ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

VIDEO: SAKATA LA WAHADZABE KUVAMIWA, SERIKALI YAINGILIA KATI HATUWEZI KUIPOTEZA JAMII HII

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 มี.ค. 2024

ความคิดเห็น • 95

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wapeni elimu waanze kuishi kama binadamu. They have to change 😢

    • @dfinalpatrick8555
      @dfinalpatrick8555 5 หลายเดือนก่อน

      Nyie simnapambanakilasiku mkidai utamaduni wakiafrika nakukataa maisha yakigeni hio ndio picha halisi yautamaduni wa kiafrica je alaumiwe mgeni yaani mkoloni??huo ndio utamaduni ulio salia.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 5 หลายเดือนก่อน

      BINADAMU HATUNA UTU ACHA WAISHI WALIVYO, ITS BEAUTIFUL TO BE UNIQUE

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani hawa sio binadamu kama binadamu wengine? Kwa nini tusiwaelimishe wakafanye shughuli za kawaida za kibinadamu ili nao waweze kuondokana na kadhia ya kutafuta chakula porini? Hio chakula porini mazingira yanabadilika na mwisho wa siku watakosa chakula kabisa ndo maana hata population yao ni ndogo death rate ni kubwa kwa sababu ya namna wanavyoyaishi maisha yao

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 5 หลายเดือนก่อน +1

    safi sana serikali imefanya jambo zuri sana mungu atasimamia

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipenda hii naenda Kuishi huku

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wahadzabe na Wamasai wote wanapaswa kulindwa na kutunzwa tusiwaingilie utamaduni wao, ila sijui wameshinwaje kubadilika na kuwa kama sisi wengine?

    • @user-fc4jl8ni1g
      @user-fc4jl8ni1g 5 หลายเดือนก่อน

      we nae ni kuma tu maanina zako we ushakaririshwa wamasai wanaishi maporini shyenzi

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 4 หลายเดือนก่อน

    Kumbe kiswahili wanakijua 😮

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 หลายเดือนก่อน

    Bola Wahazabe Kuliko Mtu Anaefuga Ng'ombe Miatano Na Kupitisha Kwenye Mashamba Ya Wakulima Kwa Nguvu Awa Watetewe Waishi Maisha Yao Ya Kiasili Serikali Itafute Namna Ya Kupata Pesa Waachwe Wahazabe Na Mazingira Yao

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 4 หลายเดือนก่อน

    Awa wakianza kujichanganya na kuishi na mchanganyiko wa watu wengune na kuanza kubadirisha vyakula watapata shida kiafya maana wamesha zoea kula kila kiumbe hawaachi kiumbe chochote apa duniani chochote kwa ni alali😂😂😂

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 5 หลายเดือนก่อน +4

    Pamoja na hayo wafundishwe namna bora ya kulima na kufuga waachane na kula mizizi na kuwinda.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 5 หลายเดือนก่อน

      HAPANA MBONA WANA AFYA TU? They eat natural food

    • @hellenmassawe7284
      @hellenmassawe7284 5 หลายเดือนก่อน

      Wakalime huko

  • @user-ty9yg8fg9g
    @user-ty9yg8fg9g 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani hawa kwanini serekali inafumbia macho wanauwa wafanyama ovyo bila kibali
    Mwanchi mwingine akikamatwa na kibande cha nyama pori anaitwa amekatwa na nyara za serikali na anafungwa jela ihali wao wanajitangaza kabisa wao ni wawindaji
    Kwahiyo hapa Tanzania kuna watu wamepewa uhalali wa kuwinda???
    Sasa wengine vibali vya nini

  • @user-mf9tu4yu3p
    @user-mf9tu4yu3p 5 หลายเดือนก่อน

    Hao carbon TANZANIA wametoka wapi?makao makuu yao ni wapi?unasimamia hewa porini njoni na Dar hewa hakuna.

