MCHUNGAJI GWAJIMA AMUWASHIA MOTO MZEE WA UPAKO BAADA YA KUTATAA YESU SI MUNGU | YULE MZEE HANA AKILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 445

  • @user-vq5cr5be8w
    @user-vq5cr5be8w 4 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa upako oyeee nakupenda sana

    • @johnkisubi8974
      @johnkisubi8974 2 วันที่ผ่านมา

      Ukiwa kimwili auwezi mjua MUNGU, MUNGU ana uwezo wakufanya anacho taka auwezi mtilia mpaka ukianza mtilia mpaka nikusema uyo siyo tena Mungu,yesu ni Mungu bila mashaka yoyote,alisema katika matayo 25:31,,nitakapo rudia katika utukufu wangu na malaika woote pamoja Nami,kama uko na elimu fikiria,iyo neno,malaika pamoja naye atakuja ku hukumu sasa dunia,kama Yesu kristo sio Mungu atakua nani ? Ili akuke kwa utukufu wake ?

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i 18 วันที่ผ่านมา +12

    Safi Sana mchungaji gwajima nakukubari Sana mtumishi wa MUNGU Alie hai

    • @philipphanuel9558
      @philipphanuel9558 18 วันที่ผ่านมา +3

      Mzee wa upako yupo sawa kabisa

    • @colethakahemela3713
      @colethakahemela3713 18 วันที่ผ่านมา +1

      Mzee wa majeshi uko sawa sana

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 16 วันที่ผ่านมา

      B​@@philipphanuel9558sishangai kuon mashetan yaktawala Dunia as niny

    • @yusafbayu7016
      @yusafbayu7016 13 วันที่ผ่านมา +2

      Ana wa poteza huyo mwehu gwajima yesu sio Mungu na hawez kuwa mungu kamwe

    • @barakalawrence742
      @barakalawrence742 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@yusafbayu7016HUJUI kitu kuhusu MUNGU, Hebu tuanzie hapa ...... Mtu ni nani?

  • @avbjcministry7500
    @avbjcministry7500 วันที่ผ่านมา +1

    Tito 2:13
    [13] tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

  • @user-eb8rf5sp3o
    @user-eb8rf5sp3o 16 วันที่ผ่านมา +11

    QUL-HUWALLAHU AHAD (SEMA M/MUNGU NI MMOJA.

    • @DavidMatata
      @DavidMatata 9 วันที่ผ่านมา

      allah Mungu wa koran na Jehovah Mungu wa biblia ni wawili tofauti.

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      @@DavidMatata .. Hata unachokizungumza hukielewi.. 🖊

    • @tindatinda7330
      @tindatinda7330 2 วันที่ผ่านมา

      Rejea Surat Maida

  • @salumrashidabdullashmely2558
    @salumrashidabdullashmely2558 13 วันที่ผ่านมา +3

    Gwajima ndio mjinga na mwongo kuliko waongo wote

  • @user-vq5cr5be8w
    @user-vq5cr5be8w 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee waupako yupo mmoja love

  • @joelking3692
    @joelking3692 19 วันที่ผ่านมา +16

    Kwani mwanadamu ameumbwa kwa mfano wa nani? Mwanadamu ana Nafsi, Roho, Mwili, mzee wa upako kashatekwa tangu zamani na ameshawahi kukiri kwamba amekua akinywa pombe sasa kwa mujibu wa maandiko huyu anayejiita mzee wa Upako nae ni wakala tu wa kuzimu nabii wa uongo biblia inaweka wazi sana juu ya watu kama yeye kutokea

    • @princenelsonsinko5237
      @princenelsonsinko5237 19 วันที่ผ่านมา +3

      Mzee wa upako kashakula pesa zao lazima apingane nao

    • @kanoleausi4204
      @kanoleausi4204 18 วันที่ผ่านมา +3

      kwani mtu akinywa pombe ndo ana dhambi? au hawezi kuongea ukweli? au kwa sababu anachoongea huyo tapeli umeyapenda ndo unaona Mzee wa upako hana akili? jifunze kutafakari

    • @suleymandachi782
      @suleymandachi782 18 วันที่ผ่านมา

      Mungu hana mfano,ukifananisha utakuta hata mbwa kaumbwa kwa mfano wa Mungu maana Mungu anakula na kunya basi hata mbwa vilevile

    • @Harrison-zh9sb
      @Harrison-zh9sb 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@suleymandachi782biblia ndio inasema tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mbwa hafanani kwa namna yoyote Ile na mwanadamu sisi tunayoroho kutoka kwenye mwili wa Mungu mwemyewe

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 17 วันที่ผ่านมา +1

      Mzee wa upako pombe zinamuharibu

  • @mosesmwalugale1883
    @mosesmwalugale1883 16 วันที่ผ่านมา +6

    Mungu juu yetu, Mungu kati yetu na Mungu ndani yetu Hilo ndilo fundisho la biblia

