NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 183

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 2 ปีที่แล้ว +10

    Joel nanauka umenibadilisha mno ww ni mwalimu wng najifunza mengi sana nikiwa hapa Oman haipiti cku bila kusikiliza🙏🇹🇿🇴🇲

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว +1

      Ahsante sana Khadija, nashukuru kuendelea kunifuatilia.

  • @MRLIO-gy7zy
    @MRLIO-gy7zy หลายเดือนก่อน +1

    bro ur so minded enoughly kuna vitu kwa akili ya kawaaida huwez elewa mpaka upate akili za ziada ndo utuboe kiukweli unatupa motivation za kutafuta life

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 ปีที่แล้ว +1

    huyu jamaa yko vzr sana

  • @danielsimwanza1046
    @danielsimwanza1046 2 ปีที่แล้ว +3

    Ja usipokuwa na marafiki kabisa unaweza kuendelea

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 2 ปีที่แล้ว +4

    hii nimeipenda kuliko "Bahati katika mafanikio ni pale ambapo maandalizi yanakutana na fursa" you are so smart Nanauka.

  • @nassibugodfrey1405
    @nassibugodfrey1405 2 ปีที่แล้ว +11

    Mwalimu Joel Nanauka Siwezi kukusahu kwenye maisha yangu

  • @pascalkasandakasela4541
    @pascalkasandakasela4541 2 ปีที่แล้ว +5

    Leo Sam na James tupatupa wamekutendea haki ni mara chache sana vyombo vikubwa vya habari kukupa nafasi kubwa kiasi hicho hasaa kwenye mambo ya msingi kama hayo. Ni mahojiano bora sana kwangu. Yanayofatia dar24

  • @JamalPaulo-jt1ju
    @JamalPaulo-jt1ju 4 หลายเดือนก่อน

    Joely NI WEWE LAFIKI PEKEE NILIKUA NIMESUBILIA KWENYE NDOTO ZANGU .p6&❤️

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 2 ปีที่แล้ว +3

    Ubongo umeumbwa kufanya kiholela

  • @shawejimnipera2937
    @shawejimnipera2937 2 ปีที่แล้ว +4

    Umefanya ndoto yangu saizi kila mtu aione the big vision nilianza na kuku 10-50-100 up to 500/600 sasa. Asante sana never disappointed

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว

      Hongera sanaaa

    • @zamopazi-dr1tk
      @zamopazi-dr1tk ปีที่แล้ว

      Kuku hao ni wa kienyeji au kizungu?tuelimishane ndugu. Mi mwenyewe nipo kwenye straggle ya ufugaji kuku.

  • @lightnesskashi3226
    @lightnesskashi3226 2 ปีที่แล้ว +19

    Huwa naishi mafundisho yako na yamenibadilisha sana. Blessed Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว +4

      Nafurahi kusikia hivyo Lightness

    • @devotastambuli864
      @devotastambuli864 2 ปีที่แล้ว

      @@joelnanauka qqq

    • @devotastambuli864
      @devotastambuli864 2 ปีที่แล้ว

      @@joelnanauka aaa

    • @isayaanthon7265
      @isayaanthon7265 2 ปีที่แล้ว +1

      You are so good brother. Mafundisho yako ni halisi kabisa. Mungu azidi kukuinua.

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 8 หลายเดือนก่อน

    Nanauka ubarikiwe unaakili sana,licha ya kwamba Mungu anakutumia

  • @glorydenis5111
    @glorydenis5111 2 ปีที่แล้ว +5

    Hivi watu Kama Joel nnauka dunia inawachukuliaje ....
    Kwanza niwapongeze radio mawingu kuandaa huki kipindi. Bravoo kwako Mwalimu wangu Na Mwalimu wa wawatanzania
    Nakuona unakwenda kuwa Raisi wa Nchi.

