#MNATUCHANGANYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ย. 2020
  • Hii ndiyo ilikuwa staili ya uimbaji wetu,siyo kama ninyi mnavyo imba utafikiri umeshikwa na degedege

ความคิดเห็น • 318

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 3 ปีที่แล้ว +62

    tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote

    • @khalfanifarisy7398
      @khalfanifarisy7398 3 ปีที่แล้ว

      Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)

    • @mariamjuma2908
      @mariamjuma2908 3 ปีที่แล้ว

      Kwa hiyo kuimba ni dhambi au

    • @richardsikazwe9197
      @richardsikazwe9197 3 ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe baba

    • @danielofcars2920
      @danielofcars2920 ปีที่แล้ว

      Tu ungane tu

    • @kennethkasese1933
      @kennethkasese1933 ปีที่แล้ว

      @@khalfanifarisy7398 11

  • @modesteessau8032
    @modesteessau8032 3 ปีที่แล้ว +11

    Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe

  • @ifakisetumbaboy3749
    @ifakisetumbaboy3749 5 หลายเดือนก่อน +2

    Amen
    1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani??
    2 Tembea Na Jesus haleluya Amen.
    3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena.
    4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya

  • @metridamihama3087
    @metridamihama3087 3 ปีที่แล้ว +8

    Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua

  • @saudakabogo
    @saudakabogo 3 ปีที่แล้ว +3

    Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman

  • @yohanamgomambeyale9499
    @yohanamgomambeyale9499 3 ปีที่แล้ว +15

    SAIZI WATU WAMEFIKA MBALI MPAKA BONGO FLEVA ZINAIMBWA KANISANI .MCHUNGAJI SEMA UKWELI WATU TUPONE KWENDA MBINGUNI SIO LELEMAMA .

    • @gadielshedaffa3333
      @gadielshedaffa3333 3 ปีที่แล้ว +2

      Mimi ni mwl wa muziki! ila kweli melody za bongo fleava hazileti uzuri kwenye Gospel

  • @lukakyauke3258
    @lukakyauke3258 3 ปีที่แล้ว +3

    Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9

  • @ombenimathias5275
    @ombenimathias5275 3 ปีที่แล้ว +9

    Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....

    • @rizikimshindo2177
      @rizikimshindo2177 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa

    • @dieudonneniyokwizera3124
      @dieudonneniyokwizera3124 3 ปีที่แล้ว +2

      Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale

    • @stevenomanga4637
      @stevenomanga4637 3 ปีที่แล้ว

      Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,

    • @ombenimathias5275
      @ombenimathias5275 3 ปีที่แล้ว

      Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense

    • @twinkleeddy9263
      @twinkleeddy9263 11 หลายเดือนก่อน +1

      Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako

  • @user-ni1vi3oh5p
    @user-ni1vi3oh5p 5 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu

  • @user-pt1sc4hc1k
    @user-pt1sc4hc1k 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutunze mtumishi

  • @traffedrdc3585
    @traffedrdc3585 3 ปีที่แล้ว +1

    Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste.
    Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo.
    Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille
    Amina

  • @josephsibale4283
    @josephsibale4283 3 ปีที่แล้ว +8

    Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .

  • @jimmlnsn4123
    @jimmlnsn4123 3 ปีที่แล้ว +7

    Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule

    • @ELIPHAZAMON-ex9zc
      @ELIPHAZAMON-ex9zc 5 หลายเดือนก่อน +1

      Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache

  • @irakozefrancine4611
    @irakozefrancine4611 3 ปีที่แล้ว +8

    He can preach indeed.. God bless him

  • @nicholauslaurent5454
    @nicholauslaurent5454 3 ปีที่แล้ว +9

    Hahahahahahahaha, akakubembeleze babu yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @celestinoluis1326
    @celestinoluis1326 2 ปีที่แล้ว +2

    Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe

  • @fredkitigwa436
    @fredkitigwa436 3 ปีที่แล้ว +4

    Nakuelewa sana Mch. Maghembe.

  • @mrambaalphonce2164
    @mrambaalphonce2164 3 ปีที่แล้ว +1

    Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira

  • @furahamwemera4570
    @furahamwemera4570 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 3 ปีที่แล้ว +5

    Pastor machachari Sana

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishii...

  • @kawayarajabu3446
    @kawayarajabu3446 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji Bwana akubariki sana!!!