  • @DottoKagoro
    @DottoKagoro 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nashukuru kuona ndugu zetu wa proud to be wamejaa humu wanakula neno mdogo-mdogo

  • @sherrifsaleh7536
    @sherrifsaleh7536 10 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu yuko peke yake mmoja tu

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 18 วันที่ผ่านมา +16

    Gwajima najua sana biblia he is so intelligent,safi sana mtani wangu

    • @NeliaMwenisongole
      @NeliaMwenisongole 15 วันที่ผ่านมา

      Hajuwi kama wewe

    • @fadhilikidunale6671
      @fadhilikidunale6671 15 วันที่ผ่านมา +1

      Mzee wa upako anakili sana kushinda huu mm nipo n mzee wa upako

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 14 วันที่ผ่านมา +1

      Mzee wa upako anaongea ukweli

    • @tmmonlinetv9813
      @tmmonlinetv9813 9 วันที่ผ่านมา

      Fungu alilotoa liko wapi?

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 3 วันที่ผ่านมา

      Kwa hio mungu ni wa 3🤣

  • @babajay3445
    @babajay3445 16 วันที่ผ่านมา +6

    Yesu alisema eloi eloi eloi mungu wangu mbona umeniacha nanhakusema waungu wangu mbona mmeniacha

    • @yusafbayu7016
      @yusafbayu7016 15 วันที่ผ่านมา

      Hapo Hawa ndugu wa christu Hawa wazi wala Hawa somi

    • @joseaugust2805
      @joseaugust2805 15 วันที่ผ่านมา

      Ni mwili ndo uliokuwa unasema ivyo kwasababu aliuvaa mwili 100 , maanayake ukimpiga alikuwa anasikia maumivu kama wewe ,

    • @prosperjuma905
      @prosperjuma905 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@yusafbayu7016haya mambo huwez kuyaelewa kwa akili zako za kibinadam hizo ambazo zimekusaidia kupata D mbili O'level.

    • @LoFi_120
      @LoFi_120 13 วันที่ผ่านมา

      Zaburi 22:1 "Mungu wangu, Mungu wangu, Mbona umeniacha? Mbona U mbali na wokovu wangu, Na maneno ya kuugua kwangu?"

    • @yusafbayu7016
      @yusafbayu7016 13 วันที่ผ่านมา

      @@joseaugust2805 leta andiko thibitisha hayo ma neno yaku vaa mwili hapa hapa

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 7 วันที่ผ่านมา +3

    mzee wa upako yupo sahihi

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 16 วันที่ผ่านมา +1

    Nadhani kunashida katika hili.Aliyeongea na wanaomjibu.Ukisikiliza kwamakini naona kuna shida yauwelewa wa hili.Ishu ipo hapa.Mungu ni mmoja au Mungu ni Miungu mitatu?
    Hili ndilo lakushugulikia.
    Shida sio Mungu Baba Mwana na Roho Mtakatifu. Nadhani ipo kwemye Mungu Baba.Mungu Mwana Mungu Roho Mtakatifu.
    Nadhani hapa ndipo kwenye hoja ya msingi sana.Je, mbinguni na viti vingapi vya vya Mungu?

  • @fbensony
    @fbensony 18 วันที่ผ่านมา +17

    Elimu ya Bishop Gwajima ni fahari ya mbali Sana kuzidi Elimu za kina Mzee wa upako.

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 16 วันที่ผ่านมา +1

      Angekuwa anayo Elimu ya manufaa angekuwa ameisha uacha Ukristo zamani

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 16 วันที่ผ่านมา +1

      ww huyo gwajima nyote wajinga msojua Injil, mzee wa upako yuko sw 99.9%

    • @fbensony
      @fbensony 16 วันที่ผ่านมา +1

      @@halidimgonza5945 asa kwani Ujinga wetu Sisi wewe unakukosesha akili au ni vipi. Maana hatujaomba welevu wako kutusaidia kitu kama vile ambavyo wewe ujinga wetu haukunyimi chakula. Don't be minicompoop

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 16 วันที่ผ่านมา +2

      @@fbensonytunachotaka musome ili mumtambue Mungu wa kwel ili muondokane na ujinga na muepukane na moto mkali wa jehanam

    • @gospalflavour7304
      @gospalflavour7304 15 วันที่ผ่านมา +1

      Fact,he's very intellect person

  • @user-sr6np7dv8h
    @user-sr6np7dv8h 16 วันที่ผ่านมา +12

    Nakukubali Sana askofu gwajima kitabu chako Cha maombi ya kushindana kilivyobadilisha maisha yangu barikiwa Sana baba

    • @adnanidarous3117
      @adnanidarous3117 16 วันที่ผ่านมา

      Kitabu cha gawajima sio cha mungu 😅

    • @user-br8rg4lb1d
      @user-br8rg4lb1d 14 วันที่ผ่านมา

      Nakitafuta Sana hicho kitabu sijui nakipataje

    • @RachelMethod-rt1qx
      @RachelMethod-rt1qx 14 วันที่ผ่านมา

      Nenda ubungo kwenye office zao utakikuta

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k 8 วันที่ผ่านมา +1

    Ina lilah waina ilaih rajiun watu wanahubiriwa waende motoni kufuru kubwa hiyo eti mungu awe na mwana subhannallah mungu hafanani na chochote never

  • @user-bp5pq9to9e
    @user-bp5pq9to9e 7 วันที่ผ่านมา

    Mzee wa upako,pole sana sana,umechanganyikiwa!Njoo Kwa YESU KRISTO akuokoe!na wote washirika wako unaowadanganya Kwa mafundisho hayo potofu! Mimi Mwl CHRISTOPHER JACKSON SAMBAA kutoka SINGIDA tena Kijiji Cha Merya!