  • @frankbenandi8764
    @frankbenandi8764 2 ปีที่แล้ว +2

    ansante sana joeli hakika kwangu umekua baraka mnooo mungu namuona kupitia wewe nanajitaidi kuishi mafudisho yako vitabu yvako vyote ninavyo namshikuru mungu kunipa ufahamu wakukuerewa 🙏 joeli enderea kutafta maarifa mengi zaidi maan wengine tunakuangaria wew

  • @FelixMyuki
    @FelixMyuki 4 หลายเดือนก่อน

    Nashkuru nanauka kwakunipeleka katika ulimwengu mpya

  • @edithakalemwa6298
    @edithakalemwa6298 2 ปีที่แล้ว +2

    Namshukuru Mungu Kwa Makuu anayotutendea,binafsi nimesikiliza sana nyaraka mbalimbali kuhusu fedha lakini Nina changamoto kubwa sana ya kifedha naomba msaada wako nifanye nin?

  • @felistersylvester9770
    @felistersylvester9770 2 ปีที่แล้ว +9

    Mungu akuongeze zaidi na zaidi Pastor joel nanauka hakika nabarikiwa sana na mafundisho yako tangu nimeanza kusoma vitabu vya maisha yangu yamebadilika 🙏

  • @a.p.monlinetv3561
    @a.p.monlinetv3561 2 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante Sana Mwalim Joel Arthur Nanauka nayapenda Sana mafundisho yako maana yananisaidia Sana kwa kias kikubwa Mwenyez Mungu azid kukulinda

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว +1

      Nashukuru sana Alex, tuendelee kujifunza

  • @jumakasim8784
    @jumakasim8784 2 ปีที่แล้ว +3

    mwaka jana nilikua na mtaji mdogo sana kwenye biashara yangu kama lak5 ivi lakn nilipo anza tabia ya kuandika malenge yang na nikawa na yapitia kila week na kila mwezi nime jikuta nyumba yangu nimeongeza vyumba viwili na hivi sasa mtaji wangu si chini ya million4 nakushukuru sana mwalim umeni motivation sana mungu akubariki sana

  • @kelvinsanga3614
    @kelvinsanga3614 2 ปีที่แล้ว +2

    Asanteh Sana kaka Joel sifa za malengo nimependa mno
    Sijuti kukufahamu kaka
    Daima nitaendelea kukufwatilia

  • @selemanramadhan3279
    @selemanramadhan3279 ปีที่แล้ว

    Ni kweli bro Kama ulivyosema penye changamoto ndipo penye fedha!!

  • @muswahilianouvaDingi
    @muswahilianouvaDingi 2 ปีที่แล้ว +3

    Najuwa utasoma. pls nipo south Africa nakufataka sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว

      Karibu sana 0756-094875

  • @martinmollel1423
    @martinmollel1423 ปีที่แล้ว

    Nahisi nimechewa kukufuatilia! Najua tatizo lilikoanzia!

  • @dennischelula9799
    @dennischelula9799 2 ปีที่แล้ว +4

    Asnte sana Joel kwa ushauli wako huu mungu akujalih afya njema uzidi tufundisha kila siku

  • @kennethmahanyi1653
    @kennethmahanyi1653 2 ปีที่แล้ว +5

    Ahsante kaka kwa somo lako hakika nmekuelewa sana shukran sana MUNGU azid kukupa maarifa kwa ajil ya kutupa na uwe na afya njema

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว

      Ameen Keneth, nashukuru kusikia hivyo🙏🏼

  • @eliamakere3089
    @eliamakere3089 2 ปีที่แล้ว +2

    sam ww ni mtangazaji lakn hujui kuuliza maswali,lakn pia unapoteza muda mwingi kwenye kuuliza maswali...pia acha tabia ya kiswanglish na kingereza hujui....alienifurahisha kati yenu ni joel nanauka..brother joel barikiwa sana brother..

