Dhambi mpya Hiihapa : Mch Abiud Misholi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • เพลง

ความคิดเห็น • 454

  • @tunugujobu3255
    @tunugujobu3255 13 วันที่ผ่านมา +9

    Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba

  • @safieltemuofficial5375
    @safieltemuofficial5375 8 วันที่ผ่านมา +3

    Ninaikubali sana injili ya huyu mtumishi wa Kristo hii ndiyo injili niliyoisikia miaka ya 80 hd leo ninampenda Yesu barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @felistervenance8863
    @felistervenance8863 23 วันที่ผ่านมา +20

    Ashukuriwe Mungu aliyefanya uzaliwe katika nchi hii;;;
    Wewe ni wa thamani sana pamoja na mama Mungu wa mbinguni awatunze na kuwalinda kila siku...

    • @jonathandulle8921
      @jonathandulle8921 23 วันที่ผ่านมา +3

      Umenena vyema Sana felister ,Mungu awalinde Sana watumishi wetu hawa

  • @apostlepetermponzi8690
    @apostlepetermponzi8690 22 วันที่ผ่านมา +12

    Mchungaji Abiud Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu NAKUOMBEA huduma yako izidi UBARIKIWE sana Baba yangu

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nakupenda sana mchungaji tangu utotowangu nilikuwa nikipenda nyimbo zako ,,nasasa nishakuwa mtu mzima

  • @user-gu4yo6qx9h
    @user-gu4yo6qx9h 2 วันที่ผ่านมา +1

    Nimepona kwa kweli maana ilikuwa ndiyo tabia yangu kuanika nguo za ndani nje ahsante Yesu kwa ajili ya mtumishi wako huyu hakika nimeponaaaa

  • @neemakawogo5479
    @neemakawogo5479 19 วันที่ผ่านมา +5

    Ni zamu yangu kurudishwa nimegundua dhambi yang ambayo nilichukulia vyepes Mungu asante

  • @VeronicaEdesiusBernard
    @VeronicaEdesiusBernard 22 วันที่ผ่านมา +10

    Ee Bwana Yesu nisaidie peke yangu siwezi

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 22 วันที่ผ่านมา +10

    Wana heri kondoo uwalishao kwani wanalelewa na mchungaji wa kweli Mungu akutie nguvu mchungaji 🙏🏿🙏🏿

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 22 วันที่ผ่านมา +15

    Injili ya kristo ni tamu sana ikihubiriwa na walio pewa na Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @BarakaMathew-zv1yy
    @BarakaMathew-zv1yy 23 วันที่ผ่านมา +12

    Mungu akupe mwisho mwema baba wa watu wengi

  • @agripinagasper-ts1yx
    @agripinagasper-ts1yx วันที่ผ่านมา

    Ahsante MUNGU akubariki Sana mch. Nimekusikia nimekuelewa nitaacha Baba

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia 23 วันที่ผ่านมา +48

    Mungu nipe kaz tofaut na upakarangi ili nishi katika uwep wako

    • @faithe4063
      @faithe4063 22 วันที่ผ่านมา +3

      Bure uwesi kaa katika uwepo wake?

    • @EsterNgasa-vq5zx
      @EsterNgasa-vq5zx 22 วันที่ผ่านมา +1

      God bless kwa uamzi mzr mtii MUNGU

    • @kichwachafamilia
      @kichwachafamilia 22 วันที่ผ่านมา

      @@EsterNgasa-vq5zx aame

    • @kichwachafamilia
      @kichwachafamilia 22 วันที่ผ่านมา

      @@EsterNgasa-vq5zx aam

    • @kichwachafamilia
      @kichwachafamilia 22 วันที่ผ่านมา

      @@faithe4063 bless

  • @user-ed4hn1kv2q
    @user-ed4hn1kv2q 21 วันที่ผ่านมา +6

    Thank you for preaching the true gospel

  • @HappinessLucas-n3c
    @HappinessLucas-n3c 6 วันที่ผ่านมา +1

    Amen mtumishi hakika Mungu atuhurumie

  • @mnyakyusambunifu143
    @mnyakyusambunifu143 2 วันที่ผ่านมา

    Duuuu Mnyakyusa Mbunifu Nakuelewa Saana Mtumishi Mungu Aendelee Kukutunza Tuendelee Kujifunza Vitu Vingi Kwako