  • @enockmwafongo6758
    @enockmwafongo6758 17 วันที่ผ่านมา +29

    Kama haitoshi mwanadamu pia lazima ujue naye ni utatu NAFS MWILI NA ROHO kama Mungu alivyo BABA MWANA NAROHO,akasema na tuumbe mtu kwa mfano wetu. Lusekelo mnyakyusa mwenzangu usichanganye watu,kama umechoka utulie malizia uzee vizuri,usije ukawa ulianza vibaya ukamaliza vibaya,niafadhari kama ulianza vibbaya maliza viziri,maana heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wa jambo.

    • @whajavfsb5154
      @whajavfsb5154 16 วันที่ผ่านมา +2

      Ndugu Mungu wa wakristo ni mmoja tu na ana nafsi moja ambaye ni BABA YAKE YESU, na Yesu Kristo ni Mwanae na pia Roho mtakatifu ni Roho yake mwenyewe, hivyo BABA yake YESU KRISTO ndiye Mungu mmoja wa biblia na ndiye chanzo cha yote, na ndiye alimzaa YESU..ukisema Mungu ana nafsi Tatu maana yake hakuzaa unaungana na waislam.

    • @57_VANIBO
      @57_VANIBO 15 วันที่ผ่านมา +1

      Duh 🙄 kwani roho vs nafsi sikitukimoja kwanimarazote ukifa wanasema nafsi yako iende vizuri ao rohoyake ipokerewe vizuri mbona hawasemi nafsi naroho ebu nipe manayake

    • @PeterGabriel-vm5yy
      @PeterGabriel-vm5yy 15 วันที่ผ่านมา +3

      Kabla ya kuumbwa mwanadamu Mungu alikua ameshaumba utawala wake wa mbinguni. Mbinguni kulikua kumesha kamilika.
      Ushahidi mchache.
      Mwanzo 3:1 (KJV) Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?
      Huyo njoka ametumiwa tu ila ni shetani ambae alikuwepo mbinguni kama malaika wa nuru kabla ya mwanadamu kuumbwa.
      Ufunuo wa Yohana 12:7,9
      [7]Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake;
      [9]Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
      Ushahidi mwingine.
      Mwanzo 3:23-24 (KJV) kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa.
      Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.
      Hapo utaona kundi la malaika makerubi lilikuwepo kabla ya kuumbwa mwanadamu. Fuatilia makerubi utaona.
      Hivyo utawala wa mbinguni ulikua umwekwisha kamilika.
      Hivyo mbinguni kulikua na tawala na vyeo kabla ya mwanadamu. Kwenye Ufunuo unapokaa wenye uhai wanne, wazee ishirini na nne walikuwepo kabla ya mwanadamu. Soma Daniel kunavitu utaona.
      Sasa Katika ufalme wa mbinguni wote waliumbwa kabla ya mwanadamu nakupewa nafasi zao Pia.
      Katika uumbaji huko mbinguni biblia imeonesha kidogo kipi kiliumbwa cha kwanza.
      MUNGU ALIUMBA MBINGU NA NCHI.
      Wakolosai 1:15 (KJV) naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
      Katika uumbaji Yesu ndio alikua mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
      Ufunuo wa Yohana 3:14 (KJV) Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.
      Yesu ndio mwanzo wa kuumba au uumbaji wa Mungu katika viumbe.
      Ndio maana anasema hakushuka toka mbinguni atimize mapenzi yake ila ya Baba hivyo alikuwepo mbinguni.
      Yohana 6:38 (KJV) Kwa kuwa mimi sikushuka kutoka mbinguni ili niyafanye mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenipeleka.
      Hivyo ufalme wa Mungu mbinguni ulikua utawala Kamili na wao walikua wanaitwa wana wa Mungu.
      HIVYO NDUGU YANGU KWANZA TAMBUA AKISEMA KWA MFANO WETU HUKO MBINGUNI KULIKUA KUMEKAMILIKA.
      KISHA UTAZAME HAPO MWANZO KUNA MUNGU, ROHO YA MUNGU KISHA ANAANZA KUTAMKA NENO.

    • @PeterGabriel-vm5yy
      @PeterGabriel-vm5yy 15 วันที่ผ่านมา +1

      SASA WEWE TUAMBIE ALIMAANISHA KWA MFANO WA YEYE NA NANI?
      FUNDISHO LA UTATU HALIPO KATIKA BIBLIA.