  • @Olengujati-uo6gx
    @Olengujati-uo6gx 5 หลายเดือนก่อน

    Mbn kuna maeneo ya wahadzabe si mnasema eneo la serikali kama mnavyo sema kwa wamasai

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani mnafukusa wamasai ambao wanajilisha kwa mfugo yao halafu mnatetea watu wanao winda kila kiumbe ,mnashangaza kweli

    • @trustmuu569
      @trustmuu569 5 หลายเดือนก่อน

      acha roho mbaya boya wewe

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 5 หลายเดือนก่อน

    Awawezi kulima kabisaaa je shulen watoto wao wanaenda je wanapataje Ela wakiwa huko borini

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 5 หลายเดือนก่อน

    Ivi haiwezekani. Kuishi kama WENGINE maana mimi naona maisha haya wanapata shida..✔️

    • @mariamshaban4518
      @mariamshaban4518 5 หลายเดือนก่อน

      Hata ww wanakuona unapata shida

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h 5 หลายเดือนก่อน

    Watu wameshahaza kuwaingilia Awa watu wamejitenga watu wanawafwatafwata lisipotehe kabisa hili kabila Utalihi mkubwa tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 5 หลายเดือนก่อน

    Lkn Mwisho wa siku itabidi mbadilishe tu utaratibu wa kuishi.
    Haiwezekani jamii hii iendelee kustawi kwa kutegemea mizizi kwa eneo lilelile ambalo haliongezeki.
    Aidha, hata kama hawatauza pengine waache kuongezeka

  • @user-mf9tu4yu3p
    @user-mf9tu4yu3p 5 หลายเดือนก่อน

    Wamasai Je kwanini mmewatoa mbugani?wacheni MUNGU ameweka mipaka binadamu mnauza Ardhi kwa Warabu. Iko siku mtajuwa mipaka ya MUNGU

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 5 หลายเดือนก่อน

    Serekali iwe makini na hawa watu wanavaa nini Ela wanapata wapi siyo ndiyo wanakula swala kweli kwa nini usilime weeee

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 5 หลายเดือนก่อน

    Wafundishwe kufuga hata panya na wadudu wengine ili wapate kitoweo, maana idadi yao itakuwa kubwa siku za karibuni.

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od 5 หลายเดือนก่อน

    Do! Serikali inashangaza kweli yaani kuwinda wanyama wanaaruhsu, mbona serikali inataka kuuwa Mila yetu ya wamasai na Sisi hatuwindi

  • @fatumahassanduale4701
    @fatumahassanduale4701 5 หลายเดือนก่อน

    Sidhani kama ni sahihi kuwacha watu waishi karne ya zamani, serikali inatakiwa kuwasaidia wajifindishe kuotesha matunda na hayo mizizi iliwapate kuzaliana.

  • @ngombegeorge3577
    @ngombegeorge3577 5 หลายเดือนก่อน +1

    hapa rais ni nyerere. uko kuna uchaguzi wa serikari kweli. wabadilike wale wali ,chips ,miohogo ugali.. wanunue chocolate super market. .wao waenjoy.

  • @iconramar9366
    @iconramar9366 5 หลายเดือนก่อน

    Hao Carbon Tanzania ni taasisi iliyo chini ya serikali au ni taasisi binafsi km ni binafsi sidhan km kuna kutu mnakiepuka apo

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 5 หลายเดือนก่อน

    Wao nao ni binadamu

  • @user-qe2kl7iz3s
    @user-qe2kl7iz3s 5 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmmm co km hyo ndio sababu elimu ingetolewa kwa wajishughulishe na co kutegemea matunda na mizizi watu wachanganyike ndio maendeleo enyewe inapatikana na co kabila moja kukaa sehemu aridhi ni ya wananchi hata wao walionunua ni wananchi pia

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 5 หลายเดือนก่อน

    Hii nimeipenda sana

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona mnawafukuza Wamasai ambalo nalo ni kabila lenye mila strong.

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 5 หลายเดือนก่อน

      Hapo sasa wanafiki tu

    • @yolenimocheng8745
      @yolenimocheng8745 5 หลายเดือนก่อน

      Mmh mnafuga ng'ombe wengi mno na mnapitisha pia vurugu

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 5 หลายเดือนก่อน

    Serikali iwasaidie elimu ya kilimo japo kupanda migomba, maembe palachichi na kufuga nyuki.

