MBARIKIWA AMECHANGANYIKIWA ANATUKANA WAZEE/MZEE WA UPAKO AMEMSAMEHE HAJUI ATENDALO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 พ.ค. 2024
  • #specialthanks to my spritual father H.E HON. DR. GEORDAVIE PEACE AMBASSADOR.
    Je una swali lolote gumu kutoka ndani ya biblia linakusumbua na umekosa majibu kabisa? basi usisite kuuliza Mwalimu Isaya Benson yupo kwa ajili ya kujibu maswali yako yote yanayokusumbua. Andika swali lako kwenye comment nalo litajibiwa bila shaka yoyote.
    ZABURI 119:130
    Kufafanusha maneno yako kwatia nuru na kumfahamisha mjinga
    ZABURI 119:11
    Moyoni mwangu nimeliweka neno lako nisije nikakutenda dhambi

ความคิดเห็น • 526

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 18 วันที่ผ่านมา +10

    Namkubar mwakipesile katika nafas yake na mtu yoyote anae hubil kuhusu kristo ni mwanaharakati

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 18 วันที่ผ่านมา +5

    Inawezekana njia anazo tumia mubarikiwa, kuwakosoa siyo sahihi, ila anacho ongea ama kukosoa yupo sahihi, Wewe pia unajuudi nyingi ila masomo mengi unapotosha kama alivyo mtu anayejiita nabii mkuu, mf somo ulilo Toa la wake wengi uleniuongo

    • @talentshow2024
      @talentshow2024 17 วันที่ผ่านมา +1

      Mfuasi wa nabii mkuu wala usiangaike bure kumrekebisha.

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 18 วันที่ผ่านมา +7

    We benson mbarikiwa yako sahihi,anahubiri kweli na anataka haki itendeke,ukweli unauma

    • @lucamanguo8410
      @lucamanguo8410 16 วันที่ผ่านมา

      Ukweli wapi wakati waumin wanatumia uzazi wa mpango hawasemi. Ushetani tu huo

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 18 วันที่ผ่านมา +12

    Mungu yupo kazini tutawajuwa kwa matendo nyee mnaharibu watu mbalikiwa mwakipesile anahubiri ukweri mm ni EAGT muacheni mbalikiwa mwakipesile ahubiri kweli yaani yeye hapindi kama Yesu nyinyi mnajuwa niyeye sio Mungu ndani yake Mungu ameshuka kuwa nyosha mtusikia mengi sio haya tu Wachungaji tegenezeni safina acha kujitetea watu wanaharibika mnachangia Mungu ameshuka mwenyewe kupitia kwa mbalikiwa mwakipesile Mkimuuwa huyu mtu mmemuwa Mungu mmetangaza vita na Mungu ndio maana wengi wamekaa kimya ukitajwa Muombe Mungu akusadie sio kuchochea funga huyu au uwa huyu hapa watu tumehuribika

  • @innosentimugarula8625
    @innosentimugarula8625 17 วันที่ผ่านมา +5

    Ukiona mtu anajisifu na kuwatukana wengine uyo hamjui Mungu maana Mungu sio wa ivyo

  • @KULWABUDO
    @KULWABUDO 18 วันที่ผ่านมา +5

    Acha kupotosha watu Kama umetumwa Yesu akutengeneze utubu uokoke.Sema Amina

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 18 วันที่ผ่านมา +5

    Mwakilembe zungumza mengine lakini kwa hili unakosea. Inaelekea hujui maana ya harakati. Alichokisema Mbarikiwa ndiyo sahihi.

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 17 วันที่ผ่านมา

      Mbarikiwa yupo sahihi. Tatizo la m arikiwa anatibuwa mtaji(ujinga) wa wanasiasa, baadhi ya viongozi wa dini, n.k huwezi mpata mtumishi wa aina ya Mbarikiwa sehemu nyingi. Mbarikiwa,

  • @user-du3pd7gb4c
    @user-du3pd7gb4c 18 วันที่ผ่านมา +23

    Ukiokoka kweli ukawa na Roho wa Mungu Huwezi nyamaza unapo ona watu wanapotosha kweli ya Mungu na kumfundisha tofauti na Neno la Mungu ni ngumu sana ,mana si wewe bali Mungu aliemo ndani yako ulizo okoka kisawasawa ,lakin alie jifia kiroho yeye mara nyingi anaunafiki mwingi hupenda kuwafurahisha watu badala ya kupendeza Mungu ,Benson Unahitaji Neema ya Mungu uokoke umesha kengeuka

    • @user-zc2ms4wl6r
      @user-zc2ms4wl6r 18 วันที่ผ่านมา +2

      Okovu bila maarifa niupweke wakifili ,kama mbarikiliwa ,kifupi nihovyo

    • @user-du3pd7gb4c
      @user-du3pd7gb4c 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-zc2ms4wl6r Unahitaji Neema ya Mungu, mwenzio anawaambia kwa upendo Ili waone makosa Yao wewe unafikiri ni matusi sio!!! Kumwambia hapa imekosewa sio tusi niushauri TU Tena mzuri

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-zc2ms4wl6rAnawapotosha huyo, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

    • @johntendwa7856
      @johntendwa7856 18 วันที่ผ่านมา +1

      ila huyu naye, kweli Yohana alikurupuka na sio kazi yake ilifika mwisho, au si kila nabii kwa wakati wake? au na Yesu alikurupuka kwani na yeye hakufa? au Petro naye si aliuawa naye alikurupuka? Paulo je na mitume wengine hata Yohana waliouawa nao walikurupuka?

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 18 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe mtu umesema point kubwa......tena kubwa sana

  • @Yoram_Changala
    @Yoram_Changala 18 วันที่ผ่านมา +9

    Una bahati mbaya sana mwaka huu, hapa utaungwa mkono na wahuni wenzio, lakini Mbarikiwa anachokifanya ndiyo neno la Mungu, "simtetei kwakuwa ni Baba yangu tu" bali ni vile alivyo nisimamia na kubadilika kuacha uhuni wa kunyoa kishetani kama wewe na kuvuta bang, nk. Twende mbele wakati wako umekalibia, wakumbuke akina Mch Emanuel Ezekieli, Kuhani Mwakalambo, na Mafarisayo walioungwa mkono na wahuni wenzao wasiopenda ujuzi wa ile kweli, mwisho wao ni aibu mpaka leo,

    • @AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy
      @AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy 18 วันที่ผ่านมา +2

      Yoramu heshima itawale, unapotoa maoni yako

    • @Yoram_Changala
      @Yoram_Changala 18 วันที่ผ่านมา +2

      @@AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy
      Kwanini umeyaona yakwangu tu, "basi yana ukweli mzito nyuma yake"

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zyAnawapotosha huyo mwalimu wenu, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

    • @wokovummilla5034
      @wokovummilla5034 18 วันที่ผ่านมา +1

      Baba umenyosha ubarikiwe

    • @user-uv6km8dg1z
      @user-uv6km8dg1z 16 วันที่ผ่านมา

      Baba mbarikiwa taji yako iko tayali MBINGUNI, we kaza buti na utupe mafundisho Ili tuyatende yale yanayompendeza MUNGU tuipitie ile njia ya kweli ya KRISTO Maana njia yake YESU KRISTO haikuwa rahisi kupitika KWA waliozowea kupitia za mkato, namuomba sana MUNGU nami niipite Ili tukifika tukapumzike Maana vita yahapa duniani ninzito Mno na kwamafundisho yako baba mbarikiwa ninahakika KWA wale tunao tamani kufika MBINGUNI salama iwe isiwe kikombe hiki cha vita hii kubwa lazina tupambane KWA kuitetea injili ya MUNGU ALIE HAI kwa kazi nzuri ya kusema ukweli pasipo na uwoga wa namna yoyote. BARIKIWA SANA BABA mbarikiwa na kanisa lako zima KWA kazi nzuri ya MUNGU wa kweli.

