Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia..., Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro) "Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..." Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu. Isaya 59:1-2
Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.
Nakukubali Babu umepewa jukumu hilo la kuwalea wanao na sisi wajukuu kiroho na tutambue tunalo lifanya THANKS MY GRANDFATHER kwa kazi nzuri mungu azidi kukutia nguvu kutufungua tuzidi kujua mengi na kujilinda na lidunia la ajabu hili MUNGU AKUTIE NGUVU KIROHO NA KIMEILI
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
@@willisonrushenza7427 Mungu aliyehai huandikwa kwa herufi zote kubwa au ya kwanza. Ukiandika herufi ndogo kama ulivyoandika ujue unazungumzia mizimu. Ubarikiwe
Ahsante.Nabarikiwa sana na huyu mtumishi yuko wazi na injili ya motomoto isiyogoshiwa.Mungu aendelee kumtunza azidi kuliamsha kanisa la leo na la hapo mwanzo.
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
TAG ikiwa mtapuuza ufunuo wa huyu mzee mtakwisha maana Mungu amemweka kwa makusudi kuzungumza bila unafiki wala uoga mana hayuko TAG kwa maslahi binafsi.
Praise be the name of God I just came across with this clip when was looking for a true word of may God keep u burning 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 the Gospel am blessed..... N kweli mchungaji
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
Bwana yesu asifiwe sana.kanisa lisidhani haya mafundisho ni mzaa tu.Huyu mtu ni wa mungu na anayonena ni ukweli,kanisa la christo lina maneno bali neno na nguvu hazipo.
Mchungaji, naandika tu sijui hata kama unaweza kunijibu. Kuna wimbi la watumishi wa Mungu manabii wanaodai kukutana ana kwa ana na Bwana Yesu na akawafunulia mambo ya mbinguni na kuzimu. Wanatushirikisha mambo mengi kuhusiana na maono/mafunuo waliyopata. Moja ya mambo wanayotuambia Bwana Yesu aliwatuma kuonya kuhusu Wanawake kujipamba, kwamba, wanawake wanaojipamba (kuvaa vitu bandia kama wigi, kucha, kope; kujichubua rangi ya ngozi, heleni, bangiri, shanga, n.k.) kamwe hawatoingia katika Ufalme wa Mbinguni. Nawaona baadhi ya wanawake unaowahubiri hapo wapo hivyo. Jambo hili limekaaje Kiongozi wangu.
Hii ndiyo Injili sahihi aliyo ihubiri Kristo Yesu, Nitume na Manabii wa kwanza na si wapinga Kristo wa leo. Nimebarikiwa sana na Injili hii Baba Mchungaji Magembe, ubarikiwe sana baba yetu. "Yaacheni magugu na ngano vikue pamoja wakati wa mavuno Bwana atayabagua magugu na ngano" (Mathayo 13:24~30).
Baba,mungu akubariki ,mungu akutume,uje America ukahubiri, maana watu waliotoka Africa wamefikahuku America wakajifanya ndiyowenyewe,please naomba number ya huyo mchungaji asante sana
Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
😊
Amina, nampenda sana mchungaji huyu, Mungu ampe maisha marefu.
Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi baba yangu wa kiroho..pia Mungu akupe maisha marefu zaidi
Bwana Yesu azidi kukutumia kwa utukufu wake Mzee wetu Mch Mose's Magembe ,siku zote jumbe zako zinanibariki.
Mungu ni mwema nyakati zote❤
Mungu akubariki sana baba yangu mpendwa..unaisema kweli tena unakemea kabisa.barikiwa sana baba.
Mungu akupe miaka mingi ya huduma mtumshi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika shamba lake.
Mungu akupe maisha marefu zaidi ili tujifunze zaidi kwako.
❤❤❤❤nimeamini watu mkiwa na hofu ya Mungu mnafanana Mungu awe nawe baba
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
Am not Christian but this pastor is truly touch my heart, Glory to God & we are all brothers & sisters 🙏
May the Lord touch you soul in Jesus Name and may the Holy spirit réveil himself in you bless you brother
I pray for you brother one day Our living God will touch your soul 🙏🙏🙏
Okoka brother
Brother Bob Nassa, may the Holy spirit continue to touch your heart and get more revelation
@@monicabh1668 0l
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
Mzee Magembe uko wap I? Nataka kujifunza kwako
Bwana Mungu atutie nguvu jmn!!! Nimeguswa sana na mahubiri ya huyu mchungaji!! Jmn Bwana Yesu asifiwe sana
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
Barikiwa baba, Mungu aendelee kukutumia kanisa lipone. Gonga like kama unakubali maneno yangu.