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w 3 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubaliki sana mtumishi wa mungu azid kukupa ufunuo wa wakat tunaoishi na ahadi zilizotia ktk kizaz hiki ame

  • @evadanielgunze977
    @evadanielgunze977 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏

  • @user-fq9mx6fx1r
    @user-fq9mx6fx1r 22 วันที่ผ่านมา +3

    Mchungaji mungu Akupe maisha marefu wewe unamahubili ya yesu huo ni wokovu wa kweli

  • @maernov4257
    @maernov4257 21 วันที่ผ่านมา +1

    Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU

  • @user-sg7hj3ik2k
    @user-sg7hj3ik2k 22 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sana baba mchungaji umeni jenga sana kwa injili ilio hai uwinuliwe mtumishi wa Bwana Mungu

  • @JosephateOsalo
    @JosephateOsalo 6 วันที่ผ่านมา

    Preys lord Jesus Christ hakika neno la kiristo ni tamu na ni upanga kwa wale waovu.hakika naendelea kubadilishwa kila kuchapo mungu akutie nguvu mtumishi kwa jina la yesu kiristo

  • @FabiolaAntony-up7ih
    @FabiolaAntony-up7ih 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mtumishi wa
    Mungu paza sauti tupone, Asante
    Mungu kutupa maonyo

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mch Abiud nakupenda Hadi mwanzo ,kuanzia nyimbo zako hadi mafundisho yako hujawahi tetea uovu

    • @mch.abiudmisholi
      @mch.abiudmisholi  19 วันที่ผ่านมา

      Ameen

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@mch.abiudmisholiwiki mbili

  • @catherinemutindi5031
    @catherinemutindi5031 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ni kweli watu Wameuvua mwenendo Wa kale Na kuishi kisasa .Ohio yesu tusaidie.barikiwa mtumishi

  • @user-xd7uj8sz5w
    @user-xd7uj8sz5w 22 วันที่ผ่านมา +2

    That's the spirit of Jezebel.God bless you Man of GOD

  • @eunicesemere5555
    @eunicesemere5555 18 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️

  • @geofreymwasaka2602
    @geofreymwasaka2602 17 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutunze pastor Abiud naomba siku moja Mungu nami anikumbuke

  • @verroallex9144
    @verroallex9144 7 วันที่ผ่านมา

    Somo kubwa na muhimu sana. Bwana Yesu azidi kukutumia kwaajili ya kanisa lake 🙏

  • @samuelthiga4776
    @samuelthiga4776 18 วันที่ผ่านมา

    Mafunuo na mafundisho mazuri ambayo Mungu amekupa,utukufu wote kwake.Mungu akuzidishie Neema.From 🇰🇪

  • @JumanneMwakatwila
    @JumanneMwakatwila 3 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sanasana mtumishi 13:58

  • @henrychfestobrown
    @henrychfestobrown 18 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Neno la Mungu ni Hakika Ndio na Kweli na Taa Mwangaza katika Maisha yetu. Neno la Leo na Mungu atu Rehemu.🙏

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 22 วันที่ผ่านมา +13

    Mchungaji, waambie wanawake wafunike vichwa vyao wanapoenda mbele za Bwana. Ni maagizo ya Mungu hayo.

    • @PrityKinitha
      @PrityKinitha 20 วันที่ผ่านมา +1

      Na pia vifua 😨😨

    • @janengaga2928
      @janengaga2928 20 วันที่ผ่านมา

      Amina

    • @user-ju5bq8mw5r
      @user-ju5bq8mw5r 6 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤ndio ni kweli kbc

  • @mutashobyamutashobya
    @mutashobyamutashobya 7 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi wa Mungu aliye hai unanikumbusha injili ishiyo goshiwa ya baba yetu mzee Moses Kulola....peace be with him

  • @StaimiliAthumani
    @StaimiliAthumani วันที่ผ่านมา

    Mtumishi Mwenyezi Amekuonyesha dhambi zilizojoficha ktk huduma ongeza na baadhi ya madaktari wakiume Kwa wanawake na wakike Kwa wanaume .