  • @rizikinicholaus8154
    @rizikinicholaus8154 5 หลายเดือนก่อน

    Hapa serikali kuna jambo lakufanya, pamoja na kuheshimu tamaduni za wananchi wakiwemo wa hadizabe, ni lazima serikali ipeleke timu ya wataalamu ili wawape elimu ya kutosha waishi maisha kama watu wengine kwa kufanya shughuri zingine haiwezekan karne ya 21 et bado kuna jamii ya watu wanaoishi kwa uwindaji, ifike mahara binadamu tusaminiane, na sio kuwatumia jamii ya watu kama sehemu ya utalii, hawa sio wanyama ni binadamu wanahitaji shule, vituo vya afya na miundo mbinu yote sitahiki, lai yangu kwa serikali ilitazame jambo hili kwa jicho la tatu

    • @theuniversetv2870
      @theuniversetv2870 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa yaani kwa akili zao timamu wanawaacha binadamu wenzao wanaishi katika mazingira magumu badala ya kuwaelimisha wakafanye shughuli za kujipatia chakula tofauti na kutegemea porini maisha yamebadilika sana hao watu msiwaone hivo wanaonekana kama idadi haiongezeki yote nikwa sababu ya maisha wanayoishi kuwa ni magumu vifo ni lazima vitakuwa ni vingi ijapokuwa hakuna takwimu zinazoonesha lakini uhalisia ni kwamba kwa namna wanavoishi hata life expectancy ni ndogo sana kwa sababu tu ya kuendelea kuishi maisha ambayo ni ya karne zilizokwisha pita.Serikali ipeleke huduma za kijamii kule,wapatiwe shule hospitals, na pia waruhusu watu wachangamane kule watabadilika tuu wakichangamana na watu wengine hata kama hawataki kubadilika

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 5 หลายเดือนก่อน

    Weeeee kijana kwa njni aulimi unasema kabisa wewe unakula nyama na Asali kweli

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 หลายเดือนก่อน

    AAMUZI HAYO YAWE KIMAANDISHI. ILI BADAYE ISILETE TENA MANENO.

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 5 หลายเดือนก่อน

    Kweli pamoja nahayo serikali ianze ķùwaelimisha walime ili waishi.kamawengine

  • @material_liv4674
    @material_liv4674 5 หลายเดือนก่อน

    Huo ni uchaguzi tu unakaribia ndio maana hamna cha kuwajari wala nini baada ya uchaguzi watafukuzwa tu kama wamasai

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 5 หลายเดือนก่อน

    Nani anauza sasa mpaka serikali ilipe hizo pesa aliyeuza nani na pesa kapeleka wapi..waii pesa zetu za kodi wanakula warafii si warudishe aliyeuza ni nanii?😮

  • @alextercisio
    @alextercisio 5 หลายเดือนก่อน

    Watolewe uko kwa maporini waache ujinga..
    Kuishi maporini hiyo ni maisha gani ya ujinga

  • @tanzaniayetu6973
    @tanzaniayetu6973 5 หลายเดือนก่อน +5

    Ujinga wa watanzania ni mtaji wa ccm,haiwezekani watu waishi kwa miziz na matunda ikawa sawa i say No,maisha lazima ya badilike

    • @mawazoaliselemani
      @mawazoaliselemani 5 หลายเดือนก่อน

      Mi siwakubali Hawa jamaa.
      Kabisa

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 5 หลายเดือนก่อน

    Nyie akili amna ndio maana wazungu wanachukua vyenu

  • @mallyamunama4054
    @mallyamunama4054 5 หลายเดือนก่อน

    hii safi

  • @user-dz9ho6es6x
    @user-dz9ho6es6x 5 หลายเดือนก่อน

    E mbona wanajua kiswahili vizuri nahawa jichanganyi

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 5 หลายเดือนก่อน

    Nitaenda Kukaa huku nimeipenda hii

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nyani Wataisha .wanakula nyani ile mbaya hawa hadzabe....

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 5 หลายเดือนก่อน +1

      Nyani kama unawataka nenda Ruaha na Kitonga ukafaidi na wewe.

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 5 หลายเดือนก่อน

      Wanazid kuzaana itafika kipindi chakula cha chao cha Nyani hakitoshi j'e wataishi vip ni bora kujifunza mambo mengne ili kwendana na hali ya mabadiliko yaliyopo na yajayo​@@dicksonkilupa2258

  • @danieltsaxara9199
    @danieltsaxara9199 5 หลายเดือนก่อน

    Bora munge wahamasisha walime na wafuge coz mnadekeza umaskini

  • @sciencesocietyoftanzania5957
    @sciencesocietyoftanzania5957 5 หลายเดือนก่อน

    Kitu kama hichi kifanyike kwq jamii za wamasai ngorongoro

  • @ezekielsemeteyndulugo236
    @ezekielsemeteyndulugo236 5 หลายเดือนก่อน

    Uhuni to mbona sisi tunapigwa huku ngorongoro

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 5 หลายเดือนก่อน

    Walinunua kwa nani?