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 2 ปีที่แล้ว

      Unamwonea,anauliza maswali ya kumsaidia mwingine

  • @robertmafie7908
    @robertmafie7908 2 ปีที่แล้ว +1

    Najifunza vitu vingi xanaa kutoka kwako kaka Joel big up xanaa kwako

  • @charlesjustine5812
    @charlesjustine5812 2 ปีที่แล้ว +4

    Shukrani sana kaka, mwenyezi MUNGU akupe maisha marefu sana, ili tupate hii neema ya kujijua zaidi, wengi tunachelewa kufanikiwa katika maisha yetu kwasababu tumechelewa kujua maarifa hayo

  • @ramabizo4tizo416
    @ramabizo4tizo416 2 ปีที่แล้ว +1

    Joel nataman kila kauli yako niiweke status, kila neno ni fundisho aisee

  • @bukuruphilibert2968
    @bukuruphilibert2968 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuinue kama Yusuph

  • @evastesheni8024
    @evastesheni8024 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera kwa mada nzuri, nami nakuja na wazo ambalo nimeliwaza kuhusu maendeleo, likae katika maandishi then nishare na watu. Nitakutafuta.

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 2 ปีที่แล้ว +3

    sikufahamu kwa kila kitu kaka Nanauka! ila nakukubali sana...kama ingekuwa inawezekana kuku cut and paste basi mi ningekuwa wa kwanza...ila ndo hivo tena kila mmoja kaumbwa kivyake...but you are so blessing to us. nakupenda sana

  • @gmaemba22
    @gmaemba22 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka wewe mkali sana.. Nakukubali kwa asilimia 102 naomba tuwasiliane nahitaji msaada wako

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 2 ปีที่แล้ว +1

    Elimu unayotupa ni zaidi ya Elimu bure 🙏🙏🇹🇿💪🔥

  • @sudaisathman3831
    @sudaisathman3831 ปีที่แล้ว

    Upo sahihi dadangu khadija mm nisipomsikiliza Kwa siku nahisi kama nimepoteza siku yangu

  • @sulleyally5040
    @sulleyally5040 2 ปีที่แล้ว +1

    Hivi ndio vipindi vya kusikiliza hingereni sanaaa

  • @rudovickmodest3253
    @rudovickmodest3253 2 ปีที่แล้ว +2

    sijawai kukupinga bro be blessed amina

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 2 ปีที่แล้ว +2

    Kaka Joel uko very smart. I like you, God bless you.

  • @worldofpeace3898
    @worldofpeace3898 2 ปีที่แล้ว +1

    Life coach.... umekuwa kiongozi wangu... nimekuwa na hekima mpk watu wananishangaa sababu ya mafundsho ako... Mungu akutunze

  • @nehemiahmissanga
    @nehemiahmissanga ปีที่แล้ว

    You are my good role model

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 ปีที่แล้ว

    Naendelea kupata madini tena na tena.

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 2 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa elimu yako nzuri ushauri wa mwisho umenielimisha sana nitaifanyia kazi kama ulivyo nishauri mungu Akubariki

  • @mussalulenga9939
    @mussalulenga9939 2 ปีที่แล้ว +1

    Ndugu yangu nimejikuta ni kama vile sina marafiki
    Isipokua nakua kalibu na wafanya kazi wangu ndo wanaonizunguka

  • @user-en6dk7et2x
    @user-en6dk7et2x 4 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana kwa mafundisho ya msingi

  • @pilichuli4449
    @pilichuli4449 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana sana

  • @robertjisandu56
    @robertjisandu56 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa sana na mada hii

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 2 ปีที่แล้ว

    Kweli naogopa kupoteza mtaji nijipangaje hapo joer nimepambana mbaka nimepata mtaji na lengo ni kujenga nyumba nzuri

  • @gtubgxuxj6906
    @gtubgxuxj6906 2 ปีที่แล้ว +1

    Asant san kak umenibadilisha mno kwenye maisha yangu🙏🙏🙏🙏🇸🇦

  • @mohamedkudura8114
    @mohamedkudura8114 2 ปีที่แล้ว

    Allah AKUPE AFYA NJEMA Na umri mrefu wenye mafanikio katika uislaam

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l ปีที่แล้ว

    "...waliofaulu maishani wengi ni waliofeli darasani sio kwamba hawakuwa na akili,bali mfumo uliowekwa ndio ulishindwa kuelewa kilichomo vichwani mwao"
    Hahahaaaa!
    Nimejifunza kitu kikubwa sana.