    • @PeterGabriel-vm5yy
      @PeterGabriel-vm5yy 15 วันที่ผ่านมา

      Fundisho la utatu linasema Mungu katika nafsi tatu kila nafsi ni Mungu. Mungu baba, Mungu Mwana na Mungu Roho mtakatifu ila zote kwa pamoja ni Mungu mmoja.
      Hili fundisho halipo katika biblia nzima na halijawahi kufundishwa na yeyote katika kanisa la mwanzo.

  • @avbjcministry7500
    @avbjcministry7500 วันที่ผ่านมา

    Efeso 4:6
    [6] Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote.

  • @mtutulaclassic6207
    @mtutulaclassic6207 5 วันที่ผ่านมา +1

    toa maandiko Gwajima acha kutumia akili zako

  • @user-dv8lm4ko5i
    @user-dv8lm4ko5i 7 วันที่ผ่านมา +1

    17:3 Yohana

  • @user-rx2kq8ce6y
    @user-rx2kq8ce6y 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu ni mmoja tu kwenye vublia gani imesema Kuna mungu baba nwana na riho ntakatifu gwajima toa Aya acha blaa blaa

  • @LambertRweikiza
    @LambertRweikiza 16 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee wa upako hajawahi kuokoka, kuwa kumsikia mwenyewe anasema, kuwa hajawahi kupatizwa ktk mahi mengi na kuwa haina maana, akaongeza zaidi kuwa haijazuiwa kunywa pombe, labda kulewa!!! Hivyo inawezekana yeye anakunywa, hivi furaha ya pombe nini kama siyo kulewa?

  • @mwoso
    @mwoso 12 วันที่ผ่านมา +5

    Ukisema yesu ni mungu inamaanisha jina lake ni yahweh? La hasha, yeye ni mwana wa Mungu kwa kuzaliwa na ana uungu wa Baba yake. Ana asili ya Baba yake. Lakini si kwa nafsi. John 3:16 inadhihirisha vizuri kwamba yesu ana Baba yake. Yesu akiwa hapa duniani alisema ninakwenda kwa Baba yangu . Hakusema ninakwenda kwa Mungu mwenzangu. Akiwa hapa duniani alipewa mamlaka yote na Mungu Baba yake. Ndiposa akasema, Mimi na Baba yangu tu umoja. Haimanishi yeye na Mungu ni kitu kimoja. Akiwa msalabani ni nani alililia? Kwa hivyo tuwache Mambo ya kusema Mungu Baba na Mungu mwana. Tuwe tunasema Mungu Baba, mwana na roho mtakatifu.

  • @gwamakaadamson131
    @gwamakaadamson131 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tusome neno la Mungu aliye hai na tumwombe roho mtakatifu atupe ufunuo wa neno lake takatifu

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wee gwajima mwanao uliyemzaa namna unavyompenda na kumlea na unavyomlinda unajuwa mwenyewe leo Mungu awe na mtoto hivi mngepata nafasi ya kumchezea na kumdhihaki kama hivyo mnavyohadithiana kiuongouongo kirahisirahi tu na kupiga mkelele hovyo tu hapo acheni hayo mambo Mungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa hana aliyefanana nae na ni yeye tu mwenye kukusudiwa

  • @kassimamir219
    @kassimamir219 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika walio kufuru kwako ukiwaonya au usiwaonye hawamini(sulat al bakara)

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 6 วันที่ผ่านมา +2

    GWAJIMA MUNGU NI MMOJA

  • @saidalhabsi6485
    @saidalhabsi6485 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wachungaji muwe mnawasomea waumini wenu kutoka kwenye vitabu sio mnatunga kwenye vichwa vyenu

  • @SuleimanAli-ub9fd
    @SuleimanAli-ub9fd 12 วันที่ผ่านมา +2

    Usanii mwingi.......na masikhara. Hakuna Mungu mtu😊

    • @user-dv8lm4ko5i
      @user-dv8lm4ko5i 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mtu anakuwa Mungu ni uchizi

  • @racheljob6601
    @racheljob6601 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu lusekelo nae asituchanganye

  • @djoe8266
    @djoe8266 16 วันที่ผ่านมา +4

    Someni biblia ndugu zangu munapotezwa mzee wa upako yupo sahii sana gwajima anapiga kelele mungu haombwi hivyo

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 3 วันที่ผ่านมา

    Amen Amen.

  • @mahadhiomari9002
    @mahadhiomari9002 วันที่ผ่านมา

    Acha kupotosha watu wewe. Mungu ni mmoja kwisha

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo8320 15 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana Baba mchungaji 🙌

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1b 16 วันที่ผ่านมา +9

    Yule alieniona Mimi amekwisha muona baba !

