Mwalimu ubarikiwe sana. Unaelimisha jamii Kwa ukweli. Naitwa Bp Yusuf Lugata wa Geita huduma ya New Deliverance Church International. Naomba kujua wewe unaabudu Kanisa Gani. Naomba utusaidie zaidi kuhusu maisha baada ya kifo. Eschatology... Naomba sana
Kumuuliza ana abudu Kanisa gani ni kukosa akili.Lengo lako ni nini.Huu ni utumwa wa dini badala ya kuwa huru kiroho.Dini au Kanisa gani mtu anaabudu ulikuwa mpango madhubuti wa walioleta vitabu ili kuwatia umaskini Waafrika.
Kaka MUNGU akubariki Sana, ila nakupa pole maana elimu ya mke mmoja imetawala Sana mwanadamu na mbaya zaidi elimu zote zinatoka Kwa wazungu. Waafrika tumeacha VYA kwetu tunafuata VYA wageni
Toeni ulofaa apo na uzinifu umewajaa mnajifanya mmeowa mke umoja baadaye akiumwa ao akifariki unaenda kuzini eti yesu amesema tuowe mke umoja unakubali unajificha unamzini mwanamkewa inje .siuowe tu acha uxinifu.iyo nisababu yakwanza mimi nakupeni.ni nyingietu sabab zakuowA wake zaid ya umoja.sbbu matatizo kuwanaume ni meeengi ndiyo mana mungu aliwapangiyeni kuowa wake wengikwanini mko wapingaji?Tena mungu hakupanga kwa sisi waislam tu nisisi wote wajawake sabab sote ni wanadam.mnaswara muislam sote.
Wakati wote kile kimjaacho mtu moyoni ndicho kimtokacho. Kinachofanyika hapa ni kulichafua Kanisa la Kristo aliloligharamia kwa mauti ya msalaba. Hatushangai mambo kama haya kutokea nyakati hizi. Mtu akifarakana na Roho Mtakatifu ni hatari sana! Mteule uwe macho!
Sasa imekua ni mpango wa shetani kuwapoteza ata wateule wa Mungu. Kuweni na Akili maana ata Yesu anasema uwezi tumikia mabwana wawili lazima utampenda huyu na kumchukia huyu kwahiyo ata ndoa hipo hivyo pia.Suhala la kumpangia Mungu uko ni ukosefu wa Akili za kiroho mnafikiria kibinadam kuliko ki Mungu. Fikirieni kua nini Maana ya Mungu? Ni uweza ambao umeshinda uweza wote wa kila kitu Mbinguni na Duniani swala la kusema mkizaliana kidogo sijui mtakuwa wachache.Mmmh hapana Yesu Kristo alikuja kutufunulia habari za ufalme wa Mungu tu.kwahiyo yaacheni magugu na ngano safi viote pamoja ili mwisho kila mtu abebe mzigo wake.
Acheni mawazo ya kizungu hayo.Sisi Waafrika tulimjua Mungu kwanza kabla ya kuja hizi dini za kigeni ambazo zinawavuruga Waafrika mpaka wanakuwa wehu.Hivi wewe unafurahi Sana wanawake waendelee kufanya umalaya ili Hali iliwezekana kuwa mke halali wa Mtu mwenye mke mmoja?Kama kuwa na mke mmoja ni dhambi Mbona hatuwaoni mkitumia nguvu zenu zote ikibidi hata kufa kuupinga ushoga unaoenezwa na hao hao waliokuletea hiyo Biblia?
Ubishi sio jawabu Bali kutafiti Jambo ktkt maandiko ndo jawabu pastor yupo sahihi anaondoa ujinga ktk ukristo Mimi nimkristo Nina mke mmoja sitalaji kuongeza mwingine lakini isiwe sababu yamimi kuwa na mke mmoja nipotoshe apana anayetaka kuoa zaidi aoe tu .
Wakristo tusome biblia mbona inaonyesha aliyeumba aliumba mke na mume tunakwama wapi ukiwa siliasi.na.Mungu kwanza ndoa ni kitu kidogo sana msifikili watu wate.wanapenda ndoa ndoa zenu.hizo kila mtu alivojaliwa
Bado unahitajika kusoma inje ya box kwa sababu unawaza kulingana na kile unachokijua tafuta kile usicho kijua ili uweze kusaidika. Unachotakiwa kukijua ni kwamba Ukristo haujaanzia kwenye Roma Empire,kunatofauti kubwa kati ya ukristo na wokovu na unatakiwa kujua kuwa Mungu wetu sio wa Wingi ni Mungu wa Utakatifu.
Sema bibilia inasemaje ACHA ujinga na uchawa achane kutumia vibaya neno LA mungu Kwa sababu ya kutetea manabii wa uonge kumbuka ikosiku inakuja hayo unayosem utajibu mbele za mungu ACHA tafri za hovyo ACHA uchawa lusekelo ni mlevi anafundisha uongo nawe nisehemu ya mlevi muongo mnanganyifu mwalimu wa uongo na mungu anakuona
Biblia ndiyo nini?Hiyo Biblia haikushuka toka mbinguni.Iliandikwa na wanadamu na kufanyiwa marekebisho mara1647 kwa maslahi ya Wazungu ili tuwe mafukara.Hadi hii leo Mashoga wanaendelea kukifanyia marekebisho Kitabu hicho.Kama ukuu wa Mungu unadhihirika kwenye Kitabu kiitwacho Biblia au Qur'an basi huyo ni Mungu aliyefeli.Kwenye vitabu huko ndiko kulikojaa utapeli,mauaji,wizi,ubaguzi nk.
!!! Kijana Umekufa kiroho,na shida umeokokea kwa hawa wanao jiita mirume na nabii asilimia kubwa hawa Neno la Mungu hawana ,wao wameshika vifungu vya kujilinda na mafanikio ,sio kweli ya Mungu ya kumfanya mtu aokoke !!! Mimi namshukuru Mungu nilisha wakimbia ,nimechunguza nikajuwa kweli hawa wauza mafuta ,na maji hawa hakuna kitu asilimia kubwa mafundisho yao niyakuzimu,yani yakishetan kabisa. Jaman makanisa yakweli yanayo hubiri kweli ni TAG , EAGT FPCT Na mengine Ambayo hawauzi vitu hawa ndo wanahubiri Neno kifadhaha lla sio hawa wauza vitu hawa
Hata kama ungeoa wanawake 100 uta zaa wana wake wengi kuliko watoto wa kiume kwa hoyo haita saidia kama ni tamaa za kimwili owa tu lakini hutaweza kuwamaliza wana wake.
