Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba
Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏
Preys lord Jesus Christ hakika neno la kiristo ni tamu na ni upanga kwa wale waovu.hakika naendelea kubadilishwa kila kuchapo mungu akutie nguvu mtumishi kwa jina la yesu kiristo
@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210
Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God. Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona. Nimepona kweli.
Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone
Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
Balikiwa Sana mtumishi mungu akujalie huo moyo wa kusema ukweli bili kujali ya watu.watumishi wengi wanachumia tumbo hawasemi ukweli wanahofia kuwapoteza waumi.
CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL HII DIO INJILI KWA SASA ×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ... ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI IVI KALIBUNI .
Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!
mungu akubarik sana mchungaj wetu kik nikisikiliz mahubir yako nakuwa na amani najifunz mengi, nikikusikiliza mahubir yako hadi vinyweleo vinasisimka unaguna maish yang
MUNGU wa mbingini azidi kukutunza sana Sana mtumishi wa Mungu alie hai, Mungu anisamehe sana Mimi tena Sana, watoto wangu wameona zangu, pia ata mimi nimeona za babangu maana namuuguza anaumwa alikua hajiwezi kabisa.
MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana
Awawesi itika Amen kwa maana awapendi kuambiwa ukweli ila ubarikiwe wewe mtumishi wa Mungu watu waache dhambi Yesu kristo Yu karibu kuja lasima ukweli usemwe
Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba
Ninaikubali sana injili ya huyu mtumishi wa Kristo hii ndiyo injili niliyoisikia miaka ya 80 hd leo ninampenda Yesu barikiwa mtumishi wa Mungu
Ashukuriwe Mungu aliyefanya uzaliwe katika nchi hii;;;
Wewe ni wa thamani sana pamoja na mama Mungu wa mbinguni awatunze na kuwalinda kila siku...
Umenena vyema Sana felister ,Mungu awalinde Sana watumishi wetu hawa
Mchungaji Abiud Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu NAKUOMBEA huduma yako izidi UBARIKIWE sana Baba yangu
Ameen
Nakupenda sana mchungaji tangu utotowangu nilikuwa nikipenda nyimbo zako ,,nasasa nishakuwa mtu mzima
Nimepona kwa kweli maana ilikuwa ndiyo tabia yangu kuanika nguo za ndani nje ahsante Yesu kwa ajili ya mtumishi wako huyu hakika nimeponaaaa
Ni zamu yangu kurudishwa nimegundua dhambi yang ambayo nilichukulia vyepes Mungu asante
Neema ya Mungu ikuwezeshe.
Ee Bwana Yesu nisaidie peke yangu siwezi
Wana heri kondoo uwalishao kwani wanalelewa na mchungaji wa kweli Mungu akutie nguvu mchungaji 🙏🏿🙏🏿
AMINA
Injili ya kristo ni tamu sana ikihubiriwa na walio pewa na Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mungu akupe mwisho mwema baba wa watu wengi
Ahsante MUNGU akubariki Sana mch. Nimekusikia nimekuelewa nitaacha Baba
Mungu nipe kaz tofaut na upakarangi ili nishi katika uwep wako
Bure uwesi kaa katika uwepo wake?
