Sakata la Bandari Halima Mdee na Spika waonyeshana Makali kwa vifungu / ''Hembu Nieleweshe''
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 มิ.ย. 2023
- MCHUANO MKALI HALIMA MDEE NA SPIKA DKT. TULIA "LEO LAZIMA TUELEWANE"
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
⚫️ SIASA : • Video
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
ngasamedia@gmail.com
WhatsApp: +255 716909567
Call us : +255 716909567
thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
#sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv
Halima mdee nakubali sana maoni yako nakupenda pia sana mungu akulinde
Halima jipe moyo Mungu mwenyewe atakupigania never give up mom
Safi Sana halima,usiogope Mungu Yuko pamoja nawe,tetea Tanzania
Damu ya Yesu kristo itutetee
Halima Mdee yuko vizuri! Hawataki kumsikiliza tu
Huyu turia hataki kumsikiliza mdee sababu anajua kuwa mdee anaongea Pont
Muheshimiwa Halima mdee mungu akubarik sana unajitaidi kutetea wa Tanzania lakini wanakunyima kutetea ila mungu akuongoze naamini iko siku mungu atafuta wanyonge machozi
Mungu akulinde HALIMA ila ninyi mnaoshangilia Mungu wa mbinguni atawajibu. Hatutaki bandari yetu
Tunaomba vifungu vya Sheria visomwe kwa kiswahili maana majadiliano ni kwa ajili ya kuelimisha watanzania wote asilimia kubwa hawajui kingeleza lugha yetu ni kiswahili
Mkumbuke kuwa kunahukumu mnavyotutendea sio
Mungu wangu hii nchi yangu inaviongozi wa hovyo Sana yaani wapo tayari kutaifisha mali ya wananchi tena bila woga Wala hofu ya Mungu,naona hapa kunachama Cha watu wachache wanaotaka kunufaika.
sehemu ya bandari ni sehemu muhimu sana katika nchi. kwa mahoni yangu mimi kwa kuchangia kuhusu bandari wasipewe wawekezaji wapewe Jeshi LA nchi hiyo ni sehemu muhimu katika nchi
Kweli Halima umeona mbele wape ukweli wao usiogope mwanangu nakupongeza❤
Hii imekaa vizuri
Tito 1:
7 Kwa kuwa mwangalizi anaisimamia nyumba ya Mungu, hana budi kuwa mtu asiye na lawama, asiwe mbabe, asiwe mwepesi wa hasira, asiwe mlevi, asiwe mkorofi, asiwe mwenye kutafuta faida.
8 Badala yake, ni lazima awe mkaribishaji-wageni, anayependa mema, mwenye kiasi, mwadilifu, mtakatifu na mwenye nidhamu.
9 Ni lazima ashike kwa uthabiti ujumbe wa kuaminiwa kama inavyofundishwa, ili aweze kuwatia moyo wengine kwa mafundisho yenye uzima na kuwakana wale wanaopinga.
10 Kwa maana wako waasi wengi, wamejaa maneno yasiyo na maana na udanganyifu, hasa wale wa kundi la tohara.
11 Ni lazima wanyamazishwe, kwa sababu wanavuruga watu wa nyumba nzima kwa kufundisha mambo ambayo hawapaswi kufundisha-na hivyo kwa ajili ya kupata faida isiyo ya haki.
12 Mmoja wa manabii wa Krete mwenyewe alisema: “Wakrete ni waongo sikuzote, ni wakorofi, walafi wavivu.”
13 Usemi huu ni kweli. Kwa hiyo uwakemee kwa ukali, ili wawe wazima katika imani
14 na hatazingatia hadithi za Kiyahudi au amri za kibinadamu za wale wanaoikataa kweli.