Nimesoma comments nyingi, nilichokiona watu wanahasira na mihemko badala ya kuielewa concept. Mwalimu hana kosa hata kidogo na wala hajasema wakristu tuoe wake wengi ila ameelezea dhana ya wake wange katika maandiko. Katoa mfano mdogo tu wa idadi ya wanawake dhidi ya wanaume na akatuacha na swali kuwa wale wanaozidi wataolewa na nan? Na je n mpango wa mungu kuwa baadhi ya wanawake wasiolewe maisha yao yote????? Kabla ya kutoa kauli mbaya kwa mwalimu sote tujiulize na kutoa jibu katika swali hilo. Pia katupa mifano ya agano la kale ambapo wateule wa mwenyezi Mungu wengi walikuwa na wake wengi na akamalizia kwa kutupa historia jinsi biblia ilivyo editiwa mara nyingi ili kukidhi haja za baadhi ya watawala wa kidunia nyakati hizo.
wakristo hawaruhusiwi kuoa mke zaidi ya mmoja, ili pate nafasi hii adimu kwa madhehebu mengine, ili waoe wake wawili, watatu, wanne, lazima wasilim wawe waislam ndio wapate idhini ya m/mungu, inje ya hapo indeleeni kuzini mtakuja kujuta siku inakuja mtakusanywa km udongo wa mfinyazi na kupondwa pondwa na kutupwa motoni kwa upofu wa mioyo yenu kukataa kuiona kweli ya m/ mungu
Una tuletea mambo ya kihuni kuoa wanawake wengi iyo hapana Tena uyo mzee wa upako ndo hamna kitu upako Gani at wachukua watu wasio mjua yesu au mungu na tume wajua mambo yenu ya kupotosha jamii
Maoni ya wengi wanakupinga mwalimu Benson, wewe unafundisha ila haujashauri watu waoe mke zaidi mmoja Ila unatoa elimu, binafsi nimeelewa nimeongea kitu Mimi nimesoma theology ngazi ya bachelor
Kuna kademu kanamchanganya sana, anatafuta njia ya kukaoa anashindwa anatafuta kuungwa mkono, na kwahakika hutapata kamwe, baki na ualimu wako wa kishetani,
Mwalimu wewe ni teacher mzuli sana Kwafundisho hili haupo sawa Biblia. Marko 10:6 [6]Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke. SIYO MUME NA WAKE
Tena Yesu anawambia ni kwa sababu ya tamaa.naomba mtoe maandiko maana ndiyo msingi.alafu kama mtu anahitaji kuoa wake wawili aoe kwani mmezuiliwa na naniii?
Tena Yesu anawambia ni kwa sababu ya tamaa.naomba mtoe maandiko maana ndiyo msingi.alafu kama mtu anahitaji kuoa wake wawili aoe kwani mmezuiliwa na naniii?
Kwaiyo waambieni sababu zilizopendekeza mungu kutamka wanaume waowe wake zaid ya umoja waambieni hawajuwi wako wanatafsiri vingine venye hawajuwi.mbona ni byepesi kuona?hata ukiwa wewe si msomyi unaona sabab yenye mungu alilazimisha wanaume kuowa mke zaid yaumoja binaeleweka kabisa .kwani mungu ni mwendawazim?nawaulizeni kwanza.ma sheih wafahamisheni sababu mnawaficha?waambieni waelewe hawajuwi kitu.
Wewe una mapepo pamoja na Lusekelo Mt 19:1----Yesu anawakumbusha kama ujinga huo unaoendelea nao ,Mungu aliumba mtu mume na mtu mke hakuna zaidi, Mtd 17:30 ,hakuna ruhusa kanisa; na Yesu hajaleta ukristo bali wokovu yeye alikuwa Kristo, zama za Adamu na Hawa baada ya aanguko ,Kristo anasema zama za ujinga hayo yote yalitendeka; soma utaona mkutadha wa Mungu si vile unavyoeleza maelezo yasiyo na Neno,hadithi za kizee ;acha utahukumiwa! Huelewi chochote.Amen
Imeandikwa kwa sababu ya ugumu wa mioyo usifikili walipooa wanawake wengi Mungu alifulahi.hapana yesu alisema ni.ugumu wa mioyo na inaonyesha kuna vitu mtumishi wa Mungu akivifanya Mungu anachukizwa ila anakuwa hana jinsi wakati mwingine anasamehe wakati mwingine mapatilizo hayaishi.usilahisishe.bensoni.yeye aliyeumba aliumba mke na mume ukiwa.bize.na Mumgu sana hata mume mmoja mke mmoja bado ni mzigo watu wanalahisisha kuwa na Mungu mfano.hata.mwiislamiki.anae.swali swala.tano.Mungu anamfunulia jinsi.dunia ilivo.na.siri.nzito.naamini.hawezi oa mke zaidi ya mmoja maana majukumu ya Mungu majukumu ya mke majukumu.yake majukumu ya watu majukumu ya watoto wake awafundishe kumcha.Mungu wanadamu tuache masiara
Kuelewa msuala haya inatakiwa akili kubwa. Akili ndogo haziwezi kwani Huwa hawataki kujifunza mambo mapya kutokana na mapokeo! Mtumishi endelea kutufundisha.
Ndugu ZETU wanatoa uumbaji WA kwanza Adam na hawa.kwani muhidi si iliumbwa punje MOJA mbona jkiipanda inatoka ZAIDI ya MOJA??? MUSA alisema MTU akiwa na wake wawili mmoja anampenda na MWINGINE anampenda wrote wakamzania WANA?? Taurati upo SAWA mwalkmu isaya
Huyu dishi limeyumba na hajielewi anaeleza suala la ndoa kwa mitazamo ya kidunia Mara aikosoe Biblia kuwa ilipotoshwa na kujiona yeye Yuko vizuri na historia zake za kishetani. Tukisema hivi anasema tunamtukana. Ni Mpumbavu sijawahi kuona Ila yeye anavyojiona ni bonge la Mwalimu. Yeye kama anadai wakristo hatuongezeki na akijiona yeye anafundisha sahihi, ana mpango wa kuoa wake wangapi kama mwl wa Neno la Mungu?