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 13 วันที่ผ่านมา +1

    Tubuni YESU anarudi kila mmoja atengeneze njia zake Mnapoteza mda tu kubishana Huu mda mngeanza kutubu mapema poleni zenu Nyie wote hakuna mkamilifu ,Isaya tubu ,Mbarikiwa tubu kwa kinywa chako kimejaa uchafu nikweli unakemea dhambi nakuunga mkono ila ndani yako umejaa matusi Mingu ninayemjua Mimi sio matusi Kuna Mahali unapwaya sana Mungu akutengeneze

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa4563 18 วันที่ผ่านมา +4

    Nakupenda mwalimu Isaya, pia nampenda sana mtumishi wa Mungu Mbarikiwa hasa kwa ujasili wake

  • @donatienndizeye450
    @donatienndizeye450 2 วันที่ผ่านมา

    Bwana Yesu asifiwe.
    Ningependa kukusaidia kitu.
    Yohana mbatizaji hakukurupuka.nilazma mahandiko yatimiye kua kila mwanahadamu lazma aonje mauti.
    Bibilia inasema yohana ndiye Eliya(Matayo11:11-14
    Kumbuka habari za Yezebeli bahada ya Eliya kuwakata vichwa manabii wa Bahali.Yezebeli akamwambia Eliya utafanyiziwa kama mjoja wahao ulio wahuwa 1wafalme19:2
    Neno lililo nenwa lazma litimiye.
    Ndio mana mitume walipo uliza habari za Eliya akawahambia tayari kashakuja ndipo wakagundua kua alikua Yohana mbatizaji.

  • @NywageTv
    @NywageTv 18 วันที่ผ่านมา +8

    Yohana kama alikutupuka akakatwa kichwa, na YESU unayemtaja mbona aliuwawa? ...Acha kutaja Jina la YESU siku chache umesema wakristo waoe wanawake wengi.
    Mbarikiwa hulingani naye na yeye Yuko SAHIHI Sana.
    Wahuni wenzio watakuunga mkono.

    • @williammakali1759
      @williammakali1759 17 วันที่ผ่านมา

      Isaya, you're dealing with low impact thinkers full of emotions.They are very emotional. Hali ni ngumu Sana ya maisha. And many if not all, who call themselves born agains are spiritually brainwashed. Wana zege vichwani. Una kazi kubwa Mwalimu Isaya. Zege hailali, ikisha lala zege ya kichwani hasa KWA wapendwa, basi kazi unayo. Ila jipe moyo

    • @user-nz8bv6xn9r
      @user-nz8bv6xn9r 17 วันที่ผ่านมา

      Iwe iweje huyu jamaa njaa kali mpaka anauza utu wake kwa kusemea watu ambao jamii inajua ni wafanya biashara wa neno la Mungu siku moja alimtetea tb Joshua ,ukijiweka kwenye mtandao your dealing with different people some of them are smart enough you can not drag them ,iam among of them had to be corrupted by any false /foolish ideas

  • @NeliaMwenisongole
    @NeliaMwenisongole 18 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi nashauri mbarikiwa akecheck afya ya Akili

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 18 วันที่ผ่านมา +4

    Mbarikiwa Mwakipesile mwacheni jamani, huyu amenyooka tu na anapinga maruweruwe so maybe akifa ndio mtajua umuhimu wake

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 17 วันที่ผ่านมา

      Glory to God the Almighty

    • @alexnyasangakahela
      @alexnyasangakahela 12 วันที่ผ่านมา

      Anamhimgani aache kutusi viongozi wa inchi na mathehebuu yeye ajikite kuhubili injili ya yesu

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando 18 วันที่ผ่านมา +4

    Yan mm sisali lkn wote nyie nawafatilia sana lkn mbalikiwa niwapekeee anae weza kukemea dhambi nyie wengine mnapiga pesa tuuu

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo mwalimu wenu, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

    • @Hapomwanzo
      @Hapomwanzo 18 วันที่ผ่านมา +1

      Point saaaana mwakipesile, anaongea kweli, ila hawa jamaa wahuni tu.

    • @mestonisimzosha203
      @mestonisimzosha203 18 วันที่ผ่านมา

      Umeongea Pointi kubwa saanaaa hawa wengine ni wapiga pesa tu

  • @kakasteve7117
    @kakasteve7117 16 วันที่ผ่านมา +2

    Nimefuatilia kwa kina lalamiko lako mwalimu Benson. Siyo leo tu ila nimekuwa mfuatkliaji wa madundisho yako kitambo sana. Mimi siyo msomi kama ulivyo wewe. Tangu nimeanza kukufatilia sijawahi kutia neno lolote katika mafundisho yako. Ukiona nimeshika kalamu namna hii basi ujue umegusa mahala pagumu kaka.
    Kwanza ukristo msingi wake mkubwa ni kuamini kwamba YESU NI MUNGU. Huu ndio msingi mkuu wa ukristo kote duniani. Sijui km kuna mkristo ambaye haamini katika hili.
    Ikitokea mtu akasema YESU SI MUNGU huyo siyo mkristo. Sasa ikitokea mtu akasema ni mkristo halafu akafundisha YESU NA MUNGU ni vitu viwili tofauti, sidhani km kuna mkristo yeyote atamvumilia mtu huyo.
    Elimu ya NENO LA MUNGU, haifananishwi kabisa na elimu ya dunia hii. Ukiichukua elimu ya dunia ukaichanganya na elimu ya MUNGU ni vitu viwili tofauti kabisa.
    Sayansi yenyewe, ambayo kwasasa ndio mfumo unaotawala dunia haimini kuwepo kwa MUNGU. Sayansi iko wazi sana. Haiamini kuwepo kwa MUNGU. Ndio maana hata watoto wetu mashuleni wanafundishwa binadamu anatokana na SOKWE. Naamini hata wewe Mwalimu Benson umefundishwa elimu hii. Je, leo kqenye ukuu wa mwafrika unaweza kuwafundisha watu kwamba BINADAMU ANATOKANA NA SOKWE?
    Mtumishi Anton Lusekelo, amepotosha sana. Nashangaa kwanini unasema ni mtu mwenye elimu.
    Huduma ya Lusekelo tangu nikiwa mdogo naisikia. Leo ni zaidi ya miaka 20 kaka Benson. Siku hizo zote Lusekelo amezalisha watumishi wa Mungu wengi na tena akiwa amewajenga katika misingi ya kuamini Jumapili km siku ya ibaada na kuamini kwamba YESU NI MUNGU. Watu wote waliopitia miguuni pa Lusekelo wamefundishwa hivyo. Leo Lusekelo anasimama anasema YESU SI MUNGU. MUNGU NI MMOJA HAKUAZAA WALA HAKUZALIWA. Halafu Yesu ni mwanadamu kama ilivyo mimi na wewe. Hivi fundisho kama hili kweli kaka Benson lifumbiwe macho?
    Ninaswali. Naomba nikuulize Kaka Benson au na mwingine yeyote atakayekuwa anajua basi anijibu hili swali.
    Hivi dhambi ililetwa na nani?
    Nauliza swali hili kwasababu inawezekana kabisa watu hatumjui yule tunayemwabudu.
    Kuna nukta umesema utatu haujaandikwa popote katika Biblia. Ni hakika kabisa. Umesema kweli kabisa hakuna pahala popote katika Biblia panaposema neno UTATU MTAKATIFU.
    Najiuliza, mambo yote ambayo yamezuiwa kuyafanya je yameandikwa kwenye Biblia?
    Sijawahi kuona neno sigara kwenye BIBLIA. kwakuwa Biblia haijasema usivute sigara je ni vibaya kuwalingania watu wasivute sigara?
    Leo waislamu wanashikilia usemi kwamba NI SEHEMU GANI KWENYE BIBLIA AMBALO YESU ALISEMA KWA KINYWA CHAKE KWAMBA YEYE NI MUNGU....
    Katika hili Kikosi kazi wako sahihi kabisa. Lusekelo kaukosea ukristo. Kama Anton na Mbarikiwa wangekuwa wote dhehebu moja sidhan km Mbatikiwa angesema lolite kwasababu lazima baraza la dhehebu lingemwita na kumhoji. Km angebisha hata uongozi angenyang'anywa. Lakini Anto na Mbarikiwa ni watu tofauti hawezi kumwita. Lazima atumie njia hii kuitetea imani ya kweli.
    Labda wewe Isaya hukumsikia vizuri Lusekelo. Alisema hivi, "HATA MUNGU BABA MUNGU MWANA NA MUNGU ROHO HAIPO. ILA MIMI NAWAFUNDISHA TU MAANA NAOHOPA KUPIGWA....." Tafakari juu ya kauli hii Benson. Kama wewe ungekuwa mshirika wa Anton ungefanyaje?
    Inamaana kwa muda wote aliofundusha amekuwa akiwadanganya watu kuwa kuna Mungu baba mwana na roho? Kasema yeye. Kwamba anasema tu hivyo kwasababu anaogopa kupigwa mawe.
    Hujiulizi kwanini lusekelo anaendelea kusali jumapili? Hujiulizi hilo mwalimu? Kisa anaogooa?
    Sasa kakutana na asiyeogopa. Na pengine anton mwenyewe hajajibu (nadhani) baada ya kugundua moyoni mwake kuwa amekosea. Huenda ndiyomaana hajajibu.
    Mbarikiwa amesema ukweli maana mkristo yeyote anaamini YESU NI MUNGU. Iweje lusekelo akane hilo.
    Mwalimu Benson kusali ni kila siku. Siyo siku moja tu. Inamaana wale wanaofanya ibaada katikati ya wiki maombi yao hayapokelewi. Sabato maana yake ni pumziko. Lakini pumziko hilo lilikuwa siku ya jumamosi. Ni Kweli sabato ni siku ya saba.
    Hivi katika hali ya kawaida kuna kazi yeyote ambayo binadamu anaweza akasema ameifanya na sasa anahitaji kupumzika?
    Pumziko linalozungumzwa ni pumziko la milele ambapo kila mtu atapokea ujira wake kulingana na matendo yake. Hili ndio pumziko linalosemwa. Lakini duniani hakuna pumziko. Niambie ni pumziko gani unalolipata duniani?

