Pamoja na yooote , lakini kwa kweli ulipenda watu. Kama ulikuwa unajifanya mimi sijui, ninachojuwa , ulikuwa Kiongozi uliye teuliwa na Mungu. Siyo wa kubabaisha.
Mm magufuli akisema haya jamani kwaherini moyo unaniuma haki ya mungu magufuli akienda sehemu akimaliza Ile ishu alafu aseme haya jamani Asanteni EE NAENDA moyo unaniuma nahisi Malaika Ananitoka huyu baba nampenda sana mungu a mjalie maisha malefu umri unaompendaza mungu AMINA
Wangejua kama raisi atatembelea siku hiyo wangeenda hata kutafuta mashuka hata ya mtumba waweke maana kulalia mipila mitupu ni hatari kwa wagonjwa maana wanawezapata mambukizi kengine
Huyu Kiongozi hatari sana yaani anajali wananchi wake anahofu ya mungu, anahuruma hatari duuh mungu akuongoze kwenye kila gumu ulipitalo na uyapangayo Kwa ajili ya nchi yako yatimie
Hata magufuli anfekuwa raisi wa Tz yote namaanisha Bara na visiwani pia angeweza na nchi ingekuwa ngangari zaid. maana huku Visiwan mh tuliokuwa huku tunajuwa hasa katika kipindi hiki cha ugonjwa huu. Kwa ushauri Mzee magufuli aungane na Shein ili Tz Visiwani iwe ngangar km Tz bara. Visiwan tuache ubinafsi tutakwisha
Baba alipokuwepo nilijifungulia bugando safi sana ila nimerudi baba hayupo mtoto alifanyiwa op hapo shida sana kwa wagonjwa walio lazwa muda mrf huduma mbovu sana
Hello marafiki!! Jina langu ni rafiki, naishi Canada. tafadhali Subscribe kwenye TH-cam channel yangu. mimi huzunguka ulimwenguni. Tafadhali subscribe ili upate kujua mengi kuhusu DUNIA. Asante kwa wale ambao watajiunga na mimi.
Kama umesikia baba lao weka like hapa
Yaan huyu mzee yupo vizur san
Ugonjwa was corona
Corona tanzania
Isha masha uzi talabu
Mungu akupe kila lakheri na BARAKA NA MAFANIKIO KATIKA DUNIA YAKO MUHESHIMIWA BWANA MAGUFULI
Mzee Magufuli alipendwa Sana na watu wa chini. This is the reason why they cried that much during his funeral . R.I.P
Exactly
Natamani ningekuwepo hapo nimuone kwa macho yangu.. nampenda sana Rais wetu mzuri
Kama na ww umesikia Baba lao husininyime walao like 1 tu
daah kwa hili mzee UMENIGUSA SAANA... KM NA WEW UMEGUSWA LIKE TUJUANE...
Magufuli mungu akupe maisha marefu
Hakika huyu ni wetu tunampenda
Kwa kweli wa Zenji mmenifurahisha.Kweli huyu ni Baba lao👏👏👏👏
Huyu Mkuu ni mtu mwenye ubinadamu na huruma sana. Ubarikiwe sana.
Very humble president ubarikiwe Mheshimiwa for loving your people.
True leader....Av never seen someone who is dedicated like u..RIPower
Allah akupe maisha marefu mh magufuli tunakupenda baba tuone znz
Umpende, usimpende ni vigumu kumchukia Magufuli
Kweli kbs
Kabisa
Their prezzo I admire how he's good hearted and God fearing.....Kenya tulikosea nani jamenii
Imagine
Kaka, wakenya hatujaweka nchi yetu mbele
Wajinga nyinyi nyinyi
@@kareemalamoody6345 matusi si uungwana
hhg
Nakupenda rais wetu Mungu akuongoze vyema
Tunaempenda Rais wetu,. Gusa picha Yangu kisha Subscribe Channel yangu ,,Twende sawa Twenty twenty
Kweli huyu narahisi mwema sana
Duuh anko ume nigusa sana yan nime furahi kupindukia kuja kwetu ww ndo baba Lao hasa mung akubariki maisha yako yote amin
Tinga tinga piga saave. Zanzibar madudu majipu mengi. Ukimaliza Muda wakao bara uje zanzibar kuwa rais wetu. Kila lakheri 😎
Aje wap??? s mtakuja kuhama nchi nyie au mpo tayar ki saikolojia pia
BABA LAO OGOPA SANA HUYO MTU AKITEMBELEA KWENYE OFISI YAKO UTAHISI TUMBO LA KUHARA LINAKUSHIKA.
