INJILI YA YESU ANARUDI SASA NDIYO CHANZO CHA UMASKINI KWA WAKRISTO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2024
  • #specialthanks to my spritual father H.E HON. DR. GEORDAVIE PEACE AMBASSADOR.
    Je una swali lolote gumu kutoka ndani ya biblia linakusumbua na umekosa majibu kabisa? basi usisite kuuliza Mwalimu Isaya Benson yupo kwa ajili ya kujibu maswali yako yote yanayokusumbua. Andika swali lako kwenye comment nalo litajibiwa bila shaka yoyote.
    ZABURI 119:130
    Kufafanusha maneno yako kwatia nuru na kumfahamisha mjinga
    ZABURI 119:11
    Moyoni mwangu nimeliweka neno lako nisije nikakutenda dhambi

ความคิดเห็น • 91

  • @ibrahmuya3528
    @ibrahmuya3528 25 วันที่ผ่านมา +8

    Mwalim mimi ni muislam ila nakukubali sana kweli kabisa tufanye kazi

    • @luckymsomba4818
      @luckymsomba4818 20 วันที่ผ่านมา

      unamkubali si kwa sabab anaongea yanayokufurahisha!

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 19 วันที่ผ่านมา +1

    Yani leo ndio umepondaponda bongo kabisa, Mungu akubaliki sana👏👏👏

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 20 วันที่ผ่านมา +1

    Uko sahihi sana kwakweli

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kichwa yako ipo vizuri niwachache wenye uwelewa

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 25 วันที่ผ่านมา +3

    Barikiwa sana mtumishi maana watu tunapewa mafundisho ambayo hayatujengi tufundishe kweli ili tuwe huru

    • @tutindagamwaijengo3345
      @tutindagamwaijengo3345 25 วันที่ผ่านมา

      Soma 2petro 3:3-10 usipongeze usiyoyajua walimu wa uongo ni wengi 2petro 2:1-14 utaelewa

    • @XhebbyMandevu
      @XhebbyMandevu 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@tutindagamwaijengo3345sasa wewe toka izo enzi za uyo Petro yesu aliwaambia mwisho upo karibu lkn walikufa mwisho hawajauona UO mwisho acheni kulemazwa na maandiko some uelewe usikalili😅

  • @JeremiahElias-lp3hz
    @JeremiahElias-lp3hz 22 วันที่ผ่านมา +1

    Jamaani acheni, kumutuxi Isaya Besoni, chambueni vya kwenu.

  • @HenrickMhema
    @HenrickMhema 22 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe mlm

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 15 วันที่ผ่านมา

    Uko sahihi sana bro yani wkristo ndo wanaongoza kuamatapeli bada ya kuamini yesu anarud hiv karbun tunajisahau mpaka tuna shindwa kusaka maisha.

  • @user-xk2kp5wv1i
    @user-xk2kp5wv1i 24 วันที่ผ่านมา +1

    I agree with you sir. Thank you sir,

  • @AMOSIELIYA-xv1qn
    @AMOSIELIYA-xv1qn 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mwarimu Mungu akubariki sana,nikiwa nakusikiliza mafundisho yako utofauti ata ata kidogo na mwarimu wangu kipindi najifunza bibilia.barikiwa tupo karibu yako

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 25 วันที่ผ่านมา

      Atarudi kuhukumu walio hai na wafu, futa hapo

    • @kelvinmwangome2125
      @kelvinmwangome2125 25 วันที่ผ่านมา

      Utajiri na mali nivya Muda but neno lake litabaki milele

  • @fridalyanguka1733
    @fridalyanguka1733 21 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka Yesu na Kristo ni watu wawili tofauti. Kristo alikuwa mweusi na Yesu ni mzungu aliundwa na wazungu, Chunguza na hili kaka.

  • @emanuelmwihambi7994
    @emanuelmwihambi7994 25 วันที่ผ่านมา +2

    Tubuni kwa maana ufalme wa mungu umekaribia

  • @hakizimanagerome9274
    @hakizimanagerome9274 21 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli

  • @mhinafalmen1161
    @mhinafalmen1161 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kurudi kwa Yesu si kama unavyofikiri . Soma vizuri Neno hasa kitabu cha ufunuo 13.