    • @championalways192
      @championalways192 14 วันที่ผ่านมา

      Umeongea vyema kaka. I wish nikufaham zaidi...

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 18 วันที่ผ่านมา +13

    Mwakilembe injil ni kusema kwel na kutetea watu katika yale unaona siyo haki kwahyo mwakipesile yuko sahihi sana

    • @abelmbata37
      @abelmbata37 14 วันที่ผ่านมา

      Injili ni kumhubir Yesu pekee yeye ndiye kweli mengine ni uelewa wa kila mtu. Lazima ujue kila mtu anaelewa tofauti na wewe na ndio maana kuna madhehebu mengi duniani na kila dhehebuinaeleza kuwa mafundisho yake ndo ya ukweli.
      Tatizo tulilo nalo ni kuamini unachofuata ndo ukweli na wengine ni waongo na kutaka kila mtu afuate yako hiyo si sawa. Hata mitume huduma zao zilitofautiana huduma ya Petro haikuwa sawa na Paulo lakini huoni wakibishana.

  • @andrewlkashusha135
    @andrewlkashusha135 18 วันที่ผ่านมา +8

    Huyu chawa wa Lusekelo anaongea nn, Mbarikiwa ngoja awanyoshee!

    • @NeliaMwenisongole
      @NeliaMwenisongole 17 วันที่ผ่านมา

      Mfyuuuuuuu

    • @vickytorry100
      @vickytorry100 17 วันที่ผ่านมา

      Chawa kwenye ubora wake, harakati hazina kikomo huo ni ushamba

  • @ancestorthedj4893
    @ancestorthedj4893 19 วันที่ผ่านมา +5

    Mwalimu Mimi ninashukuru Sana Kwa kuwa nafaidika sana kutokana na mafundisho yako.
    Ikiwezekana, naomba utufafanulie Kwa nini mamlaka ya Pilato hawangeweza tu kumtambua Yesu Kristo, hadi ikabidi Judas alipwe ndipo awaoenyeshe ndio huyu.
    Na Yesu Kristo nadhani alikuwa maarufu eneo Hilo.

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา +2

      Anawapotosha huyo, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu.
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine hawapendwa nankushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu?

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 17 วันที่ผ่านมา

      Ancestorthedj mulize Roho mtakatifu kwani mpaka Ben?

  • @vitalisherman2016
    @vitalisherman2016 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Shalom. Mbariwa Yuko sawa kabisaa.Lamda kosa Lake nikauli yakumuambia mhusika

  • @rabiamenshoo1988
    @rabiamenshoo1988 18 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Mbarikiwa nadhani tatizo la kisaikolojia linamsumbua, nadhani anahitaji msaada wa kisaikolojia, tangu mtoto wake alipofariki huyu baba hayupo vizuri kisaikolojia.Anatukana tukana kila anayemhisi kuwa hamuungi mkono,hakubaliani naye, anataka kila mtu aamini anachoamini kitu ambacho siyo kweli.Kila mtumishi ana wito wake,yeye anataka anachofanya basi kila mtu afanye.Tutampinga,tutamkataa.Anatukana wazee wetu akina Mwakasege,Gwajima,Lusekelo na wasanii wa injili kisa hakubaliani nao.Namuona mjinga mjinga tu.

  • @emmanuelmanga3478
    @emmanuelmanga3478 18 วันที่ผ่านมา +3

    Mmi na juwa kuwa wewe ni mfuasi wamanabii waongo unaamini uongo kuliko ukweli so huna point na huwezi kujua anaye hubili kweli kamwe kama ulithubutu kuamini kuwa eti Kuukuza ukristo ni pamoja na kuowa wanawake zaidi ya mmoja ndipo nilipo juwa kuwa ww ni mfuasi wa Lusifa kwamaana hiyo huwezi kumuelewa mwakipesile na wengineo wasemao kweli ila wale wamazingaombwe hao ndio unao waamini

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo mwalimu wenu, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

  • @edwardgafachu8932
    @edwardgafachu8932 7 วันที่ผ่านมา

    Kwa kuna mtu ametukanwa ampeleke mahakamani lakini kama kawakosoa, Mbarikiwa yuko sahihi, mjibuni. Kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi yetu si kosa kukosoa mawazo ya mtu au sera ya serikali bali kosa ni kumzuia mtu asikosoe. Huenda kwa kukosoa kwake watu wakagundua yuko sahihi wakamfuata, wewe usitumie nguvu acha watu wanaomsikiliza waamu usiwaamulie watu. FREEDOM OF EXPRESSION.

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 18 วันที่ผ่านมา +2

    MIMI MBARIKIWA NAMPENDA NA NINAMUOMBEA NYINYI WENGINE MMEAMUA KUNENEPESHA MIILI YENU. MBARIKIWA AMEENDA JELA KWA KUTETEA HAKI.....NI MTU SAHIHI NYAKATI HIZI AMBAZO WOTE MMEOZA.......

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 17 วันที่ผ่านมา

      Glory to God the Almighty

  • @humphreyngallawa5630
    @humphreyngallawa5630 18 วันที่ผ่านมา +7

    MUNGU akubariki Mwalimu Bensoni,Mbarikiwa ajitafakari,,anapaswa kuubiri habari njema za Yesu ,sio kutukana Watumishi na Viongozi wa Serikali .