1 Wakorintho 9:5 [5]Hatuna uwezo kuchukua pamoja nasi mke aliye ndugu, kama wao mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa? Huyu mke aliye ndugu anayezungumziwa na paul ni nani
Ukosahihi kwasababu zama za kwanza haikujurikana kama ni zambi kwasababu haikua zambi kwa maana hio itakua sio zambi kwasabsbuhio ni harari kuoa mke zaidi ya mmoja
Huyu jamaa ni mpotoshaji wa hali ya juu sana mtanielewa siku si nyingi ss ni wakosefu lakini tusikubali mafundisho ya mashetani hoja za kuoa mke mmoja au wake wengi si hoja ishu ni uwezo wa binadam kuacha dhambi narudia tena huyu jamaa anajiita mwalm wa neno la Mungu amepataje cheo hiki? Mtu ambaye yuko kila mahali anasema anaongea na qatu wanao penda kujifunza si wanaopinga mm ntakupinga masaa 24 zungumza watu kuacha dhambi kuoa kuoa hoja za ajabu sana unatuletea nadharia mara hamas, ukraine, urus mara America sasa ww fuata dini inayorusu wake wengi mafundisho yako yatasaidia nn mana tayar ukrsto ushasema mke mmoja tupe testimony kama ww tayar ushaoa wake wengi na chips za mbeya unazo kula kama utawaweza bado naema ww n mtafta hela
Ww sio mtumishi WA Mungu ww umetumwa na ibilisi maan unaipinga biblia! Unapotosha neno la Mungu! Paulo alisema ktk wagalatia 1:8 kuwa akija Malaika kutoka mbingun na kufundisha tofaut na Sisi na alaaniwe! Sasa ww unafundish kinyume na biblia! Mungu aksaidie Sana!
Naona kama mtu namwita shetani na mwenda wazimu na mimi najiona mwenye haki,basi inanibidi niangalie sn maneno yangu maana yaweza kunionyesha mi ni mtu wa jinsi gani kabla ya kumkosoa yule anayeongea,nadhani kitu cha muhimu ni kuleta hoja yenye ushahidi wa kimaandiko kuwa hiki kinachosemwa hapa ni cha kweli au cha uongo,sio wote tunaosikiliza tuna mawazo mgando ila tuna mawazo mseto yanayotafuta kweli ni ipi kama watu wa Beroya
Mi naona wazungu wanatuchezea tu akili zetu. Wanasisitiza ndoa ya mke mmoja halafu baadaye wanaruhusu ndoa ya mikata na baadaye ushoga!! Na wanatishia kuwa asiyekubali mpango huu anawekewa vikwazo kweli 😥. Mimi sasa hivi nitakuwa najifunza kwa wanyama wala si binadamu kwasababu wanyama hawajadanganywa. Wanaukweli wa asili.
Hivi kwani ni wazungu walioamuru muoe mke zaidi ya mmoja? Kwa hiyo ni dhambi kuoa mke mmoja na Mungu atawatupa jehanamu watakaofanya hivyo? Kama ndivyo Mwalimu anayefundisha Haya ana wake wangapi mpaka Sasa anapotufundisha? Kama anaye mmoja ni wapi Mungu aliagiza tuoe wake wengi?
hiki kizazi n kizazi kilicho chaguliwa kwa ajili ya utukufu wa Mungu. ndio petro anasema. taifa teule takatifu ss tu makuhani. kuhani hatakiwi kuoa wanawake wawili na hatakiwi kunywa kileo.
Sipendi kutaja Jina Langu kwasababu Za kiusalama. Swali Langu Ni Hili Bwana Benson. Nini kifanyike Ili 1.kufufua Huo Ukweli Uliofichwa na Wazungu kwa lengo La kuitawala Dunia. 2. Nini Kifanyike kwa Kanisa Ili Liweze kuulewa Huu Ukweli na kuufundisha Ili Waumini Wa Kikristo Waongezeke?
Ni vingumu kukuelewa mwl Benson kwani wazungu walituletea huo utamaduni tukakubali lakini sasa wameleta ushoga na gay eti tufuate sasa kipi ni kipi hapo utaelewa ni Bora kuwa na vijana wawe wanawake na kusagana ujinga mtupu na nchini wapo wanao waunga mkono hawawezi kumpa technology at ata ufe wanatamani tuendelee kuwa wajinga Tu hapo wanafurahi
Saizi watu wanatumwa na waganga waolewe na wewe wengine wanatumwa na uganga wakuowe uone oleweni ila mm nasema.heri.watu.wamtafutao bwana kwa.nyakati ambapo yesu anatabili anasema kuna mambo yatakuwa.yanatokea watu watakuwa wakivunjika mioyo wazen mapenzipenzi jibu mtalipata
Mm Biblia sijawahi kuielewa kbsa. Mtume Paulo ni mtume wa mungu kweli , huyu mrumi na crusader ktk jeshi la kirumi anakuwaje mtume , huyu Mr P ndio kaharibu image ya Yesu . mara Yesu mungu , mara mtume ,mara mtoto wa mungu ......
Usiache kuniamini please ila wewe mwenyewe fuatilia usiende na mapokeo na elewa dhana katika hili, sasa ukiacha kuniamini utakosa mengi mazuri kutoka kwangu hili moja lisikufanye uache kuniamini hakuna binadamu aliyekamilika.