  • @user-lm5px2bh2b
    @user-lm5px2bh2b 24 วันที่ผ่านมา +1

    Muongo mungu akuponye damu za watu zitadaiwa mikononi mwak

    • @user-mw3oq4vz6k
      @user-mw3oq4vz6k 24 วันที่ผ่านมา

      Ongea ww mkwel sasa tukusikie

  • @user-hc4jv8uz5b
    @user-hc4jv8uz5b 24 วันที่ผ่านมา +1

    Barikiwa kwa kutufungua akili

  • @user-ox6oz9xr6l
    @user-ox6oz9xr6l 24 วันที่ผ่านมา +2

    Ahsante sorry naonba kuuliza hivi asie Fanya KAZI na asile kimeandikwa kitabu gani ahsante kama utanijibu

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 25 วันที่ผ่านมา +1

    Unayo mafunzo maziwa tena yenye akili haswa👌ubarikiwe sana ♥ mmi binafsi nakuelewa sana maana huku nje watu wamelea tu mikono na miguu wamebaki kuomba omba hawataki kuchakarika wanataka kula jasho ya wenziwe

  • @chiefmwananzengo4620
    @chiefmwananzengo4620 24 วันที่ผ่านมา +1

    Nimekuelewa Mrumishi Kanisa lifundishwe kuh Ujasiriamali vitegauchumi Elimu ya uzalishaji n.k

  • @user-bb2hf9jm3s
    @user-bb2hf9jm3s 24 วันที่ผ่านมา +2

    Unasho Sema kama ukweli vile

  • @KefasonSongwa
    @KefasonSongwa 24 วันที่ผ่านมา +1

    Safisana

  • @DavidMsoffe-gr8lc
    @DavidMsoffe-gr8lc 21 วันที่ผ่านมา

    vizuru mwalimu,makanisani huwa hawafundishwi namna yakuishi kwakujijenga kimaisha na wakati huo kunahitajika michango ya fedha kujenga kanisa

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mwalimu isaya.naomba utuchambulie.kilipu ya Mzee wa upako.maana amesema MUNGU ni mmoja tu.na yesu sio MUNGU naomba utowe ufafanuzi.maana wewe unamtetea sana Mzee wa upako

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 22 วันที่ผ่านมา +1

    Honakimepitaka Kongo leo kanisa katholiki ndio wame mtuma ahendekuchafua inchi hawakweli ni watu kabisa mimi kwa mawazo yangu nilikuwa nahona kanisa katholiki lifungwe kokote Barani afrika mahana aho ndo wachochezi wao huchukua Taarifa ya inchi zote zafrika kupeleka mahali usika

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 25 วันที่ผ่านมา +3

    Yusu yuko karibu sana kuriko unavyofikir hao wazungu unaowasema ndio mnaosema mafrison wanaoiharibu dunia na dunia inatekwa na pesa maana siku za mwisho watu watapenda pesa kuliko mungu, wakristo waamke wajue dunia imeisha na iko hoi bin taaban, sodoma na gomola ni ishara kwa wakristo mapepo yametupwa dunian nayo yatadanganya wengi wakristo amken dunia imeisha

    • @peterpanyika6810
      @peterpanyika6810 23 วันที่ผ่านมา

      JAMAA NI MJINGA SANA HAMNA MFANO WAKE. ANGEJUA BY 2030 KUTAKUWA TAYARI NEW WORLD ORDER IMESHIKA HATAMU KWA KUASISI CHRISLAM. AMBAYO NI DINI BILA MUNGU. IMEASISIWA TOKA 2020.NA ITABOMOSHA MAJUMBA NA MISIKITI YA IBADA. MATHAYO 24:1,MARKO 13:1 ,HATA ASIPORUDI WATAKAO KUFA NDANI YA KRISTO WATAFUFULIWA KWANZA.

    • @XhebbyMandevu
      @XhebbyMandevu 22 วันที่ผ่านมา

      Acha ufara pesa zilipendwa toka enzi zimeanza kutumika mbona mwisho haukuepo fanya kazi acha kukuaa ki fara ukawatesa watoto na umaskini

    • @XhebbyMandevu
      @XhebbyMandevu 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@peterpanyika6810😂😂😂 izo ni nukuu ata make 2000 walisema ni mwisho wa dunia sasa uu ni mwaka gani😂😂

    • @DaimonMwapelele
      @DaimonMwapelele 22 วันที่ผ่านมา

      @@XhebbyMandevu wewe uwe mjanja kimbizana na hizo hela ndio utajua kwamba shetan sio mjomba wako yesu anasema utafuten Kwanza ufalme wa mungu mathayo 6:33 join Cha maovu yote ni kumpenda pesa chagua mungu au dunia ujue hakuna makristo atakaekufa kwa njaa Amin mda umeisha na yesu Yuko njian

    • @peterpanyika6810
      @peterpanyika6810 22 วันที่ผ่านมา

      Hata mwisho in a mwisho wake. Madam Ni nukuu, Basi na ipite miaka elf na elf, LAKINI MWISHO UPO.HAIEPUKIKI.

