialect of Aramaic
Kweli umeeleweka askofu 🙌🙌
Haleluyah Jina la YESU libarikiwe, litukuzwe daima milele.
Mnadanganywa mmetulia mnapiga Kofi ukristo na uyahud ni vitu viwili tofaut hata kidin na mjue Kuna utofaut ya myahudi na waizerael msidanganuwe hapo
Hii Head nakubali dana
Ubarikiwe sana mchungaji
Barikiwa mtumishi was Mungu
HAPO GWAJIMA UMEZUNGUMZA UNASTAHILI PONGEZI HUO NDIO MSIMAMO WA TAIFA LILILOBARIKIWA. TAIFA TEULE LA TANZANIA
Pana mama amemuelewa sana Gwajima.
Congratulations 👏👏👏👏👏
Hiiiii mashine
Unaweza sana kuzungumzia mambo zungumzia bandali ya Tanzania
Gwajima hujui llte umezingua we ni mbwa
To whom be glory for ever and ever. Amen.
Mtumishi unalikiwe sana umenena yaliyo sahihi.
Amen. Ekima ya Gwajima ndo naipenda maana nakuelewa, lakini unapopoteaga kanisani unaniboa sana
Lkn waambiye kwamba wakristo walioko Izrail hawazidi asilimiya2.5
Wapalestina wanapigwa huko hadi balaa
@@isaliisu3408Hujaelewa kabisa kilichoongelewa,hajasema kuwa wakristu ni wengi bali chimbuko.
@@isaliisu3408 wakristo hatuiombei Israel kwa kuwa ni wakristo sawa
@@isaliisu3408hata kama mkristo atakwepo 1 pale Israel, MUNGU ataambatana nae, sababu bibilia imetabili kua walio wengi! , wataingia jehanamu. Na walio wachache wataingia peponi. Kwahiyo nyie waislamu oweni wake 4, Kwa sanaaaa mzaane Kwa wingi mkizani kua mungu atawaogopa, au kuwaonea huruma.
Mungu akubaliki
HALELUYA. THANK YOU MY FATHER
Anafirwa huyo Gwajima
Ongelea yanayojiri ndani ya taifa lako achana na mashariki ya mbali, ni furaha kuona watumishi WA kuyaangalia ya nyumbani kabla ya kutoka nije ya mipaka. Barikiwa
Neno Lina SEMA Kila mtu asitafute faida yake Bali ya wengine ,ndio maana tunaombea watu wenye kuhitaji maombi wanao pitia mambo mazito na magumu hatuwezikuwaacha wenyewe tunayo mengi yakushirikiana na wenye tabu ktk dhiki Yao.
Ushauri wako nzuri sn
ubarikiwe sana kwa kutoa ushauri wenye hekima
ushauri WA hekma hapo ni upi ndugu! hapo kaendelea kupandisha chuki tu! Mungu si waarabu wala wayahudi! Mungu ni mmoja tu ambae Msingi wake ni BABA WA IMANI IBRAHIM! mbona hili GWAJIMA halisemi! analijua hili Askofu GWAJIMA muulizeni vizuri!!!
Askofu unaeleweka sana sana
Nawaonea huruma sana watu wanaoitwa wakristo maana walimu wao wanaujua ukweli ila wanadiriki kuwadanganya
Ni kweli kabisa, Mimi huwa nafurahi sana unaposema ukweli
Tumekuelewa sana
Napenda mahubiri yako...
Bwana Rashid anashusha nondo
Amini kwamba funzo yako baba gwajima
Umetumia hekima kubwa sana
Umeongea kitu na kinyume chake mzee.
Eti waarabu wakipigwa waisilamu wahisi kuguswa. Lakini hata na hivo wakae kimya. Mbona hatujaona kitu kama hicho upande wa pili, eti myahudi auwawe halafu mataifa ya kikristo yakae kimya. Vita ya fikra ni hatari.
Waisilamu wanachofahamu ni kua waja wote ni wa Mungu na mbele yake wako sawa, m'bora wao akiwa ni yule mchamungu zaidi ya wengine miongoni mwao.
Iliyobaki hapo ni mfano wa siasa umeongea Mh. Mchungaji !
Unabisha nn? Kuna muislamu anaweza kuombea Israel mema,? Ingia kwenye comment uone ndo utajua.
Hakuna muislamu wala mkristo aliyeshiba dini akakosa neema,akasimama Bla pande yeyote.Tuwaache watamalizana Huru NI wakati WA kujipanga ili waje kuona umuhimu wetu.
@@nicksonlyimo1562 huna ujualo!! unashabikia chuki!! Mwambie GWAJIMA akwambie ukweli unaujua! hapo hawezi kuwambia ukweli atakosa ugali!!