God bless kwa uamzi mzr mtii MUNGU
@@EsterNgasa-vq5zx aame
@@EsterNgasa-vq5zx aam
@@faithe4063 bless
Thank you for preaching the true gospel
Amen mtumishi hakika Mungu atuhurumie
Duuuu Mnyakyusa Mbunifu Nakuelewa Saana Mtumishi Mungu Aendelee Kukutunza Tuendelee Kujifunza Vitu Vingi Kwako
Mungu akubaliki sana mtumishi wa mungu azid kukupa ufunuo wa wakat tunaoishi na ahadi zilizotia ktk kizaz hiki ame
Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏
Mchungaji mungu Akupe maisha marefu wewe unamahubili ya yesu huo ni wokovu wa kweli
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Asante sana baba mchungaji umeni jenga sana kwa injili ilio hai uwinuliwe mtumishi wa Bwana Mungu
Preys lord Jesus Christ hakika neno la kiristo ni tamu na ni upanga kwa wale waovu.hakika naendelea kubadilishwa kila kuchapo mungu akutie nguvu mtumishi kwa jina la yesu kiristo
Mtumishi wa
Mungu paza sauti tupone, Asante
Mungu kutupa maonyo
Mch Abiud nakupenda Hadi mwanzo ,kuanzia nyimbo zako hadi mafundisho yako hujawahi tetea uovu
Ameen
@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210
@@mch.abiudmisholiwiki mbili
Ni kweli watu Wameuvua mwenendo Wa kale Na kuishi kisasa .Ohio yesu tusaidie.barikiwa mtumishi
That's the spirit of Jezebel.God bless you Man of GOD
Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
Mungu akutunze pastor Abiud naomba siku moja Mungu nami anikumbuke
Somo kubwa na muhimu sana. Bwana Yesu azidi kukutumia kwaajili ya kanisa lake 🙏
Mafunuo na mafundisho mazuri ambayo Mungu amekupa,utukufu wote kwake.Mungu akuzidishie Neema.From 🇰🇪
Mungu akubariki sanasana mtumishi 13:58
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Neno la Mungu ni Hakika Ndio na Kweli na Taa Mwangaza katika Maisha yetu. Neno la Leo na Mungu atu Rehemu.🙏
Mchungaji, waambie wanawake wafunike vichwa vyao wanapoenda mbele za Bwana. Ni maagizo ya Mungu hayo.
Na pia vifua 😨😨
Amina
❤❤❤❤❤❤ndio ni kweli kbc
Mtumishi wa Mungu aliye hai unanikumbusha injili ishiyo goshiwa ya baba yetu mzee Moses Kulola....peace be with him
Mtumishi Mwenyezi Amekuonyesha dhambi zilizojoficha ktk huduma ongeza na baadhi ya madaktari wakiume Kwa wanawake na wakike Kwa wanaume .
Asante Bwana Yesu kwa kuyafunua haya kupitia mtumishi wako
Mungu anisaindiye niweze kukaa kwa njia zake asanti kwa mafundisho amen
Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God.
Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona.
Nimepona kweli.
Amina baba unge kuwa baba yangu ninge kuwa mbali zaidi ya hapa nilipo
Natamani sana hushiliki chakula hiki Cha uzima nikizuri mno mimi nakitafuta sikipati dunia imejaa manabii wauongo tupu hakuna NENO tena.
Haya ndiyo mafundisho yenye uhai na wokovu wetu wa kweli unadhirika hapo. Jina la YESU KRISTO Lihimidiwe. AMINA.
Mafundisho ya Yesu kristo yapo kwenye vitabu fine vya injili ok?
@@GroliaKamugisha NDIYO, MCH, ANAPOSEMA HAIKUANDIKWA, IMEANDIKWA NA ALIYEBUNI HIYO DHAMBI ALISOMA vitabu yaani Biblia inapotaja TAMAA YA MWILI.
Mungu aendelee kukupa unyenyevu ili uendelee kukemea dhambi na habari za Yesu kurudi....maana tumebaki na wahubiri wachache sana.
MUNGU akubaliki, akulinde, kiuhalisia mmebakia wachache sana kama wewe (God bless you.
Amina baba, Mungu anipe moyo wa Toba na zaidi kuhisikia sauti yake na kuifata.
Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone
Ubarikiwe sana
Barikiwa kwa kujali
Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
Ameeni kwauponyaji
Amina
Balikiwa Sana mtumishi mungu akujalie huo moyo wa kusema ukweli bili kujali ya watu.watumishi wengi wanachumia tumbo hawasemi ukweli wanahofia kuwapoteza waumi.
.sema tupone mtumish wa yesu kirsito
Hongera bb mtumishi abiudi
Ubarikiwe pastor nakuombea siku Moja uwe mchungaji wa waadventista wasabato
Mungu akutumie zaidi kutuambia ukwel baba
CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL
HII DIO INJILI KWA SASA
×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ...
ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU
ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI
IVI KALIBUNI .
Wow amen
❤ Asante YESU kwa ujasri uliompa mtumishi wa wako, YESU Tuponye.❤
Napendaga injili Kama hizi,👍👍
Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!