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 5 หลายเดือนก่อน

    Mm ata siwaelewag ili kabila akaf wagumu kubadilika

  • @athumaniamiri880
    @athumaniamiri880 5 หลายเดือนก่อน

    Hawapiki ugali kabsa.......! 😊😊

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 5 หลายเดือนก่อน

      Wanapika wanapelekewa misaada na Hawa watalii

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 5 หลายเดือนก่อน

    Masai nao je?, Nao ni asilia aise

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 5 หลายเดือนก่อน

    Uwalinde kwa gharama yeyote? Wanaingiza kipato cha utalii ndio maana wanalindwa.
    Huo naita utalii wa ujinga

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 5 หลายเดือนก่อน

    Hii imeenda

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo ndo form one

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa wao hawalimi, hawafugi Wala hawafanyi biashara izo nguo wanapata wapi? Au ni Msaada ya wasaramia wema?

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 5 หลายเดือนก่อน

    Angalieni kwanza wanaishi miaka mingapi?, Wanyama nao wanaisha

    • @user-mf9tu4yu3p
      @user-mf9tu4yu3p 5 หลายเดือนก่อน

      Wanyama hawaishi kabisa TANZANIA

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 5 หลายเดือนก่อน

    Hao wameshakuwa waswahili

  • @user-xr8wp8gp8f
    @user-xr8wp8gp8f 5 หลายเดือนก่อน

    Waache unafiki, mmeshindwa kuhifadhi jamii yablinasai mnadhani mtwara kulindanhii?. Au kwasababu mwaarabu hawaja taka maneno yao?

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 5 หลายเดือนก่อน +1

      Cjui umeandika nn au mm cjui kusoma

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 5 หลายเดือนก่อน

    Muwaongo siku hizi mnakula hadi ugali

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 5 หลายเดือนก่อน +2

    Badilikeni

    • @antonjohn134
      @antonjohn134 5 หลายเดือนก่อน

      Wewe mbona ujabadili kabila lako

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis 5 หลายเดือนก่อน

    wabadilike wanaua wanyama bila huruma.walime

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 5 หลายเดือนก่อน +1

      We nae sijui unaongea pumba gani

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 5 หลายเดือนก่อน

    Mhadzabe alindwe kwa nguvu zooote

  • @user-xw1dv3gr8s
    @user-xw1dv3gr8s 5 หลายเดือนก่อน

    Makabila yote ni wawindaji

  • @user-xw1dv3gr8s
    @user-xw1dv3gr8s 5 หลายเดือนก่อน

    Kwanini mnawaruhusu kuwinda wafundishwe kulima

  • @user-xw1dv3gr8s
    @user-xw1dv3gr8s 5 หลายเดือนก่อน

    Huu ni uwivu tu wote tuwinde

    • @hellenmassawe7284
      @hellenmassawe7284 5 หลายเดือนก่อน

      Yaniii ningekuwa raisi wangenitambuwa

  • @MsafirLeuna-zz6rw
    @MsafirLeuna-zz6rw 5 หลายเดือนก่อน

    Campen 😂😂

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti 5 หลายเดือนก่อน

    Inabidi wabadilike, sio sifa kuishi ki primitive hvo. Dunia inaenda kasi saivi. Shauri yenu😅

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 5 หลายเดือนก่อน

    Wapewe jembe hao

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 5 หลายเดือนก่อน

      Wakipewa Jembe wataharibu mazingira😅😅

  • @lizzybrownlizzy6094
    @lizzybrownlizzy6094 5 หลายเดือนก่อน

    Wakaishi mtaani uko wasiishi kama wanyama

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 5 หลายเดือนก่อน

      Kila sehemu hawa watu wa asili wapo kwa mfano China kuna wale wafuasi wa Dalai lama, Uarabuni sijui ndo Mabedui? na Marekani wapo ktk Amazon nk.

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 5 หลายเดือนก่อน

      NA MIMI NATAKA NIJIUNGE NA NINYI NAJUA HATA KODI HAMJUI NI KITU GANI? MNATISHA.