  • @yohanachenge82
    @yohanachenge82 9 วันที่ผ่านมา

    Asante Bwana Yesu kwa kuyafunua haya kupitia mtumishi wako

  • @LucyLucy-q2e
    @LucyLucy-q2e 13 วันที่ผ่านมา

    Mungu anisaindiye niweze kukaa kwa njia zake asanti kwa mafundisho amen

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 20 วันที่ผ่านมา

    Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God.
    Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona.
    Nimepona kweli.

  • @ElishaBenson
    @ElishaBenson 19 วันที่ผ่านมา +1

    Amina baba unge kuwa baba yangu ninge kuwa mbali zaidi ya hapa nilipo

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph2733 19 วันที่ผ่านมา +2

    Natamani sana hushiliki chakula hiki Cha uzima nikizuri mno mimi nakitafuta sikipati dunia imejaa manabii wauongo tupu hakuna NENO tena.

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila3081 21 วันที่ผ่านมา +13

    Haya ndiyo mafundisho yenye uhai na wokovu wetu wa kweli unadhirika hapo. Jina la YESU KRISTO Lihimidiwe. AMINA.

    • @GroliaKamugisha
      @GroliaKamugisha 20 วันที่ผ่านมา

      Mafundisho ya Yesu kristo yapo kwenye vitabu fine vya injili ok?

    • @augenmagabila3081
      @augenmagabila3081 19 วันที่ผ่านมา

      @@GroliaKamugisha NDIYO, MCH, ANAPOSEMA HAIKUANDIKWA, IMEANDIKWA NA ALIYEBUNI HIYO DHAMBI ALISOMA vitabu yaani Biblia inapotaja TAMAA YA MWILI.

  • @loveandrew9694
    @loveandrew9694 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu aendelee kukupa unyenyevu ili uendelee kukemea dhambi na habari za Yesu kurudi....maana tumebaki na wahubiri wachache sana.

  • @ChangalaweSamwel
    @ChangalaweSamwel 14 วันที่ผ่านมา

    MUNGU akubaliki, akulinde, kiuhalisia mmebakia wachache sana kama wewe (God bless you.

  • @user-xy8pv6pp8b
    @user-xy8pv6pp8b 9 วันที่ผ่านมา

    Amina baba, Mungu anipe moyo wa Toba na zaidi kuhisikia sauti yake na kuifata.

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in 22 วันที่ผ่านมา +8

    Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone

    • @user-od2mc4mj4e
      @user-od2mc4mj4e 22 วันที่ผ่านมา

      Ubarikiwe sana

    • @dastankalinga442
      @dastankalinga442 19 วันที่ผ่านมา

      Barikiwa kwa kujali

    • @dastankalinga442
      @dastankalinga442 19 วันที่ผ่านมา

      Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx 19 วันที่ผ่านมา

      Ameeni kwauponyaji

    • @ireneauxley8802
      @ireneauxley8802 15 วันที่ผ่านมา

      Amina

  • @PaschalJohn-f4t
    @PaschalJohn-f4t 15 วันที่ผ่านมา

    Balikiwa Sana mtumishi mungu akujalie huo moyo wa kusema ukweli bili kujali ya watu.watumishi wengi wanachumia tumbo hawasemi ukweli wanahofia kuwapoteza waumi.

  • @ImanoeliAmosi
    @ImanoeliAmosi 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    .sema tupone mtumish wa yesu kirsito

  • @JaneLaizer-tb6zl
    @JaneLaizer-tb6zl 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hongera bb mtumishi abiudi

  • @SinaidaKiswaga
    @SinaidaKiswaga 14 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe pastor nakuombea siku Moja uwe mchungaji wa waadventista wasabato

  • @JENIPHAIBRAHIM
    @JENIPHAIBRAHIM 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akutumie zaidi kutuambia ukwel baba

  • @PaulNdonga-ns1vd
    @PaulNdonga-ns1vd 19 วันที่ผ่านมา +1

    CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL
    HII DIO INJILI KWA SASA
    ×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ...
    ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU
    ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI
    IVI KALIBUNI .