  • @isokoyubugingoofficial626
    @isokoyubugingoofficial626 3 ปีที่แล้ว +3

    Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia

  • @atukuzwegwayovye8504
    @atukuzwegwayovye8504 2 ปีที่แล้ว

    Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 3 ปีที่แล้ว

    Asante mtumishi wa bwana nimebarikiwa

  • @nesielias317
    @nesielias317 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe kwa kutukumbusha

  • @mkushiinafricatvonline3309
    @mkushiinafricatvonline3309 3 ปีที่แล้ว +21

    Mbingu inahazina ya watu ,wakifuniliwa dunia inaduwaa

  • @mgoledaudi6051
    @mgoledaudi6051 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏

  • @pastorjamesmajaliwa7843
    @pastorjamesmajaliwa7843 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu

  • @johanesjohn8471
    @johanesjohn8471 3 ปีที่แล้ว +8

    🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi

    • @johnfaustinechannel746
      @johnfaustinechannel746 3 ปีที่แล้ว

      Ni kweli

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!

  • @christineabel9638
    @christineabel9638 3 ปีที่แล้ว +1

    Really blessed

  • @irenesimon9107
    @irenesimon9107 3 ปีที่แล้ว

    Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki

  • @user-cc3vs5di6y
    @user-cc3vs5di6y 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan

  • @user-jl1db6lc1w
    @user-jl1db6lc1w 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana pastor.

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1b 2 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.

  • @isayajuliuskaombwe4675
    @isayajuliuskaombwe4675 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻

  • @paul.shilagi6537
    @paul.shilagi6537 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa

  • @irenesimon9107
    @irenesimon9107 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubaliki

  • @adamukiula7892
    @adamukiula7892 ปีที่แล้ว

    Amina sn my pastor

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 ปีที่แล้ว

    Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana

  • @sifaelkikoti3141
    @sifaelkikoti3141 2 ปีที่แล้ว

    Wawooohoo najifunza vingi sana kwako

  • @MTWEVELENNARD
    @MTWEVELENNARD 28 วันที่ผ่านมา

    Mzeè Bwana akutie nguvu unafanya sahihi

  • @mariamchimbombwe2571
    @mariamchimbombwe2571 2 ปีที่แล้ว +2

    What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari5108 3 ปีที่แล้ว +1

    Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.

  • @carolynadhiambo2543
    @carolynadhiambo2543 3 ปีที่แล้ว +1

    Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel4614 3 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe

  • @nellisongodfrey5847
    @nellisongodfrey5847 3 ปีที่แล้ว

    Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli

  • @davidomari8660
    @davidomari8660 3 ปีที่แล้ว +3

    Ww ni mtumishi Mungu

  • @malindisamwel4144
    @malindisamwel4144 3 ปีที่แล้ว +3

    Ameeee barikiwa sana

  • @faustinhaule7562
    @faustinhaule7562 3 ปีที่แล้ว

    Safi Sana pastor

  • @sakinaamoc9454
    @sakinaamoc9454 3 ปีที่แล้ว +1

    mungu akutunze

  • @phubusa2022
    @phubusa2022 ปีที่แล้ว

    Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 2 ปีที่แล้ว

    Amina mchungaji.
    Sasa hivi kuna kazi.

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 3 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!

  • @hannapatrick4817
    @hannapatrick4817 ปีที่แล้ว

    Asante baba yangu Magembe

  • @EnockObed
    @EnockObed 6 หลายเดือนก่อน

    Good I like that 🙏🙏

  • @philemonkavutirwamaghusa9698
    @philemonkavutirwamaghusa9698 3 ปีที่แล้ว

    Mungu asifiwe

  • @yohanamgomambeyale9499
    @yohanamgomambeyale9499 3 ปีที่แล้ว

    MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE

  • @robertw.zyunga9599
    @robertw.zyunga9599 11 หลายเดือนก่อน

    He is the best pastor

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro6930 3 ปีที่แล้ว +6

    😁kweli kabisa nilipookoka miaka ya 90 nilikutahuo wimbo Bwana ni ngomeyangu. Na tembea na Yesu🙏

    • @khalfanifarisy7398
      @khalfanifarisy7398 3 ปีที่แล้ว

      Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.