Hongela sana kwa mafundisho mazuri ambayo ni hadimu sana kwa kizazi Cha leo
Nakubaliki
wambie ukweli barikiwa mhungaji
, God bless you pastor
@@isaacmolllah9451😮😮99y😮😮😮 33:28
Asante baba iyo ndio injili apaswa buhubiliwa na watu wote
❤❤❤❤ Mungu akupe maisha malefu baba
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
Mzee ubarikiwe na munguwetu
Mungu akupe maisha marefu ili uzidi kufundisha Neno la kweli maana kanisa limeishajichanganya.
Ni mm peke angu namuona ....kafanana Na marehemu Mengi au daaah.,..Ujumbe mzur saaana Be blessed😍
Hata mimi naona hvy
This is a true servant of God,
Mzee Mungu akupe nguvu
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
Nimebarikiwa sana kwa neno lako Mungu akupe maisha marefu na akubariki mchungaji wetu
There is authority in this man when he speaks.Haleluja
Nampenda sana huyu mzee mungu amuweke hai
Barikiwa Mtumishi Wa Mungu aliye Juu..... Bwana Yesu akutendee Mema Baba Mchungaji Magembe
Piga kazi babaaa wewe ni katika wachache mnaotulisha maziwa yasiyoghoshiwa Mungu akubarik🙏🙏🙏
Nimebarikiwa Sana na mahubiri ya baba mchungaji🙏🙏🙏👏👏
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia...,
Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro)
"Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..."
Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu.
Isaya 59:1-2
Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.
Akiri zimeisha hata ufahamu wa kuazima hakuna 😊😊😊 Barikiwa mchungaji 👏👏👏👏
God bless u preacher for the preaching you provide,
Ubiri neno la Mungu. Acha kuwatuumu wa tumishi wa Mungu. Kila mtumishi Mungu kamuita kivyake.
Nimetokea kumpenda Sana huyu Baba,ana neno la kweli moyoni! Amembeba Mungu alie hai!
Amina
true
Wewe umesema amembeba MUNGU ila sio MUNGU,,
Anasema ukweli. Tuhubiri NENO Sio maneno. Tujue historia yetu, Tutambue wakati huu Mungu anataka tufanye nini Na Maadalizi ya kesho no yapi?
Mungu akutunze na kukuongeza miaka.
Huyu kwahakika ni nabii wa kanisa la leo. Mungu akupe neema zaidi
Nakukubali Babu umepewa jukumu hilo la kuwalea wanao na sisi wajukuu kiroho na tutambue tunalo lifanya
THANKS MY GRANDFATHER kwa kazi nzuri mungu azidi kukutia nguvu kutufungua tuzidi kujua mengi na kujilinda na lidunia la ajabu hili
MUNGU AKUTIE NGUVU KIROHO NA KIMEILI
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
Amen, ntafanya hivyo
Amina mtumishi wa MUNGU sema tupone! Heleluya Bwana YESU asifiwe sanaa
Powerful n practical, oh God revive us again !
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu,mimi ni simon toka kenya
spirit ya moses kulola inaongea ndani ya huyu mtumishi hata sauti ni ya kulola. barikiwa sana.
Kweli kabisa
Kwel
Sema anaongea lafudhi ya kisukuma,pia kulola pia alikua msukuma🎶🎶
Sana. Servant wasio na kwere
Asante sana muchungaji kwa Neno,umenirudisha kwa misingi ya Neno la Mungu, ubarikiwe sana
Mungu akubariki akuongeze Miaka mzee naitaji kuokoka umeguza Maisha yangu
Ubarikiwe unaweza ukaja kanisan kwake,karibu
Niko kenya ameguza maisha yangu sana
Asante baba ubarikuwe mno hiyo ndiyo injili ya wa TAG
Kweli Mungu amembakisha wa chunganji waukweli, Mungu wetu na azindi kumuinua, Amen
We mch ulikuwa wapi wewe na mafundisho yako mazuri Mungu akutumie kuponya makanisa yya kipentecoste jamani Mungu atuponye nakupenda baba chapa neno
Nakuelewa mtumishi wa mungu hakika weee ni mtumishi wa mungu aliye hai Amina sana
@@willisonrushenza7427 Mungu aliyehai huandikwa kwa herufi zote kubwa au ya kwanza. Ukiandika herufi ndogo kama ulivyoandika ujue unazungumzia mizimu. Ubarikiwe
Karibu kwenye mkutano wa injili unakaoaza tarehe 20-12-2020 hadi tarehe 03-01-2021 kanisa la TAG Majumbasita kwa mchungaji Magembe. Wote mnakaribishwa
Ahsante.Nabarikiwa sana na huyu mtumishi yuko wazi na injili ya motomoto isiyogoshiwa.Mungu aendelee kumtunza azidi kuliamsha kanisa la leo na la hapo mwanzo.