Halim mdee strong
Dada halima mungu akujarie uendelee na ujasli wako
Fanya kazi zako mh raisi kuna watu walifanya vitu vya ovywo Leo unataka kuiletea mafanikio mchi watu wanachonga zuli lipi mama fanya kazi zako asietaka ahamie congo
Jamani watanzania wenzangu naomba mikataba yote ya Tanzania iwe ya kiswahili kwa sababu sisi sote tunaongea kiswahili
Dah Halima nimekuelewa sana leo
Dada Halima uko vizuri tetea nchi yako
Pambana dada God bless you wao hawajui
Tulia hastaili kuwa spika ktk nchi zinazofwata sheria na hofu ya mungu hafai htakuwa balozi wa nyumba kumi
Bunge na spika wa hovyo sana kuwahi kutokea katika Nchi hii tangu kupatikana uhuru wa Taifa hili! Taarifa zimezidi machawa wanatetea mkataba na wizi unaoenda kufanyika kupitia mkataba huu! Wananchi hatuutaki! IGA ifutwe!
Dada halima mungu ajibu maombi yako kwaajil ya nchi yetu nakupenda pia mamy
Wewe mama spika mungu anakuona usiangalie makofi haoniwspambe
Spika na baadhi ya viongozi wenzake ni wezi tu, wanashindwa kutetea maslahi ya nchi
Halima waa sana
Uspika aliupata kiwizi unategemea yeye aweje
Uspika aliupata kiwizi unategemea yeye aweje
Madee safi sana
Mnaweza kutoa mfano wa nyuma
We Mungu kwann magufuri ulimpenda zaidi
nami nina njema,ni lini tutapata wawekezaji wakuwekeza tupate maji Nchi nzima kisha serikali iwe inawalipa wawekezaji kwa awamu.
hiyo nayo nitaarifa au we dada wa ccm baasha ya bandari inakusutata utakufa mapema ukiwa kitini we mama wa taarifa ya ujinga mwache mwamba msariti mdee aongee
Yani wew dada atar sana nakukubali
Kweli maneno ya ndugai ndio yanakwenda kujulikana japo mwanzo wapumbafu sawa na yeye walihisi anaitaji uraisi kumbe sio Leo tutamuelewa
Nakupendaga halima
Nakukubali Halima una jiamini Moja basi
Kichwa kimoja tu bunge zima hoi..
Dahh 😄 💔 😢 hiii nchi kuna watu watachomwa moto sana
Wewespikapimbiunabishanakupotoshawatanzaniaunamasilahiweweeee😁😊😊😊
Mungu walaani wote wanaouza nchi yetu. Waangamize kabisa kabisa
Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza mkataba ni mbovu unajitembeza serikali imeshindwa kutoa ajira kwa wasomi iweje mnataka kuelisha wananchi juu ya mkataba, kuna watanzania wanyonge walioko pembezoni mwa jamii wanapaaza Sauti zaoi kwamba Bandari ni Moyo wa nchi.moyo ukifeli kifo hutokea Mungu ibariki Tanzania Tudumiahe amani ,upendo na mshikamano.
Amazing
Hii ccm inaangalia msilahi yao na sio wananchi
Tuacheni zuluma viongozi tuogope moto wa mwenezi mungu utawala sana mengine msiyo yaweza msilazimishe watanzania na watoto wetu kiunoni wanakosa amani kwa mkataba huu nimchafu uacheni siolazima uwepo
Yani nchi hii mtu akiwa kiongozi basi anaona anamiliki eneo, watu na mawazo yao yote ,,,unakuta kikundi cha watu wachache wanaiharibu nchi kwa kujiona wamesoma wanaakiri sana kuliko watu wengine,,mwisho wa siku nchi inaingia matatizoni kwa sababu ya masirahi yao
Kabisa
hongera dd harima maana unautabili wa mbere
Kweli kabisaa
Raiss makofuli ametuacha saivi shidatupu mwenyenguvu mpishe mnyonge muite mungu
Sana❤
Mungu kulinde dada
Safi sana alima🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Dah halima mdee hapewi hadi nafasi vizuli ya kuongea
Kumbe mlobishana Sana hapo bungeni Halina mdee alikuwa sahiii hakuwa na mda wakutoha kutufafanulia baada ya hayo mabishano mkaanguka saini kwenye mkataba wa hovyo😮haya sasa tunaanza na spika tulia via Joho letu kapumzike na Bunge wenzio watafuata
Nadhani kama tungefuata maono ya marehemu John Joseph Pombe Magufuri wabunge wasingekuwa wanapuuzia michango ya harima mdee nadhani Tanzania bila ccm inawezekana tuendelee kupambana Kwa masurahi ya vizazi vijavyo
Halima uko vizuri,
Bungee la ndioo!!!