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 18 วันที่ผ่านมา +1

      Hivi hayo matusi mnayasikia nyie peke yenu mbona sisi wengine hatujasikia tusi hapo

    • @aleckmwakibete8952
      @aleckmwakibete8952 17 วันที่ผ่านมา

      isaya na wewe ni maanjenti ya mashetani

  • @AdorophinapKahwa
    @AdorophinapKahwa 4 วันที่ผ่านมา

    Umeongea sahihi kusema kwamba Yohana ilipaswa aache mafundisho ya awali na kuwakabidhisha wanafunzi wote kwa YESU yeye pia. Maana aliyekuwa anamuandalia njia amekuja. Ila hao wote ambao Mwakipesile amewakosoa ni kweli wanafundisha mafundisho ya uongo. Na utofauti wa utumishi lazima ulenge kumkamikisha muamini katika kufikia kimo cha Kristo, na kulijua Neno la kweli.

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando 18 วันที่ผ่านมา +7

    Atakujibu tuu mbalikiwa

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 18 วันที่ผ่านมา +1

      Mimi natamani mzee aachane na kijana huyu maana hata sisi wanae tunaweza kumshusha!!!
      Naandaa bomu lake mda sio mrefu namlipua na hatakuja kunisahau

    • @wokovummilla5034
      @wokovummilla5034 18 วันที่ผ่านมา

      @@sifawayesu7079 kweli kabisa hadhi huyu

    • @luganomwanjotile7575
      @luganomwanjotile7575 17 วันที่ผ่านมา

      Acheni Vita za mitandaon malimbano ya nini

    • @REDEMPTAMAKONGA-tp4kw
      @REDEMPTAMAKONGA-tp4kw 16 วันที่ผ่านมา

      Yaani wewe umeokoka kweli?unafanya injili ya mashindano, watoto wa Yesu hawako ivyo bado hauja mfahamu Yesu, unasema utamwandalia bomu lake umshushe,acha tena utubu,usipotubu hizi tabia utakua unamsaidia shetani kazi bila kujua na mwisho wa maisha yako badala ya kuelea mbinguni utajikuta unaangukia jehanum. Tubu sifa

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mbarikiwa muombee Mungu ampe roho ya hekima na ufunuo Efeso 1:17- apate kujitambua,amevurgwa nguvu ya adui ufunuo 13: adui alipewa nguvu kushindana na watakatifu na akawashinda kwahiyo hiyo ni adui ana vuruga kazi ya Mungu kutumia Watumishi,jitambue.

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kusema ukweli ni jambo Moja lakini kuwa mkweli ni jambo lingine. Sasa hivi watu wameanza kukata tamaa kutokana na kauli za kukinzana kati ya watu wenye Imani Moja. Ubinafsi , kiki ,pesa, umaarufu,madaraka, uchawa umeteka mioyo ya viongozi wengi wa dini. Wanaongelea watu na vitu badala ya Mungu,wanapenda pesa kuliko Mungu,wanadharaulina wao kwa wao ,wanashindana wao kwa wao na wanatumika kisiasa. Tabia hizi mbaya zinawakatisha tamaa waumini wao na kuwafanya wakate tamaa.KUSEMA UKWELI SIO KUISHI UKWELI Kuna wengi wanasema UKWELI lakini hawaishi maisha ya KWELI.

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 18 วันที่ผ่านมา +2

      Kwa kweli Mungu atusaidie

    • @reginaldmapunda6702
      @reginaldmapunda6702 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@malkiarosemuhando3310Amina.

    • @mestonisimzosha203
      @mestonisimzosha203 18 วันที่ผ่านมา

      ​@malkiarosemuhando3310 hapa KUNA NURU NA GIZA kwaiyo haviwezi kupatana Abadan.

  • @joycekwatema
    @joycekwatema 18 วันที่ผ่านมา +6

    Umelipwa shingapi ase ujue mi nakufatiliaga sana we mwenyewe nimwana harakati usilojua hapo yenyewe uko kwenye harakati ukikua utaelewa

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n 18 วันที่ผ่านมา

      Uyoanatafuta elatuuwoni mamboyake yakkekke uwongouwongo mwingi umbeaumbea yanilpotu kamalimama ambaloalinahakri sjuinawjnga wenzekewanao mwerewa

  • @yamunguwistone6371
    @yamunguwistone6371 18 วันที่ผ่านมา +3

    We kijana unayejiita mwalimu wa neno la Mungu Acha uhuni na umalaya, Unasem Yohana alikurupuka kumuonya herode ndio maana akakatwa kichwa?? Au sio kwahiyo na Yesu alikurupuka?? Mbona nae mulimuua?? Nyie mafarisayo, kwanini Yesu anamtaja Yohana kua mkuu kuliko uzao wote wa mwanamke?? Au Yesu na Yohana wote niwakurupukaji isipokua wewe tu ndo mwalimu wa kweli?? Hufai kujiita mwalimu wala mwanafunzi wewe ni agenti wa shetani mpotoshaji😮

    • @denismlwati3285
      @denismlwati3285 17 วันที่ผ่านมา

      kweli kabisa

    • @yamunguwistone6371
      @yamunguwistone6371 17 วันที่ผ่านมา

      Uyoo hajafika level ya kumuonya mch Mbarikiwa

  • @user-yi8pe8zz1t
    @user-yi8pe8zz1t 12 วันที่ผ่านมา

    Ahubiriwe Yesu kutukana watumishi wa Mungu huo ni upagani

  • @hubman6780
    @hubman6780 16 วันที่ผ่านมา

    Benson neno mwanaharakati halina umri na pia maisha ya yeyote ni harakati kila siku.Uwe Mzee,kijana,mtoto,mwanasiasa, mwalimu au cheo chochote.Pia Mzee wa upako usimame kumtete Kwa sababu Kwa miaka mingi amekuwa kwenye vyombo vya habari akiisemea na kutetea mamlaka.Pia Benson ungesimamia kujibu Ile hoja ya wake wengi.Kimtazamo na sijaona matusi ya Mbarikiwe labda uwasilishaji wa mada zake.Wengi wengi tunapenda kusifiwa na kupongezwa ila kasoro ziwe mfukoni.
    Kwa kuwa unafundisha ukuu wa Mwafrika ungesema kuwa asili ya Mwafrika ni wake wengi etc

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 18 วันที่ผ่านมา +5

    Mwakilembe..... Acha mzaaa na neno la Mungu......
    Eti Yohana alikurupuka.........!? Shame on you
    Acha mzaa.....Yohana aliàndikiwa kufa kwa Upanga....
    Chochote ulicho andikiwa ndicho utakacho kufa kwacho

    • @Hapomwanzo
      @Hapomwanzo 18 วันที่ผ่านมา +1

      Sio aache mzaha tu! na aache ujinga pia, injili ina maneno mengi magumu kuliko pongezi, haya mwakipesile katukana tusi gani ambalo ukifungua biblia hautalikuta!