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      Maana yake maneno hayo ni hii;
      "Yule atakaeelewa mafundisho yangu, amekwishamuelewa Mungu"
      ● Mungu ni Mmoja ● Mungu haonekani ● Mungu ametakasika ● Mungu hazai, hazaliwi & Hafanani

  • @emmanuelmsambya5293
    @emmanuelmsambya5293 11 วันที่ผ่านมา +1

    Gwajima shule IPO , mzee wa upako kakurupuka

  • @faithijegwa3592
    @faithijegwa3592 19 วันที่ผ่านมา

    Amen amen ♥️

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mlete hoja mezani siyo kumshambulia

  • @MkuzoSmart-sb9gh
    @MkuzoSmart-sb9gh 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kazikwenu mmekutana wenyewe

  • @Silay1034
    @Silay1034 11 วันที่ผ่านมา +1

    Gwajima huna akili

  • @avbjcministry7500
    @avbjcministry7500 วันที่ผ่านมา

    Ufunuo 4:3
    [3] na yeye aliyeketi alionekana mithili ya jiwe la yaspi na akiki, na upinde wa mvua ulikizunguka kile kiti cha enzi, ukionekana mithili ya zumaridi.

  • @Eliakimmshanga
    @Eliakimmshanga 17 วันที่ผ่านมา +1

    antony yuko sahii sana mweny usikivu wa kiroho atamwelewa .thanks mchungaji

  • @AsiaMohamed-gw6fq
    @AsiaMohamed-gw6fq 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubalik sana

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 16 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi kuna maswali huwa najiuliza sana kuhusu Uungu wa Yesu alafu nabaki kuwashangaa sana Wakristo. Tena huwa ninawashangaa nakuwaonea huruma pia. Hivi kweli,Mungu Ashuke toka Mbingun kisha aje Dunia,ateswe na kiumbe Aliyemuumba Yeye Mwenyewe,Azalilishwe na Auwawe na kiumbe Alichokiumba Yeye alaf ndio kiumbe hicho hicho kipate kukombolewa toka kwenye Dhambi??? Dah...! 🤦 Ina maana Mungu Alishindwa kumtuma Malaika wake,japo mmoja tu,kuja Dunian kupambana na hizo dhambi mpaka Aje Yeye Dunian kujifedhehesha??? Sasa kwa hali hii,Mungu na Sheitwan nani zaidi? Manake kulingana na Wakristo,Yesu mpka kufa alikufa lakin Shetan hajawah kuonja umauti mpaka leo hii?
    Wakristo mna maswali magumu mno ya kujibu mbele ya Muumba wenu. Haya!

    • @ramadhanihudhaifani4376
      @ramadhanihudhaifani4376 16 วันที่ผ่านมา +1

      Kinachowaponza Wakristo ni suala la Yesu kuja Dunia na kutoa hukumu kwa wanadamu! Yani hapa ndipo tatizo kubwa sana lilipo kwao.
      Wanashindwa kujuwa kuwa Mungu Anagawa majukumu kwa viumbe wake anao wataka Yeye kwa ajili ya kufanya baadhi ya majukumu.
      Ndio maana yupo Malaika wa Mvua,Motoni,Peponi,Mtoa Roho za waja,Mleta Ufunuo kwa Mitume wake na kadhalika. Kwa hiyo,sio tatizo Mungu Akimpa Yesu jukumu la kuja Dunian kuwahukumu watu mimi. Amkeni nyie!

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 16 วันที่ผ่านมา +2

      Bak na mungu wako Allah ukrsto uache Kama ulvo

    • @abubakarihamissi4178
      @abubakarihamissi4178 15 วันที่ผ่านมา

      wakristo ni watu ambao kuwaamisha na kupiga pesa ni rahisi mno coz huwa hawana reasons ya kufikiri yaani huwa wanamezeshwa kama ilivyo, so sishangai mtu kuanzisha kanisa ni kisha kuwadanganya mwisho wa dunia ni siku Fulani halafu akawachoma wakafa ilihali aliyewadanganya ni mzima. amkeni someni biblia muielewe acheni kukaririshwa.

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 15 วันที่ผ่านมา

      @@abubakarihamissi4178 sio kwel nakupnga kwel kwel, maaana sio wote ata waislam wapo kbao tu uko kwa mwaposa nao awajui Quran?

    • @abubakarihamissi4178
      @abubakarihamissi4178 15 วันที่ผ่านมา +1

      @@emanuelmkama1325 ndiyo hawajui quran sio kila anayeitwa jina la kiislamu amesoma na kuelewa Quran

  • @saidabdurahman7936
    @saidabdurahman7936 15 วันที่ผ่านมา +10

    Gwajima anajua kuwapanga 😂😂😂

    • @joetheone3354
      @joetheone3354 15 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣

    • @yasiniselemani8672
      @yasiniselemani8672 7 วันที่ผ่านมา

      watu wengi wanaangamia kwa kukosa maarifa😅😅😅

  • @abnermailos8043
    @abnermailos8043 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kumbe hajui maandiko

  • @erickykoyanga9364
    @erickykoyanga9364 3 วันที่ผ่านมา +1

    Ah mnatuchanganya bhana Bora tuendelee kucheza mapiano

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂
      Bora @erickykoyanga9364 Umesema Kweli tuuuu .. CONFUSION hatari

  • @mohamedmuya4965
    @mohamedmuya4965 16 วันที่ผ่านมา +8

    Ifike Mahali wachungaji muache kufundisha mafundisho yanayotoka vichwani mwenu. Muwe mnawatajia maandiko waumini wenu na muwasomee kuthibitisha mnayoyasema. Sio kufundisha tu na kupokea sadaka huku mkipoteza watu.

