Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)
Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....
Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste. Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo. Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille Amina
Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule
Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.
Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!
Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana
Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.
2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani. 2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana. 2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.
tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote
Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)
Kwa hiyo kuimba ni dhambi au
Ubarikiwe baba
Tu ungane tu
@@khalfanifarisy7398 11
Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe
Amen
1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani??
2 Tembea Na Jesus haleluya Amen.
3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena.
4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya
Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua
Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman
SAIZI WATU WAMEFIKA MBALI MPAKA BONGO FLEVA ZINAIMBWA KANISANI .MCHUNGAJI SEMA UKWELI WATU TUPONE KWENDA MBINGUNI SIO LELEMAMA .
Mimi ni mwl wa muziki! ila kweli melody za bongo fleava hazileti uzuri kwenye Gospel
Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9
Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....
Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa
Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale
Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,
Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense
Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako
Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu
Mungu akutunze mtumishi
Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste.
Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo.
Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille
Amina
Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .
Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule
Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache
He can preach indeed.. God bless him
Hahahahahahahaha, akakubembeleze babu yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe
Nakuelewa sana Mch. Maghembe.
Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira
Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!
Pastor machachari Sana
Ubarikiwe mtumishii...
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.
Mchungaji Bwana akubariki sana!!!
Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia
Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.
Asante mtumishi wa bwana nimebarikiwa
Ubarikiwe kwa kutukumbusha
Mbingu inahazina ya watu ,wakifuniliwa dunia inaduwaa
Hatari sanaaaa aiseee dah
Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏
Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu
🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi
Ni kweli
Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!
Really blessed
Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki
Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan
Mungu akubariki sana pastor.
Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.
Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻
Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa
Mungu akubaliki
Amina sn my pastor
Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana
Wawooohoo najifunza vingi sana kwako
Mzeè Bwana akutie nguvu unafanya sahihi
What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji
Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.
Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu
Ubarikiwe
Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli
Ww ni mtumishi Mungu
Ameeee barikiwa sana
Safi Sana pastor
mungu akutunze
Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!
Amina mchungaji.
Sasa hivi kuna kazi.
Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!
Asante baba yangu Magembe
Good I like that 🙏🙏
Mungu asifiwe
MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE
He is the best pastor
😁kweli kabisa nilipookoka miaka ya 90 nilikutahuo wimbo Bwana ni ngomeyangu. Na tembea na Yesu🙏
Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.
Amen hakika kuna mafundisho mazuri hapo kwenye kumuimbia Mungu
Amina sana barikiwaaaaa
Yesu ni yeye jana na leo na hata milele ilimladi anasifiwa ktk roho na kwel
I'm blessed
Amina pastor
Amin nimebarikwa
Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys
Kina Magembe wamebakia wachache sana wengi ni mbwamwitu tu
Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia
Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen baba🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Haleluya
Umenitazamisha juu zaidi
Baba barikiwa saaaana
2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani.
2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana.
2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.
Safi sanaaaaaa
Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo
Poleni sana jamani !
Waaaahoooooo9 Ameizng
Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.
Alleluia ni kusifu
Mhubiri nimekueelewa sana tufunue imani
Ameen 🙏🙏🙏
Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.
Huyu mzee ana asili ya conedy ndani yake
Haaahaa be blessed legend
Injili iliyohai safi sana baba
Mimefutiwa deni futiwa deni nimefutiwa deni mwezenu sidaiwi kabisa
😂😂😂 barikiwa mchungaji
Mpoto mpoto khaaaa ,,aaa
Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!
Umeona anachekeshaaa
Kabisa
Ok. Ila hata kuhubiri ni Sanaa pia
Huoo ndio wokovu usiogoshiwa ilikuwa hakika na kweli
Jamaniiiii
Amen Amen
Pole muchungaji wimbo huo wa unipepe wewe huwelewi,kwa hivyo acha kujisifu.
Amen
Mtumishi Kanisa inataka kurudia mungu wa kweli
Amina
Mhenga nakuelewa