  • @G-JMK69
    @G-JMK69 2 ปีที่แล้ว +2

    Thank you so much mr.
    Miaka miwili na nusu ijayo nitakua star mkubwa sana known as "mangi more" and i will thank you again
    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka Joel shida yangu kusoma vitabu nimenunua vitabu vyako navipenda sana nimeisha vinunua tatizo kuvisoma.Hii mada imenigusa

  • @hassanihassani7154
    @hassanihassani7154 ปีที่แล้ว

    Asante kaka joerl tuko tabora tunakufatiria

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 ปีที่แล้ว +2

    My brother from another mother video zako huwa zinanisaidia sana yahni nime download video zako zaidi ya mia tatu na sijawahi kukinai kuziangalia kwasababu mawazo ya tofauti tofauti ni sauti ya mungu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว

      Aisee hongera sana, nafurahia kusikia hivyo

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 2 ปีที่แล้ว +3

    #JoelNanauka Wewe Ni Zaidi ya Zaidi,You mean so much in my life..Kuna kipindi nilisikiliza video zako mpaka ideas zako zikawa zinazunguka Kwenye Damu,Na kwa Mara ya Kwanza Nikaanza Kufanya Biashara...
    #Nguvu ya Malengo iko kwenye tabia.

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 2 ปีที่แล้ว +1

    God bless you bro

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 2 ปีที่แล้ว

    Naipataje hicho kitabu nakihitaji

  • @djcoco_designer5739
    @djcoco_designer5739 2 ปีที่แล้ว

    Vizuri

  • @chrissmalloy9
    @chrissmalloy9 2 ปีที่แล้ว +2

    Sawa brother

  • @sajumahelatz397
    @sajumahelatz397 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaah kwann nashindwa kuacha tabia ya kucheza kamali 😭😭😭Bro naomba msaada wako maana pesa zangu zote zinaishia huko pia nimejarbu kuacha ila imekuwa ngumu sana,plz nisaidie kaka

    • @vipbeautypoint6251
      @vipbeautypoint6251 2 ปีที่แล้ว +1

      hiyo Ni roho ya kukufilisi, unahitaji maombi

  • @abdulazizzali6218
    @abdulazizzali6218 2 ปีที่แล้ว +1

    joe kwa sisi ambao tupo zanzibar tutapataje vitabu vyako natumai utanijibu nataka sana vtbu vyako nisome ila nipo visiwani

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +1

    Aisee!! Huyu mwalimu hatari...

  • @essaukinunda3198
    @essaukinunda3198 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka fanyia kazi na reference za kiafrika kama zipo...

  • @mathiasvicent9955
    @mathiasvicent9955 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka yangu mimi hongera sana

  • @carolynesimiyu3460
    @carolynesimiyu3460 10 หลายเดือนก่อน

    😮😮❤❤ nice teaching

  • @paulfrnck5083
    @paulfrnck5083 2 ปีที่แล้ว

    Joel ntashukulu sana nime ununuwe vitabu vyako vinanisaidia sana kwakutimiza Marengo yangu

  • @husseinally6056
    @husseinally6056 2 ปีที่แล้ว +1

    nakusoma sn kaka. #Mungu akuzidishie elim

  • @manofgod4471
    @manofgod4471 ปีที่แล้ว

    Points mumgunakuweke sana nataman siku mona nije nishuhudie mafanikio yangu kiukwel najifunza

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 2 หลายเดือนก่อน

    Mfumo wa uwajibikaji
    Kuambatana na mtu asie sahihi

  • @nestorykeja3997
    @nestorykeja3997 2 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana kiongozi nimejifunza nawezaje kupata vitabu mkuu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว

      Vitabu tuwasiliane 0762 31 21 71

  • @African511
    @African511 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu asante kwa kumleta huyu Joel nanauka,kwa wakati.

  • @mikikimikikitv6376
    @mikikimikikitv6376 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu akuzidishie baraka. Umenijenga sana

  • @violethmapunda3500
    @violethmapunda3500 2 ปีที่แล้ว

    Umenijenga sana bro Joel mungu azidi kukutunza na sisi tuzidi kufaidi mafundisho yako.