  • @pastorpetermageta6833
    @pastorpetermageta6833 20 วันที่ผ่านมา +1

    Uko kinyume na biblia, kwa nini tuna hubiri kurudi kwa yesu kulinyakua kanisa kwa msisitizo,
    Ni kwa sababu watu wengi wana kufa kila siku, kwa hiyo lazima kuwepo na msisitizo, wanadamu wasipo pewa tahadhari watajisahau.
    Watakuwa wazembe

  • @GodlistenYona
    @GodlistenYona 19 วันที่ผ่านมา +1

    Fimbo alio tumia mzunguu kumpumbaza na kumtawala mwafrika ni dini na limefanikiwa kwa asilimia 85

  • @MageSamwel-bp6od
    @MageSamwel-bp6od 15 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu unaongea ukweli lakini mtu anapofundisha Yesu yu karibu haimaanishi watu wasifanye kazi lakn tunakumbushwa tuwe watakatifu

  • @user-ts6fh4si3m
    @user-ts6fh4si3m 25 วันที่ผ่านมา +2

    Apo nakupinga kabisa,
    Tunahubiri habari za ujio wa Yesu Kirsto hata kama itapita miaka buku from now, Lazima ujuwe lengo kuu la kutangaza huu ujumbe wa kuja kwa Kirsto Yesu.....
    Wewe uko na maarifa ktk historia but sio katkia Ufunuo na nguvu za Mungu, Uwezi juwa kila kitu mana unaonekana unajuwa kila kitu,
    Yesu Kirsto anarudi mda wowote but hiyo haitufanyi tusiishi maisha mazuri na ya kitajiri dunian ungesema hivyo ungeeleweka.

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 23 วันที่ผ่านมา +1

    Shida ya tuliowengi tulishalishwa matango pori na hatutaki kuyatapika, unachofundisha Mwalimu ndio usahihi wa mambo, isipokuwa akili za wengi zimefungwa kwenye boksi. Waafrika hasa Wakristo tuache uvivu wa kufikiri.

  • @MageSamwel-bp6od
    @MageSamwel-bp6od 15 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi mbn kama unakosoa maandiko kw

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 22 วันที่ผ่านมา +1

    Unaishi kwa neema ya MUNGU sio kwa akili zako hata ungepewa dunia yote itakusaidia nini wakati we ni mufu tu.

  • @obadiambilinyi27
    @obadiambilinyi27 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kuhusu mafanikio ya mataifaMimi naamini kwamba Mungu aliweka madaraja weupe sana wana akili,uchumi na tekmolojia ya juu, kadiri rangi inavyozidi kufifia ndivyo vyote vinavyopungua, kwa hiyo Waafrika tunatakiwa tufanye kazi ili tuboreshe maisha yetu sio tuwashinde wazungu.
    Kama Mungu akiamua kupindua meza basi sisi tutakuwa juu na wazungu watakuwa chini. Kufanya kazi kwa bidii ni sahihi, kutofanya kazi kwa kudhani Yesu anakuja kesho ni kukosa maarifa.

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa9710 24 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani ww nimekuelewa sana kaka njoo nikuoe zawadi yako naomba namba yako

  • @user-mj8xz3xh5i
    @user-mj8xz3xh5i 22 วันที่ผ่านมา +1

    KRISTO ALIKWISHA RUDI YUKO NDANI YETU KAMA WEWE HUNA KRISTO BASI ENDELEA KUMSUBIRI ILA MIMI BINAFSI KRISTO ANAISHI NDANI YANGU NA MIMI NAISHI NDANI YAKE MILELE

  • @hoseamataba2053
    @hoseamataba2053 24 วันที่ผ่านมา +1

    Duh! Mimi naomba kujua wewe ni mwalimu wa neno la mungu yupi?

  • @maserafistudio4640
    @maserafistudio4640 23 วันที่ผ่านมา +1

    Ivi Uko Arusha Mwalimu Au?

  • @asheryobeid2459
    @asheryobeid2459 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mwalimu sio kweli hilo sio changamoto ya maendeleo bali maendeleo walio soma ndio chanzo cha kutoendlea kwa wa Africa tanzama,hata wewe Benson hapo unatunganya kabisa mbona wapo ambao hawaendi kanisani bado masikini?