    • @yusafbayu7016
      @yusafbayu7016 15 วันที่ผ่านมา

      Hahahahhaa noma Sana pumbafu ka weka mpaka bendera ya Israel inayo uwa watu huoni kama huyu ni mwehu

    • @donjb3178
      @donjb3178 15 วันที่ผ่านมา +3

      Ila kweliii aisee wawee wanaweka na ushahidi pia mana maneno bila proofs ni kama tunalishwa matango poli

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 14 วันที่ผ่านมา

      HONGERA KWA KUKURUPUKA.Kama wewe huelewi ACHANA NA MAFUNDISHO HAYA ni kwa ajili ya wale waliokusudiwa na KUELEWANA NA YESU

    • @assumptaalphonce8504
      @assumptaalphonce8504 12 วันที่ผ่านมา +2

      Chukua soda hapo dukani Kwa mangi Kwa bill yangu. Umenena.

    • @LivingVenance
      @LivingVenance 2 วันที่ผ่านมา

      Untaka kuuliza nini nikujibu kwa Maandiko hapa?

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 15 วันที่ผ่านมา

    Hata usipo miliki bado fresh tu, Mungu ni mwema

  • @user-yy1lz3vk6g
    @user-yy1lz3vk6g วันที่ผ่านมา

    Baba askofu, Mungu azidi kutukuzwa, wewe huwa haubahatishi, unajua unachokifanya

  • @tanzaniayaviwanda2756
    @tanzaniayaviwanda2756 14 วันที่ผ่านมา

    UmetishaBISHOP

  • @PastorChristinaMagwaza
    @PastorChristinaMagwaza 14 วันที่ผ่านมา

    Sawa kabisa Mtu wa Mungu

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 16 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyezi Mungu ni mmoja tu. Mmiliki wa Sayari zilzopo Ulimwenguni ambazo zinakadiriwa na wanasayansi wa Anga zaidi ya Trillion 3. Yeye Muumba wa vyote vilivyomo ndani ya Sayari zote hizo tena kwa idadi. Mungu hawezi kujaribiwa mara tatu na Shetani dhaifu. Tena Yesu huyo huyo akasema apasaye kuabudiwa ni Mungu tu, mbona hakusema aabudiwe Yeye Yesu? Mungu gani
    asiyejua siku ya hukumu? Mungu gani aliye na Mama, kaka, Dada, Babu, bibi na ndugu? Mbinguni hakupaishwa Yesu tu, je Nabii Enock au Elijah waliopaishwa Mbinguni ni miungu nao?

  • @user-sg6lz5nw7b
    @user-sg6lz5nw7b 15 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @fadhirimarko7427
    @fadhirimarko7427 5 วันที่ผ่านมา

    Mbona sioni kama kuna uhusiano wowote kwa haya mahubiri ya wawili

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 16 วันที่ผ่านมา +2

    Itafika mahali mtahamia kwetu uisilamu umesimama nyie mparurane tu dini ni moja tu duniani

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e 15 วันที่ผ่านมา

    Amina 🙏

  • @gwamakaadamson131
    @gwamakaadamson131 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kawaida ya binadamu kupingana na kweli

  • @douglasmosoti4746
    @douglasmosoti4746 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    MUNGU BABA ni mmoja tu hakuna Cha roho mwili Wala nafusi, MUNGU BABA ni moyo na ss pia ambao tuna penda ni moyo

  • @TheHabitationOfChrist
    @TheHabitationOfChrist 13 วันที่ผ่านมา

    Glory be to God out Lord Jesus Christ!

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 16 วันที่ผ่านมา +1

    Hawaja jamaa hawana akili hata kidogo ukiwauliza katika amri 10 ya kwanza ipi usiwe na miungu mengine ila mimi maana yake nini

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 14 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli huyu anayejiita sijui Upako kweli ni zaidi ya mjinga - ni taahira. Pombe zimemfanya amtumikie adui. Maana neno lilisema "...tutawajua kwa matendo yao".

  • @philipphanuel9558
    @philipphanuel9558 18 วันที่ผ่านมา +6

    Yesu alisema baba yupo mmoja tu, ndie aliye mbinguni

  • @KhayratMansour
    @KhayratMansour 18 วันที่ผ่านมา +6

    Hakuna miungu watatu bali Mwenyezi Mungu wa kweli ni mmoja tu hata kama mkiwapotosha watu juu ya ukweli huu .