Lakini mwalimu lazima tukubaliane ukristo sio dini wala sio mpango wa mungu maana nidini ambayo haijitoshelezi wala kua na msingi maarum na pia haikuanzishwa na yesu wala hata maneno yaliomo ndani ya bibilia hayana uhakika kama yesu aliyafundisha maana yesu mwenyewe hakuandika bibilia wala hakupewa bibilia na mungu yeye Alipewa ingili na ilikua kitabu kimoja TU kama vile zaburi torati ingili na koroan laki hiki kinachoitwa bibilia au bible ni vitabutu vya historya zawatu nani vitabutu kama vya hesabu na kiswahili na hitolia havina mpango wote dini yenywe yesu hakukianzisha ilianziswa miaka 14 na Paulo hapo antokia na kwarayakwanza waliitwa wakristo Wewe ukitaka kufuata dini yakweli na haki silimutu uwemuisilamu uondokane na huu utumwa wakufuata vituambavyo havina mashiko ndugu yangu ubarikiwe sana assalamualaikum 🙏🙏🇹🇿
Nilikuwa nikupinge lakini sasa nimekuelewa na kukubali umesema kweli tupu. Very great nitakutafuta Isaya the teacher
😂😂😂😂
Thomas umewah kumpinga huyu MPINGA KRISTO wewe?
Kuwa muwaz bana
Mpo njia Moja tangu mwanzoni kabisa
Hili swala la ndoa linanitatiza sana...naomba mungu anipe ufunuo juu ya hili...
kabla ya kulaumu jiulize kwanini Mwenyezi Mungu akaumba idadi kubwa ya wanawake.
Mimi naona mke mwingine soon na ni mroman cwez kufuata mpango wa binadamu niache kufuata mpango mungu.
NJOONI KATIKA DINI ACHANENI NA MILA ZA KIRUMI .....PROUDLY MUSLIM ALHAMFULILLAH 😊
Mwalimu ubarikiwe sana. Unaelimisha jamii Kwa ukweli. Naitwa Bp Yusuf Lugata wa Geita huduma ya New Deliverance Church International. Naomba kujua wewe unaabudu Kanisa Gani. Naomba utusaidie zaidi kuhusu maisha baada ya kifo. Eschatology... Naomba sana
Kumuuliza ana abudu Kanisa gani ni kukosa akili.Lengo lako ni nini.Huu ni utumwa wa dini badala ya kuwa huru kiroho.Dini au Kanisa gani mtu anaabudu ulikuwa mpango madhubuti wa walioleta vitabu ili kuwatia umaskini Waafrika.
Kaka MUNGU akubariki Sana, ila nakupa pole maana elimu ya mke mmoja imetawala Sana mwanadamu na mbaya zaidi elimu zote zinatoka Kwa wazungu. Waafrika tumeacha VYA kwetu tunafuata VYA wageni
Kazi zipo nyingi tu siyo kujifanya mwalimu
Kazi ndiyohiyo yakuelimisha
Mungu akubariki sana
Inna nahnu nazzalna dhikra wainna lahu lahaafidhuun
Toeni ulofaa apo na uzinifu umewajaa mnajifanya mmeowa mke umoja baadaye akiumwa ao akifariki unaenda kuzini eti yesu amesema tuowe mke umoja unakubali unajificha unamzini mwanamkewa inje .siuowe tu acha uxinifu.iyo nisababu yakwanza mimi nakupeni.ni nyingietu sabab zakuowA wake zaid ya umoja.sbbu matatizo kuwanaume ni meeengi ndiyo mana mungu aliwapangiyeni kuowa wake wengikwanini mko wapingaji?Tena mungu hakupanga kwa sisi waislam tu nisisi wote wajawake sabab sote ni wanadam.mnaswara muislam sote.
Wakati wote kile kimjaacho mtu moyoni ndicho kimtokacho. Kinachofanyika hapa ni kulichafua Kanisa la Kristo aliloligharamia kwa mauti ya msalaba. Hatushangai mambo kama haya kutokea nyakati hizi. Mtu akifarakana na Roho Mtakatifu ni hatari sana! Mteule uwe macho!
Perfect 👍 well explained 👌
Naomba utuwekee no ya kukusaport ili uduma yako ya kuwaelisha watu ujue zaidi
Baba Upo vizuri mno fact's
Sasa imekua ni mpango wa shetani kuwapoteza ata wateule wa Mungu. Kuweni na Akili maana ata Yesu anasema uwezi tumikia mabwana wawili lazima utampenda huyu na kumchukia huyu kwahiyo ata ndoa hipo hivyo pia.Suhala la kumpangia Mungu uko ni ukosefu wa Akili za kiroho mnafikiria kibinadam kuliko ki Mungu.
Fikirieni kua nini Maana ya Mungu? Ni uweza ambao umeshinda uweza wote wa kila kitu Mbinguni na Duniani swala la kusema mkizaliana kidogo sijui mtakuwa wachache.Mmmh hapana Yesu Kristo alikuja kutufunulia habari za ufalme wa Mungu tu.kwahiyo yaacheni magugu na ngano safi viote pamoja ili mwisho kila mtu abebe mzigo wake.
Acheni mawazo ya kizungu hayo.Sisi Waafrika tulimjua Mungu kwanza kabla ya kuja hizi dini za kigeni ambazo zinawavuruga Waafrika mpaka wanakuwa wehu.Hivi wewe unafurahi Sana wanawake waendelee kufanya umalaya ili Hali iliwezekana kuwa mke halali wa Mtu mwenye mke mmoja?Kama kuwa na mke mmoja ni dhambi Mbona hatuwaoni mkitumia nguvu zenu zote ikibidi hata kufa kuupinga ushoga unaoenezwa na hao hao waliokuletea hiyo Biblia?
@@leonardchoma3765
Ujalazimishwa ukitaka kuoa oa tu.Nafasi ni yako hila shika sana Neno litakuweka huru
Ubarikiwe huo ndio ukweli sema wivu was uke wrnza ndio unaleta shida.
Ubishi sio jawabu Bali kutafiti Jambo ktkt maandiko ndo jawabu pastor yupo sahihi anaondoa ujinga ktk ukristo Mimi nimkristo Nina mke mmoja sitalaji kuongeza mwingine lakini isiwe sababu yamimi kuwa na mke mmoja nipotoshe apana anayetaka kuoa zaidi aoe tu .
Wakristo tusome biblia mbona inaonyesha aliyeumba aliumba mke na mume tunakwama wapi ukiwa siliasi.na.Mungu kwanza ndoa ni kitu kidogo sana msifikili watu wate.wanapenda ndoa ndoa zenu.hizo kila mtu alivojaliwa
Bado unahitajika kusoma inje ya box kwa sababu unawaza kulingana na kile unachokijua tafuta kile usicho kijua ili uweze kusaidika.