    • @PASTOR_SHITINDI
      @PASTOR_SHITINDI 18 วันที่ผ่านมา

      Aach upumbavu
      Yohana ni sauti ya mtu aliae nyikani itengenezeni njia ya bwana
      Na bado yesu anakuja kumtaja kama mtu mkuu sana

  • @msulasikalangwe3142
    @msulasikalangwe3142 10 วันที่ผ่านมา

    Watumishi wa mungu ebu acheni kuwachanganya watu na kuwatoa uweponi tatuweni tofauti zeni kaeni pamoja

  • @innosentimugarula8625
    @innosentimugarula8625 17 วันที่ผ่านมา

    Jibu la mwisho Mimi naamini Mungu ni wa tofauti katika kuwatumia watu wake ivyo watumishi sisi hatufanani kabisa kwaiyo kikubwa hacheni kuchukua nafafi ya Mungu ya kuukumu maana sio kazi yenu muokoke

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mwl. Isaya inabidi utambue injili si kwa ajili tu ya maskini au ambao hawana vyeo kimamlaka yani wasio watawala au wasio wakuu wa dini bali ni kwa ajili ya wote..uwe maskini, tajiri, mwenye mamlaka, usiyekuwa nayo, kuhani, au kiongozi wa dini..tatizo letu kama watanzania tumekuwa tukijiona ukiwa kiongozi basi hutakiwi kuelezwa makosa yako hadharani mpaka iwe faragha hata kama umekosea hadharani.. hii ndo inapelekea mtu kama Mbarikiwa aonekane amekosea maana anawaambia kweli pasipokujali nafasi uliyonayo... kwakuwa sisi sote ni watu na tumeumbwa na Mungu, basi injili inatulenga sote pasipokujali nafasi tulizonazo, kinachotakiwa siyo kumshambulia msemaji bali nikujihoji nakujisahihisha maana muda mwingine anayejiona ni mkubwa ndiye anayesimama kupotosha kweli ya Mungu na akidhani ataogopwa kwa cheo alichonacho.

    • @abelmbata37
      @abelmbata37 14 วันที่ผ่านมา

      Mbarikiwa hayupo sawa injili si kuwakosoa watu na kutaja majina yao hapana. Wengi hatujui maana ya dhambi ndo maana tunaona Mbarikiwa yuko sawa. Injili ni kumhubir Yesu tu chochote unachokifanya kama hakina Yesu hiyo si injili.
      Watu wengi hatujui kwa nn Yesu alikuja duniani. Yesu alikuja duniani kuwakomboa wanadam na dhambi zao maana yake Yesu hakuja ili ww uache dhambi bali uwekwe huru nayo.
      Hakuna mwanadam anayeweza kuacha dhambi na kama angekuwepo basi Yeau asingekuja. Dhambi si matendo ya mtu bali ni kile kitu kilicho ndani ya moyo wake wapo watu wanatenda dhambi si kwa kupenda bali yupo shetani nyuma ya wayatendayo ss mtu anaendeshwa na sherani hata yeye hapendi ww unakuja kumsema hadharani badala ya kufundisha mafundisho yatakayo mweka huru. Ni mtu yule aliye na Yesu tu ndiye mwenye uwezo wa kuishinda dhambi.
      Tujifunze kwa Yesu unaweza nambia wapi Yesu alikemea watu? Na Yesu ndie kiongozi weru tunayemwangalia. Alikaa na yule mama kisimani hata hakumwambia aachane na wale wanaume unadhani Yesu alisahau? We unaona kabisa kiongozi hata si mkristo we unakemea tu kwani hana viongozi wake wa imani? Na kama ataendelea hivyo watamfunga

  • @deogratiasrugangila3100
    @deogratiasrugangila3100 18 วันที่ผ่านมา +2

    Wote wako sawa kwani Mzee wa upako naye amekuwa akipotosha hasa utatu mtakatifu sijui anamfurahisha nani kupotosha hilo km mkristu

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 18 วันที่ผ่านมา +2

    Huo ndio ulokole, na wote ninyi ni wanyakusa na ndio mnajiona mnaupoko. we ongelea mambo ya Jodevi upate kuishi bila jasho.

  • @moseshaule586
    @moseshaule586 18 วันที่ผ่านมา +2

    We unamchokoza mbarikiwa, unachokitafuta utakipata

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 17 วันที่ผ่านมา

      Hakika atakipata anachokitafuta. Ben amejuaje kuwa kachanganyikiwa Mbarikiwa kama si wewe Ben umechanganyikiwa!

  • @anastahiliutawala3879
    @anastahiliutawala3879 18 วันที่ผ่านมา +4

    Mwakipesile yuko sawa

    • @alexnyasangakahela
      @alexnyasangakahela 12 วันที่ผ่านมา

      Anakokwenda atapoteaa aiache inchi na viongozi wa inchi kama VIP Angie kwenye siasa

    • @africatoeuropechurchtv8856
      @africatoeuropechurchtv8856 12 วันที่ผ่านมา

      Alisema malayalabda na Ushahid anao. Hata Ivo katumwa? Umalaya wa mtu anaujua Muumba.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 18 วันที่ผ่านมา +2

    ni kweli tutafika mbinguni tumecho.kwani ukristo nikunyoosha mambo sio kubomoa mfundishe abadilike hakuna mkamirifu hapa chini ya jua ni mwenyezi mungu tu

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo mwalimu wenu, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAO WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

  • @petrothegreat2919
    @petrothegreat2919 18 วันที่ผ่านมา +4

    Matusi yepi aliyo tukana unayajua matusi Petro aliwah ambiwa na Yesu Rudi nyum ashetani kwan Petro alisema Unanitukana? Kumkosoa mtu anapokosea Sio tusi ni Kujaribu kumrudisha kwenye line

    • @mestonisimzosha203
      @mestonisimzosha203 18 วันที่ผ่านมา

      Umeongea pointi saanaa

    • @Visionofeagle9689
      @Visionofeagle9689 15 วันที่ผ่านมา

      Na ninyi kikosi kazi Je hamjuwi kama mwanamke anatakiwa kufunika kichwa kanisani na pia aruhusiwi kuubiri kanisani palipo wanaume,, nadhani kilamtu aliitwa na kupewa tofauti na mwingine sio watumishi wote ni waongo apana kikosi kazi jirekebisheni.

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 18 วันที่ผ่านมา +1

    Jamaaa ni mkweliiiii mno na nchi yetuuu haitakii mtu mkwelii magufuriiiii alikua mkweliii walimla kichwa kwahiyo sishangai cc tunaka uwongo sana watz so mubarikiwaa endelea na kazi kadri ya mungu wako anavokituma endelea kusimamia ukweliii

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando 18 วันที่ผ่านมา +9

    Ipo cku tutajua ukweli lkn mbalikiwa hajatukana ila ananyoshaa njia

  • @user-bv7mp5ou9b
    @user-bv7mp5ou9b 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mwl. Isaya benson. Wewe ni mbwa wa kilabuni. Mimi si mnyakyusa wala sijawahi ishi Mbeya. Lakini Mbarikiwa Mwakipesile ni mchungaji wa haki kabisa. Haya basi mnataka nini? Mumfunge tena au mumuue? Kama mlivyosababisha kuuawa kwa mtoto wake? Shetani, nyoka

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo mwalimu wenu, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

  • @johnsonjohn-qz7cq
    @johnsonjohn-qz7cq 17 วันที่ผ่านมา

    Yohana alikulupuka, alimuonea wivu Yesu, na kuonya au kukosoa ni kutukana duuu!! Na umejipanga kupambana na Mbarikiwa kwa Elimu dhaifu namna hiyo pole sana

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mbarikiwa yuko sahihi asilimia 90 ya hao manabii ni wa uongo lazima mhubiri wa kweli akemee uovu uta wajua je kama ni wahubiri wa kweli hata huyo yohana mbatizaji unae msema alikuwa akipaza sauti nyikani kwasababu watu wa enzi zile walikuwa wamepotoka sawa na leo hii we unatetea hao walevi na mkahaba.