    • @hellen9056
      @hellen9056 16 วันที่ผ่านมา

      Kila mkristo anajua MUNGU ni mmoja na wamefundishwa ivo

    • @azizimtege
      @azizimtege 15 วันที่ผ่านมา

      Yes, waswahili husema manahodha wengi chombo huenda mrama, mungu ni mmoja tuuuuuuu

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@hellen9056 Ni kweli Wakristo husema Mungu ni Mmoja .. Lakini kwenye Maelezo yao haonekani Mmoja, Bali WATATU ...
      ● Baba - ambae ndie mkuu (YAHWE)
      ● Mwana wa pekee - ambae ni Yesu
      ● Roho mtakatifu - ambae huwafunulia manabii

  • @maulidharuna183
    @maulidharuna183 17 วันที่ผ่านมา +7

    Nyiye mzee wa upako kawazid palefu sanaaana gwajima mzee wa upako anajua biblia sana

    • @joetheone3354
      @joetheone3354 15 วันที่ผ่านมา

      Na anaijua sana kaka, huyu Gwajima asijifananishe hata kidogo na Mzee Wa Upako😂😂

    • @yasiniselemani8672
      @yasiniselemani8672 7 วันที่ผ่านมา

      sahihi

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      Mimi ni Muislamu, ... kwa mtazamo wangu;
      Mzee wa Upako Ameweka pembeni Matashi ya nafsi yake, anazungumza sio kwa kukaririshwa, bali kwa Uelewa .. Hawa wengine kelele nyingi. 🎉

  • @abdullahabdull3172
    @abdullahabdull3172 5 วันที่ผ่านมา

    Kuiweka Islael /Jews flag nyuma yako ni wazi hujitambui sina haja ya kukusikiliza,inauhusiano gani na kanisa?

  • @emmanuelmsambya5293
    @emmanuelmsambya5293 11 วันที่ผ่านมา

    Hauwez kuelewa kama hauna D 2

  • @aliebrahim9423
    @aliebrahim9423 3 วันที่ผ่านมา

    Mzee wa Upako keshamaliza jambo lake.

  • @khalifamahondo191
    @khalifamahondo191 16 วันที่ผ่านมา

    nashindwa kuelewa tatizo liko wapi huyo Yesu Mwenyew alishaclear hili mara nyingi kwa kumtaja Mungu baba mara kadhaa

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 13 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mwoso
    @mwoso 12 วันที่ผ่านมา

    Utatu ni mfumo ulioanzishwa na wakatholiki kinyume na bibilia.

  • @Silay1034
    @Silay1034 11 วันที่ผ่านมา

    Amezaliwa half unasema ni mungu we ni chizi

  • @user-wf8eb6nm4s
    @user-wf8eb6nm4s 14 วันที่ผ่านมา +5

    Yesu kazaliwa kanyonya Kwa mama ake kalelewa mpaka kawa mkubwa anakula anaenda chooni vipi awe mungu usiseme uwongo wa kupanga

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 8 วันที่ผ่านมา

      Wewe peleka huko uislamu wako, hapa hapakufai,, hapa tunaongea,, Habari za mbinguni,, hutazielewa kama huana D 2

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@fortunataangelo5575
      Wewe mwenye D 2 ulipaswa umuelekeze aelewe kama ulivyoelewa wewe .. . 😂 ..
      #Vijana wa Kikristo wengi hawajui Bibilia yao.

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 3 วันที่ผ่านมา

      @@swafiirbulbul819 D 2 ndugu bi NEEMA YA MUNGU ,, kama hujafunuliwa hayo , Sahau kuelewa , Hayo mafumbo ya imani!

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 2 วันที่ผ่านมา

    Yesu alikuwa ni mtu

  • @dancanmwamafupa6806
    @dancanmwamafupa6806 วันที่ผ่านมา

    Sasa chizi hapo mbona ni gwajima

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 14 วันที่ผ่านมา

    Haitaji kujua maandiko,ni kutumia ubongo kungamua mambo,maana tunajibana kimawazo na vitabu vichache na waandishi wachache wkt kuna maandiko mengi na vutabu vingi ambavo hatuvisom na wala hatuhitaji kuvisoma.

  • @Silay1034
    @Silay1034 11 วันที่ผ่านมา

    Kama huyo mwana wa mungu nawewe ni mwana wa nani

  • @mariamdida5417
    @mariamdida5417 14 วันที่ผ่านมา

    Unawatia ujinga waumini yesu siyo Mungu

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 13 วันที่ผ่านมา

    Wote wapigaji.
    Kama wametumwa na Mungu mbona hawajuwani?
    Mbona wanakosoana, mbona wanafanyiana vitimbi? Mbona hatukupata kusoma kwenye maandiko waliotumwa na Mungu walihitirafiana? Ukweli unakuja punde si punde.

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 11 วันที่ผ่านมา

    😂😂 wa moton wanajulikana tu utaona tolii zao tu ktk maombi yao tu

  • @Silay1034
    @Silay1034 11 วันที่ผ่านมา

    Yaan awe mtoto chiz mara 1000000000000000000000

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 13 วันที่ผ่านมา

    Gwajima hana andiko.