    • @agnesminja9612
      @agnesminja9612 3 ปีที่แล้ว

      Amen hakika kuna mafundisho mazuri hapo kwenye kumuimbia Mungu

  • @alamusictz
    @alamusictz 3 ปีที่แล้ว

    Amina sana barikiwaaaaa

  • @esteredward6980
    @esteredward6980 3 ปีที่แล้ว +2

    Yesu ni yeye jana na leo na hata milele ilimladi anasifiwa ktk roho na kwel

  • @januaryjanuary2685
    @januaryjanuary2685 ปีที่แล้ว

    I'm blessed

  • @mechackmarwa5789
    @mechackmarwa5789 2 ปีที่แล้ว

    Amina pastor

  • @espoirmlondani-ue2fm
    @espoirmlondani-ue2fm 8 หลายเดือนก่อน

    Amin nimebarikwa

  • @FlorenceKirigo
    @FlorenceKirigo 2 หลายเดือนก่อน

    Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys

  • @silvanusjeremiah8256
    @silvanusjeremiah8256 29 วันที่ผ่านมา

    Kina Magembe wamebakia wachache sana wengi ni mbwamwitu tu

  • @sarahmathias1067
    @sarahmathias1067 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia

  • @rozinamsigala7163
    @rozinamsigala7163 ปีที่แล้ว

    Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen baba🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @erickkantona4369
    @erickkantona4369 3 ปีที่แล้ว +1

    Haleluya

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 ปีที่แล้ว

    Umenitazamisha juu zaidi

  • @winniewairimu3822
    @winniewairimu3822 3 ปีที่แล้ว

    Baba barikiwa saaaana

  • @IreneWatson3
    @IreneWatson3 2 ปีที่แล้ว +2

    2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani.
    2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana.
    2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi sanaaaaaa

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo

  • @chariteucoun2607
    @chariteucoun2607 2 ปีที่แล้ว

    Poleni sana jamani !

  • @bestinabenard2511
    @bestinabenard2511 3 ปีที่แล้ว +1

    Waaaahoooooo9 Ameizng

  • @josiahbota8983
    @josiahbota8983 3 ปีที่แล้ว

    Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.

  • @mbithejustus246
    @mbithejustus246 ปีที่แล้ว

    Alleluia ni kusifu

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 2 ปีที่แล้ว

    Mhubiri nimekueelewa sana tufunue imani

  • @gidyonmshani5259
    @gidyonmshani5259 หลายเดือนก่อน

    Ameen 🙏🙏🙏

  • @JoelyMtewele
    @JoelyMtewele 2 หลายเดือนก่อน

    Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa

  • @samuelmdota8452
    @samuelmdota8452 3 ปีที่แล้ว +5

    Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.

  • @elizafumbuka8668
    @elizafumbuka8668 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee ana asili ya conedy ndani yake

  • @emmanuelnollo5022
    @emmanuelnollo5022 ปีที่แล้ว

    Haaahaa be blessed legend

  • @aisonnjabula6662
    @aisonnjabula6662 2 ปีที่แล้ว

    Injili iliyohai safi sana baba

  • @robertmnyanyika525
    @robertmnyanyika525 3 ปีที่แล้ว +10

    Mimefutiwa deni futiwa deni nimefutiwa deni mwezenu sidaiwi kabisa

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva8245 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂 barikiwa mchungaji

  • @robertmnyanyika525
    @robertmnyanyika525 3 ปีที่แล้ว +3

    Mpoto mpoto khaaaa ,,aaa

  • @focuseric4109
    @focuseric4109 3 ปีที่แล้ว +2

    Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!

  • @geofreysomi5915
    @geofreysomi5915 3 ปีที่แล้ว

    Huoo ndio wokovu usiogoshiwa ilikuwa hakika na kweli

  • @kidiaugustineoyoo6261
    @kidiaugustineoyoo6261 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamaniiiii

  • @HAIDAYY
    @HAIDAYY 3 ปีที่แล้ว

    Amen Amen

  • @user-cl9tl5zn2y
    @user-cl9tl5zn2y 5 หลายเดือนก่อน

    Pole muchungaji wimbo huo wa unipepe wewe huwelewi,kwa hivyo acha kujisifu.

  • @drrphaeltz1
    @drrphaeltz1 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @susanmburati8519
    @susanmburati8519 3 ปีที่แล้ว

    Mtumishi Kanisa inataka kurudia mungu wa kweli

  • @davisdeogratius9475
    @davisdeogratius9475 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 3 ปีที่แล้ว +3

    Mhenga nakuelewa