  • @zezeshort
    @zezeshort 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mwakilembe mwache mbarikiwa aseme ukweli usicho kijua hao unaemtetea mzee wa upako uana harakati haujarishi umuri wa mtu acha mwakipesile awaambie ukweli

  • @zabronnzunda8945
    @zabronnzunda8945 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kusema ukweli Kuna gharama inatakiwa ujikane kama alivyojikana mbarikiwa nikupongeze sana mtumishi mbarikiwa shikilia hapo hapo naona sindano inaingia

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mwandagasi ,mwakilembe, ntakuhama, unaelekea kubaya mwache mwakipesile aokoe kanisa la mungu,hao wafuga vitambi walishatukausha damu tumeuza mpaka ngombe

  • @VIJANANAMABINTITATIZONINIBERTH
    @VIJANANAMABINTITATIZONINIBERTH 18 วันที่ผ่านมา +4

    Siku laumu kwa chochote kwanua inaonyesha hata kiswahili hujui msamiati mdogo kama huo ndo unaushikiliaaaaa! Du.

  • @AmbokileIbrahim
    @AmbokileIbrahim 18 วันที่ผ่านมา +2

    Uhuru wakujieleza tu unawachanganya watu nyinyi hamna kitu hata ww ujuzi wa vifungu tu humjui mungu

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 19 วันที่ผ่านมา +4

    Yani sioni kosa la mbalikiwa kosa linakuja ukiaza kujaji mtu alafu kuhubili injili nikukosoa mwingine anae kosesha watu wa mungu Yani anawahubilia watu maelekezo yasio wapeleka watu wa mungu katika njia sahihi Yani hata wewe unaelimisha watu lakini Nina wasiwasi kuwa haupo kwenye njia sahihi mana Hawa malakazaa unatetea manabii wauongo kama joodevis minazani usiingie sana ndani ya kukosoa

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

    • @PastorsTz
      @PastorsTz 18 วันที่ผ่านมา +1

      Ndege wanaofanana huruka pamoja

    • @mestonisimzosha203
      @mestonisimzosha203 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@PastorsTz😂😂umejibu vizuri

  • @mwansasungafumbwa9116
    @mwansasungafumbwa9116 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mbarikiwa (Nsajigwa )una kiroho chenye JAZBA za kitoto sana
    Unapaswa kukua kwanza ndo uanze kutumia mitandao hii

  • @LusajoMwajeka-tf1nj
    @LusajoMwajeka-tf1nj 18 วันที่ผ่านมา +5

    Mbalikiwa yupo sahihi nyie hamtaki wawaseme ukwel nyie mnaangalia ugal yan pesa ,,mbalikiwa yup sahihi

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 17 วันที่ผ่านมา

      Glory to God the Almighty

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mbalikiwa kashachizi kabisa Yan anahitaji msaada wa kihakili

  • @Hapomwanzo
    @Hapomwanzo 18 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu dogo naye bwana, sijui ni njaa, yaani mpaka kina Die Davi na kina lusekelo nao ni wazee wa kuigwa! Ama kweli uoga mbaya, ndiyo maana vijana mnaamua kuchukuliana na ulimwengu kwa kila kitu, sasa wewe isaya ujilinganishe na mbarikiwa kweli??? Kwa lipi? Una matunda gani ya injili?? Dogo wewe kaongeze mke wa pili tu! hilo unaliweza.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 18 วันที่ผ่านมา +1

    ILA YOTE TISA , KUMI NI HUO UPUUZI ULIOMO KTK BIBLIA , YOHANA MBATUZAJI NADHANI NDIO YULE MTOTO WA NABII ZAKARIA , BIBLIA NDIO INASEMA ALIKATWA KICHWA AU MANENO YAKO YA KICHWA AU UMESOMA HISTORIA NJE YA BIBLIA ? YOHANA JINA LAKE ORIGINAL NI (Yahaya) Yahaya aleyh salaam ni mtume Wa mwenyezi mungu , na ni mtoto Wa Ahadi , yaan mungu alimtumia Zakaria kuwa mkewe atashika mimba na atazaa mtoto mwanaume jina lake Yahaya na jina hilo hajawahi kupewa mtu ila yoyote ila yeye.....Zakaria akashangaa akauliza mke wangu Ni tasa tena amezeeka Sana atapataje mimba...mungu akasema hiyo Ni rahisi kwangu...so ukisoma Surat Imran (Quran 3:1-5) utaelewa .... Sasa nabii Wa mwenyezi mungu amuonee wivu mwenzake kweli ? Nabii anapewa ufunuo na anajua manabii wenzie na biblia inakiri kwamba akimbatiza yesu alimpa heshima na akasema yu juu Yake, Leo mchungaji unadabsnganya maneno eti yohana alimuonea wivu yesu (issa ibn mariyam) ......biblia inawachanganya Sana aiseh .....njooni tusome Quran , acheni mambo ya kichwa ya Luka na Paulo

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma5746 18 วันที่ผ่านมา

    Mbarikiwa , Mbarikiwa!! Na wewe ni mmoja wao unaeonyesha kanisa la mbeya limerudi nyuma sana Yesu anauchungu sana, ametuagiza, pozeeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma waambieni watu ufalme wa Mungu umekaribia, watu wanateseka na magonjwa ya kichawi, watu wanakufa vibaya, nyinyi mmebaki kujiposti kwenye mitandao watu wenye nguvu za Mungu wanauchezea wakati, eti Abiudi, mwakasege, mbarikiwa, mara mwakilembe, mara Gwajima, mara mwimbaji fulani. Kweli mbalikiwa ndo kazi uliopewa kweli?? Kama si kuupoteza wakati nini Sasa.

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 18 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo Mbarikiwa hayupo sawa. Haeleweki huyo maana unapotukana wahubiri wenzio huwezi kueleweka

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 18 วันที่ผ่านมา +2

    Ngoja akusikie na kukuona mbarikiwa ibada ya juma akukamie 😂😂😂😂

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 18 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa mwalimu Isaya, unataka tumfuate kila mtu? Maneno yako ni kweli lkn vingine ni uongo, mtu kama nabii mkuu sio wa kumfuata!! Ni hatari kwasababu manabii wa uongo wapo wengi sana sahivi. Mmoja wapo ni nabii mkuu!! Kina suguye, mwamposa na wengine wengi wako wengi sana hata ww mwalimu Isaya umepotea!! Mtu kama Christina Shusho dahhh ndo kabisaaaaaa amebadilika hadi nashangaa!! Amemwacha Mungu!! Kwahiyo Mbarikiwa yuko sahihi!! Siungi mkono matusi lkn pale mtu anapoenda kinyume na maandiko, si vibaya kumkosoa na ndo anachokifanya huyo Mbarikiwa, na Pascal Casian. Hawana makosa!! Ezekel 33:9.

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu.
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhami na mabaya)

    • @Hapomwanzo
      @Hapomwanzo 18 วันที่ผ่านมา

      Unajua kwa sasa wengi wa wanaoitwa watumishi wa mungu, ni WAOGA SANA, hawako tayari kukosoa penye upotovu, kwahiyo wakitokea watu kama kina mbarikiwa mwakipesile, lazima wasakamwe na kuonekana kana kwamba wamekosea na kumbe ndiyo injili yenyewe hiyo.

  • @godloveabraham5088
    @godloveabraham5088 18 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe Benson acha upumbavu wako unatuchefua tu, unajifanya unahekima uongo mtupu.unajifanya unakosoa watumishi wa Mungu wanao kosoa uongo na kusema kweli, wewe mwenyewe ni mtumishi wa uongo tu ni kibaraka wa Nabii wa uongo. Acha uchawa wako huo wakipuuzi, hivyo vipesa unavyo pewa na hao mafree mason vitakuja kukosti siku moja. Kwanza wewe mahali unapotumika sio mahali sahihi. Elimu uliyo nayo ni ya upumbavu tu ni bure,hauna lolote.wewe ni kipofu wa kiroho kama alivyokuwa Nikodemu.shauri yako wewe endelea tu kujipendekeza kwa hao manabii feki wapotoshaji wa kweli.