WABUNGE HAWA NI HOVYOOOOO MNOOOO
Shule hawasomi wanafuata uchawa kama makondoo.
Halima unapoteza pumzi yako bure hawaelewi hata kitu kimoja .... 😢
Hasara kubwa MNOOOO kuwa mtanganyika baada ya JPM hamuoni hata haya wewe Ackson unasikitisha unatia hasira na kuaibisha wanawake...
Baadhi ya wabunge ni vilaza
Poleen
Tanzania inahitaji maombe makubwa hapo ndipo atapo kumbukwa magufuli maisha mungu amlehemu
Mdee anaongea point sn sema hapoo spk bunge anajua mdee anafafanua utumbo wao hivyoo inambidi spk amkatishe kimtindoo ili wananchi wasielew kinachoendelea .....kwan hayoo ni masah yao binafs na c ya nch ....mwarabu kwao pakame jagwa leo hii wapewe bandar c watafyeka msitu ili tuwe kama uko kwao...fungukeni kiakili mnaharibu nch na huo ndioo ukwel....mbona Dr gwajima atukusikiii au ndioo unaogopa cz upoo kweny hicho chmasa
Mnauza bandari hiyo Kwa warabu nyinyi ccm mmezoeya kusaidiana tarifa nyingi mafisadi nyinyi mmezoeya kula vyauma hatuna Imani na nyinyi Kwa Hilo
Kabisaaaaa
Mungu.tusaidie.ata.sisi.wanachi.iko.siku.tuta.saini.mkataba.tuekezwe..Dubai.shusheni.basis.vyakula.bey.mbona.mnaeka.waekezaji.na.maisha.magumu.tunayo.wanachi.halima.yuko.sayii.mtaingia.mkataba.mwishowe.mtauza.bandari.
Halima umeongea ukweli kabisaaa. Kama mkataba huu ni mzuri mbona Zanzibar haipo kwenye mkataba?
lengo la watoa taarifa ni kupunguza muda wa mzungumzaji
Hizo taarifa zinakera ebu acheni halima aongee Jamani
Spika hajamtendea haki mh. Halima Mdee alikua hampi nafasi ya kutoa maelezo
Hatukubali watanzania mkataba huo nimbovu sana
Halima Mdee hongera mi nakuunga mkono, waachane na hao waarabu wanakuja kuzoa dhabu zetu. Sisi tunakufa madkini kwa nini mnampa bandari achukue mashamba aoteshe karafuu huko Zanzibar.
Spika mwache halima atoe hoja unamsumbua sn na taarifa zako
Wazalendo wa inchi yetu ndio wote wamekufa au mbona sielew
Bunge lijitihadihi kutumia kiswahili sanifu maana wanatumia English kwenye ibara za vifungu watanzania wengi hatuelewi
Niwazi kwamba tanzania tunaitaji kutawaliwatena. Bandari ya dsm n miongon mwa mifereji ya uchumi tz kwann wabunge mnakubari iwe chin ya waarabu? WATANZANIA tumeingiriwa.