Unachotakiwa kukijua ni kwamba Ukristo haujaanzia kwenye Roma Empire,kunatofauti kubwa kati ya ukristo na wokovu na unatakiwa kujua kuwa Mungu wetu sio wa Wingi ni Mungu wa Utakatifu.
Mimi naafiki Mana Kuna mchungaji niliwahi mpa swali la namna hiyo alinijibu kisiasa tu
ACHANA NA OPOTOFU MWISHO UTASEMA WAOANE BILA UTARATIBU WA DINI. SIKU ZA MWISHO HIZI JAMANI. TUWE MACHO.
Kuolewa au kuzaa naye tu na sababu ilikuwa ni kupata uzao baada kuona umri umeenda ila MUNGU alishamuahidi atapata mtoto wa ahadi kupitia sara
Kaka unapotosha watu unaonekana upenda kuoa mitala unatakiwa wakufuatilie vizuri
Lakini mbona kama mungu amenyamaza juu la hili swala la ndoa...make sielewi
Askofu kaz yake ni wito anatakiwa aoe mke mmoja na mshirika akioa wake wengi huo nao ni wito huyu mtumishi sijamwelewa
Kuoa wake wengi sio wito ndugu yangu.
Naomba swala hili kama huna uhakika liachetu.
Unatengeneza watu wakuoa wake wengi.
Huyu kaajiriwa na Ibilisi yupo kazini kwa Baba yake kupotosha watu
Ili uelewe hapa mpaka ufike mbali sana kimawazo
Nahisi hawa wanaopinga ni wanawake hawa wanaleta mawivu tu ila by nature mke mmoja hatoshi wanaume tuoee tuoeee tuoeee
Acha kujifanya hujui kiswahili,wake wengi na neno wake wanne haya ni maneno,mawili tofauti,kasome kuiswahili
Imeandikwa kila mumoja awe na mike wake mwenyewe vp hili limekaeje
Sema bibilia inasemaje ACHA ujinga na uchawa achane kutumia vibaya neno LA mungu Kwa sababu ya kutetea manabii wa uonge kumbuka ikosiku inakuja hayo unayosem utajibu mbele za mungu ACHA tafri za hovyo ACHA uchawa lusekelo ni mlevi anafundisha uongo nawe nisehemu ya mlevi muongo mnanganyifu mwalimu wa uongo na mungu anakuona
Biblia ndiyo nini?Hiyo Biblia haikushuka toka mbinguni.Iliandikwa na wanadamu na kufanyiwa marekebisho mara1647 kwa maslahi ya Wazungu ili tuwe mafukara.Hadi hii leo Mashoga wanaendelea kukifanyia marekebisho Kitabu hicho.Kama ukuu wa Mungu unadhihirika kwenye Kitabu kiitwacho Biblia au Qur'an basi huyo ni Mungu aliyefeli.Kwenye vitabu huko ndiko kulikojaa utapeli,mauaji,wizi,ubaguzi nk.
Mwogope Mungu, acha kupotosha neno la Mungu.
Amepotosha nini, toa vifungu hapa. Sio kusema tu from no where!
Uzinifu unakusumbua brother
Huyu hata hastahili kuitwa brother huyu ni chizi na mzinifu.
!!! Kijana Umekufa kiroho,na shida umeokokea kwa hawa wanao jiita mirume na nabii asilimia kubwa hawa Neno la Mungu hawana ,wao wameshika vifungu vya kujilinda na mafanikio ,sio kweli ya Mungu ya kumfanya mtu aokoke !!! Mimi namshukuru Mungu nilisha wakimbia ,nimechunguza nikajuwa kweli hawa wauza mafuta ,na maji hawa hakuna kitu asilimia kubwa mafundisho yao niyakuzimu,yani yakishetan kabisa. Jaman makanisa yakweli yanayo hubiri kweli ni TAG , EAGT FPCT Na mengine Ambayo hawauzi vitu hawa ndo wanahubiri Neno kifadhaha lla sio hawa wauza vitu hawa
Jipange usiropoke tu tatizo umerisi Imani izo, mazeebu yapo Zaid ya 1000
HAKIKA
Hata kama ungeoa wanawake 100 uta zaa wana wake wengi kuliko watoto wa kiume kwa hoyo haita saidia kama ni tamaa za kimwili owa tu lakini hutaweza kuwamaliza wana wake.
Una akili kubwa unachoongea ni kweli wanawake huwez kuwamaliza
Hongera sana mwalimu uko vizuri sana unawafafanulia sana bibilia
Dah nyie wachhungaji mnifurahisha mno mnaijua history na bible kwa ujumla mungu awabaliki ndo maana nawapenda sana walokole
We si ndio umesema mke wa adamu hakuwa Eva alikuwa ni Lilith sasa we huoni unapotosha watu wewe acha mafundisho ya kishetani ndugu yangu
Nimesoma comments nyingi, nilichokiona watu wanahasira na mihemko badala ya kuielewa concept. Mwalimu hana kosa hata kidogo na wala hajasema wakristu tuoe wake wengi ila ameelezea dhana ya wake wange katika maandiko. Katoa mfano mdogo tu wa idadi ya wanawake dhidi ya wanaume na akatuacha na swali kuwa wale wanaozidi wataolewa na nan? Na je n mpango wa mungu kuwa baadhi ya wanawake wasiolewe maisha yao yote????? Kabla ya kutoa kauli mbaya kwa mwalimu sote tujiulize na kutoa jibu katika swali hilo. Pia katupa mifano ya agano la kale ambapo wateule wa mwenyezi Mungu wengi walikuwa na wake wengi na akamalizia kwa kutupa historia jinsi biblia ilivyo editiwa mara nyingi ili kukidhi haja za baadhi ya watawala wa kidunia nyakati hizo.