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael 20 วันที่ผ่านมา

    ❤ Asante YESU kwa ujasri uliompa mtumishi wa wako, YESU Tuponye.❤

  • @LabanKabasi-y4h
    @LabanKabasi-y4h 4 วันที่ผ่านมา

    Napendaga injili Kama hizi,👍👍

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 22 วันที่ผ่านมา

    Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!

  • @TeddyJordan-iz6tq
    @TeddyJordan-iz6tq 7 วันที่ผ่านมา

    Naomba Mungu anisaidie😢

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga 21 วันที่ผ่านมา +1

    Abiud Misholi, you are one among the chosen one. Be blessed and continue with the real gospel of Jesus Christ. I'm blessed for you❤❤❤

  • @mariamethod4537
    @mariamethod4537 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu Nisaidie🙏

  • @jakoboamon9402
    @jakoboamon9402 9 วันที่ผ่านมา

    Baba abiud Mungu akulinde kilcho ndn yako ni msaada Kwa kanisa LA leo

  • @gggghhhbh5755
    @gggghhhbh5755 20 วันที่ผ่านมา +1

    Funzo lilo bora na ni ukweli kabisa mungu akubariki pasta Abuiid

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu unirehemu mimi

  • @dominicmuoki
    @dominicmuoki 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana mtumishi kwa kwa kuubiri true Gospel of Jesus Christ keep it up...waambie ukweli ndio wakaweze kuwekwa huru❤

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 21 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, ni kweli baba siku izi mambo yamebadilika sana🙌

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg 7 วันที่ผ่านมา

    Eee mungu akutunze mch bihu maan ni Mungu tu anataka tupone

  • @ReubenSimwanza
    @ReubenSimwanza 19 วันที่ผ่านมา

    Pastor Abiudi thank you preaching very good gospel.

  • @MagrethIkoti
    @MagrethIkoti 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu atusadie kweli

  • @user-nx9qt3tp5s
    @user-nx9qt3tp5s 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ukweli usemwe tuweze kuhurithi ufalme wa MUNGU, barikiwa sana mtumishi🇰🇪

  • @AnethSam
    @AnethSam 19 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa baba nimeanza kuipenda huduma yako nilikuwa sikuelewi kabisa lakini mungu alivyo anza kusema namimi hakika naelewa mafundisho yako barikiwa

  • @kizuben
    @kizuben 21 วันที่ผ่านมา

    Amina baba wewe ni baraka kwa kizazi hiki tunaendelea kujifunza mengi kutoka kwako mwenye sikio na asikie neno lile Bwana aliambia makanisa.

  • @user-zr2tf8ej7m
    @user-zr2tf8ej7m 14 วันที่ผ่านมา

    mungu akubarik sana mchungaj wetu kik nikisikiliz mahubir yako nakuwa na amani najifunz mengi, nikikusikiliza mahubir yako hadi vinyweleo vinasisimka unaguna maish yang

  • @SamwelMchungaj
    @SamwelMchungaj 18 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe Sana Baba mchunga
    Mungu wambinguni aipiganie utumishi wako

  • @jothammakenzi934
    @jothammakenzi934 20 วันที่ผ่านมา

    Amen Amen Amen Servant of God. May the Lord our God Protect you. Thanks for this powerful encouragement word of God

  • @OnesmoMhagama-k2m
    @OnesmoMhagama-k2m 9 วันที่ผ่านมา

    Yesu tusaidie

  • @mahirmohd1931
    @mahirmohd1931 22 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani injir za huyu BABA waga nabarikiwa sana,👏👏👏🙌🙏

  • @martinmligo302
    @martinmligo302 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu turehemu watoto wako...Amina.🙏🏻

  • @user-dn6tu7zq2h
    @user-dn6tu7zq2h 17 วันที่ผ่านมา

    MUNGU wa mbingini azidi kukutunza sana Sana mtumishi wa Mungu alie hai, Mungu anisamehe sana Mimi tena Sana, watoto wangu wameona zangu, pia ata mimi nimeona za babangu maana namuuguza anaumwa alikua hajiwezi kabisa.