Pamoja na yooote , lakini kwa kweli ulipenda watu. Kama ulikuwa unajifanya mimi sijui, ninachojuwa , ulikuwa Kiongozi uliye teuliwa na Mungu. Siyo wa kubabaisha.
Mm magufuli akisema haya jamani kwaherini moyo unaniuma haki ya mungu magufuli akienda sehemu akimaliza Ile ishu alafu aseme haya jamani Asanteni EE NAENDA moyo unaniuma nahisi Malaika Ananitoka huyu baba nampenda sana mungu a mjalie maisha malefu umri unaompendaza mungu AMINA
Amenibariki Kuuliza "Huyu Kapewa Huduma? Hebu Njoo Tueleze Dakitari.. Hlf Ndio Akawafata Wengine na Kuwapa za Sodaaa... Hongera Mingi Kwa BABA LAO 💪
He always show humanity..this is very touching..may God protect you mr President
Magufuli nakupendaaa,,, Yesu asikupite
Ohh..so sad..May Allah bless his soul..🇺🇲
Kweli DIAMOND ni noma sana hadi watu wana muita magufuli BABALAO 🙏🙏
😀😀
Bonne rétablissement incha Allah zuberi avec les autres aussi incha Allah
Big Up Sana...He is hard working
Magufuli Mungu akubariki
Wajanja Sana selikali ya Zanzibar wamempeleka hospital mpya kwann wasimpeleke Ile ya zamn
Diamond ankufanya umpende Magu😂😂😂😂😂baba lao
Raus wa tanzania, safiii sana kutembelea mnazi mmoja hospital
Mm kenya lkn nampenda sana RAISI wa Tanzania sio huyu watu tabu tupu
Sijaonapo Africa rais humble Kama huyu. Huyu wa kwetu angekuwa robo tu ya Mr. Magufuli tungekuwa Mbali sana
Maguful usikae sana iwe unakuja zanziba wahuju uchumi wapo weng sana
Kumchukia MAGUFULI ni kujipa ugonjwa wa moyo wewe mwenyeeewe.
Much respect Baba magu 👏🙏
Mipango ya Mungu ni Mungu tu Magufur team
Nasikia dogo mmoja kaifanyia lamination ela aliyopewa na mkuu
Diamond Platnumz BABA LAO
vitanda vya hospital havina mashuka(cover) so strange and unhealthy
Hvy n vtanda vya kupokelea wagonjwa Opd na wala s vingnevyo
Yani jamani amna ata shuka moja
Huyu ni raisi wa mfano
Baba lao kweli kweli ❤
MBONA VITANDA VYA HOSPITALI HAVIJATANDIKWA MASHUKA WAMELALIA KWENYE MPIRA MTUPU?
Wangejua kama raisi atatembelea siku hiyo wangeenda hata kutafuta mashuka hata ya mtumba waweke maana kulalia mipila mitupu ni hatari kwa wagonjwa maana wanawezapata mambukizi kengine
Jaman hapo ni Opd namaanisha reception akiwa anafanyiwa uchunguzi baadae ndo watapelekwa sehemu ya kulalia
Dah tunajivunia sana kua na Rais wetu huyu
Huyu ndo Raisi wangu 💓
SHABBY TZ wetu sote
Huyo Kaka mmoja anamatako daah mpaka hawezi kutembea
Zanzibar kumeoza Huduma mbovu spitali
Kama unakubaliana na mm hatutowahi pata Raisi kaa Magufuli gusa like
Humble good president in Africa he’s lovely everyone love ❤️ him
R.I.P magu
This is president baba lao
Huyu Kiongozi hatari sana yaani anajali wananchi wake anahofu ya mungu, anahuruma hatari duuh mungu akuongoze kwenye kila gumu ulipitalo na uyapangayo Kwa ajili ya nchi yako yatimie
Mungu yupo tunasubili kuona
Magufuli you the best
Like kwa baba lao...Magufuli baba lao.
