RAIS DKT.MAGUFULI ASAFIRI KWA KUTUMIA NDEGE BOEING 787-8 DREAM LINER KUEKEA MWANZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ส.ค. 2018
- Mapema leo asubuhi Mhe. Rais Magufuli amesafiri kwa ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na Serikali kwa lengo la kuimarisha shirika hilo, na akiwa ndani ya ndege abiria waliosafiri nae kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza wamemshangilia na kumpongeza kwa juhudi zake za kuifufua ATCL na wamemuombea dua
Raha tupu humo ndani ya Ndege, hongera kwa waliomuombea Dua Rais wetu Magufuli, Ndio mjue kwamba Rais tumepata, Mungu amlinde Na kumzidishia hekima.
Alikuwa Kipenzi cha Watu, Mwenyezi Mungu akurehemu na kukuweka Mahali Pema Peponi Mh Magufuli, Aamiin.
Tanzania is in tears
Our hearts shall always cherish your life until forever ends
Walimuua Raisi wetu
Bado sijaona kama WEWE ! Bado Sana ! Pumzika kwa amani tu Rais wangu JPM
kafanya nini zaidi ambacho unaona hakuna mwingine wa kufananisha nae? kununua bombadire, reli ya kisiasa na bwawa la umeme??! kwani hayo yote kafanya pesa katoka mifukoni mwake? hizo pesa ni zetu watanzania wote ikiwemo wewe na hadi sasa katuachia madeni lukuki kutoka kwa aliowaita mabeberu tunalipa Polepole acha uchawa usio kuwa na maana kusifia mtu wakati uhalisia ni kwamba hizo ndege umenunua wewe na hayo maendleo yote umefanya wewe pamoja na watanzania wenzio wote pamoja na kuwa hizo bombadire watanzania walio wengi hawazipandi lkn kama angetuboreshea barabara za kiwango cha lami mpka vijijini maji na elimu bora tungepiga hatua kubwa ya maendeeo site kwa pamoja kuliko hivi sasa wachache ndio wananufaika
Rahaa sana MUNGU iweke roho ya babayetu JPM peponi.mwanga wa milele umwangazie na raha za milele umpatie AMINA
Ilikuwa mtu wa watu,mungu akuweke mahali pema peponi,🙏
Kwa kazi kazi 💯👍 kazi We miss you always JPM bulldozer Tanzania..
Rais Jpm ni mtu wa watu hongera sana
Where are you Magufuli, we wil miss you sana, and we still crying of your absent,,,, RIP
To me😭😭😭
Vyema sana!. This is a definition of cutting costs!
President of Tanzania 🇹🇿 ❤ Magufuli no one like you
Dah mungu tulikosea wapi sisi watanzania
Raha sana kusalimiwa na Rais
Hadi unaskia mwili unasisimka alikua kiongozi jasiri mzalendo alithamini wananchi wake
This is why we cry
Kweli kabisa
Naamini huko uliko unawaongoza malaika polepole, yaan Kila mtu alikuwa anampenda, R I P uncle
I love this president
Mwenyezi MUNGU akuweke mahali pema peponi. JPM ulikuwa mtu wa watu sana 😭😭😭😭😭
Magufuli kanyanga twende 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
TANZANIA IN LOVE
Hvi ndege zetu zipo wapii arzo nunua RAIS wetu magufuli mbo na hata angani hatuzioni au wameuza,,
Heart Warming
DUDE KUBWAA LAKINI LIMEJAA KWELI MAGU UNA NYOTA SANA
upendo ndio kila kitu kwenye hi dunia ishi na wtu wa khali ya chini ndio wenye mapenzi ya dhati
Love you mzee...
Nice.
Magufuli baba laoooooooooo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Brilliant
Hata Raisi wa Ethiopia 🇪🇹 alisha wahi kusafiri na ndege ya abiria ya “Ethiopian Airline”, na abiria hawaku amini , wali shangaa sana!
Good Sir
Sijaona kama JPM bado Sana sijaona Hata aliefikia robo ya JPM bado !
Magufuli alipendwa Sana na watanzania asimia 90
Mafisadi sasa yanafurahisana kuondoka kwako uliyekua unaukemea ufisadi tenasasa wanazidi kujaza vituo vyakujaza mafuta yalemafisadi
Safi sanaaaaa.
😢😢😢
Nitakumbuka daima
Nimeshindwa kuyazuia machozi kwa video hii.
Hata mmi limenitoka
😭😭😭
My president
Rip daddy
Safi sana
magufuli lala salama mwendo umeumaliza. rip our beloved president
Daaaaa kwel inaumiza Sana lkn
amesafiri ndege ya abiria na abiria wa kawaida😊
Rip
Hadi laha jaman
Asante san raisi wetu kwa upendo mkubwa san kwetu ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumzidishia upendo mkubwa kwetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Daah haki utanitoa machozi siku zote mpaka kwenye uzee wangu JPM 😭😭😭 MUNGU hivi imetokea je Kwa mfano?? Daah
Rest in peace JPM
Masikini.rais wangu machozi machozi yananitoka sijuwi sijuwi nitakusahsu lini kipenzi changu rais wangu
Kila alipokua anaingia panakuwa na furaha
Sijui kama atatoka mwenye upendo kama huyu
Dah! Eee Mungu kwanin umeruhusu kifo kwa mtu huyu, kwanin uliacha watesi wake wasimam juu yake😭😭nataman nikuamuru usimame kinyume na mipango yao tena uwaibishe na kuwafedhehesh kabs, Eee Mungu wa Ibrahim embu fany jambo tafadhar 🙏🏿🙏🏿
😭😭
Mtu wa watu
Ht km. Ww HD Dunia inapinduka
Mama anaupiga mwingi
Bado tunakukumbuka
Nime jikuta nalia t
Innalillaah wainnaa ilaihi Raajiuun
HATA MOBUTU SESEKO ALISHANGILIWA SANA PAMOJA NASHIDA ZOTE NA UKATILI ALIOKUWA ANAWAFANYIA WAKONGO LAKINI ALITUKUZWA SANA, UNAJUA DIKTETA YOYOTE DUNIANI ANATENGENEZA AINA YA KUWADHIBITI WATU WAKE ILI WASIMCHUKIE AU KUMUUA, HUJIFANYA KUWAPENDA SANA KAMA RAIS BOKASA ALIYEONA URAIS HAUNA THAMANI TENA AKAAMUA KUJIITA MFALME
Ko ulitakaje
We mavi kwelikweli
Mchawi wewe!!ushindwe kwa jina la yesu.
Mpuuzi mjinga wewe