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 18 วันที่ผ่านมา +1

    Wee mwenyewe benson umeungana na waisilamu wenzako mnaabudu shetani wala wewe sio wakwetu nenda kwà waisilamu wenzako mbarikiwa yuko sahihi

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli wazee wamefanya kazi ya Mungu kwa muda mrefu, pia wametembea na Mungu kwa muda mrefu, wanahitaji kuheshimiwa kwa kweli

    • @denismlwati3285
      @denismlwati3285 17 วันที่ผ่านมา

      ndio waharibu injili tuwaangalie

  • @nunketenkamu1402
    @nunketenkamu1402 18 วันที่ผ่านมา +1

    Tena kama wewe ndiyo wala huna sifa hata za kumkosoa Mchungaji Mbalikiwa. Wewe ni kundi la kina Bayesu ambao walikuwa wanajifanya kutaja taja jina la Yesu na kutenda miujiza ya kihuni wakati si wa Yesu. Na mara zote wewe umekuwa ukikili wazi kuwa wewe siyo Mkristo, sasa ungekaa kimya uwaache Wakristo wayamalize wenyewe.

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 18 วันที่ผ่านมา +2

    WEWE Bongo lala hujui hata Theology

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo mwalimu wenu, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

  • @PastorsTz
    @PastorsTz 18 วันที่ผ่านมา +4

    Hafu hivo Benson hupigi kileo?na kabangi?mbona kama....

    • @Le_pastor_ORONGAI
      @Le_pastor_ORONGAI 18 วันที่ผ่านมา +1

      Mbarikiwa anavyotumia bangi mnadhani kila mtu anatumia? 😂😂😂😂😂😂

    • @PASTOR_SHITINDI
      @PASTOR_SHITINDI 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@Le_pastor_ORONGAI HII CRP IMEENDA MPAKA NA WACHUNGAJI MASHOGA MMEKOMENT ??

  • @NghobokoSalehe-kv3qm
    @NghobokoSalehe-kv3qm 18 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa Habari ya Yohana mbatizaji umepotea,Nilimsikia Geordavie akihubiri hayo hayo kama wewe,hawezi kuisema serikali kwa sababu Yohana alijipendekeza akauawa kwa ujinga wake,baada ya muda mfupi tukasikia Mauti nyumbani mwake.Rudi ukasome upya kwa uzuri zaidi umuulize Roho Mtakatifu ili usiendelee kupotea.mnakoelekea baadaye mtasema Yesu naye alikosea akauwawa.

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 17 วันที่ผ่านมา

      Kijana anaenda spidi ila Mzee anajua njia kivipi Ben? Na wewe umeanza kufugwa akiliee!!! Mwanamke alieachika Kwa kuchora tatu ya jina la Mzee wako si mlimpa mtaji! Kwa akili hizi acha Mungu awanyoshe kupitia Mbarikiwa.

    • @chachamturi259
      @chachamturi259 15 วันที่ผ่านมา

      Mbarikiwa yupo sawa illa anapaswa kijilekebisha. Huyu ni mange kimambi wapili, huyu kaletwa kwaajili ya hao watumishi waongo waongo baada yakufundisha watu neno lamungu wanafunndìsha miujiza way

    • @chachamturi259
      @chachamturi259 15 วันที่ผ่านมา

      Kaka Ben son angalia usikengeuke kunawatu wapewa bahasha. We simamma upande mmoja2, kamahuku kumekushinda achana nako back kule kwenye vita ndu kunakufaa usituchanganye huyo mmbarikiwa anajua anachokifanya

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 18 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo unayemtetea naye ana makandokando yake mengi. Yeye naye ni msema hovyo.

  • @user-du3pd7gb4c
    @user-du3pd7gb4c 18 วันที่ผ่านมา +2

    Hajatukana karekebisha makosa katika mafundisho Yao ,kama wewe ulivyo potosha watu eti wakristo waoe wake wengi jambo ambalo kwenye Bibilia imekatazwa !! Sasa utanyamazaje mfano unapo taka kuleta elimu Ambayo sio Imani Yetu? Kakosoa makosa sio tusi, kaweka sawa.

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

  • @ngimbakuyi3250
    @ngimbakuyi3250 17 วันที่ผ่านมา

    Watu wengi leo hawautaku ukweli wanautaka uongo, mbarikiwa hajabarikiwa hauwezi kukosoa kila mtu, ajitathimini yeye kwanza, siku akiongea makosa yake nitamuelewa kuliko kukosoa wengine anikosie yeye kwanza huwezi kukitoa kibanzi ambacho kipo jichon kwa mwenzako, itoe borit uliyonayo then umsaidie anatakiwa ajikosoe yeye kwanza ndipo awakosoe wengine kifupi elimu ya kiroho hana na amechanganyikiwa

  • @jonathankessy9615
    @jonathankessy9615 18 วันที่ผ่านมา +2

    Wezi wapo wengi tu
    Ila ukweli teacher ni huu
    Nuru na Giza havipatani kamwe

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q 14 วันที่ผ่านมา

    Hapana mbalikiwa yukosahihi. Nyiewachungaj wasaiz nikama mumejiunga nachama cha shetani. Chama cha mpinga kristo

  • @solomonrwabose7600
    @solomonrwabose7600 18 วันที่ผ่านมา +1

    Eti Yohana alikurupuka 😀😀 this guy is funny 😂.
    Tena amesema eti sabato ilibadilishwa kutoka jumamosi kwenda jumapili lakini bado haishiki sabato ya jumamosi Amri ya (4) ya Mungu kwenye zile Amri kumi, amri ya sabato ni mhuri wa Mungu.
    Kiukweli Neno utatu Mtakatifu haupatikane kwenye Biblia lakini utatu Mtakatifu uku kwenye Biblia. mwalimu mwenyewe nikama hajaielewa. Biblia
    Ila sikubaliane nahao wanao tukanana

  • @kennykennedy9868
    @kennykennedy9868 18 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa atawewe mwenyewe auko sawa sababu uwezi zuiya mawazo ya mtu mwingine fanya uchunguzi

  • @mwansasungafumbwa9116
    @mwansasungafumbwa9116 18 วันที่ผ่านมา +1

    Una AKILI sana mdogo wangu Mungu akuongezee siku zenye hekma na ujasiri

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 17 วันที่ผ่านมา

      HEKIMA ya humu Duniani ni upuzi mtupu!!!
      "Maana hekima ya dunia hii ni upuzi mbele za Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasaye wenye hekima katika hila yao''
      1 Wakorintho 3:19

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 17 วันที่ผ่านมา

    Mbarikiwa hajatukana huwa nachukia sana unafki, kuna muda upo sawa ila hapa umeongea uchawa tupu.

  • @nateriuslukinja
    @nateriuslukinja 13 วันที่ผ่านมา

    Mafundisho na mabishano yako hayana maana kabisa Mbarikiwa alisema hawasimamii kweli na hawa utetei ukristo kama unaamini Yohana alikurupuka basi kweli wewe ni shahidi wa uongo na roho ya mpinga kristo

  • @BotulphusAugustine
    @BotulphusAugustine วันที่ผ่านมา

    Umetumwa kutoka kuzimu pole sana nyie mko kinyume ata nafsi zinawashudia ukweli kwamatunda yenu utapeli mnao Mungu anaabudiwa kila siku elewa

  • @user-ek5it4ob8e
    @user-ek5it4ob8e 18 วันที่ผ่านมา

    Umeshauri vema kuhusu hekima katika kunena. Napia kuhusu siku ya Ibada original. Ila tafsiri ya Yohana Mbatizaji kuhusu " He must increase, I must decrease" haikua kauli ya wivu.

  • @mchjohnmasegese8193
    @mchjohnmasegese8193 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani ubatizo Kwa jina la Baba ,mwana ,na Roho mtakatifu. Inamaana gani.