Masikini huyu baba nyie mbona ziara zake ni istria nzuri sana? Mungu akufanye jpm uwe chombo cha sifa zake amina nakupenda Sana babaangu
Baba laoo 🤣🤣🤣🤣Kong master 👍👍CCM mbele kwa mbele,, mung akueke rais watu jembe letu
Mungu atubalik
Mungu agupumuzikishe hazuri
Nafulahiii sana nikimkumbuka mzeeeee
Team Kiba Tutambuane
Mnalaza watoto bila shuka.zanzibar ovyo
Mh😢 Hayupo tena Matendo yake yaishi hadi leo
Mungu akubariki sana rais wetu
Magufuli baba lao
Yaani wanakuja Zanzibar mwaka wa uchaguzi tena
Hakika ni baba lao
Dah😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭unanilizaaaa😭😭😭😭😭
Iozi mado
Eyaisi shanyaga
Kwaya iseramagain
Viatu
😭😭😭😭nmejikuta nalia dah
Mzee mm nakukubali cn mkuu wetu
Mpeni tuhuma za Mr Kiringo.......sio mnachekacheka tu. Wazenji bana
Mh uyo afsa usalama yupo salama kweli maana 🤗sio kwa minyama hiyoo
🤣
😂😂😂😂😂😂😂
Asante sanaaaa baba wa taifa.
Wangonjwa watafutiwe mavazi ya wagonjwa amelazwa na Jeans😭🙆♂️🙆♂️
Hata magufuli anfekuwa raisi wa Tz yote namaanisha Bara na visiwani pia angeweza na nchi ingekuwa ngangari zaid. maana huku Visiwan mh tuliokuwa huku tunajuwa hasa katika kipindi hiki cha ugonjwa huu. Kwa ushauri Mzee magufuli aungane na Shein ili Tz Visiwani iwe ngangar km Tz bara. Visiwan tuache ubinafsi tutakwisha
Magufuli your are good person
Mara n'yigi raisi mzuri Huwa hadumu duniyani isipo kuwa wale wabaya tu.
Nimkenya ila kwa hili rais najiskia machozi yataka nitoka
khadija Omar pole sn karibu sana Zanzibar
Wazanj wamefurah mashaallah
Baba alipokuwepo nilijifungulia bugando safi sana ila nimerudi baba hayupo mtoto alifanyiwa op hapo shida sana kwa wagonjwa walio lazwa muda mrf huduma mbovu sana
What a great loss
Mama Samia kunabaadhi yataratibu anapaswa kusoma kwahayati Rais magufuli kwani ukalibuwake na wananchi ulitujenga wa Tanzania
Nitakukumbuka daima
Asante jemedari
Jamani mimi ni mkongomani nahishi marekani sasa hivi ila siku moja nitachukuwa uraia wa Tanzania
Vx v8 landcruser is best in africa
Huyo alukuwaga nabii wa tz
Nimehis Raha sana
Amiin wapone kabisa.
Inaleta raha sana!!
Ccm mpaka nawajuku zangu wata chagua ccm
Amekwenda na kujionea mwenyewe bila kusimuliwa na mtu yeyote. Hongera sana rais. 254
Huduna mbuvuu sanaa
Huyu rais mungu ampe maish maref San yaan ktk malais waliopita wote hawamfikii maguful
Wapi aliposema mbona hawahudumiwi
Pimbi nyie
🤔🤔🤔😎😎😎
Safi sana JPM
Hiyo hospitali hawatandiki wagongwa wanalalia magodoro matupu?
Hello marafiki!! Jina langu ni rafiki, naishi Canada. tafadhali Subscribe kwenye TH-cam channel yangu. mimi huzunguka ulimwenguni. Tafadhali subscribe ili upate kujua mengi kuhusu DUNIA. Asante kwa wale ambao watajiunga na mimi.
Unazunguka afu unatuketea kitu gani special tukae tuangalie
2023 nakulilia bado
Huyu ndo raisi atakunbukwa daima nchi hii R.I.P JPM
the period when Tanzania had an owner
Maguful baba laooo😍
Pumzika baba... Pumzika baba watalipwa Mara tatu kwa waliyoyafanyaa
Kama ivyo fresh maana Z'bar nayo yako kiongozi