Unazidi kuchemka mzee
wakristo hawaruhusiwi kuoa mke zaidi ya mmoja, ili pate nafasi hii adimu kwa madhehebu mengine, ili waoe wake wawili, watatu, wanne, lazima wasilim wawe waislam ndio wapate idhini ya m/mungu, inje ya hapo indeleeni kuzini mtakuja kujuta siku inakuja mtakusanywa km udongo wa mfinyazi na kupondwa pondwa na kutupwa motoni kwa upofu wa mioyo yenu kukataa kuiona kweli ya m/ mungu
Una tuletea mambo ya kihuni kuoa wanawake wengi iyo hapana Tena uyo mzee wa upako ndo hamna kitu upako Gani at wachukua watu wasio mjua yesu au mungu na tume wajua mambo yenu ya kupotosha jamii
Hueleweki kabisa nakushhauri uwe Mwsilam ukaoe WA awake Tani yako KWA wakristo ni mmoja BIBLIA INASEMA MTU ATAAMBATANA NA MKEWE
Safi sana
Maoni ya wengi wanakupinga mwalimu Benson, wewe unafundisha ila haujashauri watu waoe mke zaidi mmoja Ila unatoa elimu, binafsi nimeelewa nimeongea kitu
Mimi nimesoma theology ngazi ya bachelor
Biblia ni msitu mkubwa inaweza kukuokoa au kuku poteza
Ujue kutenganisha uongo na ukweli
Kumbe uongo mwing kwny bibilia
Msitu gani!
Kwaiyo ww itakuokoa au i😊takupoteza
Hu wakati yezu ule ulikuwa wakati wakale
Benson Una wito wa kuoa wake wangapi?
Darasa
Huo siyo wito ni uzinifu sasa unataka wakristo waende kinyume n'a maandiko acheni kupotosha watu
Mze unapenda mademu sana
😅😅😅😅😅😅
Kuna kademu kanamchanganya sana, anatafuta njia ya kukaoa anashindwa anatafuta kuungwa mkono, na kwahakika hutapata kamwe, baki na ualimu wako wa kishetani,
Maziwa na tui la nazi kipi cheupe?😢😢😢
Wewe unatete uzizi .hu ni wakati wa roho
Mwalimu wewe ni teacher mzuli sana Kwafundisho hili haupo sawa Biblia. Marko 10:6
[6]Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke. SIYO MUME NA WAKE
Masomo mengi tu anapotosha so hili tu naona ametumwa kazin na baba yake ibilisi
Tena Yesu anawambia ni kwa sababu ya tamaa.naomba mtoe maandiko maana ndiyo msingi.alafu kama mtu anahitaji kuoa wake wawili aoe kwani mmezuiliwa na naniii?
Tena Yesu anawambia ni kwa sababu ya tamaa.naomba mtoe maandiko maana ndiyo msingi.alafu kama mtu anahitaji kuoa wake wawili aoe kwani mmezuiliwa na naniii?
Kwaiyo waambieni sababu zilizopendekeza mungu kutamka wanaume waowe wake zaid ya umoja waambieni hawajuwi wako wanatafsiri vingine venye hawajuwi.mbona ni byepesi kuona?hata ukiwa wewe si msomyi unaona sabab yenye mungu alilazimisha wanaume kuowa mke zaid yaumoja binaeleweka kabisa .kwani mungu ni mwendawazim?nawaulizeni kwanza.ma sheih wafahamisheni sababu mnawaficha?waambieni waelewe hawajuwi kitu.
Uko vizuri mwalimu isaya achana na hao wakina mbalikiwa hawajui wanataka nini maana wanajifanya kama mbingu niyao na kuona wengine hawafai
Ni marufuku kwa mkristo hiyo ni tamaa na uache kupotosha watu Paulo anasema aliyezidiwa saana na tamaa awe na mke mmoja acha upotoshaji
Aliqmbiwa nenda nyuma yangu shetani ukikwazk Kwang
Hayo maoni ya Paulo
Hayo ni maneno ya mtume Paulo sio ya Yesu.
Wewe una mapepo pamoja na Lusekelo Mt 19:1----Yesu anawakumbusha kama ujinga huo unaoendelea nao ,Mungu aliumba mtu mume na mtu mke hakuna zaidi, Mtd 17:30 ,hakuna ruhusa kanisa; na Yesu hajaleta ukristo bali wokovu yeye alikuwa Kristo, zama za Adamu na Hawa baada ya aanguko ,Kristo anasema zama za ujinga hayo yote yalitendeka; soma utaona mkutadha wa Mungu si vile unavyoeleza maelezo yasiyo na Neno,hadithi za kizee ;acha utahukumiwa! Huelewi chochote.Amen
Anatafuta watu wakumuunga mkono ili aoe wake wengi kama Suleimani😅
Sasa wahubiri wako unasema Wana mapepo na ww unaohubiriwa utasalimika kweli soma vitabu wacha ushabiki
Imeandikwa kwa sababu ya ugumu wa mioyo usifikili walipooa wanawake wengi Mungu alifulahi.hapana yesu alisema ni.ugumu wa mioyo na inaonyesha kuna vitu mtumishi wa Mungu akivifanya Mungu anachukizwa ila anakuwa hana jinsi wakati mwingine anasamehe wakati mwingine mapatilizo hayaishi.usilahisishe.bensoni.yeye aliyeumba aliumba mke na mume ukiwa.bize.na Mumgu sana hata mume mmoja mke mmoja bado ni mzigo watu wanalahisisha kuwa na Mungu mfano.hata.mwiislamiki.anae.swali swala.tano.Mungu anamfunulia jinsi.dunia ilivo.na.siri.nzito.naamini.hawezi oa mke zaidi ya mmoja maana majukumu ya Mungu majukumu ya mke majukumu.yake majukumu ya watu majukumu ya watoto wake awafundishe kumcha.Mungu wanadamu tuache masiara
inamana bibulia ilitokana namungu au nisiasa zawatu tu???
Ila ndugu zangu midia kwasasa zitatupoteza
Kweli zitatupoteza
Mwalimu uko sawa na mzee waupako yuko sawa watu hawataki ukweli Allah awalinde biblia imechakachuliwa sana
Nimekuelewa sana mwalimu wangu tatizo ni mitaala tulio letewa na wazungu sio dini tu hata elimu yetu mashuleni inatufunza kua tegemezi
Kuelewa msuala haya inatakiwa akili kubwa. Akili ndogo haziwezi kwani Huwa hawataki kujifunza mambo mapya kutokana na mapokeo! Mtumishi endelea kutufundisha.