@@lightnesskantu523 Amen.. Usikose kufika kwenye mkutano. Ubarikiwe sana
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
Barikiwa mtumishi magembe
Powerful message
We all need repentance
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
Asante sana
Amina baba endelea kutusahihisha maanake Kuna waumin hatujui tumetoka wapi. Mungu akubarik baba
Asante sana kwa mahubiri mazuri.
Nimefarijika sana kumuona Baba yangu Mch.Urassa.
Glory to God Bishop welcome Kenya
TAG ikiwa mtapuuza ufunuo wa huyu mzee mtakwisha maana Mungu amemweka kwa makusudi kuzungumza bila unafiki wala uoga mana hayuko TAG kwa maslahi binafsi.
Real but Mungu aturehemu tu hatuna namna
Aminaaaaa
Kweli
Amen
Mungu akubariki mtumishi wake Mungu.
Anaongea kama kulola Mungu akubariki baba unahubir injili ya kweli
Wewe ni mtumishi wa kweli kila neno lako linagusa mioyo .... Mungu akupe miaka mingi
Ubariki wewe ndio Mzee unazeeka na pamoja na Yesu barikiwa sana
Praise be the name of God I just came across with this clip when was looking for a true word of may God keep u burning 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 the Gospel am blessed..... N kweli mchungaji
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
Unaweza kuanza huduma uku ukiwa unasoma hivyo hiyo isikuchanganye
Ubarikiwe sana Baba yangu, Mungu akuweke
Nimependa xana mafunzo yako Rev .moses magembe am revived already fire is burning in me may the Lord keep u and bless u pastor
Mungu akupe ufunuo zaidi yahapo
Mungu akubariki Baba akupe maisha marefu uzidi kuokoa nafsi za watoto wa Mungu
L
hizi ndo injili Mungu atusaidie sana
Mungu wa mbinguni azidi kukulinda baba yangu
Amina baba wapo watumishi wasiojua wajibu wao ni majungu tu madhabahuni hawajui ni ofisi ya Mungu madhabahu!inashangaza sana nimekuelewa sana baba.!
Ujumbe mzuri sana mchungaji karibu Kenya tunahitaji hii injili ya ukweli
Injili kama hizi kwenye kizazi hiki zimekuwa adimu, hongera sana Baba Mch!
Ni kweli kabisa dhambi ZINATESA wahubili wa injili ya YESU NI adimu
Nimebarikiwa sana ,Asante Mtumishi wa Mungu
Asante sana mwinjilishi umegusa sehem sahihi
This is the man of God who was my friends mentor the late Peter and he went to be with Lord while serving God. Thank you man of God.
Amen mbalikiwe mchungaji
Hili ndilo Neno LA Bwana....kanisa linahitaji kweli ya Mungu.
God bless you for the wonderful massage
I'm blessed sana Mungu akubariki sana
Bwana yesu asifiwe sana.kanisa lisidhani haya mafundisho ni mzaa tu.Huyu mtu ni wa mungu na anayonena ni ukweli,kanisa la christo lina maneno bali neno na nguvu hazipo.
Mungu Tunaemuabudu Ni Wa Herufi Kubwa M siyo m herufi ndogo
The best people from God....
Jamani naombeni namba za huyu pastor. Neno safi sanaaaaa. TAG take it serious na sisi wengine we have to work on it.
MIMI NI JOSEPH GEORGE MATIKU NA HUYO MCHUNGAJI NI BABA YANGU WA KI-ROHO. SIMU YAKE NI VODA 0767283818 na TIGO NI 0715283819. BARIKIWA SANA SANA.
Mchungaji, naandika tu sijui hata kama unaweza kunijibu. Kuna wimbi la watumishi wa Mungu manabii wanaodai kukutana ana kwa ana na Bwana Yesu na akawafunulia mambo ya mbinguni na kuzimu. Wanatushirikisha mambo mengi kuhusiana na maono/mafunuo waliyopata. Moja ya mambo wanayotuambia Bwana Yesu aliwatuma kuonya kuhusu Wanawake kujipamba, kwamba, wanawake wanaojipamba (kuvaa vitu bandia kama wigi, kucha, kope; kujichubua rangi ya ngozi, heleni, bangiri, shanga, n.k.) kamwe hawatoingia katika Ufalme wa Mbinguni. Nawaona baadhi ya wanawake unaowahubiri hapo wapo hivyo. Jambo hili limekaaje Kiongozi wangu.
