Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊
Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤
Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu
Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏
Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana
Mungu huangalia mtu -ndani mpaka nje. -Kanisani mpaka nyumbani. -ukumbini mpaka sirini. Basi, watu waambiwe nini ili waelewe? WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi
Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.
Abiudi Misholi kweli ni mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya
Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊
Ubarikiwe sana,,,naomba MUNGU ALIE HAI azidi kuwapa NEEMA ya kukemea haya ndani ya makanisa,,,
Nakufurahia mtumishi tupo wachache MBINGUNI LAZIMA UFANIKIWE Amen
Amena mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri ya neno la Mungu
Mch. Abiud Misholi, katika hili umepiga penyewe. Mungu akubariki sana na nakuombea uzidi kupata neema ya kuihubiri kweli katika kanisa la leo!!!
MUNGU akubariki baba umegusa penyew ni kweri baba MUNGU akupe maisha marefu 🙏🙏🙏🙏
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU.. Endeleeni kuusema ukweli sahihi
Kwa kweli injili nzuri sana na Mungu atusaidie kuyaishi haya
Ubarikiwe na Yesu kristo kwa semina nzuri saaana, mavazi
Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤
Mungu akubariki sana atsanté na mafundisho nzuri sana
Mungu akubariki sana bishop usiache kusema kweli
Ukweli kabisa injili tamu sana inayo nipa chakula cha roho mtakatifu.
Mungu akubariki sana Mtumishi Ubarikiwe tuonane Mbinguni.
Kazia hapohapo mungu akubaliki mchungaji
Ubarikiwe sana,, Damu ya Yesu ikulinde daima🙏
Ubarikiwe sana mtumishi,Amen Amen Amen
Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu
Amina baba sema tupone maan siku hiz watu hawataki kweli mungu akubariki sana
Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏
Hongera mtumishi, kemeeni sana kuhusu mavazi wala msiogope, mavazi ya hivyo yanaaibisha sana ukristo wetu.
Kemea kemea tafadhali kemea bila kuchoka
Amen amen, hayo ndiyo mafundisho ya kweli,
nilikupenda unaimba, nakupenda ukihubiri.
Hallelujah hallelujah ameeen NI kweli kabisa mtumishi
Ubalikiwe sana mch.wengi wanavaa ovyo katka kanisa
Injili isiyogoshiwa..ndio hii
Mungu atusaidie Mavazi yametupotesa sisi wanawake
Mwenyezi MUNGU akubariki mtumishi.
Amen Baba Wasaidie
Mungu akubariki Sana tunataka injili ya mitume na manabii Kama hii tusamee MUNGU wetu
Amen Hallelujah Barikiwa sana 🙏 🙌 mtumishi wa Wa Mungu alie na sikio na asikie neno hili .
Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana
Amen MTU WA mungu,fundisha wanawake wawache. Kuvaa minisketi.
Depuis lubumbashi DRC je manque des mots á vous dire car je suis croyant simple simple mais Dieu vous ce que vous lui demander amen ❤❤❤
Ubarikiwe sana baba mch. Endelea kusema kweli ya MUNGU baba. BWANA YESU akutunze
Mon of God Am Blessed,Afadali Ukweli Usemwe Watu Wa Mungu Wakombolewe
Mungu huangalia mtu
-ndani mpaka nje.
-Kanisani mpaka nyumbani.
-ukumbini mpaka sirini.
Basi, watu waambiwe nini ili waelewe?
WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, huu ndo ukweli hata kama wengi hawaukubali.
Asante baba nimekuelewa
Hongera mtumishi Mungu kwa mafundisho mazuri kanisa litapona sasa
Uko sahihi mtumishi wa mungu mungu akubariki sana mch misholi natamani nije kusali ktk kanisa lako
Mungu alibariki somo mzuri
Mungu akubariki mtumishi
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi
Aminaaa kweli kanisa limevamiwa ila hai wachungaji siamini kama wameitwa na Mungu sema kweli mtumishi aliye wa Mungu atapona
Mungu akubariki
Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.
Amen, kweli tupu Mungu azidi kukutumia zaidi
Amina kubwa baba barikiwa
pastor ni kweli kabisa Mungu akubariki sana
May God bless you man of God...good information for all christians
Pastor be blessed you are preaching the facts
Amina baba
Amen
Amen baba angu mungu aendelee kukutumia
Amen baba
Asante Sana mtumishi
Amen ubarkiwe baba
Thanks pastor na ukweli usemwe watu wawe huru
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nimepona
asante watumishi wa MUNGUbado mupo kaza tu usijali hata ubaki na wawili ubarikiwe
Hii ni kweli kabisa Mungu atusaidie kwenye kizazi hiki.
AMINA
Bsrikiwa baba. Umenifurahisha aiseee
Upo sahihi kabisa tunapuuza sana
Ameen
Mungu akubariki🙏🙏🙏
Umbarikiwe sanaaaa 🙌🙌🙌
Kabisa barikiwa
Barikiwa mtumishi
Habari hii haipendwi na wengi lakini ni ukweli sana . Barikiwa mtumishi
Amina watumishi
Ameen Ameen Ubarikiwe sana
God bless you man of God
Be blessed so much
Mungu akubariki sana mtumishi
Mimi n'a sema Amina,basi mungu asifiwe
Amina baba mchungaji barikiwa sana.
Amen 🙏
Baba ubariwe sana
Asante mtumishi.
Asante mtumishi maan Hali ni mby
Vazi alilo tupa Mungu ni vazi la wokovu mavazi ni utamaduni wa mahari
Eden, Adam na Eva walipewa wokovu kuficha uchi wao ama ngozi?
Nimebarikiwa
Tuzidi kuombeana watumishi wa MUNGU
Amina mchungaji tunaomba Tena urundi bunda
I love this am for it 100percent
Kwa hakika tusifiche dhambi pastors tuambie waamini ukweli kuzimu ni really wamama vaeni kieshima
Huyu jamaa yuko serious sana kina mwakasege hawaongeagi kweli hiki ya MUNGU
Very true 👍
Mungu tufungue macho
Kwa kweli
Amen Amen Amen
Ubarikiwe sana
Amina
Niguseee tenahhhh tenaaaaaaa 😂😂😂😂
Aminaaa
Great AMEN
Muzee ubarikuwe Na Bwana