  • @azmamasala6276
    @azmamasala6276 2 ปีที่แล้ว

    Nakufuatia sana nashukuru Mungu unisaidia Mwenye ezi Mungu akulipe mazuri .

  • @kijamalimi7507
    @kijamalimi7507 2 ปีที่แล้ว +2

    My role model

  • @christopherlivamba9111
    @christopherlivamba9111 2 ปีที่แล้ว +3

    You're very influential People on the world,, Jah bless you!

  • @dannymoshi4144
    @dannymoshi4144 2 ปีที่แล้ว +1

    God bless you more Bro

  • @asiaa6573
    @asiaa6573 2 ปีที่แล้ว +1

    Asnte kaka joel kwa kuzidi kutufungua akili Mungu azidi kukutunza kwa ajili yetu

  • @neemankya5551
    @neemankya5551 2 ปีที่แล้ว +7

    Always i appreciate your work you're more than a teacher to me..... I've done a lot of things because of what I've been learning from you

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 2 ปีที่แล้ว +2

    Iko sawa ngoja niishi nayo hii 2022

  • @kennytwinzi9032
    @kennytwinzi9032 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka Joel...Mwambie anaekushonea hizo suti anatafutwa/anahitajika sana.!

  • @markkenneth3937
    @markkenneth3937 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana ndugu Joel najifunza Mambo mengi kwako nikiwa US

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว

      Ahsante kwa mrejesho, tuendelee kujifunza.

  • @papyprosper8922
    @papyprosper8922 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Brother Naomba Ile Video ulikuwa unaongerea Refreshing Power na Kadharika nimekosa Title Please nilisikiliza u was Busy But for almost 6months sijayiona tena Asante

  • @nipapy9537
    @nipapy9537 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimesaidika sana na mafundisho yako kaka je mtu akiwa Kenya anawezaje kupata vitabu hivyo (nisaidieni kuvipata)

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว

      Watsapp 0756 094 875

  • @kijeshiabdalla6316
    @kijeshiabdalla6316 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubarki kwenye kazi zako Joel nanauka🙏

  • @deogratustemu6890
    @deogratustemu6890 2 ปีที่แล้ว +1

    Matikitiii 😂😂😂😂

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 2 ปีที่แล้ว

    Nafanikiwa kwa mawazo yako joer mungu akuweke

  • @maryamgalu5523
    @maryamgalu5523 2 ปีที่แล้ว

    Brother Joel is very smart good bless you

  • @kensamwelperopuk
    @kensamwelperopuk 2 ปีที่แล้ว +1

    very good educative and mind opening discussion, pongezi kwenu wote

  • @minanicharles3081
    @minanicharles3081 ปีที่แล้ว

    Uyu jamaa ni muster

  • @gracesimon9801
    @gracesimon9801 2 ปีที่แล้ว +2

    My Mentor! What i love the most about u is learning & laughing at the same time! I enjoy the teachings!Stay Blessed

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanksfull brother 🥰

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 2 ปีที่แล้ว

    Ahsate sana kaka najifunz vingi kupitia video zako na zinafanya natimiz malengo yangu 💪🙏

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 2 ปีที่แล้ว +1

    Ujumbe mzuri sana

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 ปีที่แล้ว +3

    Minapenda mda wote awe ana cheka tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @farijanibakari9018
    @farijanibakari9018 2 ปีที่แล้ว

    Kaka mungu akujalie nakuelewa sana

  • @jacksonwillison4072
    @jacksonwillison4072 2 ปีที่แล้ว +4

    Exactly

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kaka kupanga malengo

  • @saumually3562
    @saumually3562 2 ปีที่แล้ว +1

    Loh!! Ghafla nimepata uoga wa kufungua Diary yangu🙍🙍🙍 Maanake Nothing nlicho kiandaa😪😪😪😪inabidi nianze upya na si kazi ndogo🤦Ubarikiwe kaka joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว

      Haujachelewa kabisaa

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 2 ปีที่แล้ว

    Uyo nanauka mama ake alifanya wanafuzi 13 kuacha shule,kwaiyo mama ake alaniwe sanaa apa apa duniani