  • @joshualwinga
    @joshualwinga 16 วันที่ผ่านมา

    Mbarikiwa mwakipesile yupo sahihi sana naona unajizungusha hapo eti yohana mbatizaji alikurupuka wewe ... viva mbarikiwa mwakipesile

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mchungaji Mbarikiwa hajawahi kutukana bali ananyosha njia.

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 17 วันที่ผ่านมา

      Kabisa. Hawa wachinjaji wanadhani Wana hatimiliki ya Roho mtakatifu. Kuonya na kupigania haki Yako au ya mtu ni sifa KUU ya mhubiri yoyote, mhubiri bila kutetea haki na kuonya huo ni Umbweha!!!

  • @apostel.jofreymkumbwa6092
    @apostel.jofreymkumbwa6092 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mwakilembe umechoka nawewe

  • @Ayoub-Kayaga2023
    @Ayoub-Kayaga2023 16 วันที่ผ่านมา

    Kwahiyo wakristo tuoe wanawake wawili wawili au sio! Toka lini umekuwa msemaji wa Lusekelo bro Isaya? Ama kweli Elimu tulizoletewa hata hatujui zinataka nini, Wala hatujishughulishi kujua mapungufu yake! Asante Roho wa Bwana ndani ya Mbarikiwa.....! Viva Mwakipesile,,,,,Kila mwenye code za Roho akaae ndani yako anakuelewa! 5:56

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 15 วันที่ผ่านมา

    Kweli kabisa mbarkiwa punguza kusema watu na kuwatukana kuwa na hekima ya Mungu

    • @africatoeuropechurchtv8856
      @africatoeuropechurchtv8856 12 วันที่ผ่านมา

      Mimi sishangai kuona mtu akisemwa mbona wasema kutukanwa?Tuambie katukanaje? Kwani si amesema wanayoyafanya? Kama Ni mazur kwa nn wewe useme Ni matus?

  • @kennykennedy9868
    @kennykennedy9868 18 วันที่ผ่านมา +1

    Alafu akuna baba duniani nitafute tukusaidie ala ayuko kiongozi isipokua yesu wewe ndugu fanya uchunguzi

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAK WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

  • @fadhilfurahini2518
    @fadhilfurahini2518 17 วันที่ผ่านมา

    mwalimu naomba utupe somo kuhusu vyakula, wanyama, samaki , ndege ambao mungu aliruhusu tule na vilivyonajisi

  • @user-nz8bv6xn9r
    @user-nz8bv6xn9r 18 วันที่ผ่านมา +2

    Ww si ndiye unasema wakristo waoe mke zaidi ya mmoja huo utakuwa ukrsto? Misingi ya ukrsto ni mke mmoja ww unatoa mafndisho ya uongo ya wake wengi ww nani umkosoe mwakipesile? Uko perfect? Ww ni nani wa kuwapa watu makis na kuwakosesha wengine huon unafanya hayo hayo ya mwakpesile? Mm najua Unatafuta viewers

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา

      Anawapotosha huyo mwalimu wenu, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu. JE NA WAO WALIKURUPUKA KAMA MWALIMU WENU ANAYEWASHAURI MUOWE WAKE WENGI ANAVYOSEMA?
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine wanapendwa na kushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu? Wakiwaficha kwenye neno NEEMA?
      MTAUMIA KAMA HAMTATAKA KUJUA UKWELI HALISI WA IMANI, AMBAYO MWANZILISHI YESU ALITESWA NA KUUWAWA, MITUME NAO WAKATESWA NA KUUWAWA. Sijui mmeshika imani ipi ambayo ukiona uovu unaacha na kusema sijaitiwa hayo!
      Na umesabau umeagizwa kupingana na shetana(madhambi, dhuluma na kila jambo linalomuumiza mtu mwingine)

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 17 วันที่ผ่านมา

    Huyu bwana hana maadili na anajifnya anajua kila kitu. Ni kiongozi wa ajabu sana na asiyefaa kwenye jamii.

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z 18 วันที่ผ่านมา +1

    Haleluya !tumishi benson mchambuz mkuu ,mzee wa neno ,mwalimu mkuu,kiboko yao walokole na manyang,'au wambie ukweli hakuna itihadi ya utatu mtakatifu ni itikadi ya upagani na ndio maana waislamu na wale wakristo wanaojiewa tunapinga itikadi hii ni ushirikina na niupagan ulio wazi .

    • @Afrikahuru28
      @Afrikahuru28 18 วันที่ผ่านมา +1

      Anawapotosha huyo, injili na neno la Mungu kabisa ni mateso na kifo, maana kukemea uovu wa muovu unaompa kula ni kifo. Ndio maana mitume wote waliteswa na wengine waliuwawa kwa sababu ya injili na kukemea dhambi za watu ambazo ndio zilikua zinawapa faida haramu.
      Kwa nini hujiulizi siku hizi mbona watumishi hao wa mungu hawateswi kama zamani? Wanataka kupendwa na watu wote ilihali Yesu alisema, MTACHUKIWA NA WATU WOTE KWA AJILI YA JINA LANGU?
      JE MBARIKIWA NA HAO WENGINE NANI ANACHUKIWA NA WATU WENGI KWA AJILI YA KUKEMEA DHAMBI, DHULUMA NA UOVU WA WANADAMU?
      Tuseme nini Yesu ni Muongo kusema kwamba "mtachukiwa na watu wote kwa ajilili ya jina langu"? Mbona hao wengine hawapendwa nankushangiliwa tu, je si kwa sababu wanawafariji wenye dhambi, kwa kuwafundisha watu wa Mungu mafundisho kwa juu jui tu?

    • @Hapomwanzo
      @Hapomwanzo 18 วันที่ผ่านมา +1

      MBARIKIWA MWAKIPESILE NI MIKAYA NA ELIYA WA KIZAZI HIKI, SIO KILA MTU ATAWEZA KUMUELEWA BALI WENYE AKILI SAWASAWA

  • @user-qo2xd3hb8l
    @user-qo2xd3hb8l 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani wewe ujui nyinyi wa zee munadanganya mnaombea vipofu wanapona lakini nyinyi mkitaka kusoma bibilia mnavaa miwani

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 18 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ni bora sana huyo lusekero wako anasema Yesu siyo Mungu biblia inasema hivi yeye anakataa

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mbarikiwa siyo mchungaji Bali ni mfuasi wa CHADEMA na ujue wafuasi wa CHADEMA kazi yao ni kutukana na matusi

  • @odarickmenard9107
    @odarickmenard9107 18 วันที่ผ่านมา

    Namshauri afanye yamupasayo kuyafanya juu ya kuujenge mwili wa kristo atakaye muelewa ahamiye kwake si kuwasema watumishi wengeni haitakiwi kujihesabia haki,anataka kichwa chake wakihitaji kama Cha yohana mubatizaji

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 19 วันที่ผ่านมา +2

    Mwalimu isaya mbona weye na mbarikiwa kuna vitu mnaongeaka vinaendana asa mnapoongelea utu nandio maana nawaelewaga sema shida dini tuloletewa na uwa una complaint kuusu hili. Wewe kama mtu wangu kwanini usimfwate basi umsikilize ili u confirm kama kweli amechanganyikiwa

  • @sandejacob623
    @sandejacob623 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hata Yesu walimwita amechanganyikiwa,
    Yesu aliuawa kwa kikatili.
    Yohana aliuawa kikatili.
    Paulo aliteswa na kuchapwa viboko.
    Stephen alipigwa mawe na kuuawa.
    Kwanini hawa walipitia mateso ya namna hii ? Afu nyie muwe mnakula bata tu kama sio ukanjanja ni ni ni ? Acheni anyooshe mambo.