  • @SamweliMshana-sk1fx
    @SamweliMshana-sk1fx 9 วันที่ผ่านมา

    ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma yako

  • @user-bw6hz5sd9e
    @user-bw6hz5sd9e 7 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe mtumishi

  • @Melinajohn330
    @Melinajohn330 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu wanmbingun atusaidie peke yetu atuwezi eheee nalilia baba shuka utupe moyo wa nyama utuondolee moyo wa jiwe watu wako

  • @PeterClaude-ym2nw
    @PeterClaude-ym2nw 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nabarikiwa sana Mch Abiudi ipo siku kama Mungu akinijalia lazima nije nikusalimie apo kanisani

  • @anchilankobelelwa9735
    @anchilankobelelwa9735 8 วันที่ผ่านมา

    MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana

  • @SikujuaEmmanuel-fj4mg
    @SikujuaEmmanuel-fj4mg 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki baba ,injiri iletayo wokovu kwa mataifa yote,,tupone kabsa

  • @Goodluckkelebesha
    @Goodluckkelebesha 15 วันที่ผ่านมา

    Amina baba ubalikiwe Sana

  • @andrewkasongo1368
    @andrewkasongo1368 22 วันที่ผ่านมา

    Ameen Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Bwana!!

  • @PhilipMgala
    @PhilipMgala 21 วันที่ผ่านมา

    This is a Powerful messege .May God bless you Pastor, Amen.Philip Mgala from Malawi.Chitipa

  • @valentinenjalika1156
    @valentinenjalika1156 7 วันที่ผ่านมา

    Sahihi mtumishi wa BWANA. Wasiopenda fundisho hili la maadili wameukana ukristo wa kweli.

  • @jescakazungu5027
    @jescakazungu5027 20 วันที่ผ่านมา

    AMEN,Baba Mungu Akubariki

  • @elwinsimumba
    @elwinsimumba 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu ashukuliwe kwa dunzo hili mtumishi wa Mungu

  • @user-ru4sj5lp8b
    @user-ru4sj5lp8b 20 วันที่ผ่านมา

    Eee mwenyezi Mungu uturehemu kwa maana tumekutenda dhambi

  • @Lilianmbeyu-ev2rw
    @Lilianmbeyu-ev2rw 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AmosTanganyika
    @AmosTanganyika 10 วันที่ผ่านมา

    Baba Mungu akubariki kwa ujumbe huu

  • @emmilianamlewa3239
    @emmilianamlewa3239 18 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe baba maamuzi magumu yametufukuzisha ila tupone barikiwa baba❤❤

  • @EvelynMwaipungu
    @EvelynMwaipungu 15 วันที่ผ่านมา

    Mungu azidi kukubariki sana mtumishi Abiud

  • @PhilmonAkonaay-yw5ll
    @PhilmonAkonaay-yw5ll 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nakuelewa sana mtumishi Mungu

  • @SitaPuntu
    @SitaPuntu 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kwel kabisa

  • @rebecca-nj6wl
    @rebecca-nj6wl 19 วันที่ผ่านมา

    Ameeen Ameeen Bwana akubariki sana mtu wa Mungu

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg 7 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe kaka user kutoka Kenya naona sana comment zako kila sehem mungu ajibu haja yako

  • @naomichristopher3941
    @naomichristopher3941 21 วันที่ผ่านมา

    Ahsante mtumishi wa Mungu , umenisaidia .

  • @faithe4063
    @faithe4063 22 วันที่ผ่านมา +1

    Awawesi itika Amen kwa maana awapendi kuambiwa ukweli ila ubarikiwe wewe mtumishi wa Mungu watu waache dhambi Yesu kristo Yu karibu kuja lasima ukweli usemwe

  • @StivinWambuto-zy5ft
    @StivinWambuto-zy5ft 22 วันที่ผ่านมา +1

    Waliobaki kuihubiri KWELI ya injili kama hii ni wachache, MUNGU akubariki mtumishi.

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 14 วันที่ผ่านมา

    Mimi niambie tu mtumishi wa Mungu hakika nimemtenda Mungu uovu mwingi ole wangu mimi