Kuongezeka Kwa kuzaliwa kimwili haimbabaishi Mungu,mkezaid ya mmoja in dhambi
Isaya unapotosha watu ndoa ni ya watu wawili tu mke na mme Mungu aliwaomba adamu na Eva2
Ndugu ZETU wanatoa uumbaji WA kwanza Adam na hawa.kwani muhidi si iliumbwa punje MOJA mbona jkiipanda inatoka ZAIDI ya MOJA??? MUSA alisema MTU akiwa na wake wawili mmoja anampenda na MWINGINE anampenda wrote wakamzania WANA?? Taurati upo SAWA mwalkmu isaya
Huyu mwalimu Ana sema Biblia tunayo isoma sio ya kweli Ila anapo soma kuhusu Mambo anayo yataka yeye Anafika anaweka tiki kuwa ni kweli
Huyu dishi limeyumba na hajielewi anaeleza suala la ndoa kwa mitazamo ya kidunia Mara aikosoe Biblia kuwa ilipotoshwa na kujiona yeye Yuko vizuri na historia zake za kishetani. Tukisema hivi anasema tunamtukana. Ni Mpumbavu sijawahi kuona Ila yeye anavyojiona ni bonge la Mwalimu. Yeye kama anadai wakristo hatuongezeki na akijiona yeye anafundisha sahihi, ana mpango wa kuoa wake wangapi kama mwl wa Neno la Mungu?
HAMNA MWALIMU HAPA TUSHAPIGWA TAYARI
1 Wakorintho 9:5
[5]Hatuna uwezo kuchukua pamoja nasi mke aliye ndugu, kama wao mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?
Huyu mke aliye ndugu anayezungumziwa na paul ni nani
Jamani hawa nduguzetu naona hawelewi wala hawaamini kitab cha mungu.ningependa ma sheih wote sabab wao ndio wanaelim zaidyao.
Ukosahihi kwasababu zama za kwanza haikujurikana kama ni zambi kwasababu haikua zambi kwa maana hio itakua sio zambi kwasabsbuhio ni harari kuoa mke zaidi ya mmoja
Huyu jamaa ni mpotoshaji wa hali ya juu sana mtanielewa siku si nyingi ss ni wakosefu lakini tusikubali mafundisho ya mashetani hoja za kuoa mke mmoja au wake wengi si hoja ishu ni uwezo wa binadam kuacha dhambi narudia tena huyu jamaa anajiita mwalm wa neno la Mungu amepataje cheo hiki? Mtu ambaye yuko kila mahali anasema anaongea na qatu wanao penda kujifunza si wanaopinga mm ntakupinga masaa 24 zungumza watu kuacha dhambi kuoa kuoa hoja za ajabu sana unatuletea nadharia mara hamas, ukraine, urus mara America sasa ww fuata dini inayorusu wake wengi mafundisho yako yatasaidia nn mana tayar ukrsto ushasema mke mmoja tupe testimony kama ww tayar ushaoa wake wengi na chips za mbeya unazo kula kama utawaweza bado naema ww n mtafta hela
Wewe una wake wangapi?
USITULAZIMISHE KUELEWA WEWE ELEZEA TU KAMA NI YA MAANA TUTAYAFUATA USITULAZIMISHE
Ww sio mtumishi WA Mungu ww umetumwa na ibilisi maan unaipinga biblia! Unapotosha neno la Mungu! Paulo alisema ktk wagalatia 1:8 kuwa akija Malaika kutoka mbingun na kufundisha tofaut na Sisi na alaaniwe! Sasa ww unafundish kinyume na biblia! Mungu aksaidie Sana!
Sasa binadam na malaika nani wa kuchaguliwa, Huyo Paulo ana utume gani kwanza?
NIPE Maneno ya BIBLIA yanayokataza kuoa bibi 2,
Ili yeye tumuone Kuwa muongo,
Maana na Mimi kaniteka!
Lakini mafarisayo walimuuliza YESU akawajibu kwamba Mungu aliumba Mme Mmoja na musaidizi mke Mmoja na kwa sabu hiyo nendeni muishi ni wawili
Sura gani?
Wacha ujinga oa wake wengi wachana na mambo ya mke mmoja Mila za wazungu
Naona kama mtu namwita shetani na mwenda wazimu na mimi najiona mwenye haki,basi inanibidi niangalie sn maneno yangu maana yaweza kunionyesha mi ni mtu wa jinsi gani kabla ya kumkosoa yule anayeongea,nadhani kitu cha muhimu ni kuleta hoja yenye ushahidi wa kimaandiko kuwa hiki kinachosemwa hapa ni cha kweli au cha uongo,sio wote tunaosikiliza tuna mawazo mgando ila tuna mawazo mseto yanayotafuta kweli ni ipi kama watu wa Beroya
Mi naona wazungu wanatuchezea tu akili zetu. Wanasisitiza ndoa ya mke mmoja halafu baadaye wanaruhusu ndoa ya mikata na baadaye ushoga!! Na wanatishia kuwa asiyekubali mpango huu anawekewa vikwazo kweli 😥. Mimi sasa hivi nitakuwa najifunza kwa wanyama wala si binadamu kwasababu wanyama hawajadanganywa. Wanaukweli wa asili.
Hivi kwani ni wazungu walioamuru muoe mke zaidi ya mmoja? Kwa hiyo ni dhambi kuoa mke mmoja na Mungu atawatupa jehanamu watakaofanya hivyo? Kama ndivyo Mwalimu anayefundisha Haya ana wake wangapi mpaka Sasa anapotufundisha? Kama anaye mmoja ni wapi Mungu aliagiza tuoe wake wengi?
😂😂😂😂 wanyama hawaoi kumbuka wanapandiana tuuuu
Roho mtakatifu amelidhibitisha hilo uhalali ni kuoa mke mmoja,unavoenda kihistoria mmechemka na Mze wako wa upaka
Wewe ndiyo mkristo wa kweli, endelea kutetea Kizazi cha UKRISTO
ukristo sio idadi. hatushindani kwa idad.tunashindania kukomboa roho
hiki kizazi n kizazi kilicho chaguliwa kwa ajili ya utukufu wa Mungu. ndio petro anasema. taifa teule takatifu ss tu makuhani. kuhani hatakiwi kuoa wanawake wawili na hatakiwi kunywa kileo.