Jamani tulia rudisheni hel za watu rynawasubiri 2025 kwenye saduku la kura sijui mtapita wapi labda wizi kura mlivyozoea
Kweli
Dada mungu akulinde
Halima Mdee ni hazina yetu watanganyika,hata kama Chagadema hawataki akae bungeni mbwa hao
Mdee hana adabu spika muadabisheni huyo anaona sisi wote tuliyopo hapa Tanzania hatuna heshima na adabu
Halima unajitahidi sana anakubana kwenye vifungu tu lakin kwa uelewa wangu mdogo hata ambaye hajasoma hawezi kushindwa kuelewa kuwa ni hatar inayokuja mbele kama alivyoongea halima kuwa anaona mbele kweli kabisa hata ambao hatujasoma tunaona ni hatar speak unapindisha sana
Hongera sana dada pambana nao tunauzwa
kweli
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni ....leo halima kaongea vizuri mnoo
MUNGU AKUTUNZE HALIMA MDEE WEWE NI JESHI JAPO UNASONGWA NA MAJITU YA KUTISHA
Umekosa tu sapota nakusikiliza mama majambaz yamekuzunguka yanatetea matumbo yao mungu pekee anatosha yupamoja nawe hawez be kukuacha ushindwe
Tatizo la mtu anaejua sheria akiamua anaitumia sheria kuwa malaika na akiamua anaitumia sheria kuwa shetani. 🤦
Nyie lambaneni ila vita ikija ndo mtajua nan alikua sahii yetu😳
Jamani ivi mnajua mikataba ilivyo na nguvu meosho wa siku tutakuja kuwa pabaya Kwan bandari hiyo haiwezi kuendeshwa na WATANZANIA Kama vip liachie jeshi liongoze e Mungu unaetusikia katika hili simama Tena nyoosha mkono wako dada unaongea point God akuongezeee protection ya maana pia huo mkatabaa ni hapanaaa jaman
tumewachagua mtuwakulishe ila mnafanya kinyume, katika huu mjadala ninaona uchama na sio uzarendo ccm wanaunga mkono na kushangilia wanaacha kuweka uzalendo wanaleta uchama ndani ya mambo muhimu kama hayo, mtu anachangia mnakazi yakuleta taarifa, mhe. spika unaingilia uchangiaji wa mhe mdee ukidai unamlindia muda af umeona nondo zinapanda unamchinjia baharini aisee, ila cheo ni dhamana
acheni u ccm na uchadema hili sio jambo la chama chochote bali ni la kitaifa.
Ila kweli
Dada pongezi kwako
Taarifa zimezidi ni unafiki mtupu acheni mbunge achangie hoja yake
😢
Ndugai alisema nchi itauzwa nasasa tumeanza kuona sehemu ya nchi ikijadiliwa
MUNGU Turinde Nauwaongoze Viongozi Wetu
Halima umeongea ukweli kabisaa. Hao wabunge wanaongea kitu wasichokijua. Wanatetea ujinga kabisaaa . Safi Sanaa Halima wanazunguka Nini? Wakati wanajua ukweli. Halima unaona mbele sanaaa ni kweli kabisaaa. Serikali kwa Nini walikwenda Dubai kimya kimya? Si wanajua kuwa Kuna kitu ambacho sio kizuri.
Ipo siku tutaandamana watanzania ndo mjue hatupendi huo ujinga wenu. Saivi mnatuona kondoo ipo siku tutakua nyoka
Andamana mwenyewe
Mi nashangaa watanzania kwenye ukwel tunaogopa kusema nawakubal wakenya hawachelew kuandamana
Mm nikiwa mtanzania halisi hii nchi inaendesha kimabafu ukiongea ukweli waonekana m baya HALIMA mwenyezi MUNGU Yu pamoja nawe
Mungu Yu pamoja nawe dada alima achana na viongozi wasio na akili timamu
Pamoja sana
😢kwa Nini wa heshimiwa, mnatuacha njia panda, sasa kwa taarifa yenu sisi ndo watanzania halali. Acheni kubishana, maisha yaendelee, asanteni
Hawa viongozi wetu wa CCM baadhi Yao alio wengi niwanafiki wakibwa
😊😊😊😊😊😊😊😊
Taarifa taarifa, pumbavu zenu. Yaani spika nahao wataarifa woooote mnachumia tumbo. Halima ukopekeyako nasisi wananchi wakawaida
Ipo ciku mtakufa mtaviacha kwann mnampinga madam halima asiseme mnapindisha manane hamtaki kuambiwa ukweli