Naomba Mungu anisaidie😢
Abiud Misholi, you are one among the chosen one. Be blessed and continue with the real gospel of Jesus Christ. I'm blessed for you❤❤❤
Praise to God
Mungu Nisaidie🙏
Baba abiud Mungu akulinde kilcho ndn yako ni msaada Kwa kanisa LA leo
Funzo lilo bora na ni ukweli kabisa mungu akubariki pasta Abuiid
Mungu unirehemu mimi
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kwa kuubiri true Gospel of Jesus Christ keep it up...waambie ukweli ndio wakaweze kuwekwa huru❤
Ameen
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, ni kweli baba siku izi mambo yamebadilika sana🙌
Eee mungu akutunze mch bihu maan ni Mungu tu anataka tupone
Pastor Abiudi thank you preaching very good gospel.
Mungu atusadie kweli
Ukweli usemwe tuweze kuhurithi ufalme wa MUNGU, barikiwa sana mtumishi🇰🇪
Ameen
Barikiwa baba nimeanza kuipenda huduma yako nilikuwa sikuelewi kabisa lakini mungu alivyo anza kusema namimi hakika naelewa mafundisho yako barikiwa
Amina baba wewe ni baraka kwa kizazi hiki tunaendelea kujifunza mengi kutoka kwako mwenye sikio na asikie neno lile Bwana aliambia makanisa.
mungu akubarik sana mchungaj wetu kik nikisikiliz mahubir yako nakuwa na amani najifunz mengi, nikikusikiliza mahubir yako hadi vinyweleo vinasisimka unaguna maish yang
Ubarikiwe Sana Baba mchunga
Mungu wambinguni aipiganie utumishi wako
Amen Amen Amen Servant of God. May the Lord our God Protect you. Thanks for this powerful encouragement word of God
Ameen
Yesu tusaidie
Yaani injir za huyu BABA waga nabarikiwa sana,👏👏👏🙌🙏
Mungu turehemu watoto wako...Amina.🙏🏻
MUNGU wa mbingini azidi kukutunza sana Sana mtumishi wa Mungu alie hai, Mungu anisamehe sana Mimi tena Sana, watoto wangu wameona zangu, pia ata mimi nimeona za babangu maana namuuguza anaumwa alikua hajiwezi kabisa.
ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma yako
Ubarikiwe mtumishi
Mungu wanmbingun atusaidie peke yetu atuwezi eheee nalilia baba shuka utupe moyo wa nyama utuondolee moyo wa jiwe watu wako
Nabarikiwa sana Mch Abiudi ipo siku kama Mungu akinijalia lazima nije nikusalimie apo kanisani
Karibu sana
MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana
Mungu akubariki baba ,injiri iletayo wokovu kwa mataifa yote,,tupone kabsa
Amina baba ubalikiwe Sana
Ameen Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Bwana!!
This is a Powerful messege .May God bless you Pastor, Amen.Philip Mgala from Malawi.Chitipa
Ameeen,
God bless you
Sahihi mtumishi wa BWANA. Wasiopenda fundisho hili la maadili wameukana ukristo wa kweli.
AMEN,Baba Mungu Akubariki
Mungu ashukuliwe kwa dunzo hili mtumishi wa Mungu
Eee mwenyezi Mungu uturehemu kwa maana tumekutenda dhambi
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Baba Mungu akubariki kwa ujumbe huu
Ubarikiwe baba maamuzi magumu yametufukuzisha ila tupone barikiwa baba❤❤
Mungu azidi kukubariki sana mtumishi Abiud
Nakuelewa sana mtumishi Mungu
Kwel kabisa
Ameeen Ameeen Bwana akubariki sana mtu wa Mungu
Ubarikiwe kaka user kutoka Kenya naona sana comment zako kila sehem mungu ajibu haja yako
Ahsante mtumishi wa Mungu , umenisaidia .
Awawesi itika Amen kwa maana awapendi kuambiwa ukweli ila ubarikiwe wewe mtumishi wa Mungu watu waache dhambi Yesu kristo Yu karibu kuja lasima ukweli usemwe
Waliobaki kuihubiri KWELI ya injili kama hii ni wachache, MUNGU akubariki mtumishi.
Mimi niambie tu mtumishi wa Mungu hakika nimemtenda Mungu uovu mwingi ole wangu mimi