Sipendi kutaja Jina Langu kwasababu Za kiusalama. Swali Langu Ni Hili Bwana Benson. Nini kifanyike Ili 1.kufufua Huo Ukweli Uliofichwa na Wazungu kwa lengo La kuitawala Dunia. 2. Nini Kifanyike kwa Kanisa Ili Liweze kuulewa Huu Ukweli na kuufundisha Ili Waumini Wa Kikristo Waongezeke?
Ni vingumu kukuelewa mwl Benson kwani wazungu walituletea huo utamaduni tukakubali lakini sasa wameleta ushoga na gay eti tufuate sasa kipi ni kipi hapo utaelewa ni Bora kuwa na vijana wawe wanawake na kusagana ujinga mtupu na nchini wapo wanao waunga mkono hawawezi kumpa technology at ata ufe wanatamani tuendelee kuwa wajinga Tu hapo wanafurahi
HAKUNA KUOA WAKE WENGI. NDIYO MAANA WALIKUWEPO ADAM NA HAWA TU. MUNGU HAKUONGEZA MWANAMKE MWINGINE KWA ADAM
Biblia mwanzo Hadi ufunguo wa yohana hakuna sehemu imeandikwa mwanaume lazima aoe mke Moja kama unao mpunga oa wake wengi
Fact
Wanawake ni wengi kuliko wanaume lkn kila mwanamke ana bwana ake
We ni mjinga, asa ndo hesabu gn
Msiwe walimu wengi!! Sasa ndio naelewa kwamba ualimu ni shida kubwa huyu jamaa isaya ni shetani mzima kabisa
Kama kakosea Muombee..ila usimuite hivo kua ni Shetani..Hienda wewe ndio unauelewa mdogo ..maana kila mtu na uelewa wake..Mungu sio wako peke yako.
@@dechardavid2555Kuna kazi nyingi za kufanya kwa Mungu sio kuombea watu waliojikinai
Usimtukane ww jenga hoja ili tuone yupi mkweli ila kutukana nikudhihirisha kuwa Huna hoja
@@EvoniSanga kabisaa
Huna unachokijua ungelikua unachochote kichwanimwako ungeleta hoja
Saizi watu wanatumwa na waganga waolewe na wewe wengine wanatumwa na uganga wakuowe uone oleweni ila mm nasema.heri.watu.wamtafutao bwana kwa.nyakati ambapo yesu anatabili anasema kuna mambo yatakuwa.yanatokea watu watakuwa wakivunjika mioyo wazen mapenzipenzi jibu mtalipata
Stay kwenye neno ya Mungu bro siyo maneno yako
Yaani hoja ya kibiblia inavyotetewa ndipo utaelewa there is satanic agenda behind to spoil christians
Hili jamaa halina akili kabisa sijajua ualimu alitoa wapi
Nimekufuatilia sana kwa kipindi kilefu nikagundua kwamba ww jamaaa unaakili ndogo sanaa
Wewe akili yako imesinyaa sana!
Wewe mlevi
Mm Biblia sijawahi kuielewa kbsa. Mtume Paulo ni mtume wa mungu kweli , huyu mrumi na crusader ktk jeshi la kirumi anakuwaje mtume , huyu Mr P ndio kaharibu image ya Yesu . mara Yesu mungu , mara mtume ,mara mtoto wa mungu ......
Mmmmmmhhhhh.
Wewe kweli ni mwalimu unasimama na ukweli Mungu akulipe kheri
Shehe acheni kupotosha watu tamaa ya mwili huwez itimiza
@@user-rw3uu2rw8e siyo tamaa ya mwili sisi tunafata mitume na manabii wote walioa wanawake zaidi ya mmoja je walifanya dhambi?
Uko vizuri saana, ila uwezi eleweka kwa sababu tumedanganywa mpaka tumepoteza uelewa wetu USICHOKE KUKOMBOA UZAO WA KIKRISTO
Wewe sema mwenye akili atajufunza
Je kwa Injili hiyo uko tayari kumwamini Yesu na kuokoka? Kama huwezi ujue ni upumbavu ule ule unaofundishana kwenye uislamu ili mzini na wake wengi.
Kama daudi kapotea na ss pia tupotee kaka muombe Roho mtakatifu akufundishe bibilia imeandikwa na manabii na mitume siku za mwisho zimekarinia
Unajifanya unanidhamu wakati unalitukana Taifa la Israel wewe halafu unajiita Mwl wa neno la Mungu sijui Mungu gani
Mmmmmmh nae huyu ujuage kusoma biblia sio kusomewa kila kitu utabaki unapingatu
Kwaiyo israel ndio nini we mjinga
Nilikuwa nakuamini lakin sasa naona kama unapotosha mwalim isaya
Usiache kuniamini please ila wewe mwenyewe fuatilia usiende na mapokeo na elewa dhana katika hili, sasa ukiacha kuniamini utakosa mengi mazuri kutoka kwangu hili moja lisikufanye uache kuniamini hakuna binadamu aliyekamilika.
Lakini mwalimu lazima tukubaliane ukristo sio dini wala sio mpango wa mungu maana nidini ambayo haijitoshelezi wala kua na msingi maarum na pia haikuanzishwa na yesu wala hata maneno yaliomo ndani ya bibilia hayana uhakika kama yesu aliyafundisha maana yesu mwenyewe hakuandika bibilia wala hakupewa bibilia na mungu yeye Alipewa ingili na ilikua kitabu kimoja TU kama vile zaburi torati ingili na koroan laki hiki kinachoitwa bibilia au bible ni vitabutu vya historya zawatu nani vitabutu kama vya hesabu na kiswahili na hitolia havina mpango wote dini yenywe yesu hakukianzisha ilianziswa miaka 14 na Paulo hapo antokia na kwarayakwanza waliitwa wakristo Wewe ukitaka kufuata dini yakweli na haki silimutu uwemuisilamu uondokane na huu utumwa wakufuata vituambavyo havina mashiko ndugu yangu ubarikiwe sana assalamualaikum 🙏🙏🇹🇿
Huyu jamaa nishetani mtupu
Ukweli unajua Sana mjinga ndy atakaye kubisha