@@mgalatinojengo3663 ni kweli unachosema!! anaemuogopa Mungu akiwa Muislamu au Mkristo atashabikia vita inayoendelea huko GAZA! Wakristo na Waislam wote duniani
msingi wawo ni mmoja tu!! BABA IMANI IBRAHIM!! Tumuogepeni MUNGU!! ADHABU ya MUNGU hatuiwezi!!
Nimekusudia hatashabikia vita inayoendelea huko GAZA!!!
Amen
Ameeeeen nashangaa na hawa wanaosema Yesu hahusiki napale
Ushawahi waskia wayahudi juu wanamzunguzia vipi yesu? Hawa waisrael wa leo
@@fahadfaraj6474 hainihusu hiyo linalo ni husu Yesu kazaliwa pale akafa pale akafufuka pale ..hivi babako kawa mchawi utaumba wakwako au bado utajulikana kama alivyo kua hai?huwezi mtega kristo Yesu na israel hata sisi tanzania sio wote wanamwamini Yesu uliskia watatengwa kwa kua hawampendi Yesu tuyaache bwana wee
Hatuangalii wanachosema bali like Biblia inasema
@@barakalawrence742 basi ni vituko
Hawa ni agent wa wazayuni
Pasipo amani hakuna maendeleo ya kiroho kijamii wala kiuchumi.
Amen amen
Baba yangu
Amen,
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏
Uache kudanganya. Soma vizuri upate maarifa
Gwajima kawa muoga afurahishe watu kwa sababu ya siasa,,anatafuta balance kwa wananchi,,,...me namshauri aache uoga sababu giza haichangamani na nuru....
Siungi mkono namna yake ya kubalance sababu huyu Gwajima anajua vizuri sana waislamu wanaabudu mashetani ila siasa ndo inamtoa kwenye reli
KWELIKWELI kabisa yaani waislamu ni waabudu mashetani haina haja yakutumia madhabahu ya JEHOVAH MUNGU ALIE HAI KIWATAJA
KWELI KABISA yaani kutumia madhabahu ya YESU KRISTO ALIE HAI kwataka hawa waislamu wanaosema ukiiua mu ISRAEL au Mkristo unaenda kupata bikra saba mbinguni ni suala lisilokubalika kuwataja madhabahuni hawa ni waabudu shetani
@@servantofalmightygoddranth2511 yan Gwajima siasa ndo inamtoa kwenye njia ya kweli anaanza kutaka kubalance giza na nuru,,,kwa maana hiyo napata wasiwasi kama anaweza kumuhubiria muislamu amuamini YESU...kwa sababu atataka amridhishe kuwa muislamu yupo sahihi wakati haipo hivyo na anajua tena kwa mahubiri ambayo amewahi kuyatoa yeye mwenyewe....
Kwanza hayo maneno aliyoyasema yapo kwenye Biblia namshangaa,,ni kitabu gani!!na hata kama yapo Biblia inamaanisha kwa Mungu yupi na Quran Mungu yupi...Gwajima aache uoga
@@servantofalmightygoddranth2511 Kwanza ni makosa sana kufananisha maneno ya Mungu wa kweli na mungu wa uongo,,,,yan kusema maneno ya Biblia yanafanana na ya quran hiyo ni kumaanisha Jehovah ametudanganya katika vitabu vya Biblia,,,hakuna mfanano wowote wa Biblia na quran,,na me nasema hivi kwa ushahidi wangu binafsi sababu nasoma Biblia na quran pia,,, Yesu kristo ndiye njia ya uzima na kweli,
Una akili kidogo mpaka umegundua amebalance!
Hongera in us mejitahidi
You are genius Daddy 👍
Uongo mtupu. Yesu HAKUA ANAONGEA KIEBRANIA. Most religious scholars and historians agree with Pope Francis that the historical Jesus principally spoke a Galilean dialect of Aramaic
Hekima 😊😊
Tanzania need to be fair and impartial with respect to events in the world as well as maintaining freedom and love of the people.
When injustice becomes a law, then Resistance becomes a Duty.
🎉tonge nyama
HEKIMA ya uzima asee
Hawo walishalaniw na mungu na wala sio kuremba msifiche ukweli na vitabu vya kale vinazungumza ukweli wote
Hekima❤
Nemependa hili hekima" hatuwezi kubadilisha hatima ya mashariki yaki" Ni MUNGU pekee anajua
Nice
Aamen 🙏🙏🙏
Toa ushauri kuhusu bandari na uonevu wa kunyang’anya adrhi Tanzania…Israel haituhusu
Acha kudanganya watu mayahudi hawa muamini yesu
Yah hawaamini Kama alikuja Ila wanaamini Kama atakuja....Maaana kwenye Torati ilitabiriwa kuwa atakuja
Amani
Sema mnataka kuifanya iwe ya kidini. Mimi ni mkristo
Well said
Mila za Wakristo mzizi wake ni BABA WA IMANI IBRAHIM!!! Vile vile Mila za Waislam mzizi wake ni BABA WA IMANI IBRAHIM!! hii inamaana mzizi dini ya wakristo na Waislam ni mmoja tu ambae Msingi wake ni BABA WA IMANI IBRAHIM!!