Wokovu ni process,. Kufika mbinguni ni Neema, kukamilia ni pale safari yake imefika mwisho, kanisa ni sehemu ya uponyaji, Kila mtu ana siku yake
Kujua kama mafunuo Yao ni kweli au sio kweli, yapime kwenye biblia
Soma biblia maana unabii unapimwa kwa neno la Mungu
Mimi ni msabato,lakini nilikuwa najipamba tu,lakini nikawa sikuwi rohoni,nashuku tu,Kisha nikaanza kuota ndoto zakulala nawanaume nisiowajua naninaowajua,nimeombewa sana,nimefunga sana,lakini nilikuwa sifunguliwi,Hadi nipo kwenye mfungo naingiliwa kimwili nakula vyakula ndotoni,nikamlilia mungu sana,nikamuomba anionyeshe mlango ni Upi unaoingiza uharibifu kwangu,siku Moja nikalala,nikaona maono,jini lilinitokea limejipodoa kama wanawake wakawaida,napafyumu limepaka vipodozi nilivyokuwa navyo ndani,likataka kunigandamiza kitandani,nikakemea likapotea,nikamuuliza mungu ,akaniambia ndo huo mlango,nikaamka asbh nikatubu,nikavichoma VYOTE,nikanyoa nywele,nikafunguliwa bila hata maombi,,nikaamini,vipodozi nimlango wauharibifu mkubwa sana,usijifananishe namtu yeyote hata kama nimtumishi ,thamani Yako anajua mungu tu,wengine hujui wanamaagano gani
Ndugu,ninao ushuhuda wavipodozi,vimenitesa sana,Hadi nilipoviacha,viliniua kiroho kabisa
true man from God ..blve him .he is from Father.
AMEEN.hii ndiyo injiri iletayo Wokovu na Mifupa iwakayo moto safi saana Mtumishi wa MUNGU.Msema kweli siku zote hapendwi najua wapo wakuchukiao.
Ubarikiwe BABA MCHUNGAJI
Mungu akubariki mchunaji Magembe kwa Neno la kweli, Neema ya mungu izidi juu yako kuendelea kulinena neno la kweli kwa ujasiri.
Dady MUNGU akutunze sana uendelee kuihubiri iliyo kweli yake. Yan huwa ninakuelewa zaidi mno
Baba Mungu akubariki sana unafundisha sijapata kuona
Baba unachosema ni kweli kabisa,, ila baba kumbuka Shetani yuko kazini,watu hawataki kuomba wanataka miujiza
Amina mchungaj
Power fully word of God,man of God ,God bless you 🙏🙏🙏🙏
Hii ndiyo Injili sahihi aliyo ihubiri Kristo Yesu, Nitume na Manabii wa kwanza na si wapinga Kristo wa leo. Nimebarikiwa sana na Injili hii Baba Mchungaji Magembe, ubarikiwe sana baba yetu. "Yaacheni magugu na ngano vikue pamoja wakati wa mavuno Bwana atayabagua magugu na ngano" (Mathayo 13:24~30).
Nikimsikiliza huyu baba namkumbuka moses kolola mtumish wa Mungu aliyepumzika mbele za bwan
Mtumishi wa Bwana anenaye yaliyo moyoni na yatokayo kwa Mungu.
Hivi watumishi imeona hizo ishara za vidore anavyovionesha Huyu mzee?
Baba,mungu akubariki ,mungu akutume,uje America ukahubiri, maana watu waliotoka Africa wamefikahuku America wakajifanya ndiyowenyewe,please naomba number ya huyo mchungaji asante sana
+255715283819
Jamani hadi nmepokea karama hadi mimi daah naenda kuokoka kuanzia leo maana nmemuelewa sana huyu mchungaji TAG mko vema sana
Amen
Okoka mpendwa mungu anakupenda sana usisite kutimiza ulichokusudia na mungu akusaidie
Aminaaaaa. Haya ndio mahubiri tunayo itaji. Apana baraka kila siku.
Na Mungu ahusike ndani ya hiyo LAZIMA Ameni.
Asnte yesu kwa wema wako najisikia kuinuka tena ninapoisikia sauti ya magembe
My church pastor nakuelewa sana Baba mungu akubariki
amina mungu tusaidie
Thank you pastor be blessed
Ubarikiwe
Mungu ni mwema sana👏