  • @MaunyamaMan
    @MaunyamaMan 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli wazungu wamekamata akili za waafrika wengi yani bado kuna watu wakiambiwa ukweli usiopingika bado wanaamini mifumo ya wazungu,,,ila wazungu wenye dini yao hawaiamini kama waafrika wanaojifanya wapo kindakindaki kwelikweli😂😂,

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 22 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu endelea hivyohivyo kabisa nakukubalisana mungu awenawe pamoja nafamilia yako Hawa wa afrika nivijinga sana nahasa Hawa wakatoliki wamedanganya sana watu eti sadakazote Ziende itali Huhu ni uhuni tu wahambie kabisa Mahana wote wa nakaa kuchukuapesa zetu

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wakikuhita shetani wahondio mashetani baba mzima amezehekea kanisani eti Amesomea upadiri nawakati wenzaho ndo wana tafuta njia yakutawala ili watoto waho wahishivizuri

  • @Frederickmakore
    @Frederickmakore 18 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe una uthibitisho gani kwamba watu hawafanyi kazi, unawalisha wewe, Kazi tunafanya, Maombi tunaomba sana, na hatutaacha kuomba, kama kanisa lako hawafanyi kazi sawa. na kwanini unapinga kurudi kwa Yesu.

  • @stamilinyakunga
    @stamilinyakunga 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mwakilembe hiyo ndio injili sasa ulikuwa wapi nimekuelewa ameeen

    • @yudanziku6030
      @yudanziku6030 20 วันที่ผ่านมา

      Yuko sawa kwakweli

  • @kuryatvfilm1161
    @kuryatvfilm1161 24 วันที่ผ่านมา +1

    Acha ujinga biblia inasema yesu yu karibu Na dalili zinaonekana WW ni mshenzi watu wasiombe

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 22 วันที่ผ่านมา

    Sijui wa afrika waliingia kwahihi dini kwanini ahukwasababu yaumaskini?

  • @ManaseMoses-dc2dl
    @ManaseMoses-dc2dl 24 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe ni agent wa kuzimu

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 22 วันที่ผ่านมา +1

    Ona raisi ruto ziara tu yakwenda marekani imegarimu billioni nne za Kenya sawa sawa na dolla$ million arubaini yadolla$ kuliko ajenge hata kiwanda Huku Akita Futia WAKENYA kujakufanya kazi ulaya kwaviwanda vyawenzake kicheko duniani tena kutuko duniani

  • @kavirajanine4893
    @kavirajanine4893 13 วันที่ผ่านมา

    Kweli ukifa mwisho
    Umefika hakunaanayejuwa
    Kurudi kwa yesu
    Mapastere muache kudanganya watu
    Waowanatafuta mali wamewina mufanye kazi
    Nayesu alisema tufanye
    Kazi muvivu asile

  • @IbrahimunyandaDanieli
    @IbrahimunyandaDanieli 25 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe hizo za 72 tunazo

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 25 วันที่ผ่านมา +1

    Nacho just wakristo wanafanya kazi sana kuliko waislam lakini waislam wamefundishwa siri za mafanikio kiroho na niwatoaji sana. Wakristo wachoyo wanaishi maisha ya punda wanafanya kazi saaana. Tafuta somo jingine

  • @AMOSIELIYA-xv1qn
    @AMOSIELIYA-xv1qn 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mwarimu nina swali kidogo.kwanini Mungu ailiamua kukaa kimya Miaka 430 bila Kuwa na nabii.kisa ni Nini

  • @ElibarakaBellet
    @ElibarakaBellet 25 วันที่ผ่านมา +6

    Watu muache ujinga yesu hatarudi hata ukisali vipi biblia imeletwa na wakoloni ili watutawale na wachukue mali zetu tujisahau sisi tunasali

  • @user-kz1bo2zu3c
    @user-kz1bo2zu3c 14 วันที่ผ่านมา

    Maarifa huna unatumalizia mb kuma ww

  • @user-kz1bo2zu3c
    @user-kz1bo2zu3c 14 วันที่ผ่านมา

    Pumbavu ww shenzi

  • @tumainjoseph7189
    @tumainjoseph7189 24 วันที่ผ่านมา +1

    (UMEVIMBIWA) INJILI YENU YA (KISONGO) IMELAANIWA MNASEMA UONGO MWANZO MWISHO
    ILA MTADAIWA DAMU ZA MNAO WAPOTOSHA

    • @EliaKaspaly
      @EliaKaspaly 24 วันที่ผ่านมา

      Tulio wengi hatujui biblia Ndio maana tunashindwa kumuekewa (mwalimu unatufungua ubongo 😅💪💪)