  • @SamwelMasisa-qy2zb
    @SamwelMasisa-qy2zb 17 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu amsamehe mzee wa upako

    • @hassanally4960
      @hassanally4960 15 วันที่ผ่านมา

      Ukusamehe wew usojua kitu ebu soma utajua

    • @SamwelMasisa-qy2zb
      @SamwelMasisa-qy2zb 15 วันที่ผ่านมา

      @@hassanally4960 vip wewe unajuwa? Au ndo bendera fata upepo

    • @user-es4uf6gj7u
      @user-es4uf6gj7u 15 วันที่ผ่านมา

      Maka firi nyinyi wajinga mulio pitiliaza ktk ujinga huyungwajima alisema yeye ana fufua mbona alipokufa magufuli haku mfufua ndio mana nika waambia nyinyi wajinga sasana

    • @fadhilikidunale6671
      @fadhilikidunale6671 15 วันที่ผ่านมา

      Akusamehe ww mzee wa upako msomi na biblia amesoma ww na mzee wa upako tumsikilize nani

    • @SamwelMasisa-qy2zb
      @SamwelMasisa-qy2zb 15 วันที่ผ่านมา

      @@fadhilikidunale6671 Msikilize Mungu siyo mimi wala mzee wa upako

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 15 วันที่ผ่านมา

    Allah ndo nani?Anapatikana wapi?

  • @salumyusuph6633
    @salumyusuph6633 14 วันที่ผ่านมา

    Kwani kupiga kelele kuna maana gani??

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 14 วันที่ผ่านมา

    MUNGU ni mmoja tu naungana na mzee wa upako

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    YESU ni MUNGU

  • @thehouseofprayerministry359
    @thehouseofprayerministry359 10 วันที่ผ่านมา

    Mzee wa. Upako akae darasani ngwajima amsaidie maana ngwajima ana madini adimu adi uwe naroho mtakatifu awe mwalimu akufundishe mzee waupako ana ongea mambo yasio na mashiko

  • @omarjuma3793
    @omarjuma3793 13 วันที่ผ่านมา

    Wewe nani watudanganyaaaaa tuuuuu

  • @mwoso
    @mwoso 12 วันที่ผ่านมา

    Yesu si Mungu Baba bali ana uungu wa Baba yake.

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂 ... Kumekucha

  • @salminimwaipopo2349
    @salminimwaipopo2349 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mzee wa upako alisema hata uende kigoma urudi hakuna anae weza kuleta andiko kuwa yesu ni Mungu 😂

  • @mohamedkipara1315
    @mohamedkipara1315 17 วันที่ผ่านมา

    Bado bibilia huijui unaluka baadhi ya mafundisho waumini msitoke hadi awasomee mistari ileee ya ...........

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 18 วันที่ผ่านมา +2

    Safi,Mzee was Upako.unawachangamsha wachungaji.wasome Sana'a Bible.Mungu ni mmoja.na jina lake Yesu.

    • @philipphanuel9558
      @philipphanuel9558 18 วันที่ผ่านมา

      Mungu ni mmoja tu.

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 16 วันที่ผ่านมา

      @@philipphanuel9558 Halipigingiki

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 ... Yaani umeeleza vizuri, Mwisho ukaharibu ... Ulipaswa useme hivi;
      MUNGU ni Mmoja tu, na YESU ni miongoni mwa Mitume na Watumishi wake.

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      Ukisema Yesu ndie Mungu, tunaelezwa siku za Mwisho, YESU ataketi mkono wa kuume wa Baba .. 😂😂
      BABA ni nani ..!? ... je! Ni Yeye Mwenyewe..!?? 🖊

  • @glorytoGod639
    @glorytoGod639 19 วันที่ผ่านมา +2

    Acha uchonganishi ndugu mtangazaji

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂.. sio Uchonganishi ...
      Ni mwanzo mzuri wa kuwatowa watu Ukungu na Ujauzito wa Fikra ..

  • @sekymwasumbi1938
    @sekymwasumbi1938 12 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani na kichwa cha habari kikubwa... nmesikiliza muda wote huu lakini sijasikia "hoja" iliyojibu "hoja" za Lusekelo... nmeaikia maelezo meeeeengi yasiyo na msingi wa "hoja"

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 3 วันที่ผ่านมา

      Safi sana..
      Umeruhusu akili yako kufanya kazi..

  • @dicksondavid3787
    @dicksondavid3787 13 วันที่ผ่านมา +1

    Katokomea nje ya mada aliyotaka kuitetea.😢😂

  • @gloriakatikiro5945
    @gloriakatikiro5945 15 วันที่ผ่านมา

    Hapa wskinaproud to be SI wanyamaze hayawahusu waendwlee na yakwao

  • @jamesmartin7026
    @jamesmartin7026 13 วันที่ผ่านมา

    Tapeli anawinda maokoto 😂😂