Historia ya UISLAMU haujui gwajima .. manabii wote wa mungu walikua waislamu ..kuanzia nabii adamu ,ibrahim mpaka huyo yesu Hadi mtume Muhammad... UISLAMU haujaanza Kwa Muhammad .. Muhammad ameukuta UISLAMU ila yeye kaueneza Dunia nzima..
Uko sahihi kabisa
Adam alikuwa muislam au mkristo mwaka gani?weka vifungu
Acha uongo wewe, uisilamu umekuja Miaka 600 na baada ya ukristo na ulikuta Wakristo wapo .
@@emmadora7848 hapo chacha 😷 mtume mdogo kuwepo kbl ya mwenzake napita tu
Adhana ya Adam please!! Ilikuaje
Excellent advise at this particular moment in time
Yesu aliongea ARAMAIC language , not in Hebrew language
Most religious scholars and historians agree with Pope Francis that the historical Jesus principally spoke a Galilean dialect of Aramaic
@@jovinkiboko3558 Sahihi, Aramaic ndio lugha iloyokuwa ikiongelewa Galilaya sehemu alipokulia Yesu.
No excellent advise there! my brother!!tatizo tumetawaliwa kifkra na watu ambao si wakristo wala waislam!! lengo kujinuifaisha matumbo Yao!! GWAJIMA anatakiwa aseme msingi WA kikristo na waislam ni mmoja! Baba IMANI IBRAHIM!!!
Brother! Inasikitisha Sana na inatia uchungu Sana! Msingi WA kristo na Waislam ni kumuabudi MUNGU! Huyu YESSU ambae Leo wakristo wanamlilia ndo huyo huyo ambae WAISLAMU WA wanamlilia pia! kwa nini Akina GWAJIMA na wanzake wasiutafute ukweli huu! Uislamu Sio uarabu brother! Mumepotoshwa!!! Amkeni!! utakuja mbele ya MUNGU hauna kitu! MUFLISS na Moto ndo utakuwa chakula chako!!
Kwa nini unasema atarudi mara ya tatu mbali sio mara ya pili?
Alafu myahudi sio mkristo Wala mkristo siyo myahudi na Imani yao ni tofauti
Kijana sikiliza hakuna ukristo ni wafuasi wa Kristo Yesu anaitwa Yesu Kristo ni wafuasi wa Kristo wa Bwana wetu Yesu Kristo funguka
Ww unaamini warabu wote ni waislam???
Umesema ukweli kiongozi ukweli sana mimi ni muislam nimekubali ushauri wako mtumishi wewe si mtumishi tu bali ni kiongozi mkubwa wa taifa la Tanzania.
Nimesoma taatifa nyingi juu ya Israel kulipiza kisasi naona huko mtandaoni watu tayari wameshaanza kujadili udini na kubezana kidini. Hii ni hatari sana kwa hili taifa changa.
Hajaficha ukweli anajua anachokilenga. Hata kama wayahudi hawamwamini Yesu lakini huwezi kutaja ukristo bila kutaja uebrania.
Uislamu na uarabu ni tofauti uislamu ni kwa watu wote dunia nzima ukiristo usha expire sio muda wake yesu kaja kwa wesraeli tu sio nyei
WEWW ZWAZWA TU KURUAN YENYEWE IMEANDKWA MUHAMAD NI MWALABU NA AMEKUJA KWA AJILI YA WATU WA MAKKA WAAFRKA TUNASHABIKIA MIUNGU YA WATU TU SAWA NA LEO UWE MFUASI WA DINI YA WAHIDI WALE WAABUDU NGO'MBE
❤
Shalom Israel shalom Jerusalem 🤲🤲🤲 Ee Bwana Yesu ninaomba jina langu liwepo ktk kitabu cha Uzima 🤲🤲🤲 Mapenzi yake Mola wetu Mlezi yetendeke huko Israel 😢😢
Asikudanganye mtu Israeli Wakristo wapo na makanisa yapo....wakristo wapo adi Saud Arabia watashindwa kuwepo Israel
Niliandika hili jambo facebook, leo nalisikia Kwa Mtumishi Gwajima. Kweli Roho ni mmoja anaongea kwa wotè jambo moja.