  • @felixdaniel228
    @felixdaniel228 25 วันที่ผ่านมา +2

    Nakusikiliza kutoka Mozambique. Nakuashauri mtumishi kwamba sisi WA kristo tua enenda kwa Imani sio kwa kutumia akili.soma vizuri upate kuelewa,yesu yu karibu kurudi

    • @gilbertkambali3292
      @gilbertkambali3292 19 วันที่ผ่านมา

      Acha uwongo , kwani iyo andiko unajuwa imeandikwa lini, ulisha wai sikia wapi yesu akarudi....uyo yesu harudi ,leo ama kesho ...fanya kazi epuka umasikini uone ufalm wake mwenyezi Mungu.

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mwalimu ulishahona wapi mchunga anabariki condom wewe eti wazungu wanatupenda viongozi wamakanisa wame changia pakubwa kuharibu inchi zetu zakiafrika sana tena sana ingekuwaheri kanisa katholiki sidini niwapelelezi ambao wametumwa kokote ilikwamafanikio yaho tu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 25 วันที่ผ่านมา +2

    Yesu anaweza kurudi hata usiku wa leo hata asirudi miaka 10000.ila atarudi harafu la kusema wakristo maskin ni mawazo y'ako na nafsi y'ako ionavo mm macho yangu sijaona mkristo maskin ma'ana kristo alifanywa maskin I'li ss.tuwe matajiri siku za mwisho watabadili kweli ya Mungu kuwa uongo ko wanaokunywa damu za watu ni matajiri hao waliojiunga na mavyama.ya laana.hao benson hao wanaodhulumu nafsi za wakristo kwA siri ni.matajiri sijaona matajiri dunian kama mtu ana mahela hamchi Mungu katika loho na kweli anaifaidisha tu ardhi majumba na magari mm nasemaga hao wa hela za shetan unawaona Wana hela mm nawaomba wako hoi bin.taabani wako Asu kwenye ambulance ya yesu wanahitaji matibabu harafu maneno y'ako benson uangalie sana asilimia kubwa sio mazuri milimani tutakesha makanisani tutashinda huko na siri za mafreemason Mungu katufunulia tumejua benson ukiwa na hela bila yesu umekimbatia nyuki

  • @hermanedwin1691
    @hermanedwin1691 21 วันที่ผ่านมา +1

    Umepotoka wewe

  • @IbrahimunyandaDanieli
    @IbrahimunyandaDanieli 25 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi tunafanya acha ujinga wewe unabii lazima uhubiriwe

  • @tutindagamwaijengo3345
    @tutindagamwaijengo3345 25 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe soma 2petro 3:3-10 mjinga wewe unapotosha sana watu ambao ni wavivu kusoma maandiko rais wa irani KAFA bado putin mnaompinga Mungu wa Yakobo Israel leo unapinga kurudi kwa kristo

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 25 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa

    • @goodlucksenyagwaofficial2299
      @goodlucksenyagwaofficial2299 25 วันที่ผ่านมา

      Msikilize usiropoke. Huo ndio uharisia alioongea. Watu tupige kazi tutoe sadaka sio unashindwa kushinda huko. Mchango wa kanisa una buku. Piga kazi tuache uvivu. Mpaka hapo wewe naona dhahili una mistari tu ya biblia omba sana upate bible knowledge😅

    • @chazy7ya216
      @chazy7ya216 25 วันที่ผ่านมา

      sasa mbona uko israel wanafanyasherehe za mashoga

    • @hoseamataba2053
      @hoseamataba2053 24 วันที่ผ่านมา

      Tujue kwanza ni mwalimu wa neno la mungu yupi

    • @user-tf7uc9pb8q
      @user-tf7uc9pb8q 23 วันที่ผ่านมา

      Acha ujinga sikiliza mpaka mwisho ndo uanze kukometi

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye1548 22 วันที่ผ่านมา +1

    Uko sahihi kabisa cha msingi ni kuishi maisha matakatifu na kufanya kazi hata kama Yesu atarudi kesho akakukuta uko kwenye harakati za kutafuta maisha hautakuwa na hasara yoyote

  • @kuryatvfilm1161
    @kuryatvfilm1161 24 วันที่ผ่านมา +2

    Eti wakristo